Sintosahau nilivyoachwa park station

Sintosahau nilivyoachwa park station

TWENDE
Basi bwana safari ilichukua kama lisaa au 45 mnts na nakumbuka nauli nililipa rand100, basi nilifika salama nikakuta mshkaji yupo rank ananisubiria, ki ufupi nilikaa mwezi mmoja pale nilifanya shughuri zangu kama nilipokuwa bongo za ufundi, ki kweli nilipata nauli ya kurudi bongo, na nilirudi na simu na laptop. Story ndio kwanza inaanza maana nilirudi tena South mwaka 2014 apo sasa ki biashara zangu, nilikaa mwezi nilikusanya simu na laptop nikarudi bongo, tena nilirudi 2017 South Africa ambapo mpaka sasa naishi na familia yangu nillichukua kutoka bongo, watoto wanasoma maisha yanaenda. Nashukuru mungu,
 
Safi na funzo zuri vipi dada unawasiliana nae na yeye maisha yanaendeleaje!?
 
Nadhani nimewajibu wale waliotaka nikomae, na kuhusu kumfata dada kwamba anakwenda kwa bwanaake, kwenye kutafuta lazima mda mwingine uwe Fala ili yako yaende,, sema dada nae alikuja kumzingua jamaa vibaya, eti likaanza kunipigia simu eti nilisaidie kuongea na dada, nilimjibu we nani mbona sikufaham mzee
 
Dada alirudi bongo mwaka 2014 alimzingua jamaa, mimi kwa sasa naishi South toka 2017 na familia yangu mke na watoto niliwachukua 2019
Ok pole kwake nimeishi SA cape town kwa mda flani ni nchi nzuri ukimudu maisha yake hasa kwa watoto maana watapata elimu Bora
 
Yaan akili huna kabsa Kwanza sjui ww umetokea sehem gan ya nchi hii? Yaan dadako anaitwa kwenda kupigwa kobiro na ww unamsindikiza ? Yaan akili huna kabsa!! Mm pia naungana na huyo jamaa WA SA
Bora mimi nilikwenda kutafuta, vipi wewe unaeishi kwa shemeji yako?
 
Dadaako anaitwa na bwanaake waende kuchakatana, na wewe unaenda nae? Samahani masta, wewe ni "fwala".

Haya tuendelee na story!
Fwala kama sikuwa na akili zangu kichwani, na nilithubutu, wengine kutoka dar tu kwenda mbeya shughuri
 
Kwahiyo mkuu unataka aandike non stop bila kupumzika?😅😅😅
Anaandika maneno mengi ambayo angeweza kufupisha. Kwa mfano utakuta mtu anataka kuelezea yaliyomkuta South lakini ataanza kusema wakati tunavuka mpaka pale Tunduma tulipita immigration kupiga muhuri halafu kwenye basi nikapata siti ya dirishani... yaani mambo mengi yasiyo na umuhimu.
 
Hongera my son, ulipambana,

ukitaka yaya nishtue mwanangu 😎
 
Anaandika maneno mengi ambayo angeweza kufupisha. Kwa mfano utakuta mtu anataka kuelezea yaliyomkuta South lakini ataanza kusema wakati tunavuka mpaka pale Tunduma tulipita immigration kupiga muhuri halafu kwenye basi nikapata siti ya dirishani... yaani mambo mengi yasiyo na umuhimu.
Huo ni mfano, lakin kwenye hii story ya jamaa sijaona alipoandika hivyo mkuu. Lakini pia concern yako ipo kwenye neno itaendelea, so kama story yake ingekuwa ndefu, hatakiwi kupumzika?
 
Back
Top Bottom