Sina dalili ya upendo kabisa

Pisi kali za chuo zinazoshindia mihogo, ndo vijana wengi huziita pisi kali.

Nweii, kuna pisi kali na kuna pisi classic, msichanganye hivi vitu. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Umefafanua vyema coca,wengi Huwa wanachanganya Kali na classicπŸ€—πŸ€—πŸ€—πŸ€—πŸ€—
 
Mimi nipate pesa kidogo tu nile na kunywa kwanza, kidogo ni save ,hizo pis classic zinipite kushoto wa hivi ananitosha kabisa kupunguza upwiru tu🀣
 
[emoji23][emoji23][emoji23]we ni pisi ipi kati ya hizo?
 
Naona tunafanana kidogo brother sema mimi nina hasira vibaya hasa demu akianza uongo uongo fulani yaani hata sijamla basi nampotezea mapema kabisa
 
Kitakukuta kitu, nasemaje tafuta hela.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hakiwezi nikuta kitu na kondoo wa livyo wengi kuliko kinikute kitu nitawa manipulate waje wanyanyue mikono ya nabii chapu tu narudi kwenye mfumo , mimi kukosa chenji za mboga ni ngumu kama kuona tako la mamba mkuu😁
 
Hakiwezi nikuta kitu na kondoo wa livyo wengi kuliko kinikute kitu nitawa manipulate waje wanyanyue mikono ya nabii chapu tu narudi kwenye mfumo , mimi kukosa chenji za mboga ni ngumu kama kuona tako la mamba mkuu😁
Sijasema chenji, nimesema Hela.
Nweii una chenji kias gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…