Sina komenti...

Sina komenti...

Indume Yene

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
2,968
Reaction score
727
IMG_4812.JPG
 
kumbe ndio maana wakiambiwa piga risasi wanapiga tu.
duh ni watoto ndio wanaliangamiza taifa lao kwa kutojua
 
Huyu alikuwa na umri gani alipoingia jeshini? hii hatari saana yaani tumeanza recruitment za kina Charles Taylor?
 
Hapa mtoto ni yupi?, utoto wake umeupimaje?
kumbe ndio maana wakiambiwa piga risasi wanapiga tu.
duh ni watoto ndio wanaliangamiza taifa lao kwa kutojua
 
jamanii wawezaa kuta ni sura tu ilaa miaka ya kina ngombale....
 
huyo siyo mtoto, ni mtu mzima, ila ana sura ya kitoto.
 
Back
Top Bottom