Yaani bila kucndikizana ucku unakuwa wa tabu kweli kweli,,,
Njoo pm
Bora tuko wengi!
Ole wako uende utan'tambua.
Nyie wote mkosao usingizi , tatizo lenu ni usimbe/useja ! Hamna wa kuwapapasa!
Viinilishe vyenu mpevipiga Ban, havipati pa kutokea!
We kila comment yako inakuwa imegota chini tu!
Rudi kasome vizuri baiolojia.
Haya wee leta zako za kugotea "JUU" !