theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,750
- 15,642
Here I'm.....
WelcomeHere I'm.....
YesWe singo maza pia?
hahahahaNiko na vitoto viwili vya kiume, mama tofauti na vimepishana miezi 5.
Lkn bado mimi ni single baba bora.
Sent using Jamii Forums mobile app
But soon nitawakimbia chamani....Welcome
Waooo, usisahau kutualiakaBut soon nitawakimbia chamani....
Msijali..... maana mama watoto wangu amekubali tuwe pamoja tenaWaooo, usisahau kutualiaka
This is very true. tujivunie kwa kweliHeri tuliozaa hata kama ni nje ya ndoa pamoja na kuachwa, kuliko wanaotoa mimba
Sent using Jamii Forums mobile app
I agree with you japo humu tuko na wasiojulikanaTungeunda group letu la whatsapp kupeana moyo kupeana dili kazi tuinuane
Aamyn. Pole sana brooam single faza,mwanangu ametimiza two yearz juzi tu.
mamake alifariki wakati anajifungua akabaki mwanangu.
Rip mamakamal.
For sure! tuombeane tuHicho ndio nachomshukru Mungu kila siku, niko na kakijana ka miaka mitatu ila kichwani kako vzr. Class hadi mwl wake ameshawaza mwakani aanze class one ila mm nimekataa. I am happy with my family, if God wishes one day ntampata single dady mwenzangu wa kuendeleza maisha hahahah
Tangu aumizwe kimapenz na aliyekuwa mme wake,hakika ndiyo maana anawachukia WanaumeBoss wangu single mom. Anachukia wanaume. Kitu kidogo povu
Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
Mkasa wako ulikuwaje menzangu?
Mungu atakuongozaMi ni single mother nina watoto wawili wa kike,mmoja miaka 9 na mwingine 6,,Mimi mwenyewe nina miaka 34,nilipata talaka mwaka 2014 baada ya mi kwenda UDOM kujiendeleza kielimu mwanaume akatekwa na ndo ikawa chanzo cha talaka,,nina imani hakuwa wangu wa kwangu atakuja,,bado nina imani katika ndoa,,tuombeane na kufarijiana wapendwa
Jaribu tu kuwa na staha mkuu. Wengi wetu hatukupenda kuwa single parentsHahahahahahaha. Utafiti usio rasmi humu single mothers ni wengi mno. Ukiuliza haja zao (nye.ge) wanapunguzaje apart from kuchemsha maji watakutoa nduki na jibu wasikupe.
At times ujinga raha sana
Afadhali umejigundua kwamba wewe ni mjinga mkuuHahahahahahaha. Utafiti usio rasmi humu single mothers ni wengi mno. Ukiuliza haja zao (nye.ge) wanapunguzaje apart from kuchemsha maji watakutoa nduki na jibu wasikupe.
At times ujinga raha sana
Kuwa single mother sio uzinzi dada, kuna single mother hapa tulikuwa kwny ndoa, tulijitunza mpaka ndoa ndo tukazaa na mambo hayakuwa mazuri tumeachana ama wengine wenzi wao wamefariki so before judging or point a finger just think twice. Sio kila mwenye mtoto alimpata kwa kudanga/uzinzi usio rasmi. Hebu acha upuuziHuku kuna vituko
Wengine wanamshukuru mungu kuzaa kwa zinaa na wanafurahia uzao wa zinaa,wengine kujifariji tuu kwa zinaa walizopitia
Hakuna mwema hata mm nina yangu ila hapa unajidhalilisha na unamtukana Mungu japo hatukujui,bora ujutie hapa ila sio kujifurahia na hapohapo unamshirikisha Mungu katika upuuzi uliofanya ukazaa tunda linalokutesa sasa
Good father indeedMleta mada anataka tushirikishane changamoto ila naona wengi mmeenda nje ya mada. Am single dad with two kids mkubwa ni wakike mdogo ni wakiume, changamoto kubwa naipata kwa huyu wa kike hapendi kula kabsa tangu akiwa mdogo now ana 5 yrs, kuna wakati ili ale inabdi nimuimbie wimbo anaoupenda ndio atakula na hapo mpatane idadi ya vjiko atakavyokula na inabdi nitumie ujanja wa kuchota kijiko kilichojaa vzuri ili angalau ashibe. Then ni mtoto wa baba kwelikweli nikiwa safari au nikichelewa kurudi toka kazini anaweza kugoma kabsa kula mpaka nirudi so nikiwa safari inabdi nipge sim kabla ya saa za kula niongee nae na kumuhaidi kumletea zawadi nzuriii kwa maelewano kuwa asipokula simletei zawadi.
Huyu mdogo issue ya kula hasumbui kabsa kila msosi anagonga ila shida yake ni ubabe 2 yrs now ila ni bondia wa hatari,hapendi mtu ashike kitu changu chochote,huyo hana muda na mimi ila nikikaa wiki moja bilakua home basi akiona mwanaume yoyote yeye anaita baba! !!
For sure am happy with my kids, wao kwangu ni kilakitu
Sent using Jamii Forums mobile app