rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,491
- 41,905
Hakuna jambo baya kama kumpiga Mwanamke na Wanaume wengine hujiwekea viapo kwamba hawezi kumpiga Mwanamke
Lakini hawa watu muda mwingine wanakera sana mpaka uvumilivu unatushinda Wanaume. Unavunja miiko na mara nyingi kinachofanya Mwanamke apigwe ni Mdomoo!
Wangu amenuna leo siku ya pilii baada ya kula vibao kadhaaa...
Je ulishawahi mpiga mpenzi wako au mke? Nini kilikuwa chanzo....
Lakini hawa watu muda mwingine wanakera sana mpaka uvumilivu unatushinda Wanaume. Unavunja miiko na mara nyingi kinachofanya Mwanamke apigwe ni Mdomoo!
Wangu amenuna leo siku ya pilii baada ya kula vibao kadhaaa...
Je ulishawahi mpiga mpenzi wako au mke? Nini kilikuwa chanzo....