SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

Hii story nimechelewa kuiona na kuanza kuisoma kwa kuwa ipo jukwaa la habari, mi nilijenga mazoea kuwa story nazikutaga jukwaa la burudani, yaani mpaka nakuja kuiona nakuta tayari watu wameshaunda timu zao,
ila kinachoniuma mtaalamu mabudi hapewi heshima yake humu ndani.
 
🤣🤣🤣timu babu mabudi tupo,na tunataka mpk dawa zake anazozitumia kabla yakuanza shoo😅😅😅🙌
 
Ndyo umeanza na marudio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…