Single mpya ya CHADEMA hii hapa

Single mpya ya CHADEMA hii hapa

Salamu zangu natoa kwa wana Magwanda, ambao hutoa kauli kanjanja
Ni watu sio makini zaidi ya ukanda , ambao dini kwao iko kwenye kiganja,
Magwanda ni mafukara wa kwanza, kwa hoja zao zisizo makini
Magwanda si chama cha siasa, bali ni wanaharakati kanjanja

Nayasema haya kwa umakini na weledi, watanzania ni mashahidi
Magwanda hawajali amani ya nchi, bali matumbo yao na umaarufu
Ni watu wahuni na si makini, wenye kujitafutia wao umaarufu
Magwanda si chama cha siasa, bali ni wanaharakati kanjanja

Hili somo tunawapa kama funzo, ili wao nao wajifunze
Amani ya nchi hii tuitunze, utulivu nao tuutunze,
Acheni ubaguzi wa kidini , na muwe wanaharakati makini
Magwanda si chama cha siasa, bali ni wanaharakati kanjanja

Ukisoma haya ndiyo utaona hali halisi ya mtanzania na hasa kichwani kwake. Huyo anayetuandikia hivyo jana usiku hakula kwa maana kwamba hakuwa hata na hela ya kula kalala na njaa. Wazazi wake huko kijijini pia hawajala hata hela ya kununulia mafuta ya taa (ya kibatali) hawana. Amelala kwa kamshumaa ambako kameshaisha hata leo hana cha kuwasha maana nchi iko gizani. Hakuweza hata kuangalia ka-tamthilia kupitia luninga kwa jirani maana nchi iko gizani. Leo asubuhi amefika kijiweni kwake hawezi kufanya kazi bila umeme matokeo yake amekaa ameduwaa na hajui mchana huu atakula nini. Mkombozi wake mafuta ya taa angalao ya kuwashia jiko la mchina sasa hayatanunulika kwa sababu yameongezwa bei kama mafuta ya gari ili kuwakomoa mafisadi wachakachuaji wa dizeli na petrol. Hapo alipo anawaza bei ya maharage, sukari, dagaa, sembe, nakadhalika nakadhalika bila kusahabu kodi ya mwenye chumba, madeni mpaka utosini, ka ada ka kijana na kale kahela ka kamtihani, nakadhalika nakadhalika. Na kamshahara kenyewe anakachukua leo kaishaisha hata kabla ya kufika nyumbani. Yote yaho na mengine anaona badala ya kujitundika aandike hiyo ngonjera hapo juu aimbe na kucheza ili kujisahaulisha na mawazo. Watanzania tumefikishwa mahali patamu kweli kila mtu abebe sehemu yake.
 
Kweli watu wa magamba ni waajabu sana. katulia na kupoteza muda wake kuandika huu upupu kisa Nape aone mchango amuingize katika paylist. Mmezoea kuishi kwa dhuluma nyie ndio maana mnamuogopa Dr Slaa kama ukoma, akitoa tamko tu bosi wenu JK anatekeleza haraka. Mnakosa usingizi kabisa, jamaa amewakaba kila upande... Bungeni hampumui, mitaani maandamano, usiku giza mnalala saa mbili, kudadeki mwaka wenu huu wana Magamba mtakiona cha moto.

Single imepigwa , Magwanda yote yanacheza haya tuendeleee kucheza mzee...................
 
Ukisoma haya ndiyo utaona hali halisi ya mtanzania na hasa kichwani kwake. Huyo anayetuandikia hivyo jana usiku hakula kwa maana kwamba hakuwa hata na hela ya kula kalala na njaa. Wazazi wake huko kijijini pia hawajala hata hela ya kununulia mafuta ya taa (ya kibatali) hawana. Amelala kwa kamshumaa ambako kameshaisha hata leo hana cha kuwasha maana nchi iko gizani. Hakuweza hata kuangalia ka-tamthilia kupitia luninga kwa jirani maana nchi iko gizani. Leo asubuhi amefika kijiweni kwake hawezi kufanya kazi bila umeme matokeo yake amekaa ameduwaa na hajui mchana huu atakula nini. Mkombozi wake mafuta ya taa angalao ya kuwashia jiko la mchina sasa hayatanunulika kwa sababu yameongezwa bei kama mafuta ya gari ili kuwakomoa mafisadi wachakachuaji wa dizeli na petrol. Hapo alipo anawaza bei ya maharage, sukari, dagaa, sembe, nakadhalika nakadhalika bila kusahabu kodi ya mwenye chumba, madeni mpaka utosini, ka ada ka kijana na kale kahela ka kamtihani, nakadhalika nakadhalika. Na kamshahara kenyewe anakachukua leo kaishaisha hata kabla ya kufika nyumbani. Yote yaho na mengine anaona badala ya kujitundika aandike hiyo ngonjera hapo juu aimbe na kucheza ili kujisahaulisha na mawazo. Watanzania tumefikishwa mahali patamu kweli kila mtu abebe sehemu yake.

Tunashukuru kwa kutujulisha hayo kwa upande wako, mie sasa kwangu ni kinyume cha hayo. Njoo na ww nikuajiri uache kupata hayo mateso. Fanya kazi acheni kupenda vitu vya bure bure kama sera ya Magwanda
 
ukitaka kujua thamani ya magwanda na kijani we vaa kijani na suruali nyeusi na mwingine avae magwanda wote mtembee mtaani uatona jinsi utakavyo zomewa na raia kukushangaa kweli kweli mpaka utatamani kuvua

Magwanda na hili joto la Dar es salaam si ndio mnaungua ndani kwa ndani, mbona mnajitesa wenyewe !
 
Singo yako imekaa kikuda kama sharo anayepakatwa

Duh, kweli ww ni balaa, kumbe unapakatwa , ndio mchezo wako kumbe ? haya njoo basi tukupe shughuli sie marijali
 
Aaah 0 Brain punguani wa uswahilini,mtoto wa muuza vitumbua kutwa kucha unashinda kwenye Gahawa,
UBONGO WAKO UNAFIRIA KWA %0.5 yaani ni sawa na kichwa cha kuku muda wote ni kuwaza pumba tu,aliye kupa hiyo kazi nadhani nae atakuwa na %0.9 mnazidiana kidogo tu,WAPE SAALAAM KIJIWENI.

Inauma eeee, imeingia vizuri eeeee, pole pole vumiliaaaaaaa mtoto
 
rangi yake si nyekundu, kwani yafanana na nyasi,
wengi hupenda kuyavaa, yakiwa na kofia zake,
magwanda hayana mvuto, watu wameyakosesha
 
"Mungu katika Jina la Yesu akusamehe Maovu yako yote, na Kukuponya Magonjwa yako yote
(Zaburi 103:3)"


Salamu zangu natoa kwa wana Magwanda, ambao hutoa kauli kanjanja
Ni watu sio makini zaidi ya ukanda , ambao dini kwao iko kwenye kiganja,
Magwanda ni mafukara wa kwanza, kwa hoja zao zisizo makini
Magwanda si chama cha siasa, bali ni wanaharakati kanjanja

Nayasema haya kwa umakini na weledi, watanzania ni mashahidi
Magwanda hawajali amani ya nchi, bali matumbo yao na umaarufu
Ni watu wahuni na si makini, wenye kujitafutia wao umaarufu
Magwanda si chama cha siasa, bali ni wanaharakati kanjanja

Hili somo tunawapa kama funzo, ili wao nao wajifunze
Amani ya nchi hii tuitunze, utulivu nao tuutunze,
Acheni ubaguzi wa kidini , na muwe wanaharakati makini
Magwanda si chama cha siasa, bali ni wanaharakati kanjanja
 
salaam ziwarudie watuwa magamba, magamba makubwa kuliko ya mamba, mloshindwa kuvuana magamba, sasa mwawachokoza magwanda, magamba nyie magamba, lazima tuwanyofoemagamba. wanaupeo wa kufikiri magwanda kuliko nyiemagamba, hoja zao zatugusa wananchi masikini, magwanda watetez wetu,tunyonywao na nyie magamba. na kwa uzalendo walionao, twaawapongeza sana magwanda magamba nyie magamba, lazima tuwanyofoemagamba
 
Back
Top Bottom