Mzalendo39 JF-Expert Member Joined Apr 17, 2015 Posts 881 Reaction score 1,035 Apr 17, 2017 #1 Siku za hivi karibuni kumekuwepo na mabishano kati ya sinza na Tabata ni wapi panabamba kwa starehe Kwa hapo awali wengi wanasema ilikuwa sinza lakini kwa sasa tabata imechukuwa nafasi Nimeleta jukwanii hapa ili kumaliza ubishi ulipo miongoni mwa jamii ya hapa dsm Karibuni tumalize ubishi.......
Siku za hivi karibuni kumekuwepo na mabishano kati ya sinza na Tabata ni wapi panabamba kwa starehe Kwa hapo awali wengi wanasema ilikuwa sinza lakini kwa sasa tabata imechukuwa nafasi Nimeleta jukwanii hapa ili kumaliza ubishi ulipo miongoni mwa jamii ya hapa dsm Karibuni tumalize ubishi.......
Zamaulid JF-Expert Member Joined May 25, 2009 Posts 19,955 Reaction score 16,006 Apr 17, 2017 #2 Sinza
Liwagu JF-Expert Member Joined Jan 25, 2017 Posts 5,790 Reaction score 6,995 Apr 17, 2017 #3 Ngoja wamalizie supu then watoe loki ndio watakuwa tayarikujibu,.
O onyx JF-Expert Member Joined Mar 17, 2016 Posts 1,587 Reaction score 1,317 Apr 17, 2017 #4 Tabata, Sinza kulijaa hela za mafisadi na ngada, saivi hazipo.
Sky Eclat JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 58,636 Reaction score 220,350 Apr 17, 2017 #5 Sinza ilikuwa Enzi za Ukanda wa Gaza bwana, saa 10 jioni ukipita unaona mlima wa kuku wa kuchoma, njoo saa nne usiku hakuna kitu.
Sinza ilikuwa Enzi za Ukanda wa Gaza bwana, saa 10 jioni ukipita unaona mlima wa kuku wa kuchoma, njoo saa nne usiku hakuna kitu.
Mzalendo39 JF-Expert Member Joined Apr 17, 2015 Posts 881 Reaction score 1,035 Apr 17, 2017 Thread starter #6 Sky Eclat said: Sinza ilikuwa Enzi za Ukanda wa Gaza bwana, saa 10 jioni ukipita unaona mlima wa kuku wa kuchoma, njoo saa nne usiku hakuna kitu. Click to expand... Kwel sasa hivi hakuna kitu
Sky Eclat said: Sinza ilikuwa Enzi za Ukanda wa Gaza bwana, saa 10 jioni ukipita unaona mlima wa kuku wa kuchoma, njoo saa nne usiku hakuna kitu. Click to expand... Kwel sasa hivi hakuna kitu
babukijana JF-Expert Member Joined Jul 21, 2009 Posts 15,941 Reaction score 20,231 Apr 17, 2017 #7 Sky Eclat said: Sinza ilikuwa Enzi za Ukanda wa Gaza bwana, saa 10 jioni ukipita unaona mlima wa kuku wa kuchoma, njoo saa nne usiku hakuna kitu. Click to expand... Siku asubui nilienda kula supu nikakuta jamaa kaninginiza mbuzi km 10 hivi nikashangaa sikuuliza, kwenda kulala masaa 4 mbele nikaenda same place nilikuta vimikia tu vya mbuzi. Nyama ishaliwa
Sky Eclat said: Sinza ilikuwa Enzi za Ukanda wa Gaza bwana, saa 10 jioni ukipita unaona mlima wa kuku wa kuchoma, njoo saa nne usiku hakuna kitu. Click to expand... Siku asubui nilienda kula supu nikakuta jamaa kaninginiza mbuzi km 10 hivi nikashangaa sikuuliza, kwenda kulala masaa 4 mbele nikaenda same place nilikuta vimikia tu vya mbuzi. Nyama ishaliwa
Mzalendo39 JF-Expert Member Joined Apr 17, 2015 Posts 881 Reaction score 1,035 Apr 17, 2017 Thread starter #8 Liwagu said: Ngoja wamalizie supu then watoe loki ndio watakuwa tayarikujibu,. Click to expand... Haa hah
Liwagu said: Ngoja wamalizie supu then watoe loki ndio watakuwa tayarikujibu,. Click to expand... Haa hah
Uhuru24 JF-Expert Member Joined May 2, 2015 Posts 4,472 Reaction score 5,033 Apr 17, 2017 #9 Buguruni
Fake P JF-Expert Member Joined Jan 3, 2017 Posts 4,991 Reaction score 14,788 Apr 17, 2017 #10 Sinza palikuwa zamani bhana ..yani ni vyuku tu
Chaliifrancisco JF-Expert Member Joined Jan 17, 2015 Posts 26,532 Reaction score 81,260 Apr 17, 2017 #11 Sinza pamepoa sana siku hizi huko tabata nasikia panajaa mpaka sisimizi wameaumua kuhamia dodoma
Prince Kunta JF-Expert Member Joined Mar 27, 2014 Posts 22,869 Reaction score 29,031 Apr 22, 2017 #12 Kwa sasa tabata hapashikiki...sinza yamebaki madanguro ya wadada poa
xav bero JF-Expert Member Joined Nov 24, 2016 Posts 5,133 Reaction score 7,352 Apr 22, 2017 #13 Siku hizi malaya wote wakali wanakuambia tukutane tabata
THE GAME JF-Expert Member Joined May 30, 2010 Posts 621 Reaction score 351 Apr 22, 2017 #14 Siku hizi tabata ndio habari ya mjini
billionea alpha JF-Expert Member Joined Apr 10, 2014 Posts 1,442 Reaction score 1,662 Apr 27, 2017 #15 Tabata noma
tuusan JF-Expert Member Joined Jun 30, 2016 Posts 17,973 Reaction score 20,222 Apr 27, 2017 #16 Hahaha huu uzi. ..nikwawala bata mahususi,me naona bado sinza pakijanja ...mkubwa mkubwa tu
SILENT WHISPER JF-Expert Member Joined Jun 26, 2009 Posts 2,209 Reaction score 824 Apr 27, 2017 #17 hizi maeneo kwa Tabata ni sheeeda 1. forty forty 2. micasa 3. the great 4. kwetu pazuri.... ukitaka ndoa ife shinda maeneo hayoo.....full bata.
hizi maeneo kwa Tabata ni sheeeda 1. forty forty 2. micasa 3. the great 4. kwetu pazuri.... ukitaka ndoa ife shinda maeneo hayoo.....full bata.
bepari la kichaga JF-Expert Member Joined Dec 21, 2014 Posts 528 Reaction score 516 Apr 29, 2017 #18 Tabata saiv ni shida cnza pamepoa sana