Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,521
- 6,517
Kwa makusudi kabisa atapigwa money laundering ili asipate dhamana. Inaonekana ni mshenzi sana huyu hakimu.To start with....
Firstly:shauri lake lina dhamana....
secondly: anaweza kupigwa kifungo cha nje akipatikana na hatia...
Thirdly: mahakimu wanalindana...
hakuna mtu anafungwa jela hapo
lastly: tension ni kubwa kwasababu kesi ni mbichi baada ya miezi mitatu mkiisahau watu wanafanya yao.
Kumbuka kuna mbakaji maarufu, yeye alikuwa anabaka hata akiwa nje kwa dhamana kesi zingine. Sasa kapigwa uhujumu uchumi, hakuna dhamana.