heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 8,038
- 13,358
Mtu anaridhika na maisha ya baba mzazi tu sio ya mume! Kuolewa ni kubadili status tu but other things remain the same 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 umalaya ni brand ambayo ni ngumu kuitengeneza ukiona mtu anaitwa malaya amepitia mengiMkuu huo ndio umalaya wenyewe wewe umeolewa kwanini usirdhike na maisha ya mimeoo???
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu anaridhika na maisha ya baba mzazi tu sio ya mume! Kuolewa ni kubadili status tu but other things remain the same [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] umalaya ni brand ambayo ni ngumu kuitengeneza ukiona mtu anaitwa malaya amepitia mengi
Na hao wanawake wanne wala hawana maajabu ya kusimlia ni basi tu hawajui wanawake huyu 🤣 🤣 🤣Kwa hiyo mtoa mada katika maisha yako unawafahamu wanawake wanne tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Je angefika dau?Sio wanawake wote wako hivo mkuu, hata hivyo wapo Malaya zaidi ya hao, utaendelea kushuhudia Ila kuwa mvumilivu, halafu mkuu ilibaki kidogo ule tunda kimasihara kwa huyo Malaya wa mwisho[emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nawapenda hawa mabodaboda ba texi jaman wanatunza siri mnoo na mleta sio mbea ni anashangaa tu baadhi ya mambo machache aliyoyaona kwa wanawake atulie ataona meeengiKuna watu wanaona wamemchukia mleta mada ghafla huku wakisahau kua yy ni bodaboda..
Ni ukweli usiopinginga kua madereva boda wanatembea na siri nyingi sana za wake za watu ata za wanaume laiti nyie mnaowaponda boda boda kwa kua wambea na jinzi unapokatiza kijiweni kwao wanavyokuurumia usingeongea kitu!
Namshauri mleta uzi aje na uzi wa kudumu wa madereva bodaboda na jinzi wanavyobeba siri nyingi moyoni!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu wanaona wamemchukia mleta mada ghafla huku wakisahau kua yy ni bodaboda..
Ni ukweli usiopinginga kua madereva boda wanatembea na siri nyingi sana za wake za watu ata za wanaume laiti nyie mnaowaponda boda boda kwa kua wambea na jinzi unapokatiza kijiweni kwao wanavyokuurumia usingeongea kitu!
Namshauri mleta uzi aje na uzi wa kudumu wa madereva bodaboda na jinzi wanavyobeba siri nyingi moyoni!
Sent using Jamii Forums mobile app
Usipanic, kina Jasmin wako weeengi, mama mwarabu wako weengi, wake za madereva semi wako weengi na my wife pia wako wengi ajataja mtu ye kasimlia matukio 🤣 🤣 🤣 🤣Huna adabu kwanini unatoa siri za wateja wako? Mama yako mzazi yeye unamuamini?
Kibaya nilichochukia n kwamba umewafahamu wanawake wanne tu umekuja kutoa siri huku je ukiwajua kumi itakuwaje
Hebu piga kaz hayo mengne achna nayo watu wapo kazini bhn
Sent using Jamii Forums mobile app