Single mother tumeanza kushindwana na kutishiana maisha kisa mwanaye

Mimi baada ya kusoma huu muandiko tuu nikamvizia nikamla mara ya mwisho nkatokomea😎
Screenshot_20240108_111357_WhatsApp.jpg
 
Samahani before ni coment chochote huwa naangalia jina la aliepost.hii inanipa maana kubwa sana ya kilicho akilini kwake. Back to your topic

Bro ulitakiwa usimame kama baba kwa huyo mtoto. Anza kuwa rafiki nae ili aelewe vitu baadhi hapa baba kachukia hapa baba amekasirika.

Sometimes single mothers sio shida shida ni manna ya kuenda nao.

Umeshawin moyo wa mama yake basi win na moyo wa mwanae. Ifike hatua mtoto aje akuambie kitu kwa furaha hata kama sio wa kwako.

Unalalamika anaangalia Tv lakini ukute mtoto hana hata toys za kuchezea,Bro nunua vifaavya mtoto kuchezea sio vile vile kila siku.

Mtoe kwenye kuangalia tamthilia instead weka katuni angalianae.

KUTAKA KUISHI VIZURI NA MWANAMKE AMBAE HATA MTOTO WAKO MPENDE MWANAE MAANA YEYE UMESHAMPENDA NA HANA SHAKA NA WEWE TENA.
 
Hii kopi hakikisha umemtumia.

Ikiwa utamwoa huyo mamamtoto kwa sharti la kumpeleka mtoto kwa bibi yake utashangaza sana, mbona hizo tabia si za mtoto ni za mama mtu, Mtoto anajifunza kwenye mazingira yake.
Unajua social learning theory?

Huyo mamamtoto hamwendani,na ndiyo maana umeonaa kero zake kwa kupitia mtoto.
Na kama atakusikiliza atakuja kukushukuru
 
Nlipoanza mahusiano naye sikujali kama ana mtoto nikasema nitampenda hivyo hivyo ila tu anielewe na misimamo yangu. Maana mapema nlimwambia kuwa ni changamoto sana kudate yeye ikiwa hatojielewa.

Mwezi wa 12 akaomba sana aje likizo kukaa kwangu. Nikamwambia hamna shida. Akaja na mtoto wake. Mimi huwa sina ubaya na watoto. Ila sipendi vitoto vinavyodeka na vitundu. Nimepata naye changamoto mpaka nimemwambia HATUWEZI KUENDELEA MBELE. ACHAGUE KUISHI NAMI AU KUISHI NA MTOTO WAKE.

Maana nlimpa option ampeleke kwa bibi yake mimi nitamlipia ada na mahitaji mengine. Akasema anapenda kuwa karibu na mwanaye bibi yake ni mkali kwa watoto. Nikaelewa shida ni huyu mwanamke hana akili ya kulea mtoto. Amejaliwa tu rangi, sura na umbo zuri. Akili hana.

1. Mtoto ana miaka 6 kinadeka kama cha miaka 3. Kinajikojolea mama yake anasema usipokikumbusha kwenda kukojoa kinaona uvivu kinajikojolea hapo hapo kilipo.

2. Ana makelele mtu haukai ukapumzika. Fujo muda wote kinataka kiangalie TV na kinajua kucheza amapiano na singeli. Mama yake anacheka anakapigia makofi na anataka eti tukae kukiangalia kwa huo upuuzi.

3. Mtoto anaangalia michezo ya kiswahili na ile ya kipuuzi ya Azam Tv ya kutafsiri na kinapenda ile mbaya wanakaa kuangalia na mama yake. Mimi hiyo ni kichefu chefu.

4. Mtoto hakitaki kulala mchana muda wote kina fujo na kelele na amekizoesha hadi saa tano kinakuwa hai tu sebuleni.

5. Mtoto hataki kulala room ya peke yake. Amekizoesha kikilala kimkumbatie. Anasema ndo kinapata upendo. So inabidi tulale watatu kitandani na akumbatiane na kitoto chake. Tunatiana kwa nadra sana kwa Timing. Anaamka akinyata na kuniambia nimfuate sebuleni nikapige bao chap chap nirudi tukalale kabla hakijaamka na kuanza kulia.

6. Mkitoka mkaenda sehemu analilia kila kitu kinachoona. Ukikataa kununua mama yake anasema kwa unyonge " basi mwanangu usilie angekuwepo hai baba yako angekununulia. Vumiiia baba" mara tatu namsikia anaongea hayo maneno kama kuniumiza kuwa simjali mtoto wake.

7. Mtoto ameshaharibu vitu vingi ndani na kuvunja. Mama yake anacheka tu na kusema we Ikram usifanye hivyo hapa siyo kwenu.

Kiufupi ni kuwa huyu mama napomwambia kuwa mtoto anatakiwa alale mchana, usiku alale mapema, asiangalie sana TV, sitaki ajikojolee kwenye sofa au kitanda anaona mimi simpendi mwanawe.

Juzi nimemtolea uvivu. Nimemwambia sasa inatosha waondoke arudi akakae na mama yake. Akitaka kuja kwangu asije na mtoto wake. Sitaki kero na sitaki unafiki. Siwezi jifanya nafurahia wakati si kweli. Amelia sana kuwa hakujua sipendi watoto. Nimemwambia tabia za mtoto wake sizipendi na anamlea vibaya. Akiendelea hivyo kitoto either kitakuwa kishoga or kijizi.

Amerudi kwao. Tumeshindwana. Anatuma msg kuwa naonekana mtu mzuri kumbe nina roho mbaya. Yeye atajinyonga tu aniache na roho yangu. Nimemnyanyasa.

Nikipenda Boga nipende na ua lake sijui na nini na nini. Nimemwambia hata mtoto wangu siwezi mruhusu amlee vile.
Kiufupi ww bado hujakua na inaonyesha hujabahatika kuwa na na mtoto wako wa kumzaa pia inaonyesha wazi kabisa unamchukia huyo dogo kitambo, Kuna baadhi ya tabia hapo umezitaja ni kawaida sana kwa watoto haijalishi ni wako wa wa kumlea imagine hizo tabia angekuwa nazo mwanao wa kumzaa ungefanya huu ujinga uliouandika hapa?
 
kinajua kucheza amapiano na singeli

😃😀🙆👆

Ndugu, inaonekana huna upendo na watoto wadogo.

Sema usemavyo, huyo ni mtoto na anahitaji malezi na maelekezo.

Pia huyo mwanamke umeshindwa kumridhisha kisaikolojia ili asione utofauti wa baba mzazi na baba mlezi wa mtoto.

Ukiweza kumpenda huyo mtoto hakika huyo mwanamke ungemgusa moyo wake na angetulia.

Acha kufundisha vijana kuwa watumwa.
Binti ndiye anatakiwa awe flexible ku-match na mfumo wa jamaa. Na sio jamaa a-match mfumo wa hiyo mama
 
Nlipoanza mahusiano naye sikujali kama ana mtoto nikasema nitampenda hivyo hivyo ila tu anielewe na misimamo yangu. Maana mapema nlimwambia kuwa ni changamoto sana kudate yeye ikiwa hatojielewa.

Mwezi wa 12 akaomba sana aje likizo kukaa kwangu. Nikamwambia hamna shida. Akaja na mtoto wake. Mimi huwa sina ubaya na watoto. Ila sipendi vitoto vinavyodeka na vitundu. Nimepata naye changamoto mpaka nimemwambia HATUWEZI KUENDELEA MBELE. ACHAGUE KUISHI NAMI AU KUISHI NA MTOTO WAKE.

Maana nlimpa option ampeleke kwa bibi yake mimi nitamlipia ada na mahitaji mengine. Akasema anapenda kuwa karibu na mwanaye bibi yake ni mkali kwa watoto. Nikaelewa shida ni huyu mwanamke hana akili ya kulea mtoto. Amejaliwa tu rangi, sura na umbo zuri. Akili hana.

1. Mtoto ana miaka 6 kinadeka kama cha miaka 3. Kinajikojolea mama yake anasema usipokikumbusha kwenda kukojoa kinaona uvivu kinajikojolea hapo hapo kilipo.

2. Ana makelele mtu haukai ukapumzika. Fujo muda wote kinataka kiangalie TV na kinajua kucheza amapiano na singeli. Mama yake anacheka anakapigia makofi na anataka eti tukae kukiangalia kwa huo upuuzi.

3. Mtoto anaangalia michezo ya kiswahili na ile ya kipuuzi ya Azam Tv ya kutafsiri na kinapenda ile mbaya wanakaa kuangalia na mama yake. Mimi hiyo ni kichefu chefu.

4. Mtoto hakitaki kulala mchana muda wote kina fujo na kelele na amekizoesha hadi saa tano kinakuwa hai tu sebuleni.

5. Mtoto hataki kulala room ya peke yake. Amekizoesha kikilala kimkumbatie. Anasema ndo kinapata upendo. So inabidi tulale watatu kitandani na akumbatiane na kitoto chake. Tunatiana kwa nadra sana kwa Timing. Anaamka akinyata na kuniambia nimfuate sebuleni nikapige bao chap chap nirudi tukalale kabla hakijaamka na kuanza kulia.

6. Mkitoka mkaenda sehemu analilia kila kitu kinachoona. Ukikataa kununua mama yake anasema kwa unyonge " basi mwanangu usilie angekuwepo hai baba yako angekununulia. Vumiiia baba" mara tatu namsikia anaongea hayo maneno kama kuniumiza kuwa simjali mtoto wake.

7. Mtoto ameshaharibu vitu vingi ndani na kuvunja. Mama yake anacheka tu na kusema we Ikram usifanye hivyo hapa siyo kwenu.

Kiufupi ni kuwa huyu mama napomwambia kuwa mtoto anatakiwa alale mchana, usiku alale mapema, asiangalie sana TV, sitaki ajikojolee kwenye sofa au kitanda anaona mimi simpendi mwanawe.

Juzi nimemtolea uvivu. Nimemwambia sasa inatosha waondoke arudi akakae na mama yake. Akitaka kuja kwangu asije na mtoto wake. Sitaki kero na sitaki unafiki. Siwezi jifanya nafurahia wakati si kweli. Amelia sana kuwa hakujua sipendi watoto. Nimemwambia tabia za mtoto wake sizipendi na anamlea vibaya. Akiendelea hivyo kitoto either kitakuwa kishoga or kijizi.

Amerudi kwao. Tumeshindwana. Anatuma msg kuwa naonekana mtu mzuri kumbe nina roho mbaya. Yeye atajinyonga tu aniache na roho yangu. Nimemnyanyasa.

Nikipenda Boga nipende na ua lake sijui na nini na nini. Nimemwambia hata mtoto wangu siwezi mruhusu amlee vile.
Kiufupi ww bado hujakua na inaonyesha hujabahatika kuwa na mtoto wako wa kumzaa pia inaonyesha wazi kabisa unamchukia huyo dogo kitambo, Kuna baadhi ya tabia hapo umezitaja ni kawaida sana kwa watoto haijalishi ni wako au wa kumlea imagine hizo tabia angekuwa nazo mwanao wa kumzaa ungefanya huu ujinga uliouandika hapa?
 
Kiufupi ww bado hujakua na inaonyesha hujabahatika kuwa na na mtoto wako wa kumzaa pia inaonyesha wazi kabisa unamchukia huyo dogo kitambo, Kuna baadhi ya tabia hapo umezitaja ni kawaida sana kwa watoto haijalishi ni wako wa wa kumlea imagine hizo tabia angekuwa nazo mwanao wa kumzaa ungefanya huu ujinga uliouandika hapa?

Mfano wa tabia alizoainisha ambazo ni kawaida taja mkuu sio uandike upate sifa.
 
Samahani before ni coment chochote huwa naangalia jina la aliepost.hii inanipa maana kubwa sana ya kilicho akilini kwake. Back to your topic

Bro ulitakiwa usimame kama baba kwa huyo mtoto. Anza kuwa rafiki nae ili aelewe vitu baadhi hapa baba kachukia hapa baba amekasirika.

Sometimes single mothers sio shida shida ni manna ya kuenda nao.

Umeshawin moyo wa mama yake basi win na moyo wa mwanae. Ifike hatua mtoto aje akuambie kitu kwa furaha hata kama sio wa kwako.

Unalalamika anaangalia Tv lakini ukute mtoto hana hata toys za kuchezea,Bro nunua vifaavya mtoto kuchezea sio vile vile kila siku.

Mtoe kwenye kuangalia tamthilia instead weka katuni angalianae.

KUTAKA KUISHI VIZURI NA MWANAMKE AMBAE HATA MTOTO WAKO MPENDE MWANAE MAANA YEYE UMESHAMPENDA NA HANA SHAKA NA WEWE TENA.

Tafuta singke Mother mwenye tabia kama za mtoa post kisha fanya haya uliyoyaelekeza hapa. Au omba namba kwa jamaa umchukue huyu.
 
Hujakosea, acha akuone una roho mbaya ila upo sahihi, malezi ya kipuuzi hayo hata mwanangu wa damu siwezi mle hivyo, anachezea makonzi akileta umama mama.
Makaveli.
Roma empire haikujengwa mwaka mmoja.
Mke bora hutengenezwa.
Kutengenezana pia sio week moja.

Ampe nafasi ya kurekebishika.

Kumbuka huyo mtoto ndiye faraja prkee aliyokuwa nayo huyo mwanamke
 
kunamshkaji wangu anaishi na singo mama.jamaa ananiambia akirudi kazini kitoto chamiaka 6 hakitaki kumsalimia🤣🤣🤣🤣

hiokitu inamkera kishenzi anatamani akikate mabanzi nanichakiume.mamayake akikiambia msalimie baba kinagoma🤣

halafu nikitundu kishenzi kinaharibu vitu
Si useme tu ni wewe penseli😱
 
Back
Top Bottom