DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 31,737
- 81,807
Huwa nawashangaa vijana wanaopambana ili kuwapa wanawake pesa, honestly they know nothing kuhusu maisha.
Mtu ambaye anatembea na wanaume tofauti ili tu apate kula, kuvaa na kulipa kodi au bills zake then akiachwa huku akakimbilia kule.
Fahamu tu kuwa watu kama hawa akili zao zipo broke that way katika maisha yao, wanaamini wao hawawezi kujikomboa kiuchumi hadi wajiegeshe kwa wanaume.
So, unapokutana na mwanamke anaomba omba msaidie kumkomboa fikra zake kwanza ili ajitambue na sio kumpa hela ambazo hazimsaidii, anaishia kununua vipodozi ili ajipodoe na kujichubua ili kuongeza mvuto kwa wanaume na sio kuwa authentic.
So mpatie pesa mtu anayejua umuhimu wa pesa, hapo pesa yako ndo itakuwa na maaana.
Mtu ambaye anatembea na wanaume tofauti ili tu apate kula, kuvaa na kulipa kodi au bills zake then akiachwa huku akakimbilia kule.
Fahamu tu kuwa watu kama hawa akili zao zipo broke that way katika maisha yao, wanaamini wao hawawezi kujikomboa kiuchumi hadi wajiegeshe kwa wanaume.
So, unapokutana na mwanamke anaomba omba msaidie kumkomboa fikra zake kwanza ili ajitambue na sio kumpa hela ambazo hazimsaidii, anaishia kununua vipodozi ili ajipodoe na kujichubua ili kuongeza mvuto kwa wanaume na sio kuwa authentic.
So mpatie pesa mtu anayejua umuhimu wa pesa, hapo pesa yako ndo itakuwa na maaana.