Kiti Chema
JF-Expert Member
- Oct 18, 2017
- 1,793
- 1,968
Nenda kwenye maombi uombewe
hili jamaa ndio mwisho wake na halitakuja pata mtoto, mwenzake tayari anao wengi na wazazi wenzie.Yote kheri angalia moyo wako! Mapenzi hayavartar kmfootballer G weah
Ndio nini hiki ? SijaelewaView attachment 1763848 hili jamaa ndio mwisho wake na halitakuja pata mtoto, mwenzake tayari anao wengi na wazazi wenzie.
Mshaurini akaoe
Yeye ana sema kanipa zawad anataka kuona mwanaume wake nimelivaaKwani yeye single maza anasemaje kuhusiana na hilo lichuma alilokuvisha![]()
Hapana hakuwa kwenye moyo wangu tokea zamani nilikuwa na mpigia simu nikiona kifurushi nilisho jiunga kina Karibia kuisha muda wake ndo nampigia simu yeye ninaweza kukaa miez minne bila kuwasiliana Naye nashangaa sasaivi siwez kupitisha siku bila kumtafuta, halaf nakuwa muda mwingi na muwaza yeyetu mpaka nakosa hamu yakula.Jaribu kuvua hiyo zawadi aliokupa ukiona hali bado ni ile ile jua ni ww tu ndio unampenda ila unamuonea aibu
Ushalogwaa wewe si bureHabar ndugu za nguni naombeni ushauri, nipo na single mother kwenye mahusiano Mwaka mmoja, nashangaa ghafla nimeanza kumpenda Sana na siwez kuacha kumpigia sim na kutumia sms, kipindi cha nyuma nilikuwa simpendi alikuwa ana ladhimisha tuonane Mimi nilikuwa na mpiga chenga Sana, siku Moja nika mkubalia tuonane na kweli tukaonana, siku hiyo tulivyo onana akanipa zawadi ya kuvaa mkononi lichuma flani akanivalisha mkononi, Cha kushangaza tokea siku hiyo nime kuwa nikimpenda na kumuwaza Sana tofauti na kipindi cha nyuma, Yan siwez kukaa bila kumjulia hari, wakat kipind cha nyuma ilikuwa ina pita miez simtafuti kabisa. Nashangaa sasaivi muda wote roho kama inataka kutoka kwa kumuwaza yeye tu huyu single mother, Yan asipo pokea sim yangu au kujibu sms zangu naumia Sanaa mpaka naanza kuisi Kuna Jambo nimefanyiwa kabisa, na Mimi sipendagi madem kutoka moyoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watoto ninao na kupata watoto siyo lazima kuoa unaweza kuwapata nje ya ndoa ukawakosa ndani ya ndoasorry ktk avartar yake aliweka picha ya mcheza filamu ya Predator nimeshaifuta nilitaka kutumia hivi badala ya ID nikimaanisha bora jaap akaoe atapata mapenzi na watoto View attachment 1763878
Mimi sijawai kupenda kiasi hichi na Mimi sijuagi kupenda wanawake kwa kiwango hiki mpaka najiisi kukondaKwan ww nan aliekwambia hisia hisia/moyo huwa unazama kwa pisi kali? Huo ukawaida ni macho yako ndio yaona hvyo ila moyo/hisia zako zinautafsiri tofauti kabsaa kwaiyo usishangae.
Subiri kudra za mungu akuokoe
Punguza kupiga kelele sasa endelea kulivaa
Roho yako ndezi kabisa
Ni libangiri hivi lakuvaa mkononi nimesha kutana watu Wana yavaaUshawekewa beacon mkuu au unafikiri hilo chuma ni nini kama sio beacon?