Haya mkuu...
Nimeoa Mke wa kwanza 46 years back sijawahi walau kumtia Singi
Bi mdogo nimeoa 4th April , 1994 huyo ndio catalyst Za makofi ya Hapa na pale kuzibua mirija ya fahamu inatumika
Haya mkuu...
Ni kweli lakini kuna point unajua kabisa nikijibu majibu ya ovyoo nazingua...au Pia ukikaa kimya ni dharau..!Tusipojibu pia tunaonekana viburi, wakati mwingine mtuelewe tu jamani ndivyo tulivyo. Ishini nasi kwa akili sio kwa mabavu.
Wanawake wembamba na wafupi wanakuaga kma walemavu anahisi unamdharau so defensive mechanisim yao ni mdomo anaongea kma spreaker za wauza sumu ya panya mende kungunguni viroboto na jiwe la nyokaUmejuaje mkuu...Much know sanaa
Hapo sawa kamanda. Mi niliishi naye miaka 7 na sikuwahi kumzaba hata kakibao ka kusingiziwa. Mkiwekana sawa pale mwanzoni mwanzoni na akajua mipaka yake na yako wala hakuna tatizo kabisa. Heshima ndiyo kila kitu na ikitokea mmoja kakosea basi anaomba msamaha kwa dhati kabisa na mambo yanasonga.Nazngua mimi mwenyewe sijawahi piga pisi
Kwahiyo mkeo vitasa vinamuhusu sana!!!Sio ubabe ndio uhalisia
Hujiamini ndugu. Kufanya hivyo ndo unaamini atajirekebisha?Najiamini sema mnakera...!!
Nyie mkizingua mnafanywaje?Ni kweli lakini kuna point unajua kabisa nikijibu majibu ya ovyoo nazingua...au Pia ukikaa kimya ni dharau..!
Tatzo huwa haachi kuongea...akikose akiomba msamaha namsamehe jumla ilaa mi nikikosea nikimuomba msamaha anaanza kupanda juu...anaongea ujinga mara kejeli...sasa ni vitasaa tuu...!!Hujiamini ndugu. Kufanya hivyo ndo unaamini atajirekebisha?
Unaanzaje kumuumiza mtu unayedeclare kumpenda? Hivi wewe uko perfect humkeri kwa chochote?
Yeye yupo weak hawezi kukupiga, je akiamua kutumia njia nyingine kukudhuru utamlaumu?
Acha ushamba ndugu. Kama mwanamke ana tabia mbaya hata umpige vipi hutaweza kumbadilisha.
Mapenzi sio Vita mnakosea Sana sometimes.
Ndio maana Mimi nikisikia mwanamke kamchinja mumewe nafanya sherehe.
Tafiti za wananasaikolojia zinaonyesha hivyo japo kwa Afrika huku kuna tamaduni (zilizopitwa na wakati) zinazoshadadia ubabe huu. Wanasaikolojia wanasema wanaume wengi wanaopiga wenzi wao wana inferiority complex na ili kuproject power na authority inabidi watumie hiyo brutal force na intimidation lakini kwa ndani ni waoga mno. Na wengi wao wameshuhudia mama zao wakipigwa na baba zao wakati wa utoto. Wameathirika kisaikolojia...Anayempiga mke ni muoga hajiamini. Tena ana matatizo ya akili
Tatizo huwa tukikereka lazima tuongee sanaaa ndo hasira ziishe.Nimeamini mkuu...uvumilivu ulinishinda..! Najua atanuna lakini mdomo atapunguza
Busara zako ndo zimeishia Hapo? Sad!Tatzo huwa haachi kuongea...akikose akiomba msamaha namsamehe jumla ilaa mi nikikosea nikimuomba msamaha anaanza kupanda juu...anaongea ujinga mara kejeli...sasa ni vitasaa tuu...!!
Ni kweli... Nimempiga hii mara moja next time nitakuwa namuacha nasepa..! Ila akijidai haelewi acha tu vibao vimelewesheTatizo huwa tukikereka lazima tuongee sanaaa ndo hasira ziishe.
Na ukiwa ndani ya hasira lazima utatoa maneno mabaya..hvyo mtuelewee
Ni kweli. Wamepata malezi mabaya mno, utotoni wameshuhudia mama zao wakinyanyaswa..ni tatizo la akili.Tafiti za wananasaikolojia zinaonyesha hivyo japo kwa Afrika huku kuna tamaduni (zilizopitwa na wakati) zinazoshadadia ubabe huu. Wanasaikolojia wanasema wanaume wengi wanaopiga wenzi wao wana inferiority complex na ili kuproject power na authority inabidi watumie hiyo brutal force na intimidation lakini kwa ndani ni waoga mno. Na wengi wao wameshuhudia mama zao wakipigwa na baba zao wakati wa utoto. Wameathirika kisaikolojia...