Sintosahau nilivyoachwa park station

Sintosahau nilivyoachwa park station

Fwala kama sikuwa na akili zangu kichwani, na nilithubutu, wengine kutoka dar tu kwenda mbeya shughuri
Wewe ni mpambanaji na ndio maana umefanikiwa binafsi naona riziki Yako ilipangwa hivyo na umeifata hadi umefanikiwa njia yako kufika SA ilipangwa hivyo usihofu na kejeli za hovyo kutoka kwa mtu asiyejua A Wala B ya maisha
 
Vipi dada yako uliweza kuonana naye tena kwa sasa bado anaishi south na jamaa yake au yeye alirudi bongo ??.
 
TWENDE
Basi bwana safari ilichukua kama lisaa au 45 mnts na nakumbuka nauli nililipa rand100, basi nilifika salama nikakuta mshkaji yupo rank ananisubiria, ki ufupi nilikaa mwezi mmoja pale nilifanya shughuri zangu kama nilipokuwa bongo za ufundi, ki kweli nilipata nauli ya kurudi bongo, na nilirudi na simu na laptop. Story ndio kwanza inaanza maana nilirudi tena South mwaka 2014 apo sasa ki biashara zangu, nilikaa mwezi nilikusanya simu na laptop nikarudi bongo, tena nilirudi 2017 South Africa ambapo mpaka sasa naishi na familia yangu nillichukua kutoka bongo, watoto wanasoma maisha yanaenda. Nashukuru mungu,
Ndio mwisho ama?!
 
Chimbo Jipya
 
Etaa singsang
unjani, uhlalaphi njengamanje eDzonga, ubhuti wami omncane, sike sahlala eJoz, Pretoria, eCape Town, kodwa Joz, ngichithe isikhathi esiningi eFaraday to Rossetenville.
Imvamisa abantu basala amafoni abo acinywe nya ngyabonga unkulunkulu ngokukupha ubuhlakani bempilo yenza zonke izinto kodwa ungenzi lutho uzophelela eSun City konke okuhle.
 
TWENDE
Basi bwana safari ilichukua kama lisaa au 45 mnts na nakumbuka nauli nililipa rand100, basi nilifika salama nikakuta mshkaji yupo rank ananisubiria, ki ufupi nilikaa mwezi mmoja pale nilifanya shughuri zangu kama nilipokuwa bongo za ufundi, ki kweli nilipata nauli ya kurudi bongo, na nilirudi na simu na laptop. Story ndio kwanza inaanza maana nilirudi tena South mwaka 2014 apo sasa ki biashara zangu, nilikaa mwezi nilikusanya simu na laptop nikarudi bongo, tena nilirudi 2017 South Africa ambapo mpaka sasa naishi na familia yangu nillichukua kutoka bongo, watoto wanasoma maisha yanaenda. Nashukuru mungu,
Vipi Dada yako?
 
Back
Top Bottom