Sina imani na kiumbe anaeitwa mwanamke

Sina imani na kiumbe anaeitwa mwanamke

MAJITU MANENE HUWA NI MAMBEA NA YANAPENDA KUKAA NA MANAMAKE NA KUJICHEKESHA CHEKESHA.INAWEZEKANA HATA MKEO ALIKUKIMBIA BAADA YA KUONA UPO BIZE NA WANAWAKE WA MTAANI.
 
Mimi kwa kweli kazi yangu ni boda boda yaani ukikanyaga tu ushirombo mjini huku mkoani Geita ukiuliza Big yuko wapi hakuna asienijua.

Tuachane na hayo nattoa visa vi 5 tu vilivyonifanya nisiwe na imani na mwanamke,

1 MY WIFE katika maisha yake nilijitolea kumsaidia ila kimbembe kilianza alipotoroka na kwebda nasumbwe nikapoteza muda na pesa kumtafuta nikampata na baada ya kumpata tulisumu katika ndoa miezi 9 tu akatoroka tena bila sababu ya msingi anyway nishsmsahau niiahie hapa kwa no 1.

2 Ninapopaki pikipiki i mean kijiweni kuna mzee anamiliki bar kuns siku kaniambia mchukue huyu mmama 30s yrs mpeleke kwake halatu ukirudi uje uchukue hela kwangu
Basi bana kwani hata kwa huyo nmama nikifika!!!
Kufika maeneo ya halmashauri akapigiwa simu na jamaa flani ni mchimbaji akaniambia nisimwambie yule mzee
Dah hapo ndi nikaanini mapenzi sio pesa na mpaka leo mzee wa watu hajui lolote , very sad...

3 MKE WA DEREVA WA SEMI huyu bi mdada bana yaani mumewe kamweka ndani nyumbs safi ila ayatendayo mkewe huku nayajua mimi na mkewe tu tull kudanga full kuponbeshwa na kuliwa kama sio mke wa mtu vile dahhh....

4 MMAMA MWARABU huyu bana ni nmama kabisa 40s yrs nilipi mbeba mara ya kwanza akaniambia nimpeleke HM G HOUSE mama wee kabla hajaingia ndani akapigiwa simu na mwabaume mwingine matusi aliyotoa yule nmana sikutegemea
Nanukuu "fa?a msen== wewe mi ndo naenda kuti##@ sina nuda na wewe" Duhhh mpaka leo siamini kama kuna mwanamke asie cheat
Never hayupo

5 JASMIN huyu mdada ni mgeni humu town katokea TABORA ni mdabgaji hatari ipo hivi alinichukua nimpeleke DM akaenda kuliwa after 2 hours akarudi tena vatcan tunapopaki pikupiki after few minutes akaniambia nimpeleke wadutya nikampeleka na kumuacha nuko mida kama ya saa 9 (tisa) usiku akaniambia nimsindikize kwake mabenga b g house anapikaa nikaona sio mbaya kwa vile ni kama mita 600 nikampeleka ile tunafika namwambiia shuka hataki aka an a kuniambia big nakupenda mi nikajiwazia tu huyu mdada anadhani mimi ni nyanya eene wakuchotwa akili kipuuzi puuzi tu,
Sikutaka achukie nikamjibi poa nimekuelewa tutaongea kesho akaahuka japo kideko mahaba na kishingo upande mi nikawaaha CHUMA nikatembea huyooo.

MDADA WA KUNISHAWISHI KUMUAMINI LABDA ASHUSHWE TOKA MBINGUNI

NI HIVYO YAANI!!!




Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana ukitaka kupima utimamu wa akil yako oa mwanamke anapokuvuruga Yale maamuz yako ndio akil yako halis ya kujaji na kutoa maamuz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh,nmeipenda
Mtu anaridhika na maisha ya baba mzazi tu sio ya mume! Kuolewa ni kubadili status tu but other things remain the same [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] umalaya ni brand ambayo ni ngumu kuitengeneza ukiona mtu anaitwa malaya amepitia mengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeongea ukweli mtupu ila umekosea kuwataja majina yao.

Anyway, mwanamke muamini 20% tu. Ukizidisha hapo, kwenye kikao chetu utapimwa mkojo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi kwa kweli kazi yangu ni boda boda yaani ukikanyaga tu ushirombo mjini huku mkoani Geita ukiuliza Big yuko wapi hakuna asienijua.

Tuachane na hayo nattoa visa vi 5 tu vilivyonifanya nisiwe na imani na mwanamke,

1 MY WIFE katika maisha yake nilijitolea kumsaidia ila kimbembe kilianza alipotoroka na kwebda nasumbwe nikapoteza muda na pesa kumtafuta nikampata na baada ya kumpata tulisumu katika ndoa miezi 9 tu akatoroka tena bila sababu ya msingi anyway nishsmsahau niiahie hapa kwa no 1.

2 Ninapopaki pikipiki i mean kijiweni kuna mzee anamiliki bar kuns siku kaniambia mchukue huyu mmama 30s yrs mpeleke kwake halatu ukirudi uje uchukue hela kwangu
Basi bana kwani hata kwa huyo nmama nikifika!!!
Kufika maeneo ya halmashauri akapigiwa simu na jamaa flani ni mchimbaji akaniambia nisimwambie yule mzee
Dah hapo ndi nikaanini mapenzi sio pesa na mpaka leo mzee wa watu hajui lolote , very sad...

3 MKE WA DEREVA WA SEMI huyu bi mdada bana yaani mumewe kamweka ndani nyumbs safi ila ayatendayo mkewe huku nayajua mimi na mkewe tu tull kudanga full kuponbeshwa na kuliwa kama sio mke wa mtu vile dahhh....

4 MMAMA MWARABU huyu bana ni nmama kabisa 40s yrs nilipi mbeba mara ya kwanza akaniambia nimpeleke HM G HOUSE mama wee kabla hajaingia ndani akapigiwa simu na mwabaume mwingine matusi aliyotoa yule nmana sikutegemea
Nanukuu "fa?a msen== wewe mi ndo naenda kuti##@ sina nuda na wewe" Duhhh mpaka leo siamini kama kuna mwanamke asie cheat
Never hayupo

5 JASMIN huyu mdada ni mgeni humu town katokea TABORA ni mdabgaji hatari ipo hivi alinichukua nimpeleke DM akaenda kuliwa after 2 hours akarudi tena vatcan tunapopaki pikupiki after few minutes akaniambia nimpeleke wadutya nikampeleka na kumuacha nuko mida kama ya saa 9 (tisa) usiku akaniambia nimsindikize kwake mabenga b g house anapikaa nikaona sio mbaya kwa vile ni kama mita 600 nikampeleka ile tunafika namwambiia shuka hataki aka an a kuniambia big nakupenda mi nikajiwazia tu huyu mdada anadhani mimi ni nyanya eene wakuchotwa akili kipuuzi puuzi tu,
Sikutaka achukie nikamjibi poa nimekuelewa tutaongea kesho akaahuka japo kideko mahaba na kishingo upande mi nikawaaha CHUMA nikatembea huyooo.

MDADA WA KUNISHAWISHI KUMUAMINI LABDA ASHUSHWE TOKA MBINGUNI

NI HIVYO YAANI!!!




Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmh! Ngoja nitafute miwani[emoji876][emoji876] kwanza ndo nisome post hii!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unge stick na mada ya mkeo,Ila mambo na kutoa siri ya wateja zako si ungwana kabisa. Kuchapiwa siri ya ndani.
 
Kuna watu wanaona wamemchukia mleta mada ghafla huku wakisahau kua yy ni bodaboda..

Ni ukweli usiopinginga kua madereva boda wanatembea na siri nyingi sana za wake za watu ata za wanaume laiti nyie mnaowaponda boda boda kwa kua wambea na jinzi unapokatiza kijiweni kwao wanavyokuurumia usingeongea kitu!

Namshauri mleta uzi aje na uzi wa kudumu wa madereva bodaboda na jinzi wanavyobeba siri nyingi moyoni!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli lakini,umenikumbusha kitu...
 
Back
Top Bottom