MPIGA ZEZE
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 2,539
- 2,296
Sidhani kama neno au dhana ya 'vetting' imo katika msamiati wa mfumo wa utawala wa CCM. Hivi ndio vyeo (DED, DC, nk) ambavyo mkulu huvitumia kuwazawadia wapambe, wapiga debe, nyumba ndogo, michepuko, wapwa, binamus, nk. JK alituonea sana, Katiba Mpya (rasimu ya Warioba) ilikuwa imekusudia kuleta nidhamu ya utawala bora. Huu uchafu ulikuwa uondoke.Vetting ya hawa viongozi muhimu sana. Wengine hawajui wanachofanya