VERBOSE
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 8,145
- 12,746
Kuna kucha ndioIla kuna kucha fresh
Kuna kucha ndioIla kuna kucha fresh
Ooh kumbe upo seriousSubhan Allah
😂😂😂😂😂 Mkuu nipo seriously ujue
HahahaOoh kumbe upo serious
Vipi kijiji cha Makumbusho hakikufai?
Oya unataka kulima au unataka vibinti vidogo? Unatumix hapa unajuaHapana sijapuuzia wala ...
Sijapuuzia ila sijui naanzia wapi mkuu
Sijui naanzia wapi sasa..
Ila ushauri wa kuwowa vibinti vidogo ule bado ninao na unanipa hamasa zaidi 😋😋😋😋😋😋
Raha sana sana sana kuna sehemu tanga ndani ndani mpaka nasemaga sizani kama kuna watu wanazeeka kule.Simple sana
Japo vijiji vya sasa vimeeendelea kuna mdaa asili inapotea ila maisha ya kijiji raha sana hakuna foleni hakuna kelele za ovyo Kuna upendo
Your genius mkuu..mambo ya destiny nakataa
Wapi nimesema pesa ninayo mimi..Si ufunge safari uende huko kijijini kwani unazuiwa na nani usiende na umesema pesa unayo?
Achana naye mkuu atafanya usile daku kwa amaniWapi nimesema pesa ninayo mimi..
Alafu we jamaa jau kumbe
Manyanza kwa lile dili lako bora nikalime tu kaka au mara kumi nende buguruni kubeba viroba vya unga..Huyu dogo kuna dili nilitaka kumpa kalikataa 🤣
Hawezi lolote huyu wacha aendelee kujitafuta akijipata ataacha hizi nyepesi nyepesi
Ulishawahi kukaa hata mwaka mmoja kijijini? Usije kurudi kwa spidi zote town!Hapana sijapuuzia wala ...
Sijapuuzia ila sijui naanzia wapi mkuu
Sijui naanzia wapi sasa..
Ila ushauri wa kuwowa vibinti vidogo ule bado ninao na unanipa hamasa zaidi 😋😋😋😋😋😋
😂😂😂😂😂 Naongea kutokea masjid nuurUnasema unataka kwenda kuishi kijijini mana unataka kuwa karibu na nature, afu unatuuliza ufanyaje kukamilisha jambo hilo.
Tukuelekeze stand za mabus Au?
Daaah sema jamaa umeamua kunikamia sana humu 😂😂😂😂😂😂🙏🙏🙏🙏🙏🙏Km ni hivyo ingia Kisarawe hapo kalime bustani
Umesema hapa wewe huna hali ngumu ya maisha mifuko imejaa mapene ya kutosha au sijasoma vizuri?Wapi nimesema pesa ninayo mimi..
Alafu we jamaa jau kumbe
Si ndio kijijini ni raha sana nishawai kwenda camping maeeneo Fulani ni vijiji vya ndani ndani sana aisee yale maisha niliyapenda sana mpaka leo nipo town sababu ya natafuta ela ya Toyota Hilux gr ya 2018 niki hipata hii naamia bush asubuhi nikalimeRaha sana sana sana kuna sehemu tanga ndani ndani mpaka nasemaga sizani kama kuna watu wanazeeka kule.
Nashangaa wanaotoka vijijini kuja mjini for what reason...
Watu hawajui tu how nature is beautiful na ndio maana watu wakubwa unakuta wanaenda kutalii ndani ndani huko...
Sasa just imagine sehemu ambayo watu wanaenda kutalii na kupunguza stress wewe yale ndo maisha yako
Off grid lifeWakuu salam alykum
Ndugu katika imani niseme ukweli tu.
Sio kama nina hali ngumu ya maisha laaah ila tu kiukweli sina.amani na maisha ya mjini.
Napachukia sana sna sana sana
Natamani nikaishi vijijini huko mbali kabisa.
Mi kazi yangu ikawa ni kulima, kufuga na kufanya kazi za kijijini.
Napenda sana niwe karibu zaidi na nature, tofauti na maisha ya huku mjini kelele, joto na ugomvi kila siku.
Napenda maisha ya kukaa mbali na ndgu jamaa na marafiki nataka niwe na mtandao mdogo sana wa marafiki tena sio marafiki ni kama majirani tu.
Napenda maisha yangu yote nimalizie huko.
Napenda niishi kama babu zetu ambao walikua wanakaa vijijini huko ndani ndani ndio kitu napenda.
Je nafanyaje ili niweze kufanikisha jambo langu....
Nitafurahi sana pia akipatikana mtu ambaye ana wiwa kushirikiana na mimi katika hili.. au atakae nipa wazo Bora la mimi nafikaje huko.
Asanteni 🙏🙏🙏🙏🙏
Hapana seran napenda natureUlishawahi kukaa hata mwaka mmoja kijijini? Usije kurudi kwa spidi zote town!
Kama kinachokupeleka ni mabinti wadogo, tulia mjini tukutafutie taratibu😃
Mkuu naomba wewe uwe miongoni mwa ambao takua nao katika hii kampeni ya kurudi kijinini.Si ndio kijijini ni raha sana nishawai kwenda camping maeeneo Fulani ni vijiji vya ndani ndani sana aisee yale maisha niliyapenda sana mpaka leo nipo town sababu ya natafuta ela ya Toyota Hilux gr ya 2018 niki hipata hii naamia bush asubuhi nikalime
Ukimaanisha nini mkuuOff grid life
Daaah mkuu wewe umesimamia ishu ya kula tuu 😂😂😂😂😂😂🙏🙏🙏🙏🙏Achana naye mkuu atafanya usile daku kwa amani
#twendezetukijijiniMkuu naomba wewe uwe miongoni mwa ambao takua nao katika hii kampeni ya kurudi kijinini.
🙏🙏🙏🙏 Umetoa ushuhuda mzuri sna