Single mother ananing'ang'ania

Kimbia!!!
1 Wakorintho 6:18 BHN
Jiepusheni kabisa na uzinzi. Dhambi nyingine zote hutendwa nje ya mwili lakini mzinzi hutenda dhambi dhidi ya mwili wake mwenyewe.
 
Si imejileta , ichakate, garagaza kabisa pita hivi ! Focus na familia yako !

note
Mwanamke ukimla, then ukitaka kurudia game ni makosa sana, hapo ndo atataka mazoea na mahusiano ya kudumu
 
inaonekana umemkamua bao za kutosah zile za dakika 60 bao moja na hajapata wa kukuzidi wewe kwa kula mzigo.
 
Ebu kwa uzoefu wenu nipeni ushauri hapa ili niamue kusuka au kunyoa ninyi mnajua mengi na mnaona mbali pia maisha kusaidiana.
Muweke wazi kuwa utamchakata mara moja au mbili tu afu kila mmoja ataendelea kivyake. Akiridhia chakata mtoane hamu
 
Achana na single mother hao sio wanawake they will ruin ur life and aura fuc-ky and stay away
 
mwisho wa mambo yote ambayo nafsi zinavuta huwa sio mzuri jiepushe na hili mapema amini nakuambia utajuta ilisha nitokea nikiwa msumbiji familia ilikuwa mbeya oya
 
Kijana kichwa cha mbőĺò yako kimeshika husukani wa kichwa chako cha juu.

Unataka huaribu familia yako kwa mikono yako mwenyewe.

Keep goin bro
 
Tafuta binti ambaye hajazaa huyu Single mother atakuvulugia familia yako ni tofauti na binti mwenye chini ya miaka 26, Vijana wa sikuhizi tunashindwa akili na Wazee wetu, Wazee wetu walikua wanaoa binti wadogo na hata kama anaongeza mke wapili au watano wote wanakua mabinti.
 
Muowe pengine huna kizazi ni mgumba wewe huyo atakuwa mwanao na utajivunia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…