usiku wa jana tumeshuhudia ndoa ya jirani ikivunjika kutokana na masimulizi ya ma-x walokua wakisimuliana....
alianza mwanaume then akafuata mwanamke akimwambia mumewe, x wangu alikua akipiga show balaa sijapata kuona, kauli hii ilimkasirisha sana mwanaume na kuhisi yeye hawez kazi.... ndipo ukazua ugomvi nakuamua kumtaliki mkewe
nb: wanaume wenzangu tusiulize habari za ma-x kwa usalama wa ndoa zetu
alianza mwanaume then akafuata mwanamke akimwambia mumewe, x wangu alikua akipiga show balaa sijapata kuona, kauli hii ilimkasirisha sana mwanaume na kuhisi yeye hawez kazi.... ndipo ukazua ugomvi nakuamua kumtaliki mkewe
nb: wanaume wenzangu tusiulize habari za ma-x kwa usalama wa ndoa zetu