Sintofahamu baina ya JK na Kagame; Tanzania tuwe makini na suluhu tuitakayo!

MTK

JF-Expert Member
Apr 19, 2012
8,927
6,850
Tumeusikia mkakati wa serikali ya Tanzania wa kumaliza sintofahamu zilizojitokeza baina ya Rais wetu JK; na Paul Kagame; Rais wa Rwanda kupitia kwa Waziri Mkuu Peter Pinda jana bungeni alipokuwa akimjibu kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni Mh. Freeman Mbowe kuhusu mgogoro unaozizima baina ya nchi zetu hizi mbili jirani.

Kutafuta suluhu katika migogoro ni jambo jema sana na linakwenda sawia na ushauri alioutoa JK kwa nchi ya Rwanda kuhusu mgogoro wao wa muda mrefu baina yake na mahasimu wake FDLR; kwa bahati mbaya ushauri huo wa JK alioutoa kwa nia njema; ulipokelewa vibaya na General Kagame na wenzake ndio kisa cha kutufikisha hapa tulipo katika mahusiano na majirani zetu hawa; wanachama wenza katika jumuia ya Afrika mashariki; inasikitisha sana!!

Angalizo langu ni kwa viongozi wetu watakaoshiriki katika kutafuta suluhu hiyo! hapa napenda kuwataja moja kwa moja JK mwenyewe kama mkuu wa nchi, Mh. Benard Membe kama waziri wa mambo ya nchi za nje na Waziri Samuel Sitta kama waziri wa jumuia ya afrika Mashariki na viongozi wetu waandamizi wengine wawe makini sana kjatika majadiliano yao!! I have a hunch there is more to it than meets the eye!!

Paul Kagame might have been unleashed by the trio "to act like a spoilt brat" so that if we may ultimately cow in; then they win their ultimate trophy! ambayo ni mambo wanayoyatamani sana kuyapata katika ushirikiano huu wa afrika ya mashariki!

Ambayo ni:
1. LAND 2. FREE LABOR MOVEMENT na 3. FAST TRACKING THE EA FEDERATION

Mfuatiliaji wa maswala haya haitaji kuwa na shahada ya Uzamivu kuwaelewa ni kwa nini wako focused sana huko!!

Mpaka hapa tulipoTanzania tunalaumiwa sana kwa "kujivutavuta" sana katika kuridhia itifaki mbali mbali zinazohusu mambo hayo wanayoyatamani kwa udi na uvumba! na hilo pia halihitaji mtu kuwa Doctorate degree kuelewa kwanini tunajivuta vuta; wenzetu hawapfurahii hali hiyo lakini sisi kama nchi tunazo sababu zetu za ndani za kufanya hivyo na ni haki yetu, Tanzania kama taifa wajibu wake wa kwanza ni kwa wananchi wake; na si vinginevyo na mambo mengine yote hufuata.

Kinachonisukuma kushauri kwamba tuwe makini katika kuitafuta suluhu tuipendayo ni kwa sababu nahisi hawa kina PK, M7 na Uhuru wanaweza kuwa na mkakati wa siri wa kutufanya tuwaangukie na kwa hivyo kulegeza na au kutupilia mbali msimamo wetu kuhusu mambo hayo matatu makuu wanayoyaota usiku na mchana niliyoyaainisha hapo juu!!

Vikao vyaoi vya Enttebe Uganda na Mombasa Kenya juzi vinawezekana kabisa vikawa vimekuwa stage managed towards that same end!
We surely do not want to be conned into submission to drop our principles so dear to us by actions designed to do just that!

Kuna msemo kwamba; when the need is too high; logic suffers!; tusije tukaitafuta suluhu na Kagame kwa udi na uvumba hadi kutufanya tukasahau shida zetu; maadili yetu, sera zetu na misimamo yetu ya msingi!

Tukifika huko nachelea kusema tutakuwa tumeweka precedence mbaya ambayo italidhalilisha taifa hili isivyo na mfano na kuleta athari kubwa kwa taifa na watu wake kwa miaka na vizazi vingi vijavyo!

Just thinking aloud! I cry for mother Tanzania.
 
kwakweli hiyo timu uliyoitaja sidhani kama italeta suluhu. Yaani JK, Sitta, na Membe. Tunahitaji watu wenye hekima zaidi ya hapo, yaani watu ambao they can tackle and destroy this obstruction. Kama ingewezekana basi watu hawa ndo wangekutana na timu ya Kagame, ambao ni Ben Mkapa na Salim Ahmed Salim. Uhusiano mwema ni muhumu kwa Tanzania na Rwanda pia. Tukumbuke tuna maadui wengi, God forbid, lakini Tz ikianza vita na Rwanda basi jua Malawi nao watakuja chukua ziwa Nyasa kipindi hicho hicho. Ushauri wa Kikwete kwa Kagame hauna tija kwa Tanzania. Alitakiwa achunge kinywa chake na aangalie yaliko nyumbani kwake. Alichokisema marais wote wanakijua lakini hawakusema. Ushauri mpe mwenye hekima hivyo alitakiwa ajue anamshauri nani?
 
Tumeusikia mkakati wa serikali ya Tanzania wa kumaliza sintofahamu zilizojitokeza baina ya Rais wetu JK; na Paul Kagame; Rais wa Rwanda kupitia kwa Waziri Mkuu Peter Pinda jana bungeni alipokuwa akimjibu kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni Mh. Freeman Mbowe kuhusu mgogoro unaozizima baina ya nchi zetu hizi mbili jirani.

Kutafuta suluhu katika migogoro ni jambo jema sana na linakwenda sawia na ushauri alioutoa JK kwa nchi ya Rwanda kuhusu mgogoro wao wa muda mrefu baina yake na mahasimu wake FDLR; kwa bahati mbaya ushauri huo wa JK alioutoa kwa nia njema; ulipokelewa vibaya na General Kagame na wenzake ndio kisa cha kutufikisha hapa tulipo katika mahusiano na majirani zetu hawa; wanachama wenza katika jumuia ya Afrika mashariki; inasikitisha sana!!

Angalizo langu ni kwa viongozi wetu watakaoshiriki katika kutafuta suluhu hiyo! hapa napenda kuwataja moja kwa moja JK mwenyewe kama mkuu wa nchi, Mh. Benard Membe kama waziri wa mambo ya nchi za nje na Waziri Samuel Sitta kama waziri wa jumuia ya afrika Mashariki na viongozi wetu waandamizi wengine wawe makini sana kjatika majadiliano yao!! I have a hunch there is more to it than meets the eye!!

Paul Kagame might have been unleashed by the trio "to act like a spoilt brat" so that if we may ultimately cow in; then they win their ultimate trophy! ambayo ni mambo wanayoyatamani sana kuyapata katika ushirikiano huu wa afrika ya mashariki!

Ambayo ni:

1. LAND 2. FREE LABOR MOVEMENT na 3. FAST TRACKING THE EA FEDERATION

Mfuatiliaji wa maswala haya haitaji kuwa na shahada ya Uzamivu kuwaelewa ni kwa nini wako focused sana huko!!

Mpaka hapa tulipoTanzania tunalaumiwa sana kwa "kujivutavuta" sana katika kuridhia itifaki mbali mbali zinazohusu mambo hayo wanayoyatamani kwa udi na uvumba! na hilo pia halihitaji mtu kuwa Doctorate degree kuelewa kwanini tunajivuta vuta; wenzetu hawapfurahii hali hiyo lakini sisi kama nchi tunazo sababu zetu za ndani za kufanya hivyo na ni haki yetu, Tanzania kama taifa wajibu wake wa kwanza ni kwa wananchi wake; na si vinginevyo na mambo mengine yote hufuata.

Kinachonisukuma kushauri kwamba tuwe makini katika kuitafuta suluhu tuipendayo ni kwa sababu nahisi hawa kina PK, M7 na Uhuru wanaweza kuwa na mkakati wa siri wa kutufanya tuwaangukie na kwa hivyo kulegeza na au kutupilia mbali msimamo wetu kuhusu mambo hayo matatu makuu wanayoyaota usiku na mchana niliyoyaainisha hapo juu!!

Vikao vyaoi vya Enttebe Uganda na Mombasa Kenya juzi vinawezekana kabisa vikawa vimekuwa stage managed towards that same end!
We surely do not want to be conned into submission to drop our principles so dear to us by actions designed to do just that!

Kuna msemo kwamba; when the need is too high; logic suffers!; tusije tukaitafuta suluhu na Kagame kwa udi na uvumba hadi kutufanya tukasahau shida zetu; maadili yetu, sera zetu na misimamo yetu ya msingi!

Tukifika huko nachelea kusema tutakuwa tumeweka precedence mbaya ambayo italidhalilisha taifa hili isivyo na mfano na kuleta athari kubwa kwa taifa na watu wake kwa miaka na vizazi vingi vijavyo!

Just thinking aloud! I cry for mother Tanzania.

Wanataka sana ku'release', 'pressure' zao ambazo hawataki kuzikabili ndani ya mipaka yao, kwenye nchi yetu na wakipata hayo wanayoyataka kwa udi na uvumba, in red basi:
1) Nchi yetu itakamilika kuwa jangwa maana ng'ombe wote wataswagwa huku.
2) 'Population' ya nchi itafumuka vibaya maana raia wote ambao wamekuwa marginalized na nchi zao watakimbilia huku ambayo itasababisha
3) Mbanano mkubwa wa makazi na mashamba utakaoondoa kabisa ardhi tengefu na hafadhi zetu na kuongeza maradufu migogoro ya wakulima na wafugaji.
4) Soko la ajira nchini litavamiwa kwa fujo na wenzetu wenye mbinu nyingi za 'umafia!'
5) Sarafu ya jumuia ambayo lazima itakuwa controlled na wakenya, 'directly or remotely', nayo ndio itatumiwa kutumaliza kabisa kiuchumi kwakuwa, japo tuna wasomi wa fani hiyo, lakini 'umafia' wa fedha hawauwezi!
6) Na, kwa sababu ya upole wetu, wenzetu watatumia muungano wa kisiasa kutubana zaidi.
KWA KIFUPI TUTAKUWA TUMEUZA UHURU WETU KWA BEI NAFUU SANA! TUTAKUWA TUMEUZA NCHI KWA BEI NAFUU KULIKO ZAWADI YA SHANGA WALIZOPEWA MACHIFU WETU HAPO ZAMANI MAANA, NINAVYOONA MIMI, SULUHU HII WALITAKIWA KUIOMBA VIONGOZI WA SERIKALI YA RWANDA NA 'PATRONS' WAO!
KWA HIYO SERIKALI YA CCM INA KADI ZA MWISHO MWISHO KUCHEZA HAPA NA WAKISHIMDWA MTIHANI HUU RAHISI WASITEGEMEE HURUMA YA RAIA WA NCHI HII MAANA ITABIDI TUCHUKUE NCHI YETU 2015! (EVEN THOSE WHO ALWAYS WANT TO 'LEAVE WELL ENOUGH ALONE' CAN'T STAND THOSE ERRORS!)


 
Gagame yuko sahihi kabisa 100% huyu ndio rais mwenye msimamo wengine wanaiga tu..jiulize hapo kaambiwa maneno tu imekuwa hivyo what if mkitaka kumpiga? Unadhani atafanyaje? Halafu mbona tanganyika ina mambo mengi sana yanayoitaji ushauri kwa nini hadi uutoe nje kwa wasioutaka,? Fikiria chukua hatua
 
Huwa nashindwa kuelewa kwanini tujikombe kwa Kagame na east africa wakati tunasadiki kwanza East Africa inataka ardhi tu kwatu.
 
kwakweli hiyo timu uliyoitaja sidhani kama italeta suluhu. Yaani JK, Sitta, na Membe. Tunahitaji watu wenye hekima zaidi ya hapo, yaani watu ambao they can tackle and destroy this obstruction. Kama ingewezekana basi watu hawa ndo wangekutana na timu ya Kagame, ambao ni Ben Mkapa na Salim Ahmed Salim. Uhusiano mwema ni muhumu kwa Tanzania na Rwanda pia. Tukumbuke tuna maadui wengi, God forbid, lakini Tz ikianza vita na Rwanda basi jua Malawi nao watakuja chukua ziwa Nyasa kipindi hicho hicho. Ushauri wa Kikwete kwa Kagame hauna tija kwa Tanzania. Alitakiwa achunge kinywa chake na aangalie yaliko nyumbani kwake. Alichokisema marais wote wanakijua lakini hawakusema. Ushauri mpe mwenye hekima hivyo alitakiwa ajue anamshauri nani?


Kwa jopo la upatanisho naungana na wewe mzee salim pamoja na mzee mkapa wangesimamia hii suluhu,,,
kwa upande wa nguvu za kijeshi umesema Rwanda akianza malawi nae anaweza kuja nyuma yetu,,hilo ondoa shaka mkuu kwa huku malawi Mbeya inawatosha,,
na huko juu ni Mwanza tu! Bila kuchukua wajeshi sehemu yoyote na vita tunashinda kwa 100%.
 
Una hoja nzuri. Jambo la msingi ni kuwa, wakati wanafikiri suluhu huku shughuli zinaendelea. Ni busara sana kupigana huku wengine wanajenga" sina maana ya kupigana mangumi na vita, la hasha. Suluhu isipuuzwe kabisa
 
Ndugu yangu wewe! Megaka alitaka tu pa kuanzia! ushauri ni jambo la kawaida. Labda tu mkuu alichokosea ni kule kukiuka kanuni za u_kansela kuwa "a client should he/herself seek advice although there are some situations that forces advising people.
 
Haya yote yanakuja kwani inaonesha kuna mahali tumejikwaa, kutojipanga vizuri kiuchumi sasa tunadharaulika. Sisi ndo nchi kubwa katika Afrika Mashariki. Kwanini tunyanyasike hivi?
 
Mm sidhani kama tumenyanyaswa mm nafikiri huyu kagame ni binadam na anaweza akaongea chochote kwani mmesahau betina na mwili ule hua anamchimba bit zena wakati zena ndo strong zaidi kagame anatoka mlandiz anaenda dar na baiskeli rais jk ana gari tena subarru sasa nani atawahi kufika dar mbona ni mdogo sana yule.
 
Tumeusikia mkakati wa serikali ya Tanzania wa kumaliza sintofahamu zilizojitokeza baina ya Rais wetu JK; na Paul Kagame; Rais wa Rwanda kupitia kwa Waziri Mkuu Peter Pinda jana bungeni alipokuwa akimjibu kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni Mh. Freeman Mbowe kuhusu mgogoro unaozizima baina ya nchi zetu hizi mbili jirani. Kutafuta suluhu katika migogoro ni jambo jema sana na linakwenda sawia na ushauri alioutoa JK kwa nchi ya Rwanda kuhusu mgogoro wao wa muda mrefu baina yake na mahasimu wake FDLR; kwa bahati mbaya ushauri huo wa JK alioutoa kwa nia njema; ulipokelewa vibaya na General Kagame na wenzake ndio kisa cha kutufikisha hapa tulipo katika mahusiano na majirani zetu hawa; wanachama wenza katika jumuia ya Afrika mashariki; inasikitisha sana!! Angalizo langu ni kwa viongozi wetu watakaoshiriki katika kutafuta suluhu hiyo! hapa napenda kuwataja moja kwa moja JK mwenyewe kama mkuu wa nchi, Mh. Benard Membe kama waziri wa mambo ya nchi za nje na Waziri Samuel Sitta kama waziri wa jumuia ya afrika Mashariki na viongozi wetu waandamizi wengine wawe makini sana kjatika majadiliano yao!! I have a hunch there is more to it than meets the eye!! Paul Kagame might have been unleashed by the trio "to act like a spoilt brat" so that if we may ultimately cow in; then they win their ultimate trophy! ambayo ni mambo wanayoyatamani sana kuyapata katika ushirikiano huu wa afrika ya mashariki! Ambayo ni: 1. LAND 2. FREE LABOR MOVEMENT na 3. FAST TRACKING THE EA FEDERATION Mfuatiliaji wa maswala haya haitaji kuwa na shahada ya Uzamivu kuwaelewa ni kwa nini wako focused sana huko!! Mpaka hapa tulipoTanzania tunalaumiwa sana kwa "kujivutavuta" sana katika kuridhia itifaki mbali mbali zinazohusu mambo hayo wanayoyatamani kwa udi na uvumba! na hilo pia halihitaji mtu kuwa Doctorate degree kuelewa kwanini tunajivuta vuta; wenzetu hawapfurahii hali hiyo lakini sisi kama nchi tunazo sababu zetu za ndani za kufanya hivyo na ni haki yetu, Tanzania kama taifa wajibu wake wa kwanza ni kwa wananchi wake; na si vinginevyo na mambo mengine yote hufuata. Kinachonisukuma kushauri kwamba tuwe makini katika kuitafuta suluhu tuipendayo ni kwa sababu nahisi hawa kina PK, M7 na Uhuru wanaweza kuwa na mkakati wa siri wa kutufanya tuwaangukie na kwa hivyo kulegeza na au kutupilia mbali msimamo wetu kuhusu mambo hayo matatu makuu wanayoyaota usiku na mchana niliyoyaainisha hapo juu!! Vikao vyaoi vya Enttebe Uganda na Mombasa Kenya juzi vinawezekana kabisa vikawa vimekuwa stage managed towards that same end! We surely do not want to be conned into submission to drop our principles so dear to us by actions designed to do just that! Kuna msemo kwamba; when the need is too high; logic suffers!; tusije tukaitafuta suluhu na Kagame kwa udi na uvumba hadi kutufanya tukasahau shida zetu; maadili yetu, sera zetu na misimamo yetu ya msingi! Tukifika huko nachelea kusema tutakuwa tumeweka precedence mbaya ambayo italidhalilisha taifa hili isivyo na mfano na kuleta athari kubwa kwa taifa na watu wake kwa miaka na vizazi vingi vijavyo! Just thinking aloud! I cry for mother Tanzania.
Mkuu, ulichosema ni kweli saaana! Huyu kagame ana hasira na amesha changanyikiwa! Na zaidi sana kilicho mchanganya; "Tanzania haitaki kuibiwa! Hapo hapo inaziba kule ambako kagame anaiba ili aishi!" hivyo basi atatafuta upenyo wowote atoke! ana hasira ana hasira!!!
 
Shirikisho libaki kuwa la biashara baaaasi, political federation haina faida yoyote na ardhi " federation is a big no"
 
Haya yote yanakuja kwani inaonesha kuna mahali tumejikwaa, kutojipanga vizuri kiuchumi sasa tunadharaulika. Sisi ndo nchi kubwa katika Afrika Mashariki. Kwanini tunyanyasike hivi?
Hata mimi nashangaa nchi hii ingekuwa makini tusingehitaji chochote kutoka EAC isipokuwa labda soko tu.
 
Back
Top Bottom