Sio binadamu wote wanajitafakari, kufikiri ni kipaji

Sio binadamu wote wanajitafakari, kufikiri ni kipaji

Inategemea unaishi wapi kuna maeneo kila baada ya nyumba mbili kuna Sangoma ndio ujue huko uchawi kwao ni Jadi km hujawahi kufika sehemu km hio lazima uwe na mtazamo tofauti
 
Au unafika sehemu kila baada ya fremu 3 ya nne ni wanauza duka la dawa za asili ukivuka hapo baada ya fremu 2 unakuta tena kuna watu wanauza duka la dawa za asili, hapo akili yako lazima ijiongeze
 
dalili yao kuu ni mda wa kulala.

wao wakitua tu kitandani ni usingizi papo hapo.

ukiona hivyo jua huyo ni.
 
Inategemea unaishi wapi kuna maeneo kila baada ya nyumba mbili kuna Sangoma ndio ujue huko uchawi kwao ni Jadi km hujawahi kufika sehemu km hio lazima uwe na mtazamo tofauti
Braza point yangu haija base sana kwenye uchawi ila tu watu hawajanielewa ninachomaanisha matatizo mengi yanayowakabili watu ni ya kujitakia wenyewe hakuna mwengine aliyesababisha
 
dalili yao kuu ni mda wa kulala.

wao wakitua tu kitandani ni usingizi papo hapo.

ukiona hivyo jua huyo ni.
Ofcoz wanga wapo ila ninachozungumzia ni kuna matatizo ya kujitakia hayana mkono wa mtu
 
UChawi upo mkuu tembelea sumbawanga,mpanda alafu ukaseme hakuna uchawi,utajuta.
 
UChawi upo mkuu tembelea sumbawanga,mpanda alafu ukaseme hakuna uchawi,utajuta.
Nakubaliana na unalosema ila ninacho mannisha ni kwamba sio matatizo yote ni ya kusababishiwa na watu ila yapo ya kujisababishia halafu unaanza kutafuta mchawi wa maisha yako
 
Braza point yangu haija base sana kwenye uchawi ila tu watu hawajanielewa ninachomaanisha matatizo mengi yanayowakabili watu ni ya kujitakia wenyewe hakuna mwengine aliyesababisha
Hapa sasa nimekuelewa mkuu kwa hio nenda kafanye editing pale juu maana mada imehamia kwenye uchawi na sio matatizo ya kujitakia futa uchawi andika matatizo ya kujitakia
 
Hapa sasa nimekuelewa mkuu kwa hio nenda kafanye editing pale juu maana mada imehamia kwenye uchawi na sio matatizo ya kujitakia futa uchawi andika matatizo ya kujitakia
Haujawahi kusikia msemo usitafute mchawi wa Maisha yako mchawi ni wewe mwenyewe
 
Inategemea unaishi wapi kuna maeneo kila baada ya nyumba mbili kuna Sangoma ndio ujue huko uchawi kwao ni Jadi km hujawahi kufika sehemu km hio lazima uwe na mtazamo tofauti
Duuuh!!!

Huoni mleta mada anazungumzia watu kama wewe.
 
Back
Top Bottom