Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,433
- 283,714
Siku zote kwenye hii mikutano ya CHADEMA kunakuwa na vijimambo vizuri sana nyuma ya Pazia , hebu fuatilia kisa hiki
Mtoto alipewa kuku na Mama yake ili amfuge, mtoto akaendelea kufuga kuku wake na alimpenda sana .
Baada ya Freeman Mbowe kuingia Kigoma kwenye Oparesheni 255 , mtoto huyo mdogo akatangaza kutaka kuwa Mwanasiasa, akamwambia Mama yake kwamba anataka kumpa zawadi Mbowe , na anataka kupiga naye picha, mama akamuuliza unataka kumpa zawadi gani? Mtoto akajibu nitampa yule Kuku wangu .
Baada ya Freeman Mbowe kupata taarifa hii , ameahidi kwamba atahakikisha huyo mtoto anakuwa mwanasiasa kama ndoto yake inavyomtuma , Mbowe alivua Skafu yake na kumvisha mtoto huyo .
mambo yalikuwa hivi
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Mtoto alipewa kuku na Mama yake ili amfuge, mtoto akaendelea kufuga kuku wake na alimpenda sana .
Baada ya Freeman Mbowe kuingia Kigoma kwenye Oparesheni 255 , mtoto huyo mdogo akatangaza kutaka kuwa Mwanasiasa, akamwambia Mama yake kwamba anataka kumpa zawadi Mbowe , na anataka kupiga naye picha, mama akamuuliza unataka kumpa zawadi gani? Mtoto akajibu nitampa yule Kuku wangu .
Baada ya Freeman Mbowe kupata taarifa hii , ameahidi kwamba atahakikisha huyo mtoto anakuwa mwanasiasa kama ndoto yake inavyomtuma , Mbowe alivua Skafu yake na kumvisha mtoto huyo .
mambo yalikuwa hivi
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app