Sina dalili ya upendo kabisa

Nje ya hizo vitu mnaita love Kwa ndani kuna kitu kinaitwa ngono ambacho ndicho huwa ni main point

No love nowadays usitudanganye haps
Upo sahihi lakini unapotafuta ngono tu kwa kila mwanamke itafika wakati hutafurahia chochote.
Mapemzi yapo ingawa ni nadra kuyapata.
 
Njoo nikupende adi uchizi
 
Shukuru Sir God yan hyo n nyota ya utajiri 😂😂 Amna tajiri mwenye muda wa kuwaza mapenzi
 
😹😹😹Niikisema sipendi pesa hamuamini nikisema napenda mnaniita tapeli?!
Mbn nikisema napenda husemi ni uongo?
Kwa sababu ni kwel hakuna asiye penda pesa ila kusema haupendi ni mbinu ya kitapeli😁
 
Openly hauko sawa kiakili, kihisia wala kisaikologia
Binadam alie kamilika anapenda anawivu na anaumizwa na mapenzi ukiona vitu hv hauna jua unamapungufu sehemu hasa mentaly
 
Openly hauko sawa kiakili, kihisia wala kisaikologia
Binadam alie kamilika anapenda anawivu na anaumizwa na mapenzi ukiona vitu hv hauna jua unamapungufu sehemu hasa mentaly
Hiyo ni kawaida tu wala haina uhusiano na tatizo la akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…