Sina hela lakini wanawake wananitongoza

Sina hela lakini wanawake wananitongoza

we mariyo tu huna gar afu unaita vitz gari la watoto!? unadhani prado ni gari ya tembo!? we masikini acha ujeuri wako.
🙂🙂🙂🙂 Vitz ni gari ya watoto wanaotafuta maisha ulikuwa hujui mkuu.
Kama una Vitz kako hongera ila ndio ujue kuwa ni kawatoto wanaosaka life. Mtu mzima aliyekomaa hawezi tumia hicho kigari
 
Huna hela wanawake wanakutongoza sasa ulitaka usipokua na hela utongozwe na wanaume?

Swali lako jibu lake lipo aya ya pili kutoka mwisho katika uzi huu. Usiongozwe na mihemko kama Manzi
 
Huwa nafungua uzi nausoma nikifika katikati nascroll juu kuona nani ni muandishi,
Kwa uzoefu wangu JF nikikuta nyuzi kabla sijascroll huwa naotea mwenye nyuzi atakuwa nani??!!
Kwa uzi wako huu kuna watu nakufanisha nao.
ZERO IQ
NA FALA MOJA JINA NIMESAHAU
 
Huwa nafungua uzi nausoma nikifika katikati nascroll juu kuona nani ni muandishi,
Kwa uzoefu wangu JF nikikuta nyuzi kabla sijascroll huwa naotea mwenye nyuzi atakuwa nani??!!
Kwa uzi wako huu kuna watu nakufanisha nao.
ZERO IQ
NA FALA MOJA JINA NIMESAHAU
😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom