mpayukaji
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 940
- 349
Kikwete amekuwa madarakani kwa miaka sita. Alipoingiaalipendwa na kila mtu hata maadui zake.Je bado Kikwete ni yule yule au kalewa madaraka na kuharibikiwa? Hii ni kurayangu ya maoni juu ya kukubalika au la kwa Kikwete. Kwa madudu yote kuanziashutuma za kuhusika na EPA, IPTL, Richmond, mkewe kutumia WAMA kujineemesha nauchakachuaji nini maoni yako kuhusiana na mheshimiwa sana huyu?
Ongeza na jinsi alivyokwenda kutanua wakati watu wanakufakutokana na mgomo wa madaktari pia kupenda kutumia mafweza kwenda kutanua njeakiacha matatizo nyumbani yazaliane.
Ongeza na jinsi alivyokwenda kutanua wakati watu wanakufakutokana na mgomo wa madaktari pia kupenda kutumia mafweza kwenda kutanua njeakiacha matatizo nyumbani yazaliane.