KipajiTz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2016
- 721
- 824
Ni muhimu kuwa na subira.Haya mambo ndo huwa yanafanya sisomi story za watunzi wa bongo sasa hapo kaishia kati mtu huelewi kam ndo mwisho ama inaendelea.. halafu kuendelea kwenyewe hakujulikani lini.. unakuwa mtumwa wa hiyari
subira yavuta heri, uwe unaCalm Down