Sina cheti cha udereva lakini namiliki leseni

Sina cheti cha udereva lakini namiliki leseni

Joined
Jun 7, 2017
Posts
94
Reaction score
149
Ushauri wenu wandugu leseni yangu ni class C1,C2,C3 sina C plain kwa ajili ya mabasi ya abilia60 na zaidi.nilianza na Class D baada ya miaka mi3 ndio nikapata class C. NATAKA NIKASOME DRIVING VETA NIPATE CHETI haitakua tatizo?gari zote naendesha vizuri
 
Ushauri wenu wandugu leseni yangu ni class C1,C2,C3 sina C plain kwa ajili ya mabasi ya abilia60 na zaidi.nilianza na Class D baada ya miaka mi3 ndio nikapata class C. NATAKA NIKASOME DRIVING VETA NIPATE CHETI haitakua tatizo?gari zote naendesha vizuri
Mambo mengine ni kwako binafsi siyo ya manufaa kwa jamii kwa ujumla.

Ulizia kwa ndugu zako na jamaa zako wa Karibu na madereva wenzako watakuelimisha vizuri zaidi.
 
Kwann usiende VETA iliyo karibu na wewe upatiwe majibu mubashara???

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
 
Mambo mengine ni kwako binafsi siyo ya manufaa kwa jamii kwa ujumla.

Ulizia kwa ndugu zako na jamaa zako wa Karibu na madereva wenzako watakuelimisha vizuri zaidi.
Kuna mmoja alikuja eti "mtoto wangu anaharisha siku ya pili sasa na chakula hali analia tu je nifanyeje?" hahahaha niliishia kucheka kwa hasira tu.

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
 
Mficha maradhi kifo humuumbua,hata wewe unaweza kuwa ndugu na jamaa yangu.asante kwa ushauri mkuu nikipata majibu nitaomba moods waufute uzi wangu
 
Kwa mujibu wa Kichwa cha mada yako, nikukute pale Police Central kabla ya kesho saa 4:00 asubuhi.
 
Kazi ya usukani ni kusaidia kuongoza uelekeo wa gari,kazi ya clutch ni kutenganisha injini na gearbox ili uweze kuingiza gia,kazi ya breki ni kupunguza mwendo na kusimamisha gari.nawewe nipe ushauri kwa swala langu hapo juu
 
Back
Top Bottom