Sio kawaida ya Mbowe, CHADEMA tupeni Ukweli

Sio kawaida ya Mbowe, CHADEMA tupeni Ukweli

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,693
Reaction score
21,767
Huyu mwamba Yuko wapi? Ikulu haendi tena. Ndege imeanguka mwamba Yuko kimya, sio kawaida yake.

Mama katoa kauli tata Arusha, mwamba katulia tu. Katiba inasusua mwamba katulia.
Hamna maandamano.

Hii sio kawaida ya mwamba kukaa underground muda mrefu kiasi hiki.
Kama anaumwa tupeni taarifa ndg zetu.
 
Huyu mwamba Yuko wapi?
Ikulu haendi tena.
Ndege imeanguka mwamba Yuko kimya, sio kawaida yake.
Mama katoa kauli tata Arusha, mwamba katulia tu.
Katiba inasusua mwamba katulia.
Hamna maandamano.
Hii sio kawaida ya mwamba kukaa underground muda mrefu kiasi hiki.
Kama anaumwa tupeni taarifa ndg zetu.
kashauza chama
 
Huyu mwamba Yuko wapi?
Ikulu haendi tena.
Ndege imeanguka mwamba Yuko kimya, sio kawaida yake.
Mama katoa kauli tata Arusha, mwamba katulia tu.
Katiba inasusua mwamba katulia.
Hamna maandamano.
Hii sio kawaida ya mwamba kukaa underground muda mrefu kiasi hiki.
Kama anaumwa tupeni taarifa ndg zetu.
Babako yuko wapi?
 
Mwacheni apumzike.
Aliumizwa sana kwa ajili ya kutetea watu...watu wenyewe wadanganyika!

Tulia Mbowe,pata muda wa kutafakari maisha yako binafsi.
Btw, tunaishi mara moja tu.
 
ccm wakipelekwa qatari wanadai sheria ngumu.ila wakirudishwa kwao wanadai washika chama
 
Huyu mwamba Yuko wapi? Ikulu haendi tena. Ndege imeanguka mwamba Yuko kimya, sio kawaida yake.

Mama katoa kauli tata Arusha, mwamba katulia tu. Katiba inasusua mwamba katulia.
Hamna maandamano.

Hii sio kawaida ya mwamba kukaa underground muda mrefu kiasi hiki.
Kama anaumwa tupeni taarifa ndg zetu.
Jamaa kajibanza sehemu fulani anafakamia kibuyu cha asali. Tusimsumbue tafadhali.
 
Back
Top Bottom