Simwelewi huyu mwanaume

Simwelewi huyu mwanaume

nikiwe

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2013
Posts
775
Reaction score
345
Habari zenyu banaaa ni hvii huyu jamaa ninayeshea naye bed sometimez kachange gafla,anapotezea calls na sms zangu,home kwangu hafiki tena n.k anadai yuko bize ila nahisi kama ameopoa goma lingine,wanajamvi nifanyeje?na mie nivute kitu kipya fasta ama nimsikilizie?amenifanya nipoteze interest na kazi siku 3 hizi,naomba maoni yenu.
 
++

nikiwe
Ha haa haa Nilidhani unapolalamikiaga wanaume huwa huna kabisa Kumbe yupo shem!!

Back to the topic
Mpe muda huku ukidadisi undani wake ingawa nina hofu unaweza ukawa miongoni mwa wanawake wasio na muda na mwanaume asiyejali..
Utakuwa na wangapi? Tulia mahusiano mema hutumia muda kujengwa.
++
 
Last edited by a moderator:
haha ha nilijua lazima upige dongo,si awe muwazi basi mie cna neno sema nilianza kumzoea,so nivute kitu kipya?
haha thats wat sexmates do...find f.uck forget
 
wahenga walisema DAWA YA MOTO NI MOTO TU kama ni mtu wa kufikiria na ni binadamu uliyekamilika kiakili nadhani umeshapata jibu,nikutakie usiku mwema
 
mtafute umulize kulikoni...akizingua mpotezee nawewe akuone expensive....
 
Haha yupo bana wa kunikuna sema ameanza mizinguo namlia time 2 akijileta2 napiga chini
++

nikiwe
Ha haa haa Nilidhani unapolalamikiaga wanaume huwa huna kabisa Kumbe yupo shem!!

Back to the topic
Mpe muda huku ukidadisi undani wake ingawa nina hofu unaweza ukawa miongoni mwa wanawake wasio na muda na mwanaume asiyejali..
Utakuwa na wangapi? Tulia mahusiano mema hutumia muda kujengwa.
++
 
Last edited by a moderator:
Jibu nimepata ila ni ngumu kukubali kutemwa,mie siachwagi huwa naacha
wahenga walisema DAWA YA MOTO NI MOTO TU kama ni mtu wa kufikiria na ni binadamu uliyekamilika kiakili nadhani umeshapata jibu,nikutakie usiku mwema
 
haha ha nilijua lazima upige dongo,si awe muwazi basi mie cna neno sema nilianza kumzoea,so nivute kitu kipya?

mhm honesty is a rare comodity wangu...only wakina mzabzab cn give it to u straight. so me nitafute tuu
 
Jibu nimepata ila ni ngumu kukubali kutemwa,mie siachwagi huwa naacha

unaona tatizo u got weong perception kwenye sexmate relationship hamna kuachana coz u never together.
 
Jibu nimepata ila ni ngumu kukubali kutemwa,mie siachwagi huwa naacha

hizo ni kauli za kujifariji,nakumbuka enzi zangu kuna mdada mkubwa tu umri kwangu pia alikuwa bonge kiumbile,nilikuwa naye kwenye uhusiano wa kimapenzi kwa mda wa miaka 2 hivi,nilipopata kimodal cha ukweli na kulitupilia mbali kuna siku likanywa pombe na kuanza kutoa kauli za ajabu mtaani kwamba lenyewe ndio limeniacha kwa sababu eti silifikishi kileleni,sasa ndio nimekumbuka na wewe hizo kauli zako
 
Ngoja sisi vibabu tuwaachie vijana uwanja...ila ukiamua kutafuta mbadala usiache kuweka bandiko lako tena hapa jamvini.
 
Habari zenyu banaaa ni hvii huyu jamaa ninayeshea naye bed sometimez kachange gafla,anapotezea calls na sms zangu,home kwangu hafiki tena n.k anadai yuko bize ila nahisi kama ameopoa goma lingine,wanajamvi nifanyeje?na mie nivute kitu kipya fasta ama nimsikilizie?amenifanya nipoteze interest na kazi siku 3 hizi,naomba maoni yenu.

we ushapigwa chini tayar, inawqezekana vp asije kwako na cm apotezee? itakua sukari imepungua
 
Haha namanyele bana mie sifanani na huyo bonge ulomtema,am classy lady afu cnaga time ya kutalk umbea kitaa,ndomana nimeleta sred yangu hapa kupata mawazo ya wadau its just may b so chill man,ila yaonyesha mabongista ndo ugonjwa wako hadi wamkumbuka bonge wako leo stil bado wampenda ha ha ha
 
kwa nini umpoteze kwa sababu ya call na sms tuliza kichwa na mwingine utakae mtafuta akikata kupokea simu na sms unatafuta mwingine?
 
Kasema yuko bize,na its abt 3 days only,nwy wacha nifanye yangu
we ushapigwa chini tayar, inawqezekana vp asije kwako na cm apotezee? itakua sukari imepungua
 
Vunja ukimya zungumZa nae mwambie ajicheki asipokusikiliza vuta mali mpya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom