Sina imani na kiumbe anaeitwa mwanamke

Sina imani na kiumbe anaeitwa mwanamke

Mimi kwa kweli kazi yangu ni boda boda yaani ukikanyaga tu ushirombo mjini huku mkoani Geita ukiuliza Big yuko wapi hakuna asienijua.

Tuachane na hayo nattoa visa vi 5 tu vilivyonifanya nisiwe na imani na mwanamke,

1 MY WIFE katika maisha yake nilijitolea kumsaidia ila kimbembe kilianza alipotoroka na kwebda nasumbwe nikapoteza muda na pesa kumtafuta nikampata na baada ya kumpata tulisumu katika ndoa miezi 9 tu akatoroka tena bila sababu ya msingi anyway nishsmsahau niiahie hapa kwa no 1.

2 Ninapopaki pikipiki i mean kijiweni kuna mzee anamiliki bar kuns siku kaniambia mchukue huyu mmama 30s yrs mpeleke kwake halatu ukirudi uje uchukue hela kwangu
Basi bana kwani hata kwa huyo nmama nikifika!!!
Kufika maeneo ya halmashauri akapigiwa simu na jamaa flani ni mchimbaji akaniambia nisimwambie yule mzee
Dah hapo ndi nikaanini mapenzi sio pesa na mpaka leo mzee wa watu hajui lolote , very sad...

3 MKE WA DEREVA WA SEMI huyu bi mdada bana yaani mumewe kamweka ndani nyumbs safi ila ayatendayo mkewe huku nayajua mimi na mkewe tu tull kudanga full kuponbeshwa na kuliwa kama sio mke wa mtu vile dahhh....

4 MMAMA MWARABU huyu bana ni nmama kabisa 40s yrs nilipi mbeba mara ya kwanza akaniambia nimpeleke HM G HOUSE mama wee kabla hajaingia ndani akapigiwa simu na mwabaume mwingine matusi aliyotoa yule nmana sikutegemea
Nanukuu "fa?a msen== wewe mi ndo naenda kuti##@ sina nuda na wewe" Duhhh mpaka leo siamini kama kuna mwanamke asie cheat
Never hayupo

5 JASMIN huyu mdada ni mgeni humu town katokea TABORA ni mdabgaji hatari ipo hivi alinichukua nimpeleke DM akaenda kuliwa after 2 hours akarudi tena vatcan tunapopaki pikupiki after few minutes akaniambia nimpeleke wadutya nikampeleka na kumuacha nuko mida kama ya saa 9 (tisa) usiku akaniambia nimsindikize kwake mabenga b g house anapikaa nikaona sio mbaya kwa vile ni kama mita 600 nikampeleka ile tunafika namwambiia shuka hataki aka an a kuniambia big nakupenda mi nikajiwazia tu huyu mdada anadhani mimi ni nyanya eene wakuchotwa akili kipuuzi puuzi tu,
Sikutaka achukie nikamjibi poa nimekuelewa tutaongea kesho akaahuka japo kideko mahaba na kishingo upande mi nikawaaha CHUMA nikatembea huyooo.

MDADA WA KUNISHAWISHI KUMUAMINI LABDA ASHUSHWE TOKA MBINGUNI

NI HIVYO YAANI!!!




Sent using Jamii Forums mobile app
Stay strong big bro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi kwa kweli kazi yangu ni boda boda yaani ukikanyaga tu ushirombo mjini huku mkoani Geita ukiuliza Big yuko wapi hakuna asienijua.

Tuachane na hayo nattoa visa vi 5 tu vilivyonifanya nisiwe na imani na mwanamke,

1 MY WIFE katika maisha yake nilijitolea kumsaidia ila kimbembe kilianza alipotoroka na kwebda nasumbwe nikapoteza muda na pesa kumtafuta nikampata na baada ya kumpata tulisumu katika ndoa miezi 9 tu akatoroka tena bila sababu ya msingi anyway nishsmsahau niiahie hapa kwa no 1.

2 Ninapopaki pikipiki i mean kijiweni kuna mzee anamiliki bar kuns siku kaniambia mchukue huyu mmama 30s yrs mpeleke kwake halatu ukirudi uje uchukue hela kwangu
Basi bana kwani hata kwa huyo nmama nikifika!!!
Kufika maeneo ya halmashauri akapigiwa simu na jamaa flani ni mchimbaji akaniambia nisimwambie yule mzee
Dah hapo ndi nikaanini mapenzi sio pesa na mpaka leo mzee wa watu hajui lolote , very sad...

3 MKE WA DEREVA WA SEMI huyu bi mdada bana yaani mumewe kamweka ndani nyumbs safi ila ayatendayo mkewe huku nayajua mimi na mkewe tu tull kudanga full kuponbeshwa na kuliwa kama sio mke wa mtu vile dahhh....

4 MMAMA MWARABU huyu bana ni nmama kabisa 40s yrs nilipi mbeba mara ya kwanza akaniambia nimpeleke HM G HOUSE mama wee kabla hajaingia ndani akapigiwa simu na mwabaume mwingine matusi aliyotoa yule nmana sikutegemea
Nanukuu "fa?a msen== wewe mi ndo naenda kuti##@ sina nuda na wewe" Duhhh mpaka leo siamini kama kuna mwanamke asie cheat
Never hayupo

5 JASMIN huyu mdada ni mgeni humu town katokea TABORA ni mdabgaji hatari ipo hivi alinichukua nimpeleke DM akaenda kuliwa after 2 hours akarudi tena vatcan tunapopaki pikupiki after few minutes akaniambia nimpeleke wadutya nikampeleka na kumuacha nuko mida kama ya saa 9 (tisa) usiku akaniambia nimsindikize kwake mabenga b g house anapikaa nikaona sio mbaya kwa vile ni kama mita 600 nikampeleka ile tunafika namwambiia shuka hataki aka an a kuniambia big nakupenda mi nikajiwazia tu huyu mdada anadhani mimi ni nyanya eene wakuchotwa akili kipuuzi puuzi tu,
Sikutaka achukie nikamjibi poa nimekuelewa tutaongea kesho akaahuka japo kideko mahaba na kishingo upande mi nikawaaha CHUMA nikatembea huyooo.

MDADA WA KUNISHAWISHI KUMUAMINI LABDA ASHUSHWE TOKA MBINGUNI

NI HIVYO YAANI!!!




Sent using Jamii Forums mobile app
Haya wasalimie kina Selemani kota na kina Lushinge! Vipi Vatcan bado wanachoma kuku wa kienyeji?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Big acha kutafuta sababu za kuhalalisha kuachana na wife. Move on. Binadamu wapo wa aina nyingi' acha kuangalia aina moja. Ukitaka kupata aina tofauti za wanawake basi angalia kwa mfumo tofauti na unaotumia la sivyo kusingekuwa na ndoa zenye miaka 30 na kuendelea zenye furaha.
 
kutokana na kushambuliwa sana mtoa mada, psychologically, nalazimika kuamini kuwa hili tatizo lipo kweli na ni kubwa. kibinadamu mambo ya aibu kama hayo huwa tuna kawaida ya kama kuyaogopa kuyasikia hivi hivyo akianzisha mtu yatazimwa haraka haraka kama hivyo ili 'kujiokoa'. ukweli ni kuwa hali ni mbaya....hujui yupi ni mke wa mtu yupi sie, si kaskazini si kusini, si mashariki si magharibi, si pembeni si katikati;
1. niliwahi kumsikia mke wa mtu akimjibu mwanaume aliyemtongoza na kisha kuonyesha wasiwasi kutokana na kuolewa kwake, 'uamuzi ni wangu wa kukataa au kukubali'. nilichoka......na alipigwa kiurahisi km hivyo! hiyo ilikuwa kusini
2. nilimsikia mke wa mtu akimlazimisha jamaa kutokea walipoagana. jamaa akauliza, 'mbona unalazimisha we si ni mke wa mtu?'. mke akajibu kwa ukali, 'kwani ulikuwa hujui kama mi mke mtu? mambo gn ya kif*la ya kuhangaishana haya!'. hiyo ilikuwa dar na mke ni mchaga wa moshi.
3. nilishuhudia mke wa mtu akimegwa na fundi cherehani aliyekuwa anafanyia kazi barazani katika nyumba hiyo hiyo....ilikuja kusikika baadae kuwa alimla mpaka tigo. hii ilikuwa Dar na mke ni mtu wa tanga
4. nimeshuhudia kijana wa kitanga (alikuwa mpangaji mwenzangu) akila mke wa mtu bila chenga. ilikuwa dar, mke ni mtu wa morogoro
5. nimewahi kushuhudia mke wa mtu akiliwa mchana kweupe na msela flani, tena huku mume akidhalilishwa vibaya. kidume alipiga simu na mke alionyesha kugoma kidogo akidai kuwa hana wa kumwachia mtoto na huenda mume wake angerudi muda wowote mchana huo. jamaa akasema, namnukuu, ''aah, achana nae bwege wako huyo, mi nakusubiri bwana". mke alimwachia mpangaji mwenzake mtoto na kutokomea huko, baada ya masaa kadhaa akarejea. maongezi haya niliyasikia mwenyewe 'laivu'....dada hakujua kama nimerudi na nipo chini dirishani nimekaa. walls have ears!! hii ilikuwa dar na mke ni mpare wa klm
6. nilikuwa katika mawasiliano na dada fulani hv ambaye ni mke wa mtu. ikiwa mumewe yupo basi ataongea kwa kifupi na 'tone' fulani iliyo serious pamoja na maswali ya msingi km vile 'habari ya nyumbani', 'wazazi hawajambo' n.k. ikiwa mume hayupo basi 'anajiachia' na hapo nami nakuwa nimepata ujumbe kuwa mambo yako vzr. hivyo ndivyo alivyonipanga kabla. haya mawasiliano nilikuwa kwenye research tu na si vinginevyo.......tulipatana tukutane x-mas hii na nikaingia mitini maana nilichotaka kujua nimeshakijua lakini pia naogopa wake za watu. alinipigia simu na kunilaumu sana. mumewe alimuaga kuwa anaenda kwa ndugu yake. mke ni wa kusini, lindi. TUWE MAKINI MNO!

M/Mungu , muumba wa mbingu na ardhi, ni shahidi katika hili kama kuna lolote nimedanganya! NINAAPA NI KWELI TUPU!

msimamo wangu, ambao pia unaweza kuwa ushauri kwa mleta mada, ni kuwa KUOA NI AMRI YA MUNGU (KAMA NI MUUNI) BASI ITENDE AMRI HIYO KWA KUFUATA TARATIBU ZOTE ZILIZOANISHWA NA HAYO MENGINE MKABIDHI MWENYEWE MUNGU AYAONGOZE, YA BINADAMU NI MENGI MNO NA HATUYAWEZI....TUTAISHIA KUCHANGANYIKIWA TU, KUUA, KUUAWA N.K.

labda tu mtoa mada siku nyingine uje na mada hii hii lakini ihusu upande wa pili pia (wanaume) ili tuendelee kuijadili hali ilivyo!
 
Sipandi tena bodaboda yako🤣🤣🤣
 
Kesi zote hizo hakuna ya kimasihara hata 1[emoji53]


sf
 
Back
Top Bottom