joely sandu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2017
- 1,962
- 1,819
😊😊
Haitawezekana wakae bila mawasiliano mkuu.Kimsingi mbinu zako ziko sawa kabisa
Nakazia tu hapo mawasiliano na baba wa mtoto manake ndio weakness kubwa kwa single momaz
Haitawezekana wakae bila mawasiliano mkuu.
Yaan kama mleta uzi alizungumza na mimi, Mkuu tupo pamoja tutege mitego inase, hata mim nataka sana kuowa single motherHebu ngoja niukamatie huu uzi. Hapa kuna dalili ya kutimiza ndoto yangu ya kuoa single mama. Uzuri wameitana kurekebishana tabia.
Sema single mothers wa humu jf itakuwa wanazingua tu mbona siwaoni wakijitokeza kukoment. Me nipo hapa kuangalia sample ila sijaiona komenti ya single mama ujue. Sasa waache wakae na ukame wao me nilishaamua kuendesia gari kubwa.Yaan kama mleta uzi alizungumza na mimi, Mkuu tupo pamoja tutege mitego inase, hata mim nataka sana kuowa single mother
😂😂 yanaona aibu mwee, jaman single mama karibuni, waowaji tumejitokezaSema single mothers wa humu jf itakuwa wanazingua tu mbona siwaoni wakijitokeza kukoment. Me nipo hapa kuangalia sample ila sijaiona komenti ya single mama ujue. Sasa waache wakae na ukame wao me nilishaamua kuendesia gari kubwa.