Sina imani na kiumbe anaeitwa mwanamke

Sina imani na kiumbe anaeitwa mwanamke

Dola Iddy Wa Chelsea

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2014
Posts
2,125
Reaction score
1,535
Mimi kwa kweli kazi yangu ni boda boda yaani ukikanyaga tu ushirombo mjini huku mkoani Geita ukiuliza Big yuko wapi hakuna asienijua.

Tuachane na hayo nattoa visa vi 5 tu vilivyonifanya nisiwe na imani na mwanamke,

1 MY WIFE katika maisha yake nilijitolea kumsaidia ila kimbembe kilianza alipotoroka na kwebda nasumbwe nikapoteza muda na pesa kumtafuta nikampata na baada ya kumpata tulisumu katika ndoa miezi 9 tu akatoroka tena bila sababu ya msingi anyway nishsmsahau niiahie hapa kwa no 1.

2 Ninapopaki pikipiki i mean kijiweni kuna mzee anamiliki bar kuns siku kaniambia mchukue huyu mmama 30s yrs mpeleke kwake halatu ukirudi uje uchukue hela kwangu
Basi bana kwani hata kwa huyo nmama nikifika!!!
Kufika maeneo ya halmashauri akapigiwa simu na jamaa flani ni mchimbaji akaniambia nisimwambie yule mzee
Dah hapo ndi nikaanini mapenzi sio pesa na mpaka leo mzee wa watu hajui lolote , very sad...

3 MKE WA DEREVA WA SEMI huyu bi mdada bana yaani mumewe kamweka ndani nyumbs safi ila ayatendayo mkewe huku nayajua mimi na mkewe tu tull kudanga full kuponbeshwa na kuliwa kama sio mke wa mtu vile dahhh....

4 MMAMA MWARABU huyu bana ni nmama kabisa 40s yrs nilipi mbeba mara ya kwanza akaniambia nimpeleke HM G HOUSE mama wee kabla hajaingia ndani akapigiwa simu na mwabaume mwingine matusi aliyotoa yule nmana sikutegemea
Nanukuu "fa?a msen== wewe mi ndo naenda kuti##@ sina nuda na wewe" Duhhh mpaka leo siamini kama kuna mwanamke asie cheat
Never hayupo

5 JASMIN huyu mdada ni mgeni humu town katokea TABORA ni mdabgaji hatari ipo hivi alinichukua nimpeleke DM akaenda kuliwa after 2 hours akarudi tena vatcan tunapopaki pikupiki after few minutes akaniambia nimpeleke wadutya nikampeleka na kumuacha nuko mida kama ya saa 9 (tisa) usiku akaniambia nimsindikize kwake mabenga b g house anapikaa nikaona sio mbaya kwa vile ni kama mita 600 nikampeleka ile tunafika namwambiia shuka hataki aka an a kuniambia big nakupenda mi nikajiwazia tu huyu mdada anadhani mimi ni nyanya eene wakuchotwa akili kipuuzi puuzi tu,
Sikutaka achukie nikamjibi poa nimekuelewa tutaongea kesho akaahuka japo kideko mahaba na kishingo upande mi nikawaaha CHUMA nikatembea huyooo.

MDADA WA KUNISHAWISHI KUMUAMINI LABDA ASHUSHWE TOKA MBINGUNI

NI HIVYO YAANI!!!




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi kwa kweli kazi yangu ni boda boda yaani ukikanyaga tu ushirombo mjini huku mkoani Geita ukiuliza Big yuko wapi hakuna asienijua.

Tuachane na hayo nattoa visa vi 5 tu vilivyonifanya nisiwe na imani na mwanamke,

1 MY WIFE katika maisha yake nilijitolea kumsaidia ila kimbembe kilianza alipotoroka na kwebda nasumbwe nikapoteza muda na pesa kumtafuta nikampata na baada ya kumpata tulisumu katika ndoa miezi 9 tu akatoroka tena bila sababu ya msingi anyway nishsmsahau niiahie hapa kwa no 1.

2 Ninapopaki pikipiki i mean kijiweni kuna mzee anamiliki bar kuns siku kaniambia mchukue huyu mmama 30s yrs mpeleke kwake halatu ukirudi uje uchukue hela kwangu
Basi bana kwani hata kwa huyo nmama nikifika!!!
Kufika maeneo ya halmashauri akapigiwa simu na jamaa flani ni mchimbaji akaniambia nisimwambie yule mzee
Dah hapo ndi nikaanini mapenzi sio pesa na mpaka leo mzee wa watu hajui lolote , very sad...

3 MKE WA DEREVA WA SEMI huyu bi mdada bana yaani mumewe kamweka ndani nyumbs safi ila ayatendayo mkewe huku nayajua mimi na mkewe tu tull kudanga full kuponbeshwa na kuliwa kama sio mke wa mtu vile dahhh....

4 MMAMA MWARABU huyu bana ni nmama kabisa 40s yrs nilipi mbeba mara ya kwanza akaniambia nimpeleke HM G HOUSE mama wee kabla hajaingia ndani akapigiwa simu na mwabaume mwingine matusi aliyotoa yule nmana sikutegemea
Nanukuu "fa?a msen== wewe mi ndo naenda kuti##@ sina nuda na wewe" Duhhh mpaka leo siamini kama kuna mwanamke asie cheat
Never hayupo

5 JASMIN huyu mdada ni mgeni humu town katokea TABORA ni mdabgaji hatari ipo hivi alinichukua nimpeleke DM akaenda kuliwa after 2 hours akarudi tena vatcan tunapopaki pikupiki after few minutes akaniambia nimpeleke wadutya nikampeleka na kumuacha nuko mida kama ya saa 9 (tisa) usiku akaniambia nimsindikize kwake mabenga b g house anapikaa nikaona sio mbaya kwa vile ni kama mita 600 nikampeleka ile tunafika namwambiia shuka hataki aka an a kuniambia big nakupenda mi nikajiwazia tu huyu mdada anadhani mimi ni nyanya eene wakuchotwa akili kipuuzi puuzi tu,
Sikutaka achukie nikamjibi poa nimekuelewa tutaongea kesho akaahuka japo kideko mahaba na kishingo upande mi nikawaaha CHUMA nikatembea huyooo.

MDADA WA KUNISHAWISHI KUMUAMINI LABDA ASHUSHWE TOKA MBINGUNI

NI HIVYO YAANI!!!




Sent using Jamii Forums mobile app
Huna adabu kwanini unatoa siri za wateja wako? Mama yako mzazi yeye unamuamini?
 
Sawa Big naona umewekeza maisha yako kufuatilia maisha ya wanawake
 
Kwa hiyo mtoa mada katika maisha yako unawafahamu wanawake wanne tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sahihisho, yeye anamjua tu anayemwita 'MY WIFE' hao wengine ni wateja tu aliowapakia na inaonekana ni hao watatu tu kwa muktadha huo bandiko hili halina mashiko kwa kuwa mtoa maada amethibitisha bila kuacha shaka kwamba ufahamu wake juu ya wanawake ni 0.0000000000001%
 
Mimi kwa kweli kazi yangu ni boda boda yaani ukikanyaga tu ushirombo mjini huku mkoani Geita ukiuliza Big yuko wapi hakuna asienijua.

Tuachane na hayo nattoa visa vi 5 tu vilivyonifanya nisiwe na imani na mwanamke,

1 MY WIFE katika maisha yake nilijitolea kumsaidia ila kimbembe kilianza alipotoroka na kwebda nasumbwe nikapoteza muda na pesa kumtafuta nikampata na baada ya kumpata tulisumu katika ndoa miezi 9 tu akatoroka tena bila sababu ya msingi anyway nishsmsahau niiahie hapa kwa no 1.

2 Ninapopaki pikipiki i mean kijiweni kuna mzee anamiliki bar kuns siku kaniambia mchukue huyu mmama 30s yrs mpeleke kwake halatu ukirudi uje uchukue hela kwangu
Basi bana kwani hata kwa huyo nmama nikifika!!!
Kufika maeneo ya halmashauri akapigiwa simu na jamaa flani ni mchimbaji akaniambia nisimwambie yule mzee
Dah hapo ndi nikaanini mapenzi sio pesa na mpaka leo mzee wa watu hajui lolote , very sad...

3 MKE WA DEREVA WA SEMI huyu bi mdada bana yaani mumewe kamweka ndani nyumbs safi ila ayatendayo mkewe huku nayajua mimi na mkewe tu tull kudanga full kuponbeshwa na kuliwa kama sio mke wa mtu vile dahhh....

4 MMAMA MWARABU huyu bana ni nmama kabisa 40s yrs nilipi mbeba mara ya kwanza akaniambia nimpeleke HM G HOUSE mama wee kabla hajaingia ndani akapigiwa simu na mwabaume mwingine matusi aliyotoa yule nmana sikutegemea
Nanukuu "fa?a msen== wewe mi ndo naenda kuti##@ sina nuda na wewe" Duhhh mpaka leo siamini kama kuna mwanamke asie cheat
Never hayupo

5 JASMIN huyu mdada ni mgeni humu town katokea TABORA ni mdabgaji hatari ipo hivi alinichukua nimpeleke DM akaenda kuliwa after 2 hours akarudi tena vatcan tunapopaki pikupiki after few minutes akaniambia nimpeleke wadutya nikampeleka na kumuacha nuko mida kama ya saa 9 (tisa) usiku akaniambia nimsindikize kwake mabenga b g house anapikaa nikaona sio mbaya kwa vile ni kama mita 600 nikampeleka ile tunafika namwambiia shuka hataki aka an a kuniambia big nakupenda mi nikajiwazia tu huyu mdada anadhani mimi ni nyanya eene wakuchotwa akili kipuuzi puuzi tu,
Sikutaka achukie nikamjibi poa nimekuelewa tutaongea kesho akaahuka japo kideko mahaba na kishingo upande mi nikawaaha CHUMA nikatembea huyooo.

MDADA WA KUNISHAWISHI KUMUAMINI LABDA ASHUSHWE TOKA MBINGUNI

NI HIVYO YAANI!!!




Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo nawe azilimia 100
 
Ni sawa lakini inaonekana mazingira unayofanyia kazi inakufanya ukutane malaya tu. Anza kupaki sehemu za kazi siyo baa, halafu uje ulete mrejesho kama hakuna hata mmoja ambaye ni mwaminifu.

By the way, huto tu miji kuanzia Lunzewe, katoro, Masumbwe, Kahama, Kagongwa, Isaka Tinde... na kuendelea. Wadada wengi ni wanaojiuza kutokana na Magario makubwa kuwa yanapaki sana miji hiyo..
 
Mimi kwa kweli kazi yangu ni boda boda yaani ukikanyaga tu ushirombo mjini huku mkoani Geita ukiuliza Big yuko wapi hakuna asienijua.

Tuachane na hayo nattoa visa vi 5 tu vilivyonifanya nisiwe na imani na mwanamke,

1 MY WIFE katika maisha yake nilijitolea kumsaidia ila kimbembe kilianza alipotoroka na kwebda nasumbwe nikapoteza muda na pesa kumtafuta nikampata na baada ya kumpata tulisumu katika ndoa miezi 9 tu akatoroka tena bila sababu ya msingi anyway nishsmsahau niiahie hapa kwa no 1.

2 Ninapopaki pikipiki i mean kijiweni kuna mzee anamiliki bar kuns siku kaniambia mchukue huyu mmama 30s yrs mpeleke kwake halatu ukirudi uje uchukue hela kwangu
Basi bana kwani hata kwa huyo nmama nikifika!!!
Kufika maeneo ya halmashauri akapigiwa simu na jamaa flani ni mchimbaji akaniambia nisimwambie yule mzee
Dah hapo ndi nikaanini mapenzi sio pesa na mpaka leo mzee wa watu hajui lolote , very sad...

3 MKE WA DEREVA WA SEMI huyu bi mdada bana yaani mumewe kamweka ndani nyumbs safi ila ayatendayo mkewe huku nayajua mimi na mkewe tu tull kudanga full kuponbeshwa na kuliwa kama sio mke wa mtu vile dahhh....

4 MMAMA MWARABU huyu bana ni nmama kabisa 40s yrs nilipi mbeba mara ya kwanza akaniambia nimpeleke HM G HOUSE mama wee kabla hajaingia ndani akapigiwa simu na mwabaume mwingine matusi aliyotoa yule nmana sikutegemea
Nanukuu "fa?a msen== wewe mi ndo naenda kuti##@ sina nuda na wewe" Duhhh mpaka leo siamini kama kuna mwanamke asie cheat
Never hayupo

5 JASMIN huyu mdada ni mgeni humu town katokea TABORA ni mdabgaji hatari ipo hivi alinichukua nimpeleke DM akaenda kuliwa after 2 hours akarudi tena vatcan tunapopaki pikupiki after few minutes akaniambia nimpeleke wadutya nikampeleka na kumuacha nuko mida kama ya saa 9 (tisa) usiku akaniambia nimsindikize kwake mabenga b g house anapikaa nikaona sio mbaya kwa vile ni kama mita 600 nikampeleka ile tunafika namwambiia shuka hataki aka an a kuniambia big nakupenda mi nikajiwazia tu huyu mdada anadhani mimi ni nyanya eene wakuchotwa akili kipuuzi puuzi tu,
Sikutaka achukie nikamjibi poa nimekuelewa tutaongea kesho akaahuka japo kideko mahaba na kishingo upande mi nikawaaha CHUMA nikatembea huyooo.

MDADA WA KUNISHAWISHI KUMUAMINI LABDA ASHUSHWE TOKA MBINGUNI

NI HIVYO YAANI!!!




Sent using Jamii Forums mobile app
umeandika kama unakimbizwa
 
Back
Top Bottom