Sina imani na Kikwete je wewe bado una imani naye?

mpayukaji

JF-Expert Member
Oct 31, 2010
940
349
Kikwete amekuwa madarakani kwa miaka sita. Alipoingiaalipendwa na kila mtu hata maadui zake.Je bado Kikwete ni yule yule au kalewa madaraka na kuharibikiwa? Hii ni kurayangu ya maoni juu ya kukubalika au la kwa Kikwete. Kwa madudu yote kuanziashutuma za kuhusika na EPA, IPTL, Richmond, mkewe kutumia WAMA kujineemesha nauchakachuaji nini maoni yako kuhusiana na mheshimiwa sana huyu?
Ongeza na jinsi alivyokwenda kutanua wakati watu wanakufakutokana na mgomo wa madaktari pia kupenda kutumia mafweza kwenda kutanua njeakiacha matatizo nyumbani yazaliane.
 
Kikwete amekuwa madarakani kwa miaka sita. Alipoingiaalipendwa na kila mtu hata maadui zake.Je bado Kikwete ni yule yule au kalewa madaraka na kuharibikiwa? Hii ni kurayangu ya maoni juu ya kukubalika au la kwa Kikwete. Kwa madudu yote kuanziashutuma za kuhusika na EPA, IPTL, Richmond, mkewe kutumia WAMA kujineemesha nauchakachuaji nini maoni yako kuhusiana na mheshimiwa sana huyu?
Ongeza na jinsi alivyokwenda kutanua wakati watu wanakufakutokana na mgomo wa madaktari pia kupenda kutumia mafweza kwenda kutanua njeakiacha matatizo nyumbani yazaliane.

Hata alipotangazwa kuwa mgombea hapo 2005 sikuwa na imani naye kabisa, hii inatokana na mimi kutokuwa na imani na TANU mpaka CCM.
 
Mtalialia sana mwaka huu mwisho mtanyamaza. Kikwete ndio Rais wa hii nchi na atabaki kuwa rais mpaka hapo 2015 atakapo mkabizi kiti mwanaCCM mwenzake.
 
Hata kama wewe ukiwa huna imani nae as long as bunge lina imani nae basi kaa kimya.
 
na hasa alipowachana madaktari na wanaharakati laivu kwenye hotuba yake
juzi, ndo nimeishiwa imani naye kabisa.
 
Kikwete amekuwa madarakani kwa miaka sita. Alipoingiaalipendwa na kila mtu hata maadui zake.Je bado Kikwete ni yule yule au kalewa madaraka na kuharibikiwa? Hii ni kurayangu ya maoni juu ya kukubalika au la kwa Kikwete. Kwa madudu yote kuanziashutuma za kuhusika na EPA, IPTL, Richmond, mkewe kutumia WAMA kujineemesha nauchakachuaji nini maoni yako kuhusiana na mheshimiwa sana huyu?
Ongeza na jinsi alivyokwenda kutanua wakati watu wanakufakutokana na mgomo wa madaktari pia kupenda kutumia mafweza kwenda kutanua njeakiacha matatizo nyumbani yazaliane.
1/40,000,000 ya watanzania ni sawa na kumwaga maji kwa kijiko baharini. Tukiacha majungu na chuki binafsi za makundi mbalimbali kama wanasiasa, wanaharakati na wanaotumiwa kama wewe, JK atabaki kuwa juu.
 
na hasa alipowachana madaktari na wanaharakati laivu kwenye hotuba yake
juzi, ndo nimeishiwa imani naye kabisa.
Kumbe wana-haraka-tu hawachanwi live? kuna siri gani hapo. Big up JK. Sasa nadhani wako katika kikao jamaa zao wa CDM kujadili ulivyowapasha na kupanga namna ya kutoka tena.
 
Ni mtu wa majungu, visasi na aliyekosa umakini kwenye mambo yake yote anayoyafanya. Kwa ujumla hajui loloteeeeee!!!! yuko pale ikulu kama picha tu, uwezo wake wa kufikiri umefikia mwisho.

- Umasikini wa tanzania hajui sababu
- Umeme yeye siyo mungu hawezi kuleta mvua
- Posho za wabunge alishindwa kutoa maamuzi akawaacha kwenye dilemma
- Madaktari hakuna la maana aliloliongea, zaidi sana amekwenda kuweka chumvi kwenye kidonda, n.k.
 
Asante kwa mada yako nzuri sanaa,licha ya hao wanaomfagilia jk kama wako seriuos basi wanafikiria toka chini
Tuache majungu na mambo ya makundi nk,ungepewa swali darasani uandike walau mambo mawili ambayo mh jk atakumbukwa pindi atapotoka madarakani ni yapi
 
Udom na uhuru wa vyombo vya habari mpaka mtu Kama wewe imefikia kumsema vibaya rais wako.
Asante kwa mada yako nzuri sanaa,licha ya hao wanaomfagilia jk kama wako seriuos basi wanafikiria toka chini
Tuache majungu na mambo ya makundi nk,ungepewa swali darasani uandike walau mambo mawili ambayo mh jk atakumbukwa pindi atapotoka madarakani ni yapi
 
Asante kwa mada yako nzuri sanaa,licha ya hao wanaomfagilia jk kama wako seriuos basi wanafikiria toka chini
Tuache majungu na mambo ya makundi nk,ungepewa swali darasani uandike walau mambo mawili ambayo mh jk atakumbukwa pindi atapotoka madarakani ni yapi
Mambo ambayo baba Mwanaasha atakumbukwa kwayo akitoka madarakani.
1. Upendo: Mzee huyu ana upendo bwana usipime, akinamama kawakumbukaje! Wakuu wa wilaya, wakurugenzi wa wilaya, na juzi juzi wakati akijaribu kupanda mlima Kilimanjaro alitamani yule dada Mbotswana awe katibu muhtasi wake.
2. Upole: Utagamba nini kwa upole wa huyu mzee bojo. Kawasameme wezi wa EPA, kawasamehe wauza unga, kafumbia macho rushwa, hata Sioyi Summari licha ya kukata ngawira mchana kweupe na kuwekewa evidence mezani kammezea na kumpigiaa debe. Mundu nnunu fijo uju.
3. Utumishi uliotukuka. Yaani katika mwaka; siku 40 likizo (Serengeti), Siku 15 ikulu kuonana na cerebrities, siku 14 ikulu, kupokea mabalozi, siku 30 kuhudhuria vikao vya chama, siku 40 kuhudhuria sherehe mbalimbali nchini, siku 20 kuongoza vikao vya baraza la mawaziri, siku 5 kupitia miswada ya sheria na kuisaini, siku 40 za ziara za ndani ya nchi na kufungua miradi ya maendeleo, siku 160 ziara za nje ya nchi kuhudhuria mikutano mbalimbali, kutafuta wafadhili na mialiko mbalimbali toka kwa nchi marafiki, siku 1 kufanya tathmini ya utendaji kazi kwa mwaka mzima na kutengeneza mpanga kazi wa mwaka unaofuata.
4. Kwenda na wakati: Rais ni mtaalam wa kupima upepo na kwenda na wakati. Mfano, Jairo scandal, Posho za wabunge, Mgomo wa madaktari n.k
5. Msema kweli: Rais ni msema kweli sana, kwani ni kweli hajui kwanini watanzania ni masikini. Pia anashangaa kwamba ati Tanzania ni nchi ya kijamaa. Hii Katiba lazima imechakachuliwa sio bure. Pia anawashangaa watu wa Mwanza, ati wanakula mapanki wakati minofu ya samaki imejaa tele, huo ni uongo tu.
 
Back
Top Bottom