Simulizi ya kichawi: "MATUNI" (Nafsi 1 Sehemu 3 Tofauti)

Simulizi; “MATUNI” (09)
Mtunzi; Author Xav
#StarXavEntertainment
====================

“Damu!!!” Neno hilo likagonga moja kwa moja mdomoni mwa Tumaini. Aliona Damu pale kwenye mfereji badala ya maji. Akapiga ukungwi wa nguvu Tumaini. Hakuwai kuona jambo kama hilo katu. Alipiga kelele nyingi mno.
----------

Tumaini aliamka toka katika hiyo ndoto, mwili mzima ulijawa na jasho. Alikua anatililikwa na jasho tu Tumaini. Haraka akakaa kitako. Hakuna alichokikumbuka katika ndoto hiyo. Maajabu. Tumaini hakukumbuka kitu chochote kile…..

ENDELEA SEHEMU YA 9…
“TUMAA..!, Tumaaa..!” Bosco alisikika akimwita Tumaini nje ya nyumba yao. Hakuitika Tumaini zaidi ya kuvuta kanga yake ileile aliyeizoea na kuburuta ndala zake kuelekea nje alikoitwa. Alisimama mlangoni akijifuta tepe la usingizi na ganya lake.

“Bosco!” aliita Tumaini huku bado akionekana hayupo sawa.

“Kanisani mpendwa!” alisema Bosco huku macho yake yakiishia mapajani mwa Tumaini aliyeshikilia nguo yake kwa kuikunjia kifuani na mkono mwingine ukiendelea kuikunja nguo yake.

“Mh!, kumefanyaje?” aliuliza Tumaini kana kwamba aelewi kazi ya kanisa.

“Kwani leo juma ngapi?” naye Bosco akamtupia swali Tumaini. Tumaini hakuonesha wasiwasi wowote ule, alitoka nje mzima sasa. Akaikusanya kanga yake na kuivutia miguuni, akakalisha makalio yake mlangoni hapo.

“Unataka nikasalishe?, au unataka nikatoe mhadharaa.. aagh!, kwanza umetubu wewe?” lilikuwa swali kwa Bosco. Tumaini aliuliza hivyo mara baada ya kuona Bosco yupo makini kuangalia sehemu zilizobaki wazi katika mwili wake.

“Tumaini… uliniahidi tutaanza kwenda wote lakini?!” alilalama Bosco na kuonyeshwa kuchukizwa na kitendo hicho.

“Wiki lijalo!” alitoa ahadi mpya Tumaini. Alimpenda sana Bosco kwa kuendelea kumjali kila siku. Hakuacha kutabasamu Tumaini.

“Naa.. na.. na ile siku ya kulala na mimi ndio kesho?” aliuliza Tumaini kabla Bosco ajanyanyua mguu wake. Hakujibu chochote Bosco, alimwangalia tu Tumaini kuanzia kichwani hadi kwenye mapaja yake, akaishia hapo. Akaikata tamaa yake na kuondoka. Ulikuwa mguu wa kanisa.

“Boscooh!, ah!. Nakupenda sana hujui tu!.” Alijiongelea mwenyewe Tumaini kwa kujiliwaza.

Si alikuwa pekee pale, akaiachia nguo yake ambayo tayari alijishikiza katika kifua chake. Mikono yake ikawa bize sasa kukata kucha zake. Alikua anawaza penzi la kijana huyo, ambaye licha ya kutojua mambo yanayoendelea kijijini hapo alikuwa bize kuhudhulia kanisa.
********

“Mume wangu!” aliita Mama Bosco akimwangalia mume wake ambaye alikuwa makini kusikiliza redio.

“Mama Bosco!” mumewe akajibu, akasubiri neno kutoka kwa mke wake.

“Unahakika Bosco yupo kanisani kweli?” aliuliza Mama Bosco.

“Sasa nawee!, la!, mimi ndiye kanisa? Au mchungaji wa zamu!, najuaje!” alijibu kwa ukali Baba Bosco.

Swali kutoka kwa mkewe halikuwa na maana kwa wakati ule kwa maana wote walimshuhudia Bosco akiongoza njia ya kwenda ya kwenda Kanisani. Sasa jambo la Mama Bosco lilimpa shida Mumewe kulitatua.

“Baasi Baba eh!, Pilipili ndimu!, kachumbali haina radha!, hadi vya ugomvi!” Mama Bosco akampa dongo mumewe ambaye tayari aliongeza sauti ya redio.

Nyumba hii ilikuwa haina ushirikiano wa kifamilia. Baba na Mama mara kadhaa wameingia katika mchuano wa kutafuta kichwa cha familia, kila pande ikiongoza mashambulizi. Bado mshindi hakupatikana.

“Na siku nikimkuta yupo na Tumaini, namkata miguu yake!” aliongeza neno Mama Bosco. Alionesha kumchukia sana Tumaini. Alikua anaongea mwenyewe kwa sasa. Mumewe alikuwa mbali na redio yake.

“Bosco, Bosco, Bosco!, Soma wewe mtoto, unataka nikushirikishe kwenye mambo haya mapema hivi?, hapana bado mdogo wewe!, bado mdogo kabisa huwezi kuyabeba, ila ukilazimisha tu, utanijua mimi ni nani!. Utanijua Bosco!.” Mama Bosco alikua anajiongelea pekeyake tu, macho yake yakamrukia mumewe kama aliyasikia maneno yake, Hora!, alikuwa bize mumewe. Bize na yeye. Mtangazaji wa redio alimkosha sana na kumsahaulisha vituko vya mkewe.

“Huyu mzee naye anahitaji tiba!, ngoja!!, mana nishamchoka mimi, tende tendee, kila siku tende tendee wakati amelima mahindi!. Nitawachanganya hawa, we Subiri!” bado mama Bosco alikuwa pekeyake. Alikua anazungumza na moyo wake. Alitamani kuonesha hadharani uwezo wake kwa familia yake, lakini onyo la moyo wake likamkanya na kumwambia anyamaze.

Hata aliporudi Bosco bado mambo yalikuwa ni yaleyale, Mama alianza mauzauza mapema mno.

“Unahakika ulikua kanisani?” ndio swali amabalo Bosco alikutana nalo kutoka kwa Mama yake.

“Kwanini?!” aliuliza kwa mshangao.

“Hata kama ulienda!, basi umechelewa?” Mama alikomalia hapo sasa.

“Sikuelewi Mama yangu, nini unazungumza?

“Ah, bado mtoto sana wewe!, mkubwa wako akikukanya basi kuwa mwelewa!” Bado alishindwa kueleweka kwa ufasaha Mama Bosco.

“Shida ni kujua mimi niemeenda kanisani au shida ni kujua kama nilichelewa?”

“Vyote ni shida tu!, Tumaini? Hujakutana nae leo?” alipunguza sauti Mama Bosco. Kwa maana ugomvi huu wa kumuhusisha Tumaini Mume wake aliukataa katakata. Hakujua nini kinaendelea. Baba alikua anaona kila analofanya mwanae yupo sawa, ila mama alikuwa na vipingamizi. Tumaini!!. Hataki hata kulisikia jina hili Mama Bosco.

“Hhahaha!, ndio shida yako hiyo!, unahitaji tu nimtaje Tumaini asubuhi yote hii?, si ulikataza mama. Niende kwa nini sasa!. Nikukosee heshima mama yangu?!” alijitetea Bosco.

“Hhahahaha, kweli kijana bado hujakua kabisa!?, nikikuonya jambo fikiria mara mbili, alafu….!, katu usilifanye!, sitaki nikupoteze mwanangu. Sihitaji ukutane na Tumaini tena. Nimesema siitaji! Sawa baba?” aliongea Mama Bosco.

“Lakini Mama kwa nini Tumaini?”

“Kwa sababu sijakuhusisha bado. Hadi ukomae mwanangu!, usilolijua ni sawa na usiku wa giza!” aliishia hapo Mama huyo na kumwacha mwanae na swali kedekede!.

“Huyu Mama nahisi ni mchawi!, la!, hapana, siwezi mkosea heshima hivi!, ah! Sasa kwanini Tumaini?, Tuma hataki kumwongelea Mama, mama anamwongelea Tuma kila siku, tena kwa Shari tu!, au?, nikamu—ulize Tuma au!. Ah lakini wanawake bhana, usikute walinyimana chumvi tu au moto. Wakalianzisha.. hahahahahahaha!” Bosco alijiongelea pekeyake alikuwa anawaza tu nini kinaendelea…

Maisha ndani ya familia hiyo yalikuwa ya kufa kupona, nyumba mbovu, maisha magumu ila hawakuacha kabisa kutafarakana. Mama na siri nzito kwa mtoto. Baba na Mama wanaongea wakati wa kula tu, nje na hapo zikipita dakika mbili waongee salama basi ni sherehe siku hiyo. Baba mkali, Mama mkali, hakuna aliyejishusha. Siku hii ikaisha kwa mtindo huo.

********
SIKU hii ya jumatatu ilikuwa maajabu sana kwa Tumaini kulala usingizi usio na mauzauza, alijilalia na kuamka bila shaka. Leo kwa hakika alijiandaa kwenda kuionesha shule.

Alitaka afungue upya ukurasa wa masomo yake ya sokendari. Alikuwa bado kidato cha pili. Leo Tumaini aliamka mapema kujiandaa.. alitaka kumfurahisha kipenzi chake. Mtu ampemndae kwa dhati baada ya bibi yake!, basi!!, ni hao tu wawili. Hakuna jirani wala rafiki mwingine.

Punde tu Tumaini alianza kutafuta nguo zake za shule zilizofungiwa siku zaidi ya saba. Alishaacha kabisa kwenda shule. Akavuta sanduku toka chini ya kitanda cha bibi yake na kulifungua. Ulitoka moshi mweupe na kupotelea angani.

“Mh!, kuna usalama kweli hapa?” aliuliza Tumaini huku akichukua shati la shule na kujipima kama litakuwa linamruka. Alicheka Tumaini baada ya kulivaa.

“Nimekua!” alijisemea huku uso wake ukinakshika kwa tabasamu.

Alikua mzuri Tumaini. Hakuna kipingamizi!. Aliendelea kujichunguza chuchu zake ambazo kwa sasa dhairi shairi zilikuwa kubwa mno. Alichongeka kiasi kwamba kutaka kutoboa shati lake nyepesi la shule, hakuwa na nguo ya ndani maharufu kama sidilia. Hakuona tabu. Akakongeka shati lake hivyohivyo.

“Mwenye tamaa na akufe?” alijiongelea Tumaini akichomekea na sketi yake damu ya mzee. Alijigeuza geuza mwenyewe kwa maana hakuwa hata na kioo. Macho yake yalikuwa shaidi tosha.

Umbo la sasa la tumaini ndio lilifaa kuvaa aina hizi za nguo. Bibi yake alimshonea nguo kubwa mno kiasi kwamba azivae wee hadi mwisho wake wa kuhitimu kidato cha nne. Kwa sasa shati lilianza kumbana na kuwa fupi kiasi kutokana na mpanuko wa kifua chake. Sketi nayo ilianza kumtupa mkono, kwani ilianza kuwa fupi kutona na ukubwa wa hipsi yake!, si alikuwa mfupi Tumaini. Vitu vilimwacha tayari akiwa kidato cha pili tu!. Akatinga hivyohivyo. Safari shuleni!.

“Siamini!, wewe huyo Tuma?” aliuliza Bosco alipomkuta Tumaini mlangoni kumsubiri.

“Samahani Baba, naitwa Tumaini ilo Siamini sijui la nani.. au basi, twende kipenzi” tayari alishamshika mkono Bosco.

“Tuma, hakuna kushikana mikono huku tuendako!, nguo zenyewe zimekuchoraaa da sijuii!!!.., na… na…” alijikuna kichwa Bosco.

“Mkoba!, mkoba wako upo wapi?, ona sasa hujabeba!.”

“Booscooh!, usijali siku ya leo ntaandika kwenye daftari lako. Hapana shida!” alizua jipya Tumaini. Yaani maandalizi yote yale na shule hakubeba daftari!, Mhh labda anaenda kufanya mazoezi ya viungo shule, ngoja tuone…..
---------

ITAENDELEA…
 
Simulizi; “MATUNI” (10)
Mtunzi; Author Xav
#StarXavEntertainment
====================

“Tuma, hakuna kushikana mikono huku tuendako!, nguo zenyewe zimekuchoraaa da sijuii!!!.., na… na…” alijikuna kichwa Bosco.

“Mkoba!, mkoba wako upo wapi?, ona sasa hujabeba!.”

“Booscooh!, usijali siku ya leo ntaandika kwenye daftari lako. Hapana shida!” aliiua jipya Tumaini. Yaani maandalizi yote yale na shule hakubeba daftari!, Mhh labda anaedna kufanya mazoezi shule, ngoja tuone…..
---------

ENDELEA SEHEMU YA 10…
Mguu kwa mguu hadi Shule ya Sekondari Malindi. Bosco akitekeleza jambo lake la kutoshikana mikono, Tumaini aliendelea kuwanyodoa wanafunzi wenzake waliomshangaa kwa kwenda shule siku hiyo.

Bosco alikuwa kiongozi sheleni. Nidhamu yake ilimpa kitengo siku nyingi tu!. Kwa faida hiyo wakashinda ofisini. Siku hii hakuna aliyeenda mstarini wala kufanya usafi, walishinda ofisini tu. Kengele na nyimbo za taifa ziliwakutia ofisini wakiendelea kusifiana kwa mapenzi yao. Haikuwa kawaida kwa Bosco lakini kwa uwepo wa Tumaini, lazima ratiba zialibike.

Wakajikokota walipohisi wenzao wameshaingia darasani. Walichelewa kama dadika ishirini tu. Lakini zikawa gumzo. Walipishana na na Gari la mshahara. Tumaini Alisha mwingiza Bosco katika matitizo. Mguu wao darasani ulipokelewa na mwalimu wa darasa ambaye kwa sasa alifikia jina la Tumaini kuita kama amekuja shule au la!.

“Tumai….!” Hakumalizia jina hilo tayari macho yake yalishamshuhudua mtu huyo akipita mbele yake tayari kwenda kukaa. Akaa tumaini.

“We mdada simama!” Mwalimu akaachana na Bosco na kumvaa Tumaini. Akamuamuru asimamae.

“Umeachika?” Mwalimu huyu wa kike alianza kumchambua Tumaini. Alimuuliza swali la uzushi. Darasa nzima likacheka. Bosco aliinamisha kichwa tu.

“Au Bibi yako amekupa barua ya kuleta kuacha shule?” swali hili lilimkera Tumaini.

Alianza kuhema tu kwa nguvu. Bosco aliyashuhudia mapigo ya moyo ya Tumaini yakidundisha peni iliyokaribu juu ya dawati. Peni ilitikisika kutokana na mapigo ya moyo ya mtu aliyesimama.

Bosco alijua fika kabisa Mwalimu amegusa sehemu nyeti sana ya Tumaini. Akamshika mkono kwa chini Tumaini kumstua yupo darasani usije ukaifanya kuwa nyumba ya mapigano. Akatulia Tumaini. Akapunguza mzuka wake na kukaa chini. Akainama chini ya dawati. Sijui aliangusha kilio. Hilo sikufahamu kwa kweli.

“Mtoro sugu wewe!, ilibaki siku moja tu!, nikufute shule. Shukuru mungu wako!” Mwalimu huyo alichukukua kila kilicho chake na kufunga jarada ya uitaji majina.

Jina la Tumaini ndio jina la mwisho kuitwa darasani. Akatoweka kwa madaa mwalimu na kiboko chake akikipigapiga magotini. Darasa likawa kimya kushuhudia tukio hilo. Baada ya mwalimu kutoka kila mtu alianzisha lake. Walinong’ona tu.

“Jina langu katia kosa au?” aliuliza Bosco kwa jirani yake.

“Tena kubwaa!, si hatuna taarifa zako leo, hata sikujua kama umefika shule, ningekuitikia” alijibiwa Bosco.

“Shit!, kamadamu kanajikuta haka! ukikafuata ofini katakutuma weee na hakupi unachotaka. Mwache, atapotezea tu!”

“Au sio?. Sema wewe mtu mzito bhana!, hilo halina shida kabisa kwako”

“Ah!, unanipaisha mzee, sio idara yangu hii..” alikatishwa na msichana ambaye breki zake ziligota katika kiti chake kando na Tumaini.

“Tumaini unaitwa ofisini!” ikaja taarifa nyingine.

Darasa nzima likawa kimya kwa mda. Macho kwa Tumaini. Tumaini mwenyewe alikuwa bado ameegema tu kwenye meza yake. Baada ya kusikia taarifa hizo akanyanyuka. Alikuwa mkavu kabisa. Hakuonyesha kudondosha hata chozi.

Akamwangalia Bosco wake na kutabasamu tu. Akanyanyuka Tumaini. Akasogeza dawati lake na kutoka hadi mbele ya darasa kuelekea mlango wa kutokea.. akasimama!. Darasa bado lilikuwa kimya tu kumshangaa Tumaini. Alikuwa na jeuri ambazo darasa nzima walifahamu.

Alipofika hapo mbele akaingiza mkono wake wa kulia katika sketi yake tayari kuchomekea. Akahakikisha shati limekaa vyema. Akautoa mguu wake hadi mlangoni. Akasimama tena na macho yake yakaangaza miguuni. Soksi zimekaa vibaya!.

Kama unavyojua king’aacho wengi hujua ni dhahabu. Lakini Tumaini aling’aa na alikuwa chupa tu kilichong’azwa na jua. Alikuwa mchawi asiyejitambua kama ni mchawi. Akawachawia wanaume wote darasani na wale wadada wavaa hijabu ambao maadali kwao ndio nguzo ya familia. Aliinama Tumaini.

Ijapokuwa sketi yake ilikua fupi lakini haikuwa tatizo kwake. Aliinama mlangoni hapo kupandisha soksi zake. Wanaume wote wakabaki hoi. Waliowai kuona mambo hayo mapema ikawa kawaida kwao. Ila ambao bado walisimamisha. Walisimamisha bila kujali wapo wapi.

Wengine mikoni vichwani na wengine midomoni. Kila mtu alifanya yake kuhimili aibu hile. Mhusika aliona poa tu. Akachomekea soksi vizuri na kutoka darasani humo huku akiendelea kuchomekea shati lake ambalo lilikuwa linachomoka kila mda. Akaacha gumzo darasa nzima.

Wengine waliswali kuomba ushetani huu uwapitie mbali. Wengine wakapata nafasi ya kuanza vita na Bosco kumnyanganya mrembo wake. Kwa kweli Tumaini alibadilika sana.

Wote hawakumzoea kwa namna hii. Ingawa kweli alikuwa mtukutu lakini si kwa kiwango cha sasa, hapa wayao wanasema “Too Much”. Wachache waliendelea kumsindika na macho yao hadi nje ya ofisi. Darasa lilikuwa hoiyahe!...

“Mwalimu, kitoto chenyewe si hichi” aliropoka mwalimu wa darasa kushitaki kesi kwa mwalimu wa nidhamu. Walikuwa wawili tu ofisini. Tumaini ndio kwanza alikuwa analeta miguu yake mbele yao.

“Tuma?” aliuliza mwalimu kwa mshangao. Alimwangalia sana usoni na kumshusha kidogo.

Akaishia katika chuchu za Tumaini. Tayari akameza mate kidogo kabla ya kuendelea kumshusha hadi kiononi. Akaganda tena!, aliona ajachomea vizuri na baadhi ya weupe wa mwili wake unaonekena. Akameza mafunda mengine mawili ya mate mwalimu huyo na kuendelea kumshusha Tumaini hadi kiunoni.

“My God!” Sketi fupi, sketi ya Tumaini ilikuwa fupi, ilianza kumruka magoti. Hapo akafumba macho mwalimu na kurudisha kichwa chake kwa mwalimu mwenzake.

“Kumbe ni mwanao?, Eh!, umesema amekudharau darasani eh!” Mwalimu huyo alishachanganywa tayari. Mtoto wa kidato cha pili alimpeleka upande wa kupotea. Akapotea mwalimu.

“Eh, yani namwita jina hajajibu!, afu anapita kwa dharauu! Kha!, bora hata hayo. Mimi kweli wa kunidharau. Nimemwambia asimame lakini kanidharau mimi Mwalimu, yani kidudu hiki kweli. Mwadhubu wewe kwa kweli mimi nitamuumiza bure, aniache ninahasira sana” alilalama mwalimu huyo aliyechochotea kesi kuwa nzito kwa mwalimu mwenzake. Tumaini hakuongea chochote, aliendelea kumshanga tu mwalimu wake huyo wa darasa.

“Ah!, we Tuma! Kwanini unamdharau mwalimu wako?, mwalimu wa darasa, mwalimu wa somo… mwalimu anayejenga masisha yako!. Mwalimu huyu!, humuoni?? Eh!” yule mwalimu wa kiume alijitia kofoka kumsaidia mwenzake ili tu aoneshe ushirikiano, lakini alishaingiwa na tamaa na mwanafunzi huyo.

“Kwa sasa nenda darasani. Kesho njoo chukua barua yako ofisi ya nidhamu. Ayhya!!, geuza!, toka nje.” Alimaliza kesi hiyo kirahisi namna hiyo akiwa tayari ashamfukuza ndege huyo katika makazi yake na kumpeleka alikotaka yeye.

Tumaini Aliamuliwa kuja kuchukua barua inayohusu kukiri kosa na kupokea adhabu. Ofisini!, Eh kesho ofisini… Tumaini akaishia zake kurudi darasani. Akaamua kumtikisia makalio mwalimu yule ambaye hadi anatoka ofisini, bado macho yake yalitamani kumwangalia mwanafunzi wake. Tumaini alikuwa mkubwa kwa siku sita tu!. Mkubwa wa kila kitu.

Darasani bado mjadala uliendelea. Baada ya kuona Tumaini anarejea darasani basi kiongozi wa darasa alipaza sauti kuwashitua wenzake.

“Nyie wa mbele!!, kipindi gani muda hu?” aliongea kiongozi wa darasa. Mmoja akakimbia mbele kuangalia ratiba.

“Sa.. sa tatu na dakika ishirini kinafuata cha Kingeleza!” alijibu mwanafunzi yule.

“Montress!, kamwite mwalimu, zamu yako leo”. Alitoa agizo kiongozi. Tumaini tayari alishakuja katika kiti chake. Kilikua karibu na kiti bosco. Tumaini alikua upande wa ukutani. Kila akimwona Bosco hakuacha kutabasamu.

“Kilichokukuta huko? Aliuliza kwa sauti ya chini.

“Akuu!!, hakuna kitu, kwani kuna kipindi gani?” aliuliza Tumaini kupotezea Sali la Bosco lisifike Mbali.
“Madam Popo, ndio anakipindi muda hu!”

“Neema Mwaipopo?” aliuliza tena Tumaini. Alikuwa ni mwalimu yuleyule wa darasa.

Hakika hii iliku ni TUMAINI DAY. Siku ya Tumaini kupata shida. Aliwaza kukumbana tena na mwalimu huyo aliyeanzisha chuki mapema tu!.... Kisu na Kisu, kutu na Kutu. Darasa linamwogopa mno huyo mwalimu…

ITAENDELEA…
 
Simulizi; “MATUNI” (11)
Mtunzi; Author Xav
#StarXavEntertainment
====================

“Kilichokukuta huko? Aliuliza kwa sauti ya chini.

“Akuu hakuna kitu, kwani kuna kipindi gani?” aliuliza Tumaini kupotezea Sali la Bosco lisifike Mbali.

“Madam Popo, ndio anakipindi muda hu!”

“Neema Mwaipopo?” aliuliza tena Tumaini. Alikuwa ni mwalimu yuleyule wa darasa. Hii iliku ni TUMAINI DAY. Siku ya Tumaini kupata shida. Aliwaza kukumbana tena na mwalimu huyo aliyeanzisha chuki mapema tu!.... Kisu na Kisu, kutu na Kutu. Darasa linamwogopa mno huyo mwalimu…

ENDELEA SEHEMU YA 11….
“Good Morning Madam!” ilikua salamu kutoka kwa wanafunzi ambao walinyanyuka baada ya kumuona mwalimu wa kipindi ameingia.

‘Neema Mwaipopo!’ alikuwa yeye mwenyewe kabisa. Alikuja katika kipindi chake cha kiingereza. Hakubeba chaki wala daftari. Alibadili mfumo wa kufundisho siku hiyo!. Alibeba fimbo tu. Tena fimbo moja kubwa. Aliisimamisha katika dawati la mwanzo na kuegema kidevu chake juu ya fimbo hiyo. Jicho kwa Tumaini.

Alimwangalia sana Tumaini kabla ajapokea salam hiyo ya wanadarasa.
“Kaeni!” aliruhusu!.

“Leo!, sijaja kufundisha. Imebaki kijisehemu kidogo sana kumaliza mada. Leo nimekuja na zoezi jingine kabisa?” aliongea Mwalimu huyo huku kila neno linalomtoka linasindikiza jicho kwa Tumaini.

“Ah!, Monta!” aliita mwalimu.

“Nipo mwalimu!” aliitika kiongozi wa darasa.

“Bila shaka jana ulilikua jukumu la kutangazia darasa!, unaweza kurudia nilichokuagiza?” sasa mwalimu aliacha kumwangalia Tumaini na kuanza kuranda randa katika pande ya darasa.

“Bila shaka!, si kuhusu jaribio mwalimu!” alijibu monita.

“Pumbavuu!, hicho tu?, sikukupa kazi nyingine?” alifoka mwalimu.

“Ah!, Ah! Ni ni kuhusu kua..- Eh!, kuandika!...” hakumaliza Monita tayari mwalimua aliamua kukisanua.

“Daftari langu la kiingereza juu!.. Don’t confuse me please!, niliacha kazi. Tena mapema tu!. No drama for Today…., Haya, standup!. Hurry!!.” Aliamuru mwalimu kwa lugha rasmi ya somo lake. Wote wakanyanyuka.
“Well!, aya kazi yangu juu ya meza!” alitoa amri nyingne, amri nyepesi kwa waliofanya kazi, na ngumu kwa wasiofanya!.

“Good!... Eh wewe!... Good!, Moses!.. oh Sawa.. Juma, hivi ndio nilivyokufundisha mimi? We juma. Is this Family Tree or Family disappointment?!. Sure!.” Mwalimu alikomea hapo kwa sekunde kadhaa, akaweka kiboko chake kwapani tayari kunyanyua daftari la Juma na kuanza kulikagua toka kazi za mwanzo.

“Kopo wewe!, hujawai ambiwa kuwa wewe ni mkubwa sasa na unatakiwa kujiongoza kusoma?. Daftari lipo uchi!, uchi, yani uchi kabisa, we Jumaa!” tayari mwalimu alirusha daftari ya juma sakafuni na kumuamuru Juma akapige magoti mbele ya darasa kusubiri adhabu.

“Monta!, well!. Sasa wewe upo karibu na taila huyu na wewe unafanya vizuri hujiskii aibu mwenzako anaandika vidudu!?. Au nikuadhibu badala yake?, aya kaa!.” Akaendelea na ukaguzi. Akakagua na kufika upande wa kina Bosco na Tumaini. Tayari alishapata watukutu wengine wawili mbele.

“Ah, Bosco!.. kwanza we unakesi!, ahsubuhi wakati naita majina hukuwepo, kwahiyo kosa la kwanza utoro!, kazi yanguu…” aliongea, na kuangalia kazi yake ambayo alikuta imefanywa kwa ufasaha.

Hakuridhika, akalipitia daftari nzima, nukuu zote zimeandika, mazoezi yote yamefanywa na kusahishwa, daftari safi lenye jarada gumu nyeupe pee, halina doa. Hakakosa hoja nyingine mwalimu. Akamwangalia tu Bosco kwa kumtamani na mwisho macho yake yakagongana na Tumaini aliyesimama wima kama askari kanzu. Hana peni!, hana daftari. Yupo yeye tu na Mungu wake.

“Enhe na wewe?” alikomea kwa adui wake.

“Sikujua kama kuna kazi umeacha. Pia ndio siku yangu ya kwanza kuja shule!” alisema Tumaini kwa kujiamini.

“Unanijaribu sio?” mwalimu aliachana na Bosco tayari alishapiga hatua dawati la Tumaini.

“Hapana mwalimu, nitafanya na kukuletea.”

“Chwaaa!” kakasikika kiboko mgongoni mwa Tumaini. Asilie??, yeye nani Tumaini hadi awe na roho ya uvumilivu kama hiyo. Akagumia kama mbwa, kiboko kiliingia na kushika nyama zote za mgogo, kikazikusanya nyama hizo na kuziweka pamoja, kilipotoweka na mlio wake. Kikaacha kovu la maumivu. Alilia Tumaini.

“Chwaaa!” kingine. Alishapigwa kiboko kingine Tumaini. Bila kufuata sharia za shule, akatamani kuua siku hiyo. Maamuzi yakawa mkononi mwa mwalimu.

“Nonsense!, kazi hujafanya!, daftari huna, jeuri ndio kwenu! Lo!, nikushindwe wewe nani?” alifoka Mwalimu josho likimtoka mwili mzima. Akahakikisha Tumaini analia kama mbwa koko. Akatosheka. Haraka na kipisi cha fimbo yake akafika hadi mbele ya darasa.

“Nikiacha kazi, Fanya!, nyie watoto wadogo sana, bado..!, bado kabisa hamjaanza maisha, yani nawaona kama wajukuu hivi. Nina mtoto mkubwa wa kuwazaa nyinyi!, cheki na hivi vingine. Rudini mkakae na iwe funzo kwenu… na.. na, Kesho nitatumia kipindi cha Maths kufanyisha jaribio!, ole wake mtu akose!, Bellow over 65!. Clear!” alimaliza mwalimu na mkuku mkuku kuelekea ofisini.

Darasani mambo yalikuwa magumu sana. Wote walisikitika mno. Walijua sio bure!, hata kama mwalimu mkali hivyo lakini si kwa tukio la mtu mmoja kama Tumaini. Afu mwanamke mwenzake!. Ulikuwa ni ukatili wa aina yake.

Tumaini aliona kilio hakitoshi, akatoka mkuku bila kiatu kimoja, mbio na kamasi zake kuongeza njia kwenda nyumbani. Hakuna ruhusa, hakuna permission!, alienda kijiganga kwao Tumaini. Darasa nzima lilisimama kumwangalia anavyotoweka Tumaini. Bosco hakuwa na namna; hata angekuwa yeye lazima ingekuwa hivyo tu… Tumaini alimaliza siku moja ya shule kwa namna hiyo. Kwenda sa moja na nusu shule, na kurudi sa nne kasoro asubuhi.
-----------

“Bibiii…..!” aliita Tumaini kwa kasi hadi ndani!, leo alimkumbuka bibi yake kwa mateso aliyopata shule. Hakuwa na kiti ndani, alifikia kitandani.

“Bibi! ndio umeniacha kwenye mateso hivi?, mbona wakati upo walikuwa hawaninyanyasi.., njoo basi niambia ulikua unafanyaje. Kuna popo anasumbua huku.. Bibi… agh!” Tumaini alilalama kwa kukosa wa kumlaumu. Mikono yake ilihangaika kugusa majeraha mgongoni lakini alishindwa. Hakulifikia hata moja.

Akajaribu kulala; hapana, maumivu!, kukaa; hapana!, atakaa hadi mda gani. Basi alale chale!. Uso na vidole vya miguu yake viliangalia kitanda, kisogo mgongo na visigino vikitazama juu. Alikua anaugulia Tumaini. Hakuna wa kumganga. Alikaa hivyo kwa muda mrefu, ilikuwa takribani masaa sita!, hakuna cha usingizi wala nini. Hadi Bosco anabisha hodi hapo, bado Tumaini alikua kitandani.

“Pitaa!, ingia!” alimkalibisha Bosco hadi ndani. Hii ndio ilikuwa mara ya kwanza kwa Bosco kuingia hadi ndani katika nyumba hiyo ya Bi Sembe.

“Dooh!, Pole sana Tumaini, hapa sijui itakuaje tena kuhusu shule!” alimpa pole.

“Hamna! hata usijali, mimi nimewaza sana tu, niache shule kisa ka mwalimu kamoja. Hapana!” alijiamini sasa Tumaini.

“Mpenzi eh!, wapo katika sharia wale, watakuumiza na huna pa kukumbilia. Pumzika nyumbani kwanza!” alitoa ushauri bora Bosco. Lakini Tumaini alikataa.

“Bosco!, nakuambia hivi kesho tu narudi shule, nilikua mpole sana, sasa watanitambua!” aliendelea kuyoyoma Tumaini.

“Na majeraha haya kesho waja tena Shule?” alihamaki Bosco, aliona miujiza mizito mno. Hakujua lengo la Tumaini.

“Bosco, utajionea tu kwa macho yako, basi kama si kuona basi utasikia tu. Jasho la mnyonge haliliwi bure!, aki tena!” Tumaini hadi aliapa kwa Mungu. Zoezi lile la shule lilimuingia sana.

“Basi me nawai nyumbani nikipata nafasi ntakuja Tuma!, ugua pole!”

“Ah!, Nenda B wangu!, nilikua na hamu na wewe leo sasa nimeghairi, nina hamu na huyu Popo sijui Mwapopo!” alimaliza Tumaini. Akamwacha Bosco aishie zake. Bosco ambaye hakutaka kujiingiza katika matatizo. Vita ya kisasi ikaibuka…..

ITAENDELEA…
 
Simulizi; “MATUNI” (12)
Mtunzi; Author Xav
#StarXavEntertainment
====================


“Bosco, utajionea tu kwa macho yako, basi kama si kuona basi utasikia tu. Jasho la mnyonge haliliwi bure!, aki tena!” Tumaini hadi aliapa kwa Mungu. Zoezi lile la shule lilimuingia sana.

“Basi nawai nyumbani nikipata nafasi nitakuja Tuma!, ugua pole!”

“Ah!, Nenda B wangu!, nilikua na hamu na wewe leo sasa nimeghairi, nina hamu na huyu Popo sijui Mwapopo!” alimaliza Tumaini. Akamwacha Bosco aishie zake. Bosco ambaye hakutaka kujiingiza katika matatizo ya vita baridi vilivyoibuka …

ENDELEA SEHEMU YA 12…
KWA hasira alizokuwa nazo Tumaini zilimfanya kuendeleza ratiba za kuto kula wala kupika. Toka atoke Bibi yake hajawai kupika wala kula Tumaini. Akabaki kitandani hapo hadi giza kuingia. Alipata shida sana kuupata usingizi lakini hatimaye alilala. Alijikuta analala baada kupilika pilika za hapa na pale na majeraha yake mgongoni. Tumaini akaibuka katika ndoto.
---------

Leo kulikuwa kuna ligi!, si ligi la mpira wa miguu wala kikapu tulilozoea kuliona Malindi. Si ligi la ushindani kupata medari wala Ngao. Ilikuwa ni ligi la watoto!. Watoto umri kati ya miaka mi nne hadi kumi na nane hivi. Watoto ambao walikuwa wanagombania ungo uliosheheni vichwa kadhaa vya binadamu pamoja na viungo vingine vya binadamu. Tumaini alikuwa mmoja wao.

Basi ligi ilo liliendelea pasi mshindi kupatikana toka lianze. Hakukuwa na refa sehemu hiyo ila kuna mtu ambaye yeye alisimama mbali kidogo na watoto hao na kuangalia kwa jinsi watoto hao wanavyoaanza kukomaa kiiimani. Alikuwa ni yule mama mwenye mapembe.

Aliendelea kuangalia mchezo huo usio na kiingilio huku akitikisa kichwa chake kama mtu anayecheza sikinde. Nadhani kuna kitu alikuwa anatamani kitokee, na kweli. Hapakuchukua muda, kikatokea. Tena mbele ya macho yake meusi.

Tumaini katika kushindana na wenzake kogombea ungo uo wa vichwa, hatimaye alikuwa mshindi. Alikua mshindi Tumaini mara baada ya kuwasihi wenzake wamwachie kwa muda mrefu, wenzake walikataa na wote kutaka kuonesha ubabe wao sehemu hilo. Haikuchukua muda Tumaini kukasilika, alipiga kunga la nguvu ambalo liliwarusha wenzake mbali na sehemu alipo. Akabaki mwenyewe tu amaeshikilia ungo huo. Alikuwa mshindi Tumaini.

Bado mwanamama huyo alikuwa anamwangalia Tumaini ambaye kwa sasa aliketisha chini na ungo wake na kuchukua moja ya sikio ambao lipo katika ungo uo. Lilikuwa ni la binadamu nalo. Akalitumbukiza lote kinywani mwake. Hakuacha doa lolote lile ling’ang’anie mashavu yake, tayari ulimi ulilamba kila kitu.

Tumaini alikuwa moto wa kuotea mbali. Alimfurahisaha sana mama yule aliyekuwa anamwangalia kwa makini. Baada ya kuona mashindano yameisha; akasogea alipo Tumaini.

“Umenifurahisha sana Matuni!, wastahili kuongoza Tuni!” Mama huyo aliongea huku akimshika shika kichwa Tumaini kama anamvilinga hivi. Akatua macho yake katika ungo ambao ulikuwa unakichwa kimoja na binadamu, sikio moja na vidole viwili vyote ni vya binadamu. Akachagua kidole gumba katika ule ungo na kumlisha Tumaini. Hakukataa Tumaini. Nacho alikitafuna bila hiyana.! La Asha!. Tumaini sasa ni Matuni rasmi.

“Hahahahaha!, umeniaminisha nguvu zako Matuni, wewe ni mkubwa kuliko hawa wote hapa. Sasa nakupeleka kutawazwa rasmi kuwa mkubwa wa Tuni. Nakupa Tuni sasa. Nakupa!, Ha haha hahahaha!” Mama huyo aliongea na kucheka kwa pamoja.

Alimyanyua Tumaini na kusogea nae upande mwingine. Waliutelekeza ule ungo palepale. Aliondoka na Tumaini. Akapotea naye katika giza.
-------

Walikuja kutokea wakiwa watu watatu sasa. Alikuwa yule mama mwenye mapembe, Tumaini na mzee mwingine ambaye yeye alikuwa ameviriga tu kaniki kuzunguka kiuno chake hadi kwenye mapaja. Sehemu ningine zoote ziliitika kuwa kweli alikua mzee, zilikua wazi sana.

“Babu!, kama ulivyomtawaza Mama yangu Bi Ndeke!, alifanya vyema sana!, alikuwa mtu aliyeshindikana kote, si Malindi tu hata katika Tuni. Ulimweka shupavu sana Mama yangu. Hadi mimi kufikia hatua hii basi ni jitihada zako katika kumuandaa Mama yangu. Nashukuru sana Babu!, wewe ni Sehemu ya Tuni, Heshima kwako”. Aliongea Mama Mwenye mapembe na kumwacha Babu huyo kuinama kidogo kuashiria amepokea pongezi zake. Akaendelea kusikiliza

“Sasa, Babu!, kama unavyoona nipo na kijana. Bado mbichi kabisa. Nadhani unajua historia ya Bi Sembe. Hichi ndicho ambacho alituhaidi. Mtoto sugu huyu. Anaweza kazi. Anaweza kuongoza. Sijasimuliwa. Nimeona kwa jicho langu. Yu tayari kuongoza kikundi. Tuni imemkubali na bila shaka bado kutawazwa tu. Huyu ndie Matuni Babu!. Mfanye awe na utambuzi wa kuzijua sharia za Tuni. Asikosee hata moja. Asiwe mkosefu kama Bibi yake. Nadhani muda ni uleule wiki moja. Bila Shaka” aliongea kwa kunyenyekea Mama yule, huwezi kudhania kuwa ni jangili yenye kushindikana.

Babu huyo alitikisa kichwa tu na kumpokea Tumaini. Hakuwa na maneno mengi. Ilionesha yeye ni mtu wa vitendo. Alimchukua Tumaini na kumruhusu Mama yule mwenye mapembe kutoweka. Akabaki babu na Tumaini.

Babu aliyebaki na Tumaini alikuwa mzee wa lika. Kama mvi ndio kwanza zilianza kumuota. Kichwani zilisambaa haswa katika utosi wake na nyingne zilionekana mwanzoni mwa kwapa yake. Alikuwa mzee mchanga. Lakini jina la Babu lilimtosha sana kutokana na majukumu mazito anayokabidhiwa. Inaonesha katika utawala wao kila mtu anasehemu yake. Yeye ali-fit katika sehemu hiyo.

Naaam!, Babu aliondoka na Tumaini. Alipotea sehemu hile aliyokabidhiwa Tumaini na kupotea naye kutokea sehemu nyingine. Usafiri wao mkubwa ni kupotea tu. Walikuwa wanashikana na kupotea. Hatimaye wanatokea sehemu nyingine. Hii ndio Tuni. Mwendo wa kupotea na kuonekana..

Babu na Tumaini walitokea sehemu nyingne kabisa. Kulikuwa na mwanga wa ajabu kama mchana wa tisa kasoro. Kulikuwa na milima na mapango kede kede. Walisimama juu ya kilima kimoja mtu na mjuu wake. Wakatazamana. Mmoja alikua anamfahamu na kumwelewa mwezake, ila mwingine alikua hakuna anachokielewa. Bado alikuwa amepumbazwa Tumaini.

“Binti!, hakika tulikusubiri kwa kipindi kirefu sana. Hatimaye…!” Babu huyo aliinama kumwangalia Tumaini machoni, Tumaini alikuwa hana shida na Babu huyo, alikuwa anaangaza angaza kama mtu asiyejua kinachoendelea.

Babu akamwacha Tumaini sehemu hiyo naye kuingia katika pango moja. Alikaa huko kwa sekunde tu na kutoka na mfuko wake. Ulikuwa mfuko ambao aliukamata vizuri mkononi mwake. Alisogea karibu na Tumaini na kuufungua. Ulikuwa na unga wa rangi nyeusi wa kutosha pamoja na usinga.

Akachukua unga kidogo kwa mkono wake wa kushoto na kuuweka juu ya kichwa cha Tumaini. Akachukua usinga na kuanza kuuzungusha unga huo sambamba na kichwa cha Tumaini. Baada ya kitambo kidogo Tumaini akazinduka na kurudi katika hali yake.

“Bintii!” Yule babu aliita kwa tahadhali, aliita baada ya kuona Tumaini ameanza kujielewa.

“Nipo wapi?, na we we-we Nani!!!??” aliuliza kwa hofu Tumaini. Babu akaona amefaya kosa kubwa kumwamsha kwa wakati hule. Alianza kuona usumbufu. Hakujibu chochote kile. Alimwangalia tu Tumaini.

“Bibiii!!” aliita Tumaini kwa sauti, lakini hata hakustuka yule babu aliendelea kumtazama tu Tumaini.

“Lakini hawa watu mbona leo wamenipa majaribio haya!” alijisemea moyoni huku akiganda kifuani kwa Tumaini ambapo palifunikwa na kaniki tu, tena nyeusi. Alikua anaoanekana maungo yake ya ndani na ule mwanga makali ulioendelea kumulika.

“Tunafanya nini hapa!?” bado alikuwa na maswali Tumaini

Sasa Babu yule aliamua kumkalisha kimya Tumaini aachane na kuropoka ropoka ovyo. Alimzungushia tena ule usinga kichwani na Tumaini kutulia. Alitulia kimya Tumaini huku akiongoza kukaa chini.

“Matuni!, kazi hii haiitaji mtu Bikra!!, kwa kuwa bado hujachezewa, basi huna budi kukaa na mimi kwa siku 7 tu!, hahahahahahaha!, Bintii!. Umejitunza sana. Bado nakuona u na hamu na mapenzi. Hakuna shaka, mimi Babu wa mababu nipo. Hakuna kitakacho shindikana, Hhahahaha”…
*******

“Tuma!, Tumaa, We Tumaa!” alikuwa bosco pembeni mwa Tumaini. Tayari alishaita mara nyingi bila mafanikio. Akawa anabahatisha tu kuendelea kumwamsha.

“Tumaa!, we mtu tunachelewa ujue!, usingizi gani huu!” Bado aliendelea kuita Bosco na kujiongelesha mwenyewe bila mafanikio… aliita saana! Lakini hakuamka Tumaini....

ITAENDELE……
 
Simulizi; “MATUNI” (14)
Mtunzi; Author Xav
#StarXavEntertainment
====================

Huko ndo wapi sasa!, darasa si lipo huku?” aliuliza Bosco.

“Naenda ofisi ya nidhamu. Nina ofa!!” alijibu kwa madaha Tumaini.

“Ofaa!, We Tuma!” aliita Bosco lakini hakuna alichoambulia zaidi ya Vumbi la tako la Tumaini lililopepea kidedea kumfukuzia mwalimu wa nidhamu ambaye ndio kwanzaaa anafungua mlango wa ofisi…….

ENDELEA SEHEMU YA 14…
“Oh!, umekuja!, Vizuri!” aliongea mwalimu huku akimalizia kufungua mlango wake na kuchoma ndani. Tumaini bado alionyesha heshima ya kusimama nje kusiburi wito wa kuingia ndani.

“Tuma ingia basi!” aliingia Tumaini na kumkuta mwalimu ameketi juu ya meza yake, huku rundo la makaratasi ya jaribio iliyofanywa punde ikiwa juu ya meza yake!.

“Mtoto mzuri!, kwanza umefanya jaribio kwa ufasaha!” aliuliza Mwalimu baada ya Tumaini kuingia ndani.

“Nina hakika!. Alijibu Tumaini kwa aibu huku akizungusha mwili wake kulia kwenda kushoto.

“Oh!, Sawa, kwahiyo hatuna budi kuongeza alama yoyote hile eh!” aliuliza mwalimu kwa namna ya kumlaghai Tumaini.

“Ah!, No Mwalimu!. Nimefanya vizuri!” Tuma akaweka uzio.

“Sawa!. Ah! Tuma unajua nimekuita hapa kufanya nini!” aliongea mwalimu kwa kung’ata lipsi zake za chini kwa meno ya juu.

“E!, si barua ulisema.” Bado Tumaini aliendelea kudeka.

“Eh!, Yes!, ni barua” Mwalimu alitoka pale mezani alipokaa na kuzunguka hadi sehemu yake anapoketi. Mkono wa kushoto ukafungua droo na kutoka na karatasi lililokunjwa vizuri. Akapiga hatua kumkabidhi Tumaini.

“Ahsane!” Tumaini aliipokea, na kwa heshima akabonyea kidogo chini kuonesha heshima ya wazi na kugeuza kuelekea mlango!.

“Tuma!” aliitwa. Akasimama.

“Abee!”

“Mbona unaharaka hivyo!”

“Hmna Mwalimu!”

“Ebu geuka!” aliamuru Mwalimu na Tumaini kugeuka.

“Naomba uisome hapahapa hiyo barua tafadhali!”

“Sawa” Tumaini alianza kuifungua Barua na tayaratibu kuanza kuisoma.

Mwalimu yeye alitembea kwa madaha hadi mlangoni. Alimwacha Tumaini akikagua barua hiyo ya Adhabu na yeye moja kwa moja alifikia mlango. Akaufunga. Aliufunga kabisa na funguo kuiacha palepale mlangoni.

Tumaini hakushitushwa na maneno ya mwanzo ya barua hiyo ambayo yalianza na S.L.P 721. MALINDI. Bali alishitushwa na maada tajwa hapo juu. Tumaini alikumbana na Manaeno yaliyochapwa kwa ufasaha yakiwa yamelala kwa muda mrefu bila kuinuka. Mengine yakiwana mgandamizo wa wino. Mengine mchanganyiko wa herufi kubwa na ndogo.

“TUMA!, NAOMBA NIWE FURAHA YAKO KWA LEO!” hayo ndio yaliandika kama kichwa cha barua. Vipi barua yenyewe!.

“Tuma, nimevutika na hipsi yako jamani!, najuta kubeba cheo cha mwalimu kwa wakati huu!. Kwanini usiitoe hii dhambi kwa kunihurumia mimi leo japo kwa sauti ya mahaba uniite Mpenzi!. Sina shaka penzi lako litafufua tena uhusika wa penzi la Ngoswe kwa Mazoea.
Tuma! ukinipa sitasema. Tutatunziana siri. Fanya kuniokoa mama!” Barua hiyo iliishia hivyo.

Tumaini alitabasamu baada ya kukuta barua hiyo haina jina la mwandishi wala Sahihi!. Alipoteza ushahidi kabisa mwalimu. Akavuta pumzi Tumaini kwa kumaliza kusoma barua hiyo ya adhabu.

Ilikua ni adhabu kweli kwa Tumaini kwani mbele yake hakumwona tena yule mwalimu.. akataka kugeuka kuangalia aliko mwalimu yule wa Adhabu!. Akakosea Tumaini. Kugeuka kwake kukawa kosa jipya, alikutana mzimamzima na mwalimu.

Tumaini hakuwa mrefu sana kusema kwamba angefikia hata shingo ya mwalimu. Wote walikuwa wafupi ila Tuma alikuwa mfupi kwelikweli. Akaonja raha kadhaa ya mapigo ya moyo ya mwalimu ambayo kwa sasa yalikuwa hayana mdundo maalumu.

Kama moyo wa mwalimu ungekuwa bendi, basi Twanga pepeta sasa ndio walikuwa dhamu kutumbuiza. Au labda moyo wake ungetokea kongo kwa kina ‘pupa’, labda tungesema ulikuwa unacheza “Yope”. Wote wakatulia wakiwa wameshikana. Hakuna aliyeyetoa neno. Tumaini alitabasamu. Mwalimu alikuwa na hofu na moyo wake usije kuchomoka. Wote walitazamana.

“Tuma, please!, nakuhitaji kwa sasa!”, baada ya kitambo kidogo mwalimu akafunguka!. Alifunguka kwamaneno na matendo. Mkono wake tayari ulionja radha ya joto mwilini mwa Tuma!, aliendelea kupapasa kutafuta Channel kwenye king’amuzi asichokilipia. Alikazana sana mwalimu hadi mambo yakajipa.

Ilichukua sekunde tu kwa Tumaini kuanza kugumia kama mbwa ambaye amedanganywa kwa kopo la mrenda kudhani nyama. Akaacha nyumba yake kuibiwa na majangili yenye akili. Tayari alianza kuhema kwa taabu Tumaini. Hii tu ni kwa namna ambavyo mwalimu alisomea somo hili la biolojia ya viungo na falsafa ya kushikana kwa muda mrefu.

Mwalimu hakujali kabisa kilio cha uongo cha Tumaini. Tayari alianza kupandisha sketi ya Tumaini kutafuta mfereji ambao utamfikisha mpaka Popeni. Hakuona haya mwalimu tayari alikaribia huko. Akapapasa kwanza alipokomea kabla ajaweka breki zake kituoni.

Lo!, akakatazwa na mwenye mji wake. Tumaini tayari aliweka kipingamizi cha kutofikiwa kwa urahisi. Japo alikuwa hana nguvu lakini alijitahidi. Hapo mwalimu akapata nafasi ya kumuogoza Tuma hadi pale kwenye meza. Tuma akabaki kuangaliana na makaratasi ya mitianai ambayo hadi mda huo alishaona kila karatasi imepata Sifuri kwa maana baada ya kuona jaribio la kiingereza alikuwa anaona jaribio la hesabu za kiindi. Moja aliona mbili na ‘y’ aliona ‘X’. alibaki kumwachia mwalimu sehemu yake ya nyuma kwa ufasaha kufanya kile kilichomtuma.

Tunajua kabisa uzembe wa Bi Sembe katika kumnunulia mjukuu wake nguo ya ndani. Tumaini alivaa kufuri ambalo lilikuwa halifungi kwa ufasaha. Kwa maana lilikuwa linalegea kama haya mapazia mbayo wanatumika na wamama wa mgahawani.
Hiyo ilimpa urahasi mwalimu kuangaza ni jinsi gani mwanafunzi wa kidato cha pili anajua kusoma na kuandika. Akameza mate mwalimu. Bado hakuacha kumchezea Tumaini kila sehemu.

Bila shaka, utakuwa umefuatana na mimi katika kuangalia marudio ya sinema tunazozipenda. Sinema hii ya mwalimu ililetwa chini ya udhamini wa mwanamapinduzi nyege. Mwalimu hakuona haya kufungua mkanda wake wa suruali na kusogeza kilichobaki kwa chini. Tayari Chanya na hasi zilianza kuangaliana bila kipingamizi. Kwa kuwa umeme ulikua jadi ya mwalimu. Badi akasogeza polepole ili kuzuia cheche zitakazotoka zisiwadhuru wanaotazama jambo hilo.

Alitumia fursa ya maji yanayotoka bila mita kwa Tuma, na kuona kama fursa kuyatumia kuoga na kufulia nguo zake. Lo!!, Punde tu mwalimua akawa kitongoji kingine kabisa. Kwa aibu hii mtazamaji nikakaa kando!. Mwalimu alishaanza kumpa Tumaini mambo yako.

“Maweeee!, Aiih! Yooo!” lilikuwa ni yowe la Mwalimu mara baada ya kushindana Tabia na Tumaini. Ilikua sio sauti ya mahaba tena. Bali ni sauti ya Malalamiko kama amebanwa na kitu chenye ncha kali.

Punde Tumaini alitoka nje kama mtu ambaye amewehuka. Alikuwa kama mtu ambaye amepandisha mashetani. Hakuacha kusimama baada ya mlango kufunguka. Tumaini alitoka hivyohivyo na mabaka yake ya shahawa kwenye sketi. Hakusimama kuiheshimu bendera ya taifa kwa siku hiyo. Alitoweka machoni mwa shule. Hakuna aliyeona tukio lile. Wanafunzi walikuwa bize na kitabu.

Mwalimu yeye aliendelea kughumia ndani ya ofisi peke yake bila msaada. Alipunguza sauti kuhofia wakija watu kumsaidia kwa wakati huo basi atamaanika kwa tendo chafu alilifanya. Mwalimu alilia polepole pasi kijua nini amefanya na Tumaini. Nikabaki na swali je Amemaliza au ndo ulikua mvurugane tu. Mwalimu alikua hoi sana akilalama mwenyewe.

Kitu cha kushangaza kuliko vyote ni hili tatizo ambalo mwalimu limemkumba. Mwalimu wa huyu wa nidhamu aliishikilia ikuru yake bila kuiachia. Ilikuwa inatema damu!. Ndio ni damu kwamaana katika dunia hii ya mahaba hakuna wazungu wenye rangi nyekundu hata mmoja!. Mwalimu alikua anavuja damu tu katika uume wake. Aligumia yeye mwenyewe pasi na msaada. Shule ya Malindi ilikuwa na waalimu wachache sana.. hawafiki tisa, na ofisi zao zilikuwa tofauti, labda wakutane ofisi kuu kwa ajili ya maakuli…..

ITAENDELEA….
 
Simulizi; “MATUNI” (13)
Mtunzi; Author Xav
#StarXavEntertainment
====================

“Tuma!, Tumaa, We Tumaa!” alikuwa Bosco pembeni mwa Tumaini. Tayari alishaita mara nyingi bila mafanikio. Akawa anabahatisha tu kuendelea kumwamsha.

“Tumaa!, we mtu!!!, tunachelewa ujue!, usingizi gani huu!” Bado aliendelea kuita Bosco na kujiongelesha mwenyewe bila mafanikio… aliita saana!....

ENDELEA SEHEMU YA 13.
Bosco alimwita sana Tumaini bila mafanikio na hatimaye akaamua kuwai shule!, hapakuwa na msaada wowote ule wa kumtoa Tumaini katika dimbwi la usingizi. Aliita na mwisho kutoweka.

Bosco aliongozana na njia kuelekea shuleni kichwani hakiwa haelewi hili wala lile. Wazo kwa Tumaini!.

“Katu!, katu!, sijawahi kumwona mtu analala kama Tumaini!” aliendelea kuwaza huku akipotezea salamu za wanafunzi wenzake. Alikuwa mbali sana Bosco. Tuma hakumtoka kichwani.

Naam Bosco tayari alishatimu shule. Moja kwa moja akaongoza njia kuelekea ofisini. Akatua mkoba wake mezani na yeye kufuata kukaa juu ya meza hiyo.

“Bosco!, wapi Tuma!” ilikuwa sauti ya Kaka mkuu wa shule masikioni mwa Bosco. Bosco akashituka katika mawazo na moja kwa moja macho kwa muuliza swali.

“Umesema?!” aliuliza kana kwamba hakuna alichosikia. Na kweli hakusikia Bosco alikuwa mbali mno.

“Sikuoni na Tuma leo!” Kaka Mkuu akauliza tena!, sawali hilo lilimkera sana Bosco na kukosa majibu ya kumpa. Kwani ni wiki sasa anakuja shule mwenyewe. Iweje auliziwe Tumaini kwake?.

“Yupo kwao!” akajitutumua kujibu kwa mkato na kutoweka ofisini humo. Moja kwa moja hadi nje. Aliangaza mazingira ya shule yanavyoendelea kufanyiwa usafi. Kila kitu kilienda sawia. Mguu wake ukaingia tena ofisini, safari hii sio wa kutaa, alinyanyua mkoba wake kuongoza darasani…

“Tuma!!” Bosco alishituka kumkuta Tumaini yupo kwenye kiti chake!. Alikuwa darasani Tumaini.

Ni maajabu ambayo yanashindwa kueleweka kwa kweli. Yalimwacha Bosco na mkoba wake mkononi!. Tuma yupo Darasani!, au ni wenge tu la usingizi. Hataua za haraka zikafuata hadi alipo mtu ambaye alihisiwa ni Tuma. Mtu huyo alikuwa anacheka tu.

Bosco alikuja hadi sehemu husika. Akapikicha macho yake kama mara mbili hivi, akafungua. Tuma! Yupo mbele yake. Akaona isiwe shida ngoja apikiche tena, akafumba macho Bosco na kufungua!. Bado alikua ni Tuma. Tena Tumaini aliyetabasamu kuliko jana!.

“Lo!, Umewezaje kuwa darasani mda hu?, na umepitia wapi!!?” aliuliza Bosco kwa mshangao.

Ni kweli kabisa katika Shule ya Sekondari Malindi kuna njia moja tu kubwa ambayo unaanza kupishana na jingo la Ofisi ya Taaluma, unafuata na Ofisi za viongozi hapo ndipo unagawanyika kwenye sehemu nyingine kama madarasani, ofisi za waalimu pamoja na vyoo.

Hata kama Tumaini alikuwa shuta kiasi gani lakini katu asingeweza kujiandaa kwa muda ule na kuwa darasani. Hii ilikuwa ni maajabu. Kutoka kulala hadi darasani?. Bosco aliona siku hiyo hayupo sawa. Kama hawajamroga!, basi wameamua tu kumchezea mapicha picha. Hakusubiri jibu kutoka kwa Tumaini ambaye alikuwa anatabasamu tu kila akiangaliana na Bosco.

“B- Baba angu!, mbona mimi leo ndio wa kwanza kuja shule!” aliendelea kumchanganya Bosco.

“Wa.. wa! wakwanza?!” aliuliza Bosco. Mwishowe akakosa nguvu na kubweteka katika kiti chake.

“Eh!, mie ndio nimefungua shule leo. Na toka nije darasani, Katu sijatoka B wangu!” Tumaini alikuwa mwenye sura iliyomaanisha kila anaongea.

“Oh!, Hhaha, Leo umeniweza kwa kweli!!, we tuma si dakika zilizopita tu, nimekuamsha kwenu pale na hukuamaka hadi nikaamua kusepa zangu?!, sa.. wa.. kwanza kuja kivipi!!?” Akamtwanga swali Tumaini.

“Hahaha we Bosco!, umenikuta mimi kabisa?, sasa huyo nani? na mimi ni nani?” aliendelea kumkoroga Bosco.

“Tuma nisamehe Mama, inaonyesha leo sipo sawa!. Lakini!... ah basi sawa!. Nimekubali!” alikubali Bosco kumaliza ushindani japo kuwa bado picha hili liligoma kutoka kichwani.

“Acha wenge wee!, subiri Popo aje na mtihani wake hapa. Tumalize kazi!” aliongea Tumaini kwa kujiamini.

Bosco alicheka sana. Kwa kweli hali ya Tumaini ilikuwa inabadilika kila saa. Kila tukio la Tumaini lilimchanganya sana Bosco. Sasa Tumaini anahamu ya kufanya mtihani wakati ana wiki nzika hajasoma chochote!. Hili lilimshangaza sana Bosco!. Kwanini asicheke kwa nguvu. Alicheka hadi darasa likainuka na kumtazama kwa mshangao.

Basi muda wa kufanya jaribio ukafika, kama ilivyo ahadi ya mwalimu ‘Neema Mwaipopo’ kweli alitumia kipindi cha asubuhi kuwafanyisha jaribio wanafunzi wa kidato cha pili. Lakini katika usimamaizi wa jaribio hilo mwalimu huyo katu hakung’aza pua yake. Badala yake alitumika mwalimu wa nidhamu kusimamia kila kitu.

Zilikuwa dadika ishirini na tano tu kumfanya Tumaini kumaliza jaribio la saa moja. Hakukuwa na muda maalumu wa kukusanya, hivyo kumpa mwanya Tumaini kupeleka karatasi lake kukusanya!.

“Tuma!, usiende popote!. Nakuhitaji osifini haraka baada ya jaribio hili kuisha!” alikuwa ni mwalimu wa nidhamu ambaye alimshitua Tumaini aliyeanza kunyoosha njia baada ya kukusanya karatasi.

Haikuwa shida kwa Tumaini kugeuka na kutikisa kichwa kwa kukubali kuwa amekubali agizo hilo. Akatafuta sehemu ya kukaa kumsubiri Bosco wake atoke katika jaribio.
---

“jaribio jepesi eh!” aliingia mwalimu darasani na kuliuliza darasa ambalo sasa ilikuwa ni dakika ya hamsini na hajatoka mtu mwingine toka atoke Tumaini.

“Hmm, mmmh!, Enhee!” ilikuwa ni mighuno huku kila mmoja akishindwa kuelezea, hali yake inavyomwandama. Waliokula peni waliendelea kufanya hivyo hadi wanaamuliwa kusimama. Jaribio likaisha kwa wote kukusanya karatasi zao. Jaribio lilikuwa sio lao kabisa. Ulikuwa mtihani uliowazidi umri.

Mwalimu aliamua kuwakomoa. Alitunga Mtihani wa mwisho muhura kwa mada za kidato cha sita kwa wanafunzi wa kidato cha pili.

“Tumaa!, haha! hutaki shida wewe!, umeandika jina tu umetoka zako!, hahahha!” alikuwa ni Bosco ambaye alishamkaribia Tumaini na kukaa chini kando yake.

“Jina!?, nimefanya hadi maswali ya ziada!” alijibu Tumaini. Wote wakacheka.

“Asee Tumepata mwalimu wa kipekeee sana!, sana, tena Saana. Ila kama lugha inapanda!, jaribio linajibika lile… ila sasa kupata 65, hmmmm!. Labda 35 hivi. Hahahahaha!” alicheka sana Bosco. Tangu aanze shule hiyo katu hakuwai kuelewa falsafa za mwalimu wake.

“Nimekusubiri sana Bosco hapa, ukajifanya wewe unaakili!, sijui ulikua unaandika nini yani!. Hadi mda umeisha” aliongea Tumaini akichezea maua saa sita yaliopo kando yake.

“Hmmm!, kuna la spesho nimepishananalo nini?” aliuliza bosco akiangaza kama kuna kitu bibie Tumaini alimwekea.

“Hamna nilitaka kukuambia kitu kuhusu mama yako. Ila kwa sasa muda hauruhusu!, wacha nifanye jukumu linalofuata!” aliongea kwa mafumbo yasioeleweka na kusimama Tumaini. Alimwacha Bosco katika bumbuwazi!.

“Mama kafanyaje tena!” aliuliza.

“Hamna kitu!, nimekwambia nilitaka kukuambia!, na nitakuambia ila umechelewa. Nitatafuta mda mwingine. Ngoja niende huku!” alianza kuongoza njia Tumaini.

“Huko ndo wapi sasa!, darasa si lipo huku?” aliuliza Bosco.

“Naenda ofisi ya nidhamu. Nina ofa!!” alijibu kwa madaha Tumaini.

“Ofaa!, We Tuma!” aliita Bosco lakini hakuna alichoambulia zaidi ya Vumbi la tako la Tumaini lililopepea kidedea kumfukuzia mwalimu wa nidhamu ambaye ndio kwanzaaa anafungua mlango wa ofisi…….

ITAENDELEA…..
 
SIKILIZA SIMULIZI YA ANGAMIZO SEHEMU YA NNE.. YA 1, 2, NA 3 ZOTE ZINAPATIKANA. USISAHAU KU SUBSCRIBE
 
Simulizi; “MATUNI” (15)

Mtunzi; Author Xav

#StarXavEntertainment

====================



Kitu cha kushangaza kuliko vyote ni hili tatizo ambalo mwalimu limemkumba. Mwalimu wa huyu wa nidhamu aliishikilia ikuru yake bila kuiachia. Ilikuwa inatema damu!. Ndio ni damu kwamaana katika dunia hii ya mahaba hakuna wazungu wa rangi nyekundu hata siku moja!. Mwalimu alikua anavuja damu tu katika uume wake.



Aligumia yeye mwenyewe pasi na msaada. Shule ya Malindi ilikuwa na waalimu wachache sana.. hawafiki tisa, na ofisi zao zilikuwa tofauti, labda wakutane ofisi kuu kwa ajili ya maakuli…..



ENDELEA SEHEMU YA 15…

TUMAINI alisonga njia hadikufika nyumbani kwake. Mbele yake kulikua na nyumba ile ambayo ameachiwa na bibi yake!. Alipofika nje ya nyumba hiyo alisimama Tumaini. Alisimama bila kusimamishwa na miguu yake. Alijinyonga nyonga mwenyewe akiwa hajielewi kabisa. Shati likiwa halijakaa sawa, sketi imebadilika upande. Mdomo na macho yote ilikuwa imefunga.



Hakuchukua mda Tumaini, yatari alianza kuzunguka bila mpangilio, alizunguka kama pia. vidolevyakevikiwa vimekakamaa kujikunja bila kufungua. Kama angekuwa anaonekana na watu Tumaini basi wasingesita kumwita kichaa, kwa maana alichokuwa anakifanya hata yeye mwenyewe alikuwa hakielewi.



Zilipita dakika mbili toka Tumaini azunguke pasipo kutulia na sasa alitulia. Alitulia Tumaini. Macho yake yakiwa mlangoni. Aliganda pindi tu alipoona kimvuli cha mtu!, ndio mtu, alikuwa mwanamke mlangoni mwa nyumba hile ya Bi Sembe.



“Bibi!” aliita Tumaini kwa mshangao.



“Bibi!, inamaana umerudi e!, umerudi Bibi?” aliongea Tumaini na kivuli na sasa alizipiga hatua kufuata kivuli hicho cha bibi yake alichokiiona.



Tumaini bila kuangalia nini anaenda kukikumbatitia akajikuta anajipisha kichwa katika mlango ambao ulikuwa umeegesha tu. Hakukuwa na bibi yake mahali pale, macho yake yalimdanganya. Na sasa aliumia.



Lilikuwa tukio jingine kabisa kumkumba Tumaini kwa siku hii ya leo. Alishayakwaa ya shule ba sasa anayakwaa ya nyumbani kwake mwenyewe. Leo mwenyeji aliadhibiwa na nyumba yake. Alizimia Tumaini akiwa kichwa na kiuno chake vipo ndani ya nyumba na miguu yake ikichungulia nje. Tumaini akalaa hapo.

********



“Bosco!, nataka nikuambie kitu leo!. Ila si cha kutangaza kamwe!. Hata baba yako asihusike kabisa!” Alikuwa Mama Bosco ambaye alimalizia kuni za mwisho kuchochotea moto wa kuota. Kando yake alikuwa Bosco.



“Sawa Mama!, Siri zako zote ulizoniambia zipo kifuani, sijawai katu kusema Mama yangu!” alijibu Bosco.



“Hapana, achana na siri za kitoto hizo. Siri hii hadi nakupa onyo inamaana ni nzito kuliko zote ulizowai kusikia. Nisikilize Mama yako”. Mama Bosco kwa sauti ya upole akamsogelea mwanae. Sasa walikuwa wanatazamana kama pua na mdomo.



“Umeanza kunitisha kabla Mama!. Au….” Aliongea bila kufika mwisho.



“Ndio Tumaini!” alimalizia Mama Bosco. Alishajua mwanae ameanza fikra za kumzungumzia Tumaini.



“Enhe nakusikiliza, amefanyaje?” aliuliza Bosco.



“Bosco, nilipokuambia kuwa Tuma sio mtu wa kumsogelea, nilikuwa kweli namaanisha!” aliishia hapo Mama Bosco na kuangalia kama Mume wake atakuwa anaisikia sauti yake. Akaakikisha kuwa walikuwa mbali na alipo mumewe!. Mume wake alikuwa ndani na yeye alikuwa nje na mwanae.



“Sa ilo tu!, ulishaniambia Mama!!” Bosco alijibu kiurahisi kuliko alichoanza kukimaanisha Mama yake. Aliendelea kusogeza kuni kwenye moto ambazo zilikuwa ninachungulia bila kuguswa na moto.



“Nimekuambia hili ni jambo la siri na la hatari kuliko yote ambayo tumewahi kuongea!.” Aliongea tena Mama Bosco na sasa Macho yote makavu machoni mwa Bosco!. Bosco alishituka baada ya uona umakini wa mama yake juu ya jambo hili.



“Bosco!, Bibi yake Tuma, Bi Sembe alikuwa Mshirikina wa kutupwa!. Unalijua hilo?” aliuliza Mama Bosco swali ambalo lilikuwa jepesi kwa Mwanae.



“Haha!, Mamaa, Nilikuwa nasikia tu kwa watu kama wewe unavyo niadithia. La asha!, sijawahi kufanyia uchunguzi hilo!.” Alijibu kwa ufasaha.



“Unakujua walipo Mama na Baba wa Tumaini?” aliulizwa tena Bosco.



“La!, nako sikufahamu, nilisikia tu kama hadithi vile. Wamefariki wote!” alijibu.



“Wote wameuliwa na Mchawi Bi Sembe!” alikazia Mama Bosco.



“Mhh, Mama lete ushahidi basi, mambo mengine ni imani tu!”alijibu tena Bosco, bado alikuwa anakiburi cha maneno.



“Bila shaka mimi ni Mama yako, na ndio kiumbe pekee ambaye nimetangulia kuliona jua baada ya Baba yako!, usiniambie kitu kuhusu hiki kijiji!” aliendelea kuleta maneno ya hatari kwa mwanae ambaye aliyachukulia kawaida tu.



“Sasa Mama.. ah! Kuhusu wazazi wa Tumaini umesema… wameuliwa sijui na Bi Sembe, na vipi kuhusu mdogo wangu Clara? Nae ameuliwa na nani?” aliuliza Bosco kama kisasi cha swali kwa Mama yake.



“Umeanza kuleta ujinga si ndio!. Unataka nikasirike si ndio?” alichukizwa sana na swali la mtoto wake Mama Bosco. Ni dhairi kweli alichukia, ni swali ambalo katu hakuwai kutarajia kama anaweza kuulizwa na Bosco. Tena kwa wakati hule!.



“Hapana Mama, nimeuliza tu!, kwani nawe si uliniuliza..” akajibu Bosco huku akimcheka Mama yake kisirisiri. Alijua swali hilo limemuuma haswa.



“Sasa kwa sababu mimi sipendi mambo ya kukwaruzana usiku huu na nataka nikalale bila kinyongo leo. Nakupa hii. Hata kama ya moto ishikilie na katu usiiangushe…. Tumaini ni Mchawi!” aliishia hapo Mama Bosco na kukusanya vyombo vyake tayari kuondoka.



“Mamaa!” aliitwa kabla hajanyanyua mguu kuondoka sehemu hile. Lakini hakujibu na wala hakugeuka kuitika wito hule wa Bosco. Alitoweka zake na kumwacha mwanaye na kijiti ambacho alikua anakitumia kuchezea makaa ya moto. Alitoweka kabisa Mama Bosco.



“Tumaini Mchawi…. Amejuaje?. Au…!. Siri!. Hii ni Siri!. Tumaini ni Mchawi..” aliendelea kurudia maneno kedekede ambayo alitwishwa na Mama yake bilakuangalia umri wa mbebaji.



Alichanganyikiwa Bosco kuangaza kama kuna mtu wa kumpa majibu ya maswali yake. Lakini hakukuwa na mwingine zaidi ya Mama yake ambaye tayari alionesha amezima mwanga wachumbani, maandalizi ya kulala.



Alipowaza sana na kukosa majibu, akaamua kunyanyuka na kwenda chumbani kwake kupumzika. Kichwani ni Mama na Tumaini, kuna siri gani ya hawa watu. Bosco alikuwa mwenyeji katika kuchanganua Mambo.

-----------



Bosco bado alikuwa na mawazo ya kupembua baadhi ya takataka ambazo zinaweza kumletea shida katika usingizi wake. Alitamani kujipa majibu ya kila swali ambalo alikuwa anajiuliza.



“Picha linaanza Bi Sembe!, katu sikuwahi kumwamini Yule Bibi inawezekana ni Mchawi.. afu Tumaini naye Mhhhhh, sidhani kama ni mchawi Tuma. Ila.. naye kuna maneno mda mwingine anaongea yananitia mawazo sana!. Mara nilimkuta hana nguo ya ndani. Mara anaanguka anguka tu. Eh!, mara nilimkuta ajielewi. Afu hata kifo cha bibi yake sikuwaelewa vizuri.. itakuwa..!. ha ha ha!, Jamani. Siku leo tu Tumaini nilimkuta kwao nikamwamsha..katu!, katu Tuma hakuamka.



Alikuwa amelala fofofo!, afu mara nikamkuta amewahi shule na kusema yeye alikuwa wa kwanza kuja shule!. Tuma, Tuma, Tuma, Mhhhh…” aliwaza Bosco huku akisongeza nguo anazoegemea kama mto na kuweka vizuri kichwa. Sasa alianza kupata Maana ya maneno aliyoambiwa na Mama yake.



“Na Mama naye amejuaje hadi Tuma Mchawi akati katu hawajawai kukutana!... eeeh!, Mama na Tumaini hawajawai kukutana. Na kwanini Mama hapendi uhusiano wetu na Tuma…… aagh!...” yalikuwa ni mawazo malefu ambayo yalimfanya Bosco kutongozeka na usingizi. Ulimpitia usingizi wa ghafla mno wa bila kutarajia. Alilala vile vile kama alivyojiweka..

------



Dadika chache tu katika kona ya kushoto kwa Bosco alisimama Mwanamke ambaye alivaa kaniki tu. Uso wake ulikuwa umeiva kwa vumbi jeupe hadi kwenye masikio. Manamke Yule alipotokea alianza kumwaga vitu vya ajabu kitandani mwa Bosco. Alimwaga kuzunguka mwili wa Bosco ambao kwa sasa ulikuwa mbali kwa usingizi.



Hakuishia hapo. Yule mama alitoka pale konani kwa mwendo wa kuruka ruka. Aliruka vilivyo kwa nyuma nyuma kutanguliza makalio yake na kisha mwili mzima. Kama ilivyo desturi ya Wachawi. Hakuaacha kuongea lugha sizoeleweka. Bado alikuwa anamwaga unga ule na sasa kuzunguka kitanda cha Bosco. Mwishowe akasimama.



Akasimama Mama yule mbele kabisa ya mwili wa Bosco. Akachukua unga katika kiganya chake cha kushoto na kusogea hadi alipolala Bosco. Akampaka unga usoni bila kuangalia kiwango.. alimpaka mwili mzima.alicheka kidogo kisha akainua kichwa Mama yule.



Baada ya cheko, Bosco alionekana kutikisika na kuinuka pale alipolala. Aliinuka kuanzia kichwa hadi kiuno. Miguu iliendelea kuwa vile vile kama ilivyo. Na mwishowe Bosco akafumbua macho na kukutana ana kwa ana na Mama yake Mzazi….



ITAENDELEA…..
 
Simulizi; “MATUNI” (16)

Mtunzi; Author Xav

#StarXavEntertainment

====================




Akasimama Mama yule mbele kabisa ya mwili wa Bosco. Akachukua unga katika kiganja chake cha kushoto na kusogea hadi alipolala Bosco. Akampaka unga usoni bila kuangalia kiwango.. alimpaka mwili mzima. alicheka kidogo kisha kuinuka na unga wake.



Baada ya cheko, Bosco alionekana kutikisika na kuinuka pale alipolala. Aliinuka kuanzia kichwa hadi kiuno. Miguu iliendelea kuwa vile vile kama ilivyo. Na mwishowe Bosco akafumbua macho na kukutana ana kwa ana na Mama yake Mzazi….



ENDELEA SEHEMU YA 16…

Bosco sasa alikuwa anatazamana ana kwa ana na Mama yake Mzazi. Lakini katika hali isiyo ya kawaidaBosco alikuwa hawezi kuongea wala kufanya kitu kingine chochote zaidi ya kukaa tu. Alipokaa kitako na Mama yake pia alisogea karibu na Bosco na kukaa, walikaa pamoja sasa.



“Mwanangu!, nimeona bora nikukinge, japo najua nitafanya kosa!. Najua mwanangu ni kosa kwani Tuni wakisikia basi hapana shaka nitateketea kwa mateso sana. Mwanangu mi sitaki kabisa kuona kile ambacho kinaendelea Tuni!.



Hivi navyo kuambia Mama yako nipo katika mbinu za kukimga na kumpinga Matuni!, asichukue Tuni yetu. Sioni kama atakuwa sahihi yule mtoto, kwa maana kwa sasa hana mtu wa kumtoa kafara!..” Aliongea mama Bosco huku akiminya mikono yake ambayo ilikuwa na alama na unga unga ambaoalikujanao kumpaka Bosco. Akanyanyua uso wake na kumfikia mwanaye, kisha akaendelea..



“Ah, mwanangu, Huyo Matuni ndio huyohuyo Tumaini!, eh! Mwanangu. Sasa kwa akili yangu hii ndogo, najua kabisa unaenda kuteketea mwanangu!. Hakuna damu nyingine ambayo ipo karibu na Tumaini zaidi yako!. Utakufa mapema mwanangu!. La mie mama yako nikashindwa kukusaidia baadae.



Mwanangu, usishangae Mama ako nimevaa vazi ambalo katu hujawahi kuliona!. Ni kweli Mama yako ni Mchawi!, tena mchawi mzuri tu kama alivyo Bi Sembe!.Mwanangu!, Leo nakutetea lakini.. nafanya kosa!. Nafanya kosa kabisa mwanangu kwamaana mda wako ulikuwa bado.



Hata mama yangu aliyekufa kifo cha mateso, naye alifanya jambo kama hili. Hapana shaka nimekubali madhara lakini natetea damu yangu!”. Mama Bosco aliendelea kuongea huku aibu ikimshika sawasawa kuonekana mabega wazi mbele ya mwanaye.



“Kila mara nilikuwa namwongelea mabaya Tumaini na ulikua huelewi kwanini.. la sasa wajua sababu e?. Mimi na Bi Sembe tulikuwa wachawi lakini katu hatukuwai kuongea kwa jema hata siku moja. Nilikuwa namchukia sana Bibi yule toka tu nipate taarifa kuwa mjukuu wake anaweza akaja kutuongoza kutokana na nyota yake kali kulizo wazaliwa wote wa kipindi kile.



Asa kweli mwanangu na uzee wangu huu niongozwe na mtoto?, tena mtoto wa adui yangu!. Hmm Hapana. Hata kama Matuni akiwa mkuu wetu. Nitapigana naye kama nilimvyo mpiga bibi yake Bi Sembe!. Aaagh!..” alisita kidogo Mama Bosco.



“Bosco mwanangu!, mi uchawi sijaanza mda mrefu!, ni kiipindi tu nina mimba yako. Ilikua la nikupoteze wewe la nipoteze Mama. Nikachugua kuwa mchawi ili nisiwapoteze wote wawili. Na chanzo ni Mama yangu ndie alikuwa mchawi lakini sikuona ubaya. Nikaungana na Tuni!. Hivyo tu mwanangu.. nina mika kama kuni na nane tu toka niwe mchawi kamili. Lakini katu hata Baba yako hajui. Ila nahisi anahisi itakuwa hivyo, ila sijawai kumwamisha kamwe!.



Na kuhusu Baba yako!, ni mimi ndiye mgomvi wa kila saa!, Baba yako hakunipenda hata kidogo hapo mwanzo. Ni mie ndio nililazimisha ndoa. Hata baada ya kukupata wewe!, baba yako alikimbia. Alinikimbia kabisa yani. Lakini namshukuru Mama yangu. Mama yangu alinipa dawa ya kumrudisha Baba yako. Na kweli akarudi. Ila alirudi pasi na makubaliano ya kiimani. Toka hapo aliporudi hadi leo hii.. tunaishi kwa kugombana tu!, mda mwingine sio kama tunapenda hapana. Ila inatokea tu.. inatokea.



Mwanangu!.. hi ndio siri ambayo nilipanga nikupe!, weka moyoni na katu usiitoe!,Aya Lala Mwanangu!..sitajali jicho ambalo utanitazamana asubuhi ya kesho. Ila kumbuka mimi ni mama yako na nakupenda sana mwanangu!” Mama Bosco alimaliza maongezi kwa staili hiyo. Alimuaga mwanaye ambaye alimlaza tena kama alivyomkuta mwanzo.



Akasimama mama Bosco na kuanza kuzunguka kitanda hicho kutafuta kona ambayo alifikia mwanzoni. Naaam!, aliifikia. Alikunyata kama mtu anayehisi baridi na kutoweka eneo hilo. Alitoweka Mama Bosco..

********



TUMAINImara baada ya kuanguka na kuzimia katika mlango, alitokea katika Tuni. Sehemu sahihi ya kujifunza na kuishi matendo ya uchawi. Kilikuwa ni chama haswa, chama kitawala cha dunia yao. Bado Tumaini alikuwa mikononi mwa yule Mzee ambaye alikabidhiwa katika kuhakikisha Tumaini anatawazwa na kuweka sawa ili aongoze Tuni. Aliaminika Tumaini.



“Bint.. Leo ni siku ya kwanza ya kuanza maandalizi kueleekea utawala wa Tuni…” alikuwa yule mzee akitikisa usinga wake kwenye mwili wa Tumaini ambaye alikuwa amelazwa chini sasa.



“Binti… Zoezi linalofuata ni hatari sana kama nitakosea masharti!. Unaweza kuwa mtu mzuri sana katika Tuni. Au kuwa mtu mbaya sana katika Tuni kama alivyo bibi yako. Matuni!. Bibi yako alinichekesha sana alipoletwa huku. Alikuja na bikira yake na kuondoka na bikira yake. Hiyo ndio sababu ya kufanya kuwa mtu mbaya sana katika Tuni. Atimaye alitusaliti na kutuzidi nguvu. Lakini ndo hivyo tunashukuru tu sasa ametuzawadia kijana wake!, sitaki kufanya tena kosa nililofanya kwa bibi yako. Tuni haitaki mtu bikira!... Karibu Matuni”. Alimaliza Mzee yule aliyetambulika kwa jina la Babu.



Tumaini bado alikuwa amelala chini tu na wala hakusikia kile ambacho yule Babu anaongea. Babu alikuwa anaongea na mawazo yake na sasa aliacha kutikisa usinga wake na kuubonya bonya mwili wa Tumaini sehemu za kiuno.



Mikono yake haikuwa mbali sana na sehemu ambayo mwanamke yeyete yule hapendi kushikwa sehemu hiyo, hasa kwa sehemu zenye watu wengi kwa maana anaweza tia haibu. Alikuwa sehemu ya kupandisha na kushusha maluweluwe ya mtu.ilikuwa karibu na nyonga.



“Hahaha, Binti.. inaonesha badoo!, bado hujaguswa kabisa..”Babu aliendelea kuongea peke yake baada ya kuona Tumaini anaanza kuangaika kama kukataza kushikwa sehemu ambayo tayari ameshikwa.Bado alikuwa kwenye usingizi Tumaini.



Babu yule ambaye kwa miaka yake yote tisini na ushee aliitumikia katika kipengele hicho cha kuwatawaza watu kutoka katika dunia na kuwakaribisha katika Tuni. Hii ndio ilikuwa kazi yake. Yeye ndiye wa kumfanya mtu atunukiwe tuzo ya kuwa mtu mchawi maarufu dunia nzima. Yeye ndiye kazi yake.



Sasa alianza kusogeza kaniki aliyovaa Tumaini. Aliisogeza kidogo kisha kuacha mapaja na sehemu nyingine za miguu zikielea kwenye upepo ule mwepesi. Mwanga wa sehemu hiyo bado ulikuwa mkali kuliko kawaida. Huku kwa huyu Babu hakukuwa na giza kabisa. Ilikuwa ni sehemu ya uwazi ambapo anaishi yeye pekeyake tu.Yote hiyo ilipatikana katika Tuni.



Baada ya kumeza mate vizuri, sasa Babu alimalizia kwa kuufunua mwili mzima wa Tumaini. Akamkagua kama kweli Tumaini yupo na bikira yake au la! Kwa maana ni kosa kumwingiza mtu katika Tuni akiwa na bikira yake. Na pia ni kosa kufanya mapenzi na mtu ambaye tayari ametolewa bikira yake akiwa duniani. Babu alikuwa makini kugundua kama Tumaini ameshatokwa au la.



Alianzia miguuni hadi kiunoni. Alipapasa polepole kwa kutumia kidole chake cha shahada,tabasamu likamtokababu yule. Ni dhairi kuwa Tumaini alikuwa na usichana wake. Ilo akaweka tiki katika kichwa chake. Lakini aliona aitoshi.



Akaanza kuminya minya na chuchu za Tumaini ambazo ziliduwaa kumshangaa mzee huyo kwa tabii yake ya uchokoraa!, zilimkodolea macho kumtazama bila aibu. Na sasa zilikuwa ngumu kama jiwe la daudi kwa goliati. Aliminya minya polepole hukubado akiendelea kutabasamu. Na hiyo akaona aitoshi. Bado aliendelea kuhakikisha.



Na sasa alihamia katika sehemu za uke wa Tumaini. Nako alikuta hali hilehile. Vyombo vya Tumaini viliendelea kunyauka kwa upepo na mwanga ule na kumfanya Babu kuamini kuwa ugumu huo unatokana na kujitunza kwa Tumaini.



Alijidanganya mwenyewe tayari. Sasa akacheka kwa nguvu na kuinuka juu. Akaiondoa kaniki yake kiunoni. Akaikunjia hapo na kuhakikisha kuwa haita msumbua katika matambiko yake.



Tayari taratibu akashuka chini kushikiza mshipa wake uingie sehemu aliyotaka. Kwa mara ya kwanza ilishindikana kutokana na ugumu ambao ulikuwa unaambaa ambaa katika uke wa Tumaini. La!, akajaribu tena mara ya pili nayo ikashindikana kutoka na kusinyaa kwa uume wake. Uzee nao ulikuwa chanzo lakini ujuzi hauzeeki. Akajaribu kwa kushinikiza kwa mara tatu na sasa chombo kikazama ndani. Tena kiliingia bila woga. Ikampa raha Babu yule. Akajichekea mayoni.



Kadiri alivyokuwa anaendelea kufaidi penzi la Tumaini ndipo akili yake ya tamaa ilipoanza kumtoka, alikuwa anajiuliza kwa nini Tumaini hana msisimko wowote ule licha ya kuwa bikra. Hakuna maji wala damu zinazotoka. Hapo akagutuka akiwa bado anaendelea kufaidi radha ya mwisho ya kuhakikisha.



La!, sasa Babu alishituka na kuchomoka pale chini. Akanyunyuka na kurudishiakaniki yake sawa. Moja kwa moja jicho katika uke wa Tumaini. Alikutana na hali ya mfanyaji mapenzi mzoefu!. Tumaini hakuwa bikra kama yeye alivyozani.



“Che… che!, kosa hili!, hili ni kosa ambalo katu, halina msamaha…”aliongea Babu yule kwa hofu.



ITAENDELEA….
 
Simulizi; “MATUNI” (16)

Mtunzi; Author Xav

#StarXavEntertainment

====================




Akasimama Mama yule mbele kabisa ya mwili wa Bosco. Akachukua unga katika kiganja chake cha kushoto na kusogea hadi alipolala Bosco. Akampaka unga usoni bila kuangalia kiwango.. alimpaka mwili mzima. alicheka kidogo kisha kuinuka na unga wake.



Baada ya cheko, Bosco alionekana kutikisika na kuinuka pale alipolala. Aliinuka kuanzia kichwa hadi kiuno. Miguu iliendelea kuwa vile vile kama ilivyo. Na mwishowe Bosco akafumbua macho na kukutana ana kwa ana na Mama yake Mzazi….



ENDELEA SEHEMU YA 16…

Bosco sasa alikuwa anatazamana ana kwa ana na Mama yake Mzazi. Lakini katika hali isiyo ya kawaidaBosco alikuwa hawezi kuongea wala kufanya kitu kingine chochote zaidi ya kukaa tu. Alipokaa kitako na Mama yake pia alisogea karibu na Bosco na kukaa, walikaa pamoja sasa.



“Mwanangu!, nimeona bora nikukinge, japo najua nitafanya kosa!. Najua mwanangu ni kosa kwani Tuni wakisikia basi hapana shaka nitateketea kwa mateso sana. Mwanangu mi sitaki kabisa kuona kile ambacho kinaendelea Tuni!.



Hivi navyo kuambia Mama yako nipo katika mbinu za kukimga na kumpinga Matuni!, asichukue Tuni yetu. Sioni kama atakuwa sahihi yule mtoto, kwa maana kwa sasa hana mtu wa kumtoa kafara!..” Aliongea mama Bosco huku akiminya mikono yake ambayo ilikuwa na alama na unga unga ambaoalikujanao kumpaka Bosco. Akanyanyua uso wake na kumfikia mwanaye, kisha akaendelea..



“Ah, mwanangu, Huyo Matuni ndio huyohuyo Tumaini!, eh! Mwanangu. Sasa kwa akili yangu hii ndogo, najua kabisa unaenda kuteketea mwanangu!. Hakuna damu nyingine ambayo ipo karibu na Tumaini zaidi yako!. Utakufa mapema mwanangu!. La mie mama yako nikashindwa kukusaidia baadae.



Mwanangu, usishangae Mama ako nimevaa vazi ambalo katu hujawahi kuliona!. Ni kweli Mama yako ni Mchawi!, tena mchawi mzuri tu kama alivyo Bi Sembe!.Mwanangu!, Leo nakutetea lakini.. nafanya kosa!. Nafanya kosa kabisa mwanangu kwamaana mda wako ulikuwa bado.



Hata mama yangu aliyekufa kifo cha mateso, naye alifanya jambo kama hili. Hapana shaka nimekubali madhara lakini natetea damu yangu!”. Mama Bosco aliendelea kuongea huku aibu ikimshika sawasawa kuonekana mabega wazi mbele ya mwanaye.



“Kila mara nilikuwa namwongelea mabaya Tumaini na ulikua huelewi kwanini.. la sasa wajua sababu e?. Mimi na Bi Sembe tulikuwa wachawi lakini katu hatukuwai kuongea kwa jema hata siku moja. Nilikuwa namchukia sana Bibi yule toka tu nipate taarifa kuwa mjukuu wake anaweza akaja kutuongoza kutokana na nyota yake kali kulizo wazaliwa wote wa kipindi kile.



Asa kweli mwanangu na uzee wangu huu niongozwe na mtoto?, tena mtoto wa adui yangu!. Hmm Hapana. Hata kama Matuni akiwa mkuu wetu. Nitapigana naye kama nilimvyo mpiga bibi yake Bi Sembe!. Aaagh!..” alisita kidogo Mama Bosco.



“Bosco mwanangu!, mi uchawi sijaanza mda mrefu!, ni kiipindi tu nina mimba yako. Ilikua la nikupoteze wewe la nipoteze Mama. Nikachugua kuwa mchawi ili nisiwapoteze wote wawili. Na chanzo ni Mama yangu ndie alikuwa mchawi lakini sikuona ubaya. Nikaungana na Tuni!. Hivyo tu mwanangu.. nina mika kama kuni na nane tu toka niwe mchawi kamili. Lakini katu hata Baba yako hajui. Ila nahisi anahisi itakuwa hivyo, ila sijawai kumwamisha kamwe!.



Na kuhusu Baba yako!, ni mimi ndiye mgomvi wa kila saa!, Baba yako hakunipenda hata kidogo hapo mwanzo. Ni mie ndio nililazimisha ndoa. Hata baada ya kukupata wewe!, baba yako alikimbia. Alinikimbia kabisa yani. Lakini namshukuru Mama yangu. Mama yangu alinipa dawa ya kumrudisha Baba yako. Na kweli akarudi. Ila alirudi pasi na makubaliano ya kiimani. Toka hapo aliporudi hadi leo hii.. tunaishi kwa kugombana tu!, mda mwingine sio kama tunapenda hapana. Ila inatokea tu.. inatokea.



Mwanangu!.. hi ndio siri ambayo nilipanga nikupe!, weka moyoni na katu usiitoe!,Aya Lala Mwanangu!..sitajali jicho ambalo utanitazamana asubuhi ya kesho. Ila kumbuka mimi ni mama yako na nakupenda sana mwanangu!” Mama Bosco alimaliza maongezi kwa staili hiyo. Alimuaga mwanaye ambaye alimlaza tena kama alivyomkuta mwanzo.



Akasimama mama Bosco na kuanza kuzunguka kitanda hicho kutafuta kona ambayo alifikia mwanzoni. Naaam!, aliifikia. Alikunyata kama mtu anayehisi baridi na kutoweka eneo hilo. Alitoweka Mama Bosco..

********



TUMAINImara baada ya kuanguka na kuzimia katika mlango, alitokea katika Tuni. Sehemu sahihi ya kujifunza na kuishi matendo ya uchawi. Kilikuwa ni chama haswa, chama kitawala cha dunia yao. Bado Tumaini alikuwa mikononi mwa yule Mzee ambaye alikabidhiwa katika kuhakikisha Tumaini anatawazwa na kuweka sawa ili aongoze Tuni. Aliaminika Tumaini.



“Bint.. Leo ni siku ya kwanza ya kuanza maandalizi kueleekea utawala wa Tuni…” alikuwa yule mzee akitikisa usinga wake kwenye mwili wa Tumaini ambaye alikuwa amelazwa chini sasa.



“Binti… Zoezi linalofuata ni hatari sana kama nitakosea masharti!. Unaweza kuwa mtu mzuri sana katika Tuni. Au kuwa mtu mbaya sana katika Tuni kama alivyo bibi yako. Matuni!. Bibi yako alinichekesha sana alipoletwa huku. Alikuja na bikira yake na kuondoka na bikira yake. Hiyo ndio sababu ya kufanya kuwa mtu mbaya sana katika Tuni. Atimaye alitusaliti na kutuzidi nguvu. Lakini ndo hivyo tunashukuru tu sasa ametuzawadia kijana wake!, sitaki kufanya tena kosa nililofanya kwa bibi yako. Tuni haitaki mtu bikira!... Karibu Matuni”. Alimaliza Mzee yule aliyetambulika kwa jina la Babu.



Tumaini bado alikuwa amelala chini tu na wala hakusikia kile ambacho yule Babu anaongea. Babu alikuwa anaongea na mawazo yake na sasa aliacha kutikisa usinga wake na kuubonya bonya mwili wa Tumaini sehemu za kiuno.



Mikono yake haikuwa mbali sana na sehemu ambayo mwanamke yeyete yule hapendi kushikwa sehemu hiyo, hasa kwa sehemu zenye watu wengi kwa maana anaweza tia haibu. Alikuwa sehemu ya kupandisha na kushusha maluweluwe ya mtu.ilikuwa karibu na nyonga.



“Hahaha, Binti.. inaonesha badoo!, bado hujaguswa kabisa..”Babu aliendelea kuongea peke yake baada ya kuona Tumaini anaanza kuangaika kama kukataza kushikwa sehemu ambayo tayari ameshikwa.Bado alikuwa kwenye usingizi Tumaini.



Babu yule ambaye kwa miaka yake yote tisini na ushee aliitumikia katika kipengele hicho cha kuwatawaza watu kutoka katika dunia na kuwakaribisha katika Tuni. Hii ndio ilikuwa kazi yake. Yeye ndiye wa kumfanya mtu atunukiwe tuzo ya kuwa mtu mchawi maarufu dunia nzima. Yeye ndiye kazi yake.



Sasa alianza kusogeza kaniki aliyovaa Tumaini. Aliisogeza kidogo kisha kuacha mapaja na sehemu nyingine za miguu zikielea kwenye upepo ule mwepesi. Mwanga wa sehemu hiyo bado ulikuwa mkali kuliko kawaida. Huku kwa huyu Babu hakukuwa na giza kabisa. Ilikuwa ni sehemu ya uwazi ambapo anaishi yeye pekeyake tu.Yote hiyo ilipatikana katika Tuni.



Baada ya kumeza mate vizuri, sasa Babu alimalizia kwa kuufunua mwili mzima wa Tumaini. Akamkagua kama kweli Tumaini yupo na bikira yake au la! Kwa maana ni kosa kumwingiza mtu katika Tuni akiwa na bikira yake. Na pia ni kosa kufanya mapenzi na mtu ambaye tayari ametolewa bikira yake akiwa duniani. Babu alikuwa makini kugundua kama Tumaini ameshatokwa au la.



Alianzia miguuni hadi kiunoni. Alipapasa polepole kwa kutumia kidole chake cha shahada,tabasamu likamtokababu yule. Ni dhairi kuwa Tumaini alikuwa na usichana wake. Ilo akaweka tiki katika kichwa chake. Lakini aliona aitoshi.



Akaanza kuminya minya na chuchu za Tumaini ambazo ziliduwaa kumshangaa mzee huyo kwa tabii yake ya uchokoraa!, zilimkodolea macho kumtazama bila aibu. Na sasa zilikuwa ngumu kama jiwe la daudi kwa goliati. Aliminya minya polepole hukubado akiendelea kutabasamu. Na hiyo akaona aitoshi. Bado aliendelea kuhakikisha.



Na sasa alihamia katika sehemu za uke wa Tumaini. Nako alikuta hali hilehile. Vyombo vya Tumaini viliendelea kunyauka kwa upepo na mwanga ule na kumfanya Babu kuamini kuwa ugumu huo unatokana na kujitunza kwa Tumaini.



Alijidanganya mwenyewe tayari. Sasa akacheka kwa nguvu na kuinuka juu. Akaiondoa kaniki yake kiunoni. Akaikunjia hapo na kuhakikisha kuwa haita msumbua katika matambiko yake.



Tayari taratibu akashuka chini kushikiza mshipa wake uingie sehemu aliyotaka. Kwa mara ya kwanza ilishindikana kutokana na ugumu ambao ulikuwa unaambaa ambaa katika uke wa Tumaini. La!, akajaribu tena mara ya pili nayo ikashindikana kutoka na kusinyaa kwa uume wake. Uzee nao ulikuwa chanzo lakini ujuzi hauzeeki. Akajaribu kwa kushinikiza kwa mara tatu na sasa chombo kikazama ndani. Tena kiliingia bila woga. Ikampa raha Babu yule. Akajichekea mayoni.



Kadiri alivyokuwa anaendelea kufaidi penzi la Tumaini ndipo akili yake ya tamaa ilipoanza kumtoka, alikuwa anajiuliza kwa nini Tumaini hana msisimko wowote ule licha ya kuwa bikra. Hakuna maji wala damu zinazotoka. Hapo akagutuka akiwa bado anaendelea kufaidi radha ya mwisho ya kuhakikisha.



La!, sasa Babu alishituka na kuchomoka pale chini. Akanyunyuka na kurudishiakaniki yake sawa. Moja kwa moja jicho katika uke wa Tumaini. Alikutana na hali ya mfanyaji mapenzi mzoefu!. Tumaini hakuwa bikra kama yeye alivyozani.



“Che… che!, kosa hili!, hili ni kosa ambalo katu, halina msamaha…”aliongea Babu yule kwa hofu.



ITAENDELEA….
Lini?
 
Simulizi; “MATUNI” (17)

Mtunzi; Author Xav

#StarXavEntertainment

====================




Kadiri alivyokuwa anaendelea kufaidi penzi la Tumaini ndipo akili yake ya tama ilipoanza kumtoka, alikuwa anajiuliza kwa nini Tumaini hana msisimko wowote ule licha ya kuwa bikra. Hakuna maji wala damu zinazotoka. Hapo akagutuka akiwa bado anaendelea kufaidi radha ya mwisho ya kuhakikisha.



La!, sasa Babu alishituka na kuchomoka pale chini. Akanyunyuka na kurudishia kaniki yake sawa. Moja kwa moja jicho katika uke wa Tumaini. Alikutana na hali ya mfanyaji mapenzi mzoefu!. Tumaini hakuwa bikra kama yeye alivyozani.



“Che… che!, kosa hili!, hili ni kosa ambalo katu, halina msamaha…”….



ENDELEA SEHMU YA KUMI NA SABA!...



“Che.. Che!. Kosa hili!. Hili ni kosa ambalo katu, halina msamaha.. nimemuongezea nguvu za ajabu Matuni!” Babu alilopokwa na manenoya mshangao huku akiwa hajui kilichotokea.



“Matuni.. Matuni..!” akaita babu yule, lakini kimya kilitawala. Bado matuni alikuwa vile vile. Akamfunika na kaniki yake na kishaBabu yule kumbilia katika pango lake.



Muda wa sekunde tu tayari Babu yule alikuwa na vifaa vyake vya kichawi. Alitoa tena ule unga ambao alimwagia Tumaini pindi alipoletwa hapo. Alimwagia na kuangalia kama Tumaini atashituka lakini wapi. Alianza kuhangaika yule Babu.



Mara achukue hiki mara kile. Alifikia hatua hata kutaka jambo lile lionekane kama ndoto tu. Alishajua Tumaini ananguvu za asili kutoka kwa bibi yake na yeye sasa alifanya kosa la kumuongezea nguvu bila kujua. Bado alikuwa anahangaika tu yule Babu.



“Matuni!!..” aliita tena yule babu lakini bado. Tumaini alikuwa yupo vile vile.



Yule babu sasa akaelekea tena kwenye pango lake!. Alikaa kwa dakika takribani tano na kutoka nje. Alitoka na maji na kifaa kama kinu hivi. Alichukua majani ambayo alikujanayo kwenye mzigo wake wa kwanza. Akayaminyaminya kiganjani mwake kwa kutetemeka na kuhakikisha yamepondeka hadi kutoka rangi rangi ya ukijani. Akaweka katika kinu.



Akachukua tena na na unga ule ule wa mwanzo na kuumina wote katika kinu. Akachukua maji katika chupa na kumimina kidogo katika kinu. Kwa kuona usumbufu wa kutafuta kifaa cha kukorogea akaamua kukoroga kwa kutumia mkono wake. Alichanganya mikono kwa hofu kubwa sana. Babu sasa alikuwa anatetemeka!. Alitetemeka sana wakati anafanya haya.



Baada ya kuona imekamilika akaonja kidogo na kusikilizia uchachu wake!. Hakusuburi ajibiwe na ulimi wake kama ni chachu au chungu. Tayari alielekea hadi miguuni mwa Tumaini. Akampaka dawa hiyo katika miguu yake; akianza na mguu wa kushoto!. Akamaliza. Akahamia kulia. Akamaliza, lakini bado tumaini hata hakutikisika.



Akanyanyuka yule Babu na kuelekea sehemu ya kichwa. Sasa alizitimua nywele za Tumaini na kuacha sehemu kidogo katikati ya kichwa. Akayabinya majani kutoka katika kinu na kuyamimina katika kichwa. Aliyakamua kama dakika mbili huku akiangilia kama Tumaini ameshituka. Hora!.



Akaamua kumwinua sasa na kumkalisha kitako. Akamimina maji yaliyobaki katika kinu na kuweka katika kopo. Akapanua mdomo wa Tumaini na kumimina dawa hile. Ghafla yule babu alitokwa na macho hadi mwisho alipomuona Tumaini amefumbua macho yake yadi mwisho. Alizinduka Tumaini kwa namna hiyo na kumwacha babu yule kinywa wazi.



Mtetemeko aliouhsi mwanzo sasa ulipanda mara dufu. Alikuwa tu anaogopa yule babu, hakuwa na nguvu ya kumwendesha Tumaini hata kidogo. Hakuchukua muda yule babu. Tayari alirushwa mbali na Tumaini.



Tumaini alipiga kunga la nguvu lililomzoa zoa babu yule mbali na sehemu hile.Na sasa akaamka Tumaini. Aliamka bila kushinikizwa na mtu. Alikuwa kama roboti wa kike hivi aliyetelekezwa na muendeshaji. Na sasa alikuwa anajiendesha mwenyewe.



Alisimama na macho yeka makubwa yenye rangi nyekundu. Tumaini aliangaza huku na huko bila kuona chochote. Misuli ya mikono na muguu ilikuwa inapanuka na kuachia. Alikuwa kama anavimba hivi Tumaini.



Alikuwa anaumuka baadhi ya sehemu za mwili Tumaini. Aligumia sana kama simba aliyenyakuliwa kitoto chake. Akapotea hapo Tumaini. Sijui aliwezaje kufanya hivyo. Ila alipotea. Alipotea moja kwa moja sehemu hiyo..

********



Bado ulikuwa ni usiku!, Malindi ikiwa imetulia kwa watu wema kujilalia. Watu wabaya walisha itana na kukusanyika katika Tuni. Mama Bosco baada ya kutoka kuongea na mtoto wake sasa alikuwa mbele ya kikao cha dharula. Mkutano ambao ulikuwa na wanawake takribani kumi na nne!. mbele ya wanawake hao alikuwepo yule Mama mwenye mapembe.



“Aya tuambie kile ambacho umetuitia hapa!” alisema yule Mama mwenye Mapembe baada ya mwanachama wake Mama Bosco kuitisha kikao cha dharula.



“Mkuu Mwanampembe!, kuna kitu hakipo sawa moyoni mwangu. Nimehisi!” alikuwa ni Mama Bosco aliyeongea kifupi na kisha kusubiri kurusiwa kuongea. Alipoona kimya akaendelea.



“Mkuu mwanamapembe!, tunajua hicho kiti ulichokalia ni kwa muda tu!. Hii ni baada ya Mkuu wetu wa mwanzo kuumizwa vibaya sana na Bi Sembe!. Bila shaka tunajua kuwa, Bibi Sembe kabla hakujampeleka katika mateka.. Alisha apa kutorudi tena na kutupa mjuu wake Matuni!..” aliishia hapo Mama Bosco alianzia mbali sana katika kuongelea kile kilichomtuma. Sasa akendelea.



“Bila shaka, moyo wangu unaniambia kuwa Bi Sembe bado anaishi katika mji wa KISHUMU. Bila shaka maasimu wetu wamemchukua kutokana na kitendo chake cha kuonesha ujasiri wa kutusaliti, japo mwanzo alikuja kukiri kosa!

Nia yangu ya kukuita Mkuu ni kuwa. Kama Bi Sembe yupo KISHUMU basi tutarajie siku moja kupata madhara makubwa sana. Tulifanya kosa kumtoa katika Tuni..” aliongea Mama Bosco na hapo alikatishwa na Mwanamapembe.



“Sakura!, unawasiwasi gani kuhusu Tuni..” aliitwa kwa jinalake ya Utani Mama Bosco. Alihitajika kunyoosha maelezo. Na sio kupinda pinda.



“Wasiwasi wangu ni kuhusu Matuni!, Mwanamapembe!. Huyu Binti siye ridhiki kwetu hata kidoto. Moyo wangu hauoni wema kabisa kwake. Katu tusimkabidhi. Asipate Tuni!. Tutaumia. Kwani kijana mdogo na.. na..” hakumalizia akakatishwa.



Sakura!!, hili ni Agano. Alishapitishwa toka enzi za Mama yangu Bi Ndaku. Mimi mwanaye nipo kwa muda tu kuhakikisha alichosema kiongozi wetu kinatimia. Matuni amevuka ujasiri wote wa kuitwa kiongozi.

Ni mtu mwenye nguvu kuliko wote sisi hapa. Na sasa yupo katika hatua za mwisho za kuitimisha safari yake!. Licha ya kuwa kweli Mama yangu amatenguliwa na Bi Sembe lakini Tulishamsamehe Bi Sembe. Kama ameenda kishumu basi katu hawezi kurudi tena.

Na, kuhusu Mama yangu. Yeye alikuwa dhaifu sana hadi kujaribiwa na Bi Sembe!. Kwa sasa tunataka kiongozi mwenye roho ngumu kama Matuni. Roho ya hatari!, roho ya kusambaratisha kila akakaye fanya kosa. Huna budi Sakura!. Hakuna chaguo.” Alimaliza Mwanamapembe.



“Lakini.. Lak.. Mwanam..” hakutoa teno lililokamilika tayari upepo mkali ulitapakaa maeneo yale.



Mwanga hafifu uliokuwa unamulika mwazo ukazima ghafla. Taaruki ikatanda kwa kila aliyepo pale. Kulikua na giza nzito ambalo hawakulizoea. Zikapita sekunde ishilini na kasha mwanga mkali kurejea. Wote waliziba macho yao kuhofia kupofoka. Bado upepo ulikuwa mkali sana maeneo yale. Kila mtu alijawa hofu. Wakafumbua macho yao kuona kile kinachoendele.



“Matuni!!” kila mmoja aliita na kulitaja jina la uchawi la Tumaini. Ni kweli Tumaini alikuwa mahali hapo.



Waote walijawa na hofu ya kubwa na mshangao wa ujio wake. Upepo ule sasa ukatulia na kuacha mwanga ule mkali uendelee kumulika sehemu hile.



“Karibu Matuni!. Hakika umekamilika sasa!” Mwanamapembe alimkaribisha Tumaini na kumpisha sehemu ile ambaye alikaa yeye.Bila kujua kuwa Tumaini yule mwenye nguvu ameongezewa nguvu nyingine na yule Babu kwa bahati mbaya. Na ametoroka Tumaini, kwa sasa hakamatiki…..



ITAENDELEA….
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom