pia maeneo ya hongera Afrikasana na San Cirro Legho na maeneo ya shekilango nasikia nako ni balaa, kunatishamimi naishi Makaburini/sinza. mambo hayo yapo lakini sikiivyo, mambo iko COnner Bar, mambo iko uwanja wa Fisi sasa Uwanja wa sifa, mambo iko Manzese Tiptop kibaa hiki jirani na Ofisi za CCM Pale jirani na Postal office, pale hata demu wa miaka 10 unapata, hahaaa usishangae, bongo Dar es salaam.