Sintoisahau Mbeya na wasafwa

Sintoisahau Mbeya na wasafwa

Mbeya—- Matrimonial Societies hasa wale wa Mbalizi!

Kuna jamaa mmoja yeye kila pesa ikiingia mwisho wa mwezi anaenda pale Mwanjelwa Crdb anatoa burunguti lote then anapiga simu—“mama wametuwekea hela, nakuja Mbalizi “

Huyo anapanda daladala hahahahaa
 
Alikuwa hamnganganii yeye; alikuwa anangangania hela ya mradi ; sema Jamaa ndo alikuwa nayo!
Hela ya mradi ni siri!!..... ilikuwaje akamuonyesha hela ilipo wkt si yake??? kiherehere....alistahili hayo tena ana bahati huku kwetu zinaibwa zooote na kaka jambazi lkn bado demu ana baki kukulia target zaidi!

Me Kamili haondoki ghafla bin vuu.... labda hawa mtoto wa Mama! wewe ulitaka kufanya show off!! kwanza hata huyo hakupendi kiivo! unasikia ila ulimstua ghafla!
 
Back
Top Bottom