Huwa nafungua uzi nausoma nikifika katikati nascroll juu kuona nani ni muandishi,
Kwa uzoefu wangu JF nikikuta nyuzi kabla sijascroll huwa naotea mwenye nyuzi atakuwa nani??!!
Kwa uzi wako huu kuna watu nakufanisha nao.
ZERO IQ
NA FALA MOJA JINA NIMESAHAU
Mbona sentensi hii inakusumbua sasa kuielewa wakati mi natumia knowledge ya from 4 tu ya division 4Mwenywe nimesoma kiswahili na nimebobea hapo. Huko Tataki nilishaingia sana kipindi natafuta shahada ya kwanza. Nitawezaje kurudi kuuliza jambo dogo kama hilo ilhali lipo uchi kabisa. Hakuna sifa hapo.
Utaelewa vzr zaidi ukielewa maana ya kivumishi cha sifa😎mkuu sijawahi kuona kivumishi kama hicho. Embu niambie ni kivumishi cha nini? Alafu uniambie sifa za kivumishi ni ipi?
Enzi za mwinyihakuna kivumishi cha aina hiyo mkuu wala sentensi ya hivyo. ulisomea wapi mambo hayo?













Mkuu acha paniki kwani nini mbaya kutongozwa na Mke wako?
















asee we me kweli!?
Mimi sina mke wala sina mpango, labda nikutongoze si ulisha zoea
Mimi sina mke wala sina mpango, labda nikutongoze si ulisha zoea
Toto ni wewe huyoMiss Natafuta naomba nitongoze please!
Shangazi kuna mtoto wa jirani amechezea simu yangu!Toto ni wewe huyo


