Simulizi: Umalaya na Ukahaba wa Kishua

Hapo utakamata wajinga wenzio wengi sana.
Malaya kwa maana yako basi kila mtu ni malaya.ngono kupenda ni jambo zuri na ni zawadi toka kwa muumbaji .kutotosheka ni kukutana na msiendana kimatamanio .hakuna mwenye kibamia ni anadate na mtu sio size yake .
Malaya ni nani?
Malaya ni jina la mtu asieheshimu maadili ya kimahusiano kwa mihemko ya ngono.mfano kama umeolewa ukampa nje ww ni malaya .ila ukiona mmeo hakuridhishi ukaomba taraka ukaanza lala na asie kuoa na hajaoa ww sio malaya.malaya ni tusi kwa wasio waadilifu.
 
Ukitoka kituo cha Tabata relini kuelekea Buguruni kinafuata kituo cha Matumbi baada ya matumbi kinafuata kituo gani?
Hakuna kituo pale mpaka Sheli tena pale Sheli ni just in case Ila kituo ni Buguruni pale mataa kwa mbele kabla ya kufika Tazara au Bharesa Ila km unaelekea mnazi kituo ni kule sokoni sasa hio Buguruni Tabata ndio ipi yaan lile ombwe pale kati ndio mnaita Buguruni Tabata?
 
Mi nilishawahi kusikia na hii si mara ya kwanza especailly yale maeneo ilipo Access Bank upande wa kushoto kuelekea Buguruni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…