Abou Shaymaa
JF-Expert Member
- Oct 19, 2022
- 2,117
- 5,240
- Thread starter
- #801
TEMBELE LA UWANI
SEHEMU YA SITINI NA MOJA
MTUNZI Mbogo EDGAR
ILIPO ISHIA SEHEMU YA SITINI : kidogo na kumfanya awe ameshikilia sehemu hiyo kwa kuikusanya kuficha maziwa yake ambayo hayakuwa ndani ya sidiria kwa muda huo, ambayo yaliweza kuonekana vyema yakitengeneza umbo juu ya kijigauni chake chepesi, hakika hata Soraya mwenyewe alikuwa katika wakati mgumu, hakuzoea kukaa vile mbele ya mwanaume, ila ilimlazimu kwaajili ya kufuata maelekezo ya mwalimu wake. Higgno alimtazama Soraya akikifuata kigoda na kukiinua na kukisogeza karibu kabisa na alipokaa yeye, kisha akakikalia huku anacheka cheka kwa aibu…. ENDELEA……….
Huku Higgno kwa macho ya kuibia akiyatazama mapaja mazuri ya Soraya ambayo yalizidi kuonekana wazi, mara bada ya mschana huyu mrembo kukaa kwenye Kigoda na kusabisha kile kijigauni kupanda juu kidogo, Higgno hakujuwa kuwa Soraya pia alikuwa anamfuatilia kama alikuwa anamtazama, ukweli Higgno alianza kujihisi hali tofauti sehemu zake za siri, maana hata dudu ilianza kusimama na kumfanya abane miguu kuizuia isionekane jinsi livyo tuna, “Higgno nime sahau keki, kailete nikukatie uile” alisema Soraya huku akicheka cheka, “umenikumbusha, nime kuandalia mihogo ya kuchemsha na supu ya samaki” alisema Higgno huku akimtazama Soraya usoni, “hooo! napenda mihogo na samaki” alisema Soraya kwa sauti yake tamu lakini iliyochangamka, na hapo bila kujiuliza Higgno aliinuka mara moja kwaajili ya kuelekea ndani ambako kulikuwa na mwanga wa kutosha leo, Soraya aliweza kuona vyema jinsi sehemu za siri za Higgno zilivyo simama na kuinua bukta aliyoivaa, Soraya akatazama pembeni huku akicheka kwa aibu, na hapo ndipo Higgno alipotazama sehemu zake za mbele ya bukta na kuona jinsi palivyotuna, haraka sana Higgno akageukia upande wa mlango wa banda na kuelekea ndani akimuacha Soraya anaendelea kucheka cheka.
Higgno alipofika ndani akajitazama sehemu ya mbele ya bukta yake akaiona jinsi ilivyo tuna, “khaa! si aibu hii” alijiwazia Higgno huku akitazama kama anaweza kuiona boxer yake aliyoivua wakati anaenda kuoga, lakini akakumbuka kuwa baba yake mdogo Alex, alimueleza kuwa anatakiwa kubakia na nguo moja tu, kama ni boxer au bukta, japo baba mdogo alimaanisha kuwa avae hivyo akiwa chumbani tena kitandani na sio nje kama walivyo sasa, japo Higgno alijiongeza kwa kuona akibakia na boxer atashangaza ulimwengu, ndio maana alijiongeza na kubakia na bukta ambayo sasa aliiona kero, “Higgno fungua kwenye mkoba wangu kuna box la simu njoo nalo” alisikika Soraya toka nje, na hapo Higgno akaachana na mambo ya boxer na kuisogelea meza ambayo iliyokuwa na mkoba na box la keki, cha kwanza akafungua begi la Soraya alicho kutana nacho kilimfanya atumbue macho, sio fedha nyingi alizo zikuta ndani ya begi hilo au box jipya la simu ambalo lilikuwa chini ya nguo fulani ndogo, ndiyo ambayo ilimtumbulisha macho na ilikuwa ni lazima aitoe nguo hiyo ya ndani ndipo atoe box, ilikuwa ni chupi nyeupe aina ya bikini, ambayo aliitoa na kuitazama vizuri, “au basi hiyo simu iache” alisikika sauti ya Soraya, “sawa” alijibu Higgno huku anairudisha kwenye begi, lakini tayari mambo yalisha haribika maana kuiona tu ile nguo, dudu ilishainuka tena kwa fujo kuliko hata mwanzo na alishindwa kuizuwia hata alipotoka na box la keki, huku mkono mwingine ameshika ndoo ikawa fahari ya macho kwa Soraya, ambae aliitazama hali ya Higgno kwa macho ya kuibia, huku akijichekesha, Higgno akuzubaa pale nje aliweka haraka ndoo chini akiigeuza na kuweka ile keki juu yake kisha akarudi ndani haraka kuchukuwa supu ya samaki na mihogo.********
Mama Hilda na mwanae Hilda wakiwa chumbani kwa Hilda waliendelea kuongea bila kujuwa kama mzee Komba alikuwa anawasikia, “kwahiyo na wewe alikupa ile dawa tamu tamu halafu ukaanza kupata hamu ya kufanywa?” aliuliza mama Hilda ambae alikuwa amelewa ulanzi, “ndiyo alinipa kumbe hata wewe alikupa ile dawa?” aliuliza Hilda kwa sauti ya mshangao, “sasa je alinipa hiyo hiyo, nikajikuta napeleka mimi mwenyewe, akanifanya weeeee, tani yake, mwenzie bado najisikia nyege tu! akanifanya weee, mpaka kukawaka moto, halafu cha ajabu bado nikaendelea kujisikia nyege, cha kushangaza hachoki kusimamisha” alisema mama Hilda kwa kujiachia kabisa akijuwa wapo wawili, “hata mimi alinifanya hivyo hivyo, nilipoona naumia, nikamwambia ahamie huku, nako akanifanya mpaka kukaanza kuumia” alisema Hilda akionyesha kwenye makalio, na wakati huo huo wakasikia “yaani mama Hilda kumbe kule kwa Mabudi mnaenda kufanya umalaya, baada ya…ya….” ili kuwa ni sauti ya mzee Komba, ambayo mwishoni ilikwama kwama na walipo geuka kumtazama japo hawakuweza kumuona vizuri lakini waliweza kuona anajishika kifuani na kuanza kuyumba yumba kabla hajaanguka kwa nguvu, hapo mama Hilda na Hilda wakajuwa kuwa ni tayari tatizo limesha wakuta, mama Hilda na Hilda, waka piga kelele kwa nguvu, “jamani baba” alipiga kelele hiyo Hilda, “mamaaaaa yoyoooo!!, jamani mume wanguuuu” ulikuwa ni ukelele wa mama Hilda, ambae alikuwa anasogea pale alipoanguka mume wake, Hilda akishindwa kujiinuwa toka kitandani kutokana na kile alicho kiskia kitumbuani mwake.
Sauti ile iliwafikia wakina Ngonyani waliokuwa wanaendelea kunywa pombe nje ya nyumba ya mzee Komba, nao wakakimbilia ndani kutazama nini kilichotokea ndani ya nyumba ile, ambako walimkuta mzee Komba bado yupo chini hajitambui, yaani amepoteza fahamu, hivyo walimbeba na kumtoa nje halafu na kumlaza chini kweneye uwanja wa mbele ya nyumba yake, kisha waakazana kufanya jitihada za kumzindua, lakini licha ya kuhangaika kwa dakika kumi nzima hawakufanikisha, hivyo wakapata wazo la kwenda kweye dispensal ya shule ya sekondary ya wavulana ya songea.
Naam katika hali ya ulevi waliyo kuwa nayo na pasipo kujuwa kilicho mkuta mwenzao, wakina mzee Ngongi walimbeba mwenzao mzega mzega mpaka Songea Boys Dispensal, ambako walipokelewa na muuguzi mmoja tu wakike aliekuwa zamu usiku ule, ni mmoja kati ya wawili pekee waliokuwepo hapa Luhila, wakisaidiana na doctor mmoja wa kiume.
Nurse yule wakike alipokea mgonjwa na kuanza kumpa huduma ya kwanza lakini licha ya kugundua kuwa mzee Komba alikuwa mzima kwa maana mapigo yake ya moyo yana piga kwa mbali lakini hakuweza kumrejeshea fahamu zake, “jamani hapa hakuna namna inabidi mgonjwa apelekwe hospital ya mkoa” alishauri yule Nurse, sasa hapo swala likaja kwamba, ni usafiri gani utawafikisha mjini ambako ni kilomita zaidi ya tisa, Dispensal haikuwa na gari, “kwa kuwasaidia, naweza kuombea gari la shule, lakini lazima watasema mlipie mafuta” alisema yule muuguzi wakike, “sawa haina shida waambie walete gari” alisema Ngongi kwa sauti ya kilevi, “sawa andaeni fedha ya mafuta, mimi nawapigia simu” alisema yule yule Nurse huku anaingia ndani na kuchukuwa simu yake, kisha akapiga kwa uongozi wa shule kuomba gari.
Nurse alikubaliwa na akaambiwa kuwa dereva anajulishwa na atakuja muda mfupi ujao, na yeye akatoka nje kwenda kuwajulisha wale watu wenye mgonjwa, lakini huwezi amini, mara baada ya nurse kufika nje alimkuta mke wa mzee Komba peke yake, “wale wazee wengine wapo wapi maana dereva anakuja sasa hivi?” aliuliza nurse, “wameondoka” alijibu mama Hilda, kwa sauti iliyojaa unyonge, hapo nurse akabaini jambo, “kwahiyo wamekimbia?” aliuliza nurse kwa mshangao, “ndiyo wameondoka hata bila kuaga” alisema mama Hilda kwa sauti ile ile ya kinyonge, “sasa tutafanyaje mama au unayo hiyo fedha ya mafuta, maana bila elfu tano mgomnjwa tutampoteza hapa hapa” alisema Nurse kwa msisitizo, “hooo jamani mimi yoyoooo, mume wangu ndiyo anakufa huku namuona” alisema maam Hilda huku akianza kuangua kilio, “kulia haisaidii mama yangu, hebu tufikirie mtu ambae anaweza kutuazima hiyo fedha” alisema yule Nurse, na hapo mama Hilda akaacha kulia nakuanza kushirikiana na yule nurse kutafuta mtu ambae anaweza kuwaazima fedha ya kununulia mafuta ya gari ili wamuwaishe mzee Komba hospital.
Lakini kila waliempata alisema kuwa hakuwa na fedha, kila walikoenda ilikuwa hivyo hivyo, walizunguka kwa marafiki karibia wote wa mzee Komba, lakini hakuna hata mmoja aliekubali kutoa fedha hiyo kumsaidia mzee Komba ambae bado alikuwa amepoteza fahamu, hata mwisho yule Nurese akamkumbuka mzee Frank, mtu ambae anafahamiana nae, ambae hata yeye mara kwa mara huwa anakopa kwenye duka lake pale inapotokea ameishiwa kitu kama sukari au mchele na terehe za mshahara bado, “nadhani nimjaribu mzee Frank, japo ameunguliwa na duka lakini kama anayo anaweza kutusaidia” alisema Nurse huku anaanza kubofya simu yake kutafuta namba ya mzee Frank, ambae aliona pengine mzee huyo ndie pekee anaweza kutoa msaada huo wa kuwaazima fedha za kumpeleka mzee Komba Hospital, “mh! mzee Frank sidhani kama anaweza kutusaidia” alisema mama Hilda kwa sauti ya mashaka huku anatazama pembeni na kubetua midomo, “ndiyo nadhani anaweza kutusaidia” alisisitiza Nurse yule wakike huku anaendelea kutafuta namba ya simu ya mzee Frank, “sawa mjaribu, lakini sijui” alisema mama Hilda akiwa na uhakika kuwa atakataliwa kutokana na mambo wanayomfanyia, na pengine hata lililotokea kwa mzee Komba chanzo yeye, maana wasingejipeleka kwa mabudi bila kuwaza kumloga mzee huyu, “wala usiwe na hofu, mzee Frank na mfahamu vizuri hawezi kukunyima fedha katika jambo kama hili” alisema yule Nurse huku anabofya simu yake kumpigia mzee Frank.******
Licha ya kubaini njama za Mahadhi na kijana wake Idd, lakini bwana Mahamud bado aliona kuna ugumu fulani katika swala hilo, maana tayari kashfa ilisha sambaa kiasi cha kuitwa kwenye baraza la wazee, “sijui wataniambia nini na watanielewa kweli nikiwaeleza kuwa sifanyi jambo hilo?” aliwaza Mahamud, na kuanza kutafakari na nmna ya kujieleza mbele ya baraza la wazee, “sijui ni lini Soraya atapata mchumba na kuolewa?” aliendelea kuwaza Mahamud, huku akiona wazi kuwa Soraya alikuwa sahihi kuchagua mwanaume wakumuoa, maana dalili mbaya baada ya kuona jinsi Mahadhi na na kijana wake Idd wanavyo hangaika na kuitafuta nafasi ya kumchumbia Soraya, huku mzee Mahamud akibaini kuwa kijana huyu ana rekodi mbaya sana, katika maisha yake hasa miaka mitano au sita iliyopita akiwa huko msumbiji na afrika ya kusini, “mwizi mkabaji, muuzaji wa dawa ya kulevya, mlevi mzizi mbakaji, anataka kumuoa mwanangu” aliwaza Mahamud na kukumbuka kuhusu kijana mpole, “sijui ni mtu wa aina gani ambae anatenda wema na kuendelea kujificha au ni muhalifu?” aliwaza Mahamud, “kama ni muhalifu anawezaje kuwa na moyo wa kusaidia mtu pasipo kuhitaji chochote” aliwaaza Mahamud, ambae alienda mbali zaidi kwa kuwaza kuwa endapo ange fahamu kijana yule anapatikana wapi basi ingekuwa rahisi kwake kumpata na kumfahamu kiundani, maana niwazi kabisa kuwa kijana huyo alikuwa ndio chaguo la binti yake, “na yeye anampenda mtu asiekutana nae, itakuwaje akiwa ameshaoa?, ninge mpata yule kijana alienisaidia mimi nae ingekuwa safi kama angeishi na Soraya, sasa sijui ni kwanini aliondoka mapema pale ofisini wakati nilimuahidi kumpatia kazi” hilo swali alishindwa kulipatia jibu, maana ni vigumu kwa kijana anaehitaji kazi, tena akiwa ameahidiwa kuondoka eneo husika mapema kiasi kile.
Mahamud aliwaza kwa uda mrefu, mwisho akaamua liwalo na liwe, “nitaenda kuwasikiliza wanachoongea na mimi nita wajibu kutokana na wanachouliza au kuongea” aliwaza Mahamud kabla ya kupitiwa na usingizi.******
Mzee Frank na mke wake mida hii walikuwa kitandani, usingizi ukiwa umegoma kuja kutokana na furaha waliyokuwa nayo, baada ya kupewa fedha na kuanza ujenzi wa duka jipya, huku wakiahidiwa kupewa fedha za kufungua duka jingine, “unajuwa baba Higgy, kuna wakati nashindwa hata kuelewa, huyu binti anafanya haya kwaaajili gani, isije kuwa baadae anatupa mashariti ya kutoa kafara” alisema mama Higgno kwa sauti ya mashaka, “mama Higgy bwana, we uliwahi kuona wapi mambo kama hayo, mwenzio anamsaidia mshenga wake” mzee Frank, na wote wakamalizia kwa kicheko na wakati huo huo akasikia simu yake inaita, akachukuwa toka mezani na kuitazama ilikuwa namba ya Nusre, “mh! huyu mama doctor anasemaje usiku huu?” aliuliza mzee Frank kwa sauti ya mashaka, huku anapokea simu, “hallow habari za saa hizi” aliongea Frank, ambae kichwani mwake alikuwa na uhakika kuwa Nurse amekosea namba, “kwa kweli sio salama bwana mzee Frank, tuna tatizo hapa na tunahitaji msaada wako” alisema Nurse, na huku mama Higgno anasogeza sikio karibu na simu aliyoishika mume wake, “kuna shida gani tena doctor?” aliuliza mzee Frank, ambae alikuwa anamwitaga huyo mama kuwa ni Doctor, “tuna hitaji utuazime elfu tano ya mafuta, kuna jirani yako hapa mzee Komba amepoteza fahamu tunahitaji kumkimbiza hospital ya mkoa” alisema Nurse, “hooo! Hakuna shida nipitieni hapa nyumbani” alisema Mzee Frank huku anakata simu na kuinuka toka kitandani, “kumbe wanaujua msaada wako, sasa mbona wanatufanyia mambo ya kipuuzi” alisema mama Higgno na yeye akiinuka na kujifunga kanga, “na sio kwamba nitakuwa nao karibu, yaani likipita hili najiweka mbali nao” alisema Frank ambae alikuwa amesimama anapekuwa suruali yake na kutoa bunda la noti za elfu moja moja, akizipanga katika mafungu mawili ya elfu tano tano, zilizobakia akazirudisha sehemu yake, na zile nyingine akaziweka mezani, “mh! hauna haja ya kukaa nao mbali, nadhani mpaka hapo watakuwa wamesha jifunza, tena usiwakopeshe hiyo elfu tano wape bure bure” alisema mama Higgno, “mh! nani alisema kuwa kichaa kinapona, labda ya kulogwa, zaidi ya hapo kichaa huwa kinatulia kwa muda tu!, japo fedha nitawapa bure lakini sitowaamini hata kidogo, kwa walichomfanyia Higgno sina imani nao” alisema mzee Frank, huku anavaa suruali na shati, na kabla hajafanya jingine lolote wote wawili wakasikia ngurumo ya gari likija nyumbani kwao.********
Higgno alitoa vitu vyote alivyo kusudia pamoja na ndoo nyingine, ambayo ilikusudiwa kutumika kama meza huku Higgno kila alipoingia na kutoka nje alijitahidi kwa macho ya wizi kuendelea kuyatazama mapaja ya Soraya yaliyo kuwa wazi kiasi fulani na kumsababishia kupata msisimko ambao ulichemsha damu yake na kwenda kujaa kwenye dudu ambayo ilisimama na kuinua bukta yake pasipo kujuwa kuwa Soraya nae alikuwa anatazama sehemu za mbele ya buka ya mpenzi wake huyu ili kubaini maendeleao ya hali ya dudu ya mpenzi wake huyu, ambayo alikuwa anaifanyia makusudi kwa ushauri wa mwalimu wake pasipo kujuwa kitakachofuata.
Soraya aliweza kuiona bukta jinsi ilivyotuna na kutengeneza sura ya mzee baba alievaa kofia ndani ya bukta hiyo, na hata Higgno alipokaa kwa maana ya kumaliza nenda rudi, Soraya ni kama hakuridhika, akatazama vile vilivyopo akaona kuna mihogo yake ya kuchemsha ndani ya mchuzi mweupe wa samaki, yaani supu, huku pembeni samaki akiwa amelala, tayari kuliwa, pia kulikuwa na lile box la keki na machungwa, akamtazama Higgno huku anajichekesha chekesha, “Higgno mbona umesahau kisu cha kukatia keki na kumenyea machungwa” alisema Soraya ambae muda wote kicheko hakikukauka mdomoni mwake, “hooo! kweli sijui nimetingwa na nini” alisema Higgno huku anainuka na kuelekea ndani, huku akikemea pepo la kutazama mapaja ya Soraya, ambae mpaka sasa hakuwa anajuwa kama ni binti ya tajiri Mahamud.
Soraya nae mara tu! baada ya Higgno kuingia ndani akaachia pale kifuani alipopashikilia na kuchukuwa kikombe cha maji, akanawa kwaajili ya kula supu ya samaki na mihogo, “mh! nanii yake inaonekana kabisa ilivyosimama” sasa sijui anawezaje kusimamisha halafu asiwe mwanaume kamili” aliwaza Soraya bila kujuwa kuwa hapo ndipo anakosea yeye kutofautisha na kubaini ukweli, alipomaliza kunawa akaliweka vizuri gauni lake pale kifuani, ni kama alikuwa analifunuwa zaidi na kusababisha sehemu za maziwa yake kuonekana wazi wazi, kisha akanawa tena na kuchukuwa kipande cha mhogo akakipeleka mdomoni huku macho akiyatega mlangoni kusubiri Higgno atoke na yeye aone kile ambacho alipenda kukitazama kila mara, japo pia alipenda sana kutazama eneo la kifua cha kijana huyu mpole.
Naam Higgno alitoka nje akiwa mikono mitupu, “kumbe kisu kipo huku huku nje” alisema Higgno, akipitiliza mpaka kwenye kichanja (kimeza kilicho tengenezwa kwa miti na fito nyembamba za mianzi) akachukuwa kisu na kurudi nacho pale alipo kuwa amekaa mwanzo, muda wote Soraya alikuwa ana tazama kile alicho hitaji kukitazama kwa kijana huyu, na Higgno baada ya kukaa ndipo macho yake kwa bahati mbaya yaka tazama kifua cha Soraya, akajikuta mwenyewe anakwepesha macho kwa aibu na hofu ya kuonekana kuwa ni mchunguliaji, japo alishachelewa maana macho hayana adabu, tayari yalishapeleka taaarifa kwenye ubongo kuwa ameona maziwa mazuri ya Soraya, na ubongo ukapeleka taarifa kwa dudu, ambayo kama vile ilitaka kujitoa buktani ili kwenda kuyaona, maana ilizidi kujitutumua, “kata uile, mwenzako na kula ulichonipikia kitamu” alisema Soraya akimueleza Higgno.*******
Ukweli usio pingika mama Hilda yaani mke wa mzee Komba, hakuamini macho na masikio yake kwa kile kilichotokea, baada ya kuambiwa na yule Nurse kuwa mzee Frank alikubali kumsaidia, alianza kuamini baada ya kuona gari la shule likija pale dispensal na wanafunzi wanne, ambao walisaidia kumpakiza mume wake ndani ya gari, pamoja na yeye na yule Nurse, kisha wakaondoka kuelekea nyumbani kwa mzee Frank, moyoni mwake mama Hilda alijiwazia “huyu nae amejisikia nini kutukopesha vihela vyake?” ilionyesha wazi bado mama Hilda alikuwa na kila dalili ya chuki na mzee Frank, “watajuana na Komba mwenyewe akizinduka” aliwaza mama Hilda ambae hata mimi bado sijamuelewa kwanini alikuwa anawaza vile.
Muda mfupi sana waliutumia toka dispensal mpaka nyumbani kwa mzee Frank ambae alitoka nje mara moja baada tu ya gari kusimama akiwa amevaa suruali na shati chini akiwa na kanda mbili, “pole na hongera boss wangu, naona unatuwekea duka jingine” alisema Nurse ambae alionekana wazi kuwa hakuwa ameona ujenzi mpya, “ndugu yangu, weee nimeona niwasogezee huduma maana mlishazoea sasa ingeleta shida kidogo” alisema mzee Frank, ambae alisha sogea na kuwa karibu na nurse alieshuka toka kwenye gari, “ni kweli kabisa , yaani nilipozipata taarifa hizi asubuhi nikaanza kuwaza itakuwaje si unajua mambo yetu yale” alisema yule Nurse akimaanisha kuwa alihofia kukossa sehemu ya kukopa, muda wote mama Hilda aliekuwa ndani ya gari pamoja na derva na mume wake ambae ni mgonjwa alikuwa amekunja sura kwa chuki na hasira, “mungu anasaidia kesho naweza kwenda kufanya manunuzi ya vifaa vya duka, na kama mafundi wakikamilisha tu basi kesho kutwa na fungua chumba kimoja wakati kingine kina fanyiwa ukarabati, nikikamisha kingine nahamishia vitu halafu namalizia kilicho bakia” alisema Frank, wakati huo mke wake akiwa amesimama mlangoni anawatazama, Mzee Frank alitoa fedha shilingi Elfu tano na kumpatia nurse, “basi nisiwacheleweshe muwahi kumpeleka mgonjwa hospital….” alisema mzee komba ambae alitoa tena elfu tano nyingine na kusogea upande wa nyuma wa gari, “haaaa! ina maana mupo wenyewe tu” alishangaa mzee Frank baada ya kuona kule nyuma yupo mama Hilda na mzee Komba mwenyewe alielazwa juu ya godoro kwenye sakafu ya gari, maana licha ya kwamba wale vijana kusaidia kumpakiza mgonjwa kwenye gari walirudi shuleni, ila kwa mzee Frank yeye alitegemea wakina Ngonyani na wenzake wange kuwepo pamoja na mke wa Komba, “ndugu yangu wee, marafiki mkia wa fisi, yaani walivyo mkiambia kimbia hata mimi sijaelewa kwa kweli” alisema yule nurse huku anapanda kwenye gari, “shemeji hii hapa itasaidia kwenye mambo madogo madogo ya hospital” alisema mzee Frank, huku anamkabidhi mama Hilda elfu tano mkononi, “jamani baba Higgy tutaweza kulipa kweli” alisema mama Hilda akionyesha kuogopa endapo watashindwa kulipa tsh elfu kumi, ambayo ameitoa mzee Frank, “hapana shemeji sija wakopesha nimetoa kama jirani na mwanakijiji mwenzenu, tena wacha niwasindikize maana sio vyema kama utaenda peke yako” alisema mzee Frank na kumuaga mke wake kisha kupanda kwenye gari na gari likaondoka kuelekea upande wa mjini.
Labda ungedhani kuwa mama Hilda angebadili mtazamo wake kwa baba Higno, baada ya kuyafanya yale yote, kama ulidhani hivyo ulikuwa umekosea, maana mama Hilda japo alionyesha tabasamu usoni mwake lakini moyoni mwake alikuwa anawaza usiyo yategrmea, “basi hapo anataka aonekane tu! Hela zenyewe za uchawi!” ndivyo alivyo waza mama huyu, ambae hakuwaza kile alichofanya na babu mabudi akishiriki na mwanae Hilda, kilichosababisha mpaka mume wake kupoteza fahamu kwa muda mrefu.
Nusu saa ndio muda ambao walitumia kufika Hospital na mzee Frank ndie aliesaidiana na nurse kuhakikisha mzee Frank anapata huduma ikiwa na kupewa kitanda cha kulazwa, kisha wakamuacha mama Hilda ambae alikuwa ananuka pombe kama ilivyo kwa mgonjwa, ambae madoctor walikuwa wanaangaika kumtundikia drip za kuondoa kilevi ili waweze kumpatia matibabu.********
Naam saa tano na nusu, ndio mida ambayo Higgno na Soraya walipanda kitandani kama jana, ni baada ya kuwa wamesha maliza kula na kukaa sana pale nje wakiongea na kucheka kwa pamoja, huku maongezi yao yakiwa yameegemea upande wa matukio yale matatu ambayo Higgno alimsaidia Soraya, “yaani napenda unavyojuwa kupigana” alisema Soraya, wakiwa amelala pembeni ya Higgno upande wa ukutani akigeukia upande aliokuwa Higgno alielalachali, Higgno alicheka kidogo, “nitakufundisha” alisema Higgno, ambae daima huongea taratibu na kwa upole, “halafu nime kumbuka” alisema Soraya huku anainuka na kuitazama meza, kisha akapandisha mguu mmoja juu ya kiuno cha Higgno na kufanya kigauni chake kupanda juu zaidi, hivyo mapaja yao kugusana, mwanzo Higgno alijuwa soraya anavuka kwenda kwenye meza, lakini, akashangaa kumuona ananyoosha mkono na kuchukuwa mkoba wake juu ya meza na kukaa vizuri kabisa juu ya Higgno kama amekaa juu ya kibao cha mbuzi au boda boda, “kama nakuumiza sema” alisema Soraya, huku mapaja yao bado yamegusana yaani nyama kwa nyama na kufanya wabadilishane Joto, ambalo lilimfanya Soraya aanze kuhisi msisimko kama alioupata Higgno, ambae alienda mbali zaidi na kujikuta akizidi kusimamisha dudu ambayo ilifikia hatua ya kugusa kitumbua cha mschana huyu mzuri na mrembo, ambae alihisi kitu kigumu kimegusa kitumbua chake, akaacha kufanya alichokuwa anafanya kwenye mkoba wake na kupeleka mkono wake uvunguni kwake na kujipapasa, hapo akagunduwa kuwa alikuwa amekalia dudu ya kijana huyu mpole, hapo akainuwa uso wake kumtazama Higgno kwa macho yaliyojaa kijiaibu, akamuona na yeye anamtazama na macho yao yalipo kutana Soraya akashindwa kuhimili aibu na kujikuta akiweka mkoba pembeni na kujilaza kifuani kwa Higgno kuficha uso wake kifuani kwa Higgno huku chuchu zake zikijikandamiza kwa Higgno, hapo Higgno akakumbuka alichoambiwa na baba mdogo, akapeleka mikono yake kwenye mbavu changa za mschana huyu na kuanza kutembeza taratibu kushuka chini mpaka kiunoni na kupandisha tena na kumfanya Soraya ahisi mtekenyo uliompa raha ya ajabu, ambayo ilianzia kwenye koo mpaka kwenye kitumbua ikipitia mgongoni na kujikuta akikandamiza kiuno chake chini na kufanya kitumbua chake ambacho kilikuwa ndani ya chupi kuikandamiza dudu ambayo sasa ni kama alikuwa ameikalia kwa juu yake ikiwa imetutumka na kutazama upande wa kitovuni na yeye kuwa kama amekalia kipande cha muhogo uliolala, kwa maana ya kwamba dudu ile ilikatiza kati kati ya kitumbua cha Soraya na kumzidishia msisimko, “ona Higgno umeshatamani” alisema Soraya kwa sauti iliyojaa aibu akiwa bado amelala juu ya kifua cha Higgno, kama mpanda farasi mwenye mbwembwe…… ITAENDELEA....
SEHEMU YA SITINI NA MOJA
MTUNZI Mbogo EDGAR
ILIPO ISHIA SEHEMU YA SITINI : kidogo na kumfanya awe ameshikilia sehemu hiyo kwa kuikusanya kuficha maziwa yake ambayo hayakuwa ndani ya sidiria kwa muda huo, ambayo yaliweza kuonekana vyema yakitengeneza umbo juu ya kijigauni chake chepesi, hakika hata Soraya mwenyewe alikuwa katika wakati mgumu, hakuzoea kukaa vile mbele ya mwanaume, ila ilimlazimu kwaajili ya kufuata maelekezo ya mwalimu wake. Higgno alimtazama Soraya akikifuata kigoda na kukiinua na kukisogeza karibu kabisa na alipokaa yeye, kisha akakikalia huku anacheka cheka kwa aibu…. ENDELEA……….
Huku Higgno kwa macho ya kuibia akiyatazama mapaja mazuri ya Soraya ambayo yalizidi kuonekana wazi, mara bada ya mschana huyu mrembo kukaa kwenye Kigoda na kusabisha kile kijigauni kupanda juu kidogo, Higgno hakujuwa kuwa Soraya pia alikuwa anamfuatilia kama alikuwa anamtazama, ukweli Higgno alianza kujihisi hali tofauti sehemu zake za siri, maana hata dudu ilianza kusimama na kumfanya abane miguu kuizuia isionekane jinsi livyo tuna, “Higgno nime sahau keki, kailete nikukatie uile” alisema Soraya huku akicheka cheka, “umenikumbusha, nime kuandalia mihogo ya kuchemsha na supu ya samaki” alisema Higgno huku akimtazama Soraya usoni, “hooo! napenda mihogo na samaki” alisema Soraya kwa sauti yake tamu lakini iliyochangamka, na hapo bila kujiuliza Higgno aliinuka mara moja kwaajili ya kuelekea ndani ambako kulikuwa na mwanga wa kutosha leo, Soraya aliweza kuona vyema jinsi sehemu za siri za Higgno zilivyo simama na kuinua bukta aliyoivaa, Soraya akatazama pembeni huku akicheka kwa aibu, na hapo ndipo Higgno alipotazama sehemu zake za mbele ya bukta na kuona jinsi palivyotuna, haraka sana Higgno akageukia upande wa mlango wa banda na kuelekea ndani akimuacha Soraya anaendelea kucheka cheka.
Higgno alipofika ndani akajitazama sehemu ya mbele ya bukta yake akaiona jinsi ilivyo tuna, “khaa! si aibu hii” alijiwazia Higgno huku akitazama kama anaweza kuiona boxer yake aliyoivua wakati anaenda kuoga, lakini akakumbuka kuwa baba yake mdogo Alex, alimueleza kuwa anatakiwa kubakia na nguo moja tu, kama ni boxer au bukta, japo baba mdogo alimaanisha kuwa avae hivyo akiwa chumbani tena kitandani na sio nje kama walivyo sasa, japo Higgno alijiongeza kwa kuona akibakia na boxer atashangaza ulimwengu, ndio maana alijiongeza na kubakia na bukta ambayo sasa aliiona kero, “Higgno fungua kwenye mkoba wangu kuna box la simu njoo nalo” alisikika Soraya toka nje, na hapo Higgno akaachana na mambo ya boxer na kuisogelea meza ambayo iliyokuwa na mkoba na box la keki, cha kwanza akafungua begi la Soraya alicho kutana nacho kilimfanya atumbue macho, sio fedha nyingi alizo zikuta ndani ya begi hilo au box jipya la simu ambalo lilikuwa chini ya nguo fulani ndogo, ndiyo ambayo ilimtumbulisha macho na ilikuwa ni lazima aitoe nguo hiyo ya ndani ndipo atoe box, ilikuwa ni chupi nyeupe aina ya bikini, ambayo aliitoa na kuitazama vizuri, “au basi hiyo simu iache” alisikika sauti ya Soraya, “sawa” alijibu Higgno huku anairudisha kwenye begi, lakini tayari mambo yalisha haribika maana kuiona tu ile nguo, dudu ilishainuka tena kwa fujo kuliko hata mwanzo na alishindwa kuizuwia hata alipotoka na box la keki, huku mkono mwingine ameshika ndoo ikawa fahari ya macho kwa Soraya, ambae aliitazama hali ya Higgno kwa macho ya kuibia, huku akijichekesha, Higgno akuzubaa pale nje aliweka haraka ndoo chini akiigeuza na kuweka ile keki juu yake kisha akarudi ndani haraka kuchukuwa supu ya samaki na mihogo.********
Mama Hilda na mwanae Hilda wakiwa chumbani kwa Hilda waliendelea kuongea bila kujuwa kama mzee Komba alikuwa anawasikia, “kwahiyo na wewe alikupa ile dawa tamu tamu halafu ukaanza kupata hamu ya kufanywa?” aliuliza mama Hilda ambae alikuwa amelewa ulanzi, “ndiyo alinipa kumbe hata wewe alikupa ile dawa?” aliuliza Hilda kwa sauti ya mshangao, “sasa je alinipa hiyo hiyo, nikajikuta napeleka mimi mwenyewe, akanifanya weeeee, tani yake, mwenzie bado najisikia nyege tu! akanifanya weee, mpaka kukawaka moto, halafu cha ajabu bado nikaendelea kujisikia nyege, cha kushangaza hachoki kusimamisha” alisema mama Hilda kwa kujiachia kabisa akijuwa wapo wawili, “hata mimi alinifanya hivyo hivyo, nilipoona naumia, nikamwambia ahamie huku, nako akanifanya mpaka kukaanza kuumia” alisema Hilda akionyesha kwenye makalio, na wakati huo huo wakasikia “yaani mama Hilda kumbe kule kwa Mabudi mnaenda kufanya umalaya, baada ya…ya….” ili kuwa ni sauti ya mzee Komba, ambayo mwishoni ilikwama kwama na walipo geuka kumtazama japo hawakuweza kumuona vizuri lakini waliweza kuona anajishika kifuani na kuanza kuyumba yumba kabla hajaanguka kwa nguvu, hapo mama Hilda na Hilda wakajuwa kuwa ni tayari tatizo limesha wakuta, mama Hilda na Hilda, waka piga kelele kwa nguvu, “jamani baba” alipiga kelele hiyo Hilda, “mamaaaaa yoyoooo!!, jamani mume wanguuuu” ulikuwa ni ukelele wa mama Hilda, ambae alikuwa anasogea pale alipoanguka mume wake, Hilda akishindwa kujiinuwa toka kitandani kutokana na kile alicho kiskia kitumbuani mwake.
Sauti ile iliwafikia wakina Ngonyani waliokuwa wanaendelea kunywa pombe nje ya nyumba ya mzee Komba, nao wakakimbilia ndani kutazama nini kilichotokea ndani ya nyumba ile, ambako walimkuta mzee Komba bado yupo chini hajitambui, yaani amepoteza fahamu, hivyo walimbeba na kumtoa nje halafu na kumlaza chini kweneye uwanja wa mbele ya nyumba yake, kisha waakazana kufanya jitihada za kumzindua, lakini licha ya kuhangaika kwa dakika kumi nzima hawakufanikisha, hivyo wakapata wazo la kwenda kweye dispensal ya shule ya sekondary ya wavulana ya songea.
Naam katika hali ya ulevi waliyo kuwa nayo na pasipo kujuwa kilicho mkuta mwenzao, wakina mzee Ngongi walimbeba mwenzao mzega mzega mpaka Songea Boys Dispensal, ambako walipokelewa na muuguzi mmoja tu wakike aliekuwa zamu usiku ule, ni mmoja kati ya wawili pekee waliokuwepo hapa Luhila, wakisaidiana na doctor mmoja wa kiume.
Nurse yule wakike alipokea mgonjwa na kuanza kumpa huduma ya kwanza lakini licha ya kugundua kuwa mzee Komba alikuwa mzima kwa maana mapigo yake ya moyo yana piga kwa mbali lakini hakuweza kumrejeshea fahamu zake, “jamani hapa hakuna namna inabidi mgonjwa apelekwe hospital ya mkoa” alishauri yule Nurse, sasa hapo swala likaja kwamba, ni usafiri gani utawafikisha mjini ambako ni kilomita zaidi ya tisa, Dispensal haikuwa na gari, “kwa kuwasaidia, naweza kuombea gari la shule, lakini lazima watasema mlipie mafuta” alisema yule muuguzi wakike, “sawa haina shida waambie walete gari” alisema Ngongi kwa sauti ya kilevi, “sawa andaeni fedha ya mafuta, mimi nawapigia simu” alisema yule yule Nurse huku anaingia ndani na kuchukuwa simu yake, kisha akapiga kwa uongozi wa shule kuomba gari.
Nurse alikubaliwa na akaambiwa kuwa dereva anajulishwa na atakuja muda mfupi ujao, na yeye akatoka nje kwenda kuwajulisha wale watu wenye mgonjwa, lakini huwezi amini, mara baada ya nurse kufika nje alimkuta mke wa mzee Komba peke yake, “wale wazee wengine wapo wapi maana dereva anakuja sasa hivi?” aliuliza nurse, “wameondoka” alijibu mama Hilda, kwa sauti iliyojaa unyonge, hapo nurse akabaini jambo, “kwahiyo wamekimbia?” aliuliza nurse kwa mshangao, “ndiyo wameondoka hata bila kuaga” alisema mama Hilda kwa sauti ile ile ya kinyonge, “sasa tutafanyaje mama au unayo hiyo fedha ya mafuta, maana bila elfu tano mgomnjwa tutampoteza hapa hapa” alisema Nurse kwa msisitizo, “hooo jamani mimi yoyoooo, mume wangu ndiyo anakufa huku namuona” alisema maam Hilda huku akianza kuangua kilio, “kulia haisaidii mama yangu, hebu tufikirie mtu ambae anaweza kutuazima hiyo fedha” alisema yule Nurse, na hapo mama Hilda akaacha kulia nakuanza kushirikiana na yule nurse kutafuta mtu ambae anaweza kuwaazima fedha ya kununulia mafuta ya gari ili wamuwaishe mzee Komba hospital.
Lakini kila waliempata alisema kuwa hakuwa na fedha, kila walikoenda ilikuwa hivyo hivyo, walizunguka kwa marafiki karibia wote wa mzee Komba, lakini hakuna hata mmoja aliekubali kutoa fedha hiyo kumsaidia mzee Komba ambae bado alikuwa amepoteza fahamu, hata mwisho yule Nurese akamkumbuka mzee Frank, mtu ambae anafahamiana nae, ambae hata yeye mara kwa mara huwa anakopa kwenye duka lake pale inapotokea ameishiwa kitu kama sukari au mchele na terehe za mshahara bado, “nadhani nimjaribu mzee Frank, japo ameunguliwa na duka lakini kama anayo anaweza kutusaidia” alisema Nurse huku anaanza kubofya simu yake kutafuta namba ya mzee Frank, ambae aliona pengine mzee huyo ndie pekee anaweza kutoa msaada huo wa kuwaazima fedha za kumpeleka mzee Komba Hospital, “mh! mzee Frank sidhani kama anaweza kutusaidia” alisema mama Hilda kwa sauti ya mashaka huku anatazama pembeni na kubetua midomo, “ndiyo nadhani anaweza kutusaidia” alisisitiza Nurse yule wakike huku anaendelea kutafuta namba ya simu ya mzee Frank, “sawa mjaribu, lakini sijui” alisema mama Hilda akiwa na uhakika kuwa atakataliwa kutokana na mambo wanayomfanyia, na pengine hata lililotokea kwa mzee Komba chanzo yeye, maana wasingejipeleka kwa mabudi bila kuwaza kumloga mzee huyu, “wala usiwe na hofu, mzee Frank na mfahamu vizuri hawezi kukunyima fedha katika jambo kama hili” alisema yule Nurse huku anabofya simu yake kumpigia mzee Frank.******
Licha ya kubaini njama za Mahadhi na kijana wake Idd, lakini bwana Mahamud bado aliona kuna ugumu fulani katika swala hilo, maana tayari kashfa ilisha sambaa kiasi cha kuitwa kwenye baraza la wazee, “sijui wataniambia nini na watanielewa kweli nikiwaeleza kuwa sifanyi jambo hilo?” aliwaza Mahamud, na kuanza kutafakari na nmna ya kujieleza mbele ya baraza la wazee, “sijui ni lini Soraya atapata mchumba na kuolewa?” aliendelea kuwaza Mahamud, huku akiona wazi kuwa Soraya alikuwa sahihi kuchagua mwanaume wakumuoa, maana dalili mbaya baada ya kuona jinsi Mahadhi na na kijana wake Idd wanavyo hangaika na kuitafuta nafasi ya kumchumbia Soraya, huku mzee Mahamud akibaini kuwa kijana huyu ana rekodi mbaya sana, katika maisha yake hasa miaka mitano au sita iliyopita akiwa huko msumbiji na afrika ya kusini, “mwizi mkabaji, muuzaji wa dawa ya kulevya, mlevi mzizi mbakaji, anataka kumuoa mwanangu” aliwaza Mahamud na kukumbuka kuhusu kijana mpole, “sijui ni mtu wa aina gani ambae anatenda wema na kuendelea kujificha au ni muhalifu?” aliwaza Mahamud, “kama ni muhalifu anawezaje kuwa na moyo wa kusaidia mtu pasipo kuhitaji chochote” aliwaaza Mahamud, ambae alienda mbali zaidi kwa kuwaza kuwa endapo ange fahamu kijana yule anapatikana wapi basi ingekuwa rahisi kwake kumpata na kumfahamu kiundani, maana niwazi kabisa kuwa kijana huyo alikuwa ndio chaguo la binti yake, “na yeye anampenda mtu asiekutana nae, itakuwaje akiwa ameshaoa?, ninge mpata yule kijana alienisaidia mimi nae ingekuwa safi kama angeishi na Soraya, sasa sijui ni kwanini aliondoka mapema pale ofisini wakati nilimuahidi kumpatia kazi” hilo swali alishindwa kulipatia jibu, maana ni vigumu kwa kijana anaehitaji kazi, tena akiwa ameahidiwa kuondoka eneo husika mapema kiasi kile.
Mahamud aliwaza kwa uda mrefu, mwisho akaamua liwalo na liwe, “nitaenda kuwasikiliza wanachoongea na mimi nita wajibu kutokana na wanachouliza au kuongea” aliwaza Mahamud kabla ya kupitiwa na usingizi.******
Mzee Frank na mke wake mida hii walikuwa kitandani, usingizi ukiwa umegoma kuja kutokana na furaha waliyokuwa nayo, baada ya kupewa fedha na kuanza ujenzi wa duka jipya, huku wakiahidiwa kupewa fedha za kufungua duka jingine, “unajuwa baba Higgy, kuna wakati nashindwa hata kuelewa, huyu binti anafanya haya kwaaajili gani, isije kuwa baadae anatupa mashariti ya kutoa kafara” alisema mama Higgno kwa sauti ya mashaka, “mama Higgy bwana, we uliwahi kuona wapi mambo kama hayo, mwenzio anamsaidia mshenga wake” mzee Frank, na wote wakamalizia kwa kicheko na wakati huo huo akasikia simu yake inaita, akachukuwa toka mezani na kuitazama ilikuwa namba ya Nusre, “mh! huyu mama doctor anasemaje usiku huu?” aliuliza mzee Frank kwa sauti ya mashaka, huku anapokea simu, “hallow habari za saa hizi” aliongea Frank, ambae kichwani mwake alikuwa na uhakika kuwa Nurse amekosea namba, “kwa kweli sio salama bwana mzee Frank, tuna tatizo hapa na tunahitaji msaada wako” alisema Nurse, na huku mama Higgno anasogeza sikio karibu na simu aliyoishika mume wake, “kuna shida gani tena doctor?” aliuliza mzee Frank, ambae alikuwa anamwitaga huyo mama kuwa ni Doctor, “tuna hitaji utuazime elfu tano ya mafuta, kuna jirani yako hapa mzee Komba amepoteza fahamu tunahitaji kumkimbiza hospital ya mkoa” alisema Nurse, “hooo! Hakuna shida nipitieni hapa nyumbani” alisema Mzee Frank huku anakata simu na kuinuka toka kitandani, “kumbe wanaujua msaada wako, sasa mbona wanatufanyia mambo ya kipuuzi” alisema mama Higgno na yeye akiinuka na kujifunga kanga, “na sio kwamba nitakuwa nao karibu, yaani likipita hili najiweka mbali nao” alisema Frank ambae alikuwa amesimama anapekuwa suruali yake na kutoa bunda la noti za elfu moja moja, akizipanga katika mafungu mawili ya elfu tano tano, zilizobakia akazirudisha sehemu yake, na zile nyingine akaziweka mezani, “mh! hauna haja ya kukaa nao mbali, nadhani mpaka hapo watakuwa wamesha jifunza, tena usiwakopeshe hiyo elfu tano wape bure bure” alisema mama Higgno, “mh! nani alisema kuwa kichaa kinapona, labda ya kulogwa, zaidi ya hapo kichaa huwa kinatulia kwa muda tu!, japo fedha nitawapa bure lakini sitowaamini hata kidogo, kwa walichomfanyia Higgno sina imani nao” alisema mzee Frank, huku anavaa suruali na shati, na kabla hajafanya jingine lolote wote wawili wakasikia ngurumo ya gari likija nyumbani kwao.********
Higgno alitoa vitu vyote alivyo kusudia pamoja na ndoo nyingine, ambayo ilikusudiwa kutumika kama meza huku Higgno kila alipoingia na kutoka nje alijitahidi kwa macho ya wizi kuendelea kuyatazama mapaja ya Soraya yaliyo kuwa wazi kiasi fulani na kumsababishia kupata msisimko ambao ulichemsha damu yake na kwenda kujaa kwenye dudu ambayo ilisimama na kuinua bukta yake pasipo kujuwa kuwa Soraya nae alikuwa anatazama sehemu za mbele ya buka ya mpenzi wake huyu ili kubaini maendeleao ya hali ya dudu ya mpenzi wake huyu, ambayo alikuwa anaifanyia makusudi kwa ushauri wa mwalimu wake pasipo kujuwa kitakachofuata.
Soraya aliweza kuiona bukta jinsi ilivyotuna na kutengeneza sura ya mzee baba alievaa kofia ndani ya bukta hiyo, na hata Higgno alipokaa kwa maana ya kumaliza nenda rudi, Soraya ni kama hakuridhika, akatazama vile vilivyopo akaona kuna mihogo yake ya kuchemsha ndani ya mchuzi mweupe wa samaki, yaani supu, huku pembeni samaki akiwa amelala, tayari kuliwa, pia kulikuwa na lile box la keki na machungwa, akamtazama Higgno huku anajichekesha chekesha, “Higgno mbona umesahau kisu cha kukatia keki na kumenyea machungwa” alisema Soraya ambae muda wote kicheko hakikukauka mdomoni mwake, “hooo! kweli sijui nimetingwa na nini” alisema Higgno huku anainuka na kuelekea ndani, huku akikemea pepo la kutazama mapaja ya Soraya, ambae mpaka sasa hakuwa anajuwa kama ni binti ya tajiri Mahamud.
Soraya nae mara tu! baada ya Higgno kuingia ndani akaachia pale kifuani alipopashikilia na kuchukuwa kikombe cha maji, akanawa kwaajili ya kula supu ya samaki na mihogo, “mh! nanii yake inaonekana kabisa ilivyosimama” sasa sijui anawezaje kusimamisha halafu asiwe mwanaume kamili” aliwaza Soraya bila kujuwa kuwa hapo ndipo anakosea yeye kutofautisha na kubaini ukweli, alipomaliza kunawa akaliweka vizuri gauni lake pale kifuani, ni kama alikuwa analifunuwa zaidi na kusababisha sehemu za maziwa yake kuonekana wazi wazi, kisha akanawa tena na kuchukuwa kipande cha mhogo akakipeleka mdomoni huku macho akiyatega mlangoni kusubiri Higgno atoke na yeye aone kile ambacho alipenda kukitazama kila mara, japo pia alipenda sana kutazama eneo la kifua cha kijana huyu mpole.
Naam Higgno alitoka nje akiwa mikono mitupu, “kumbe kisu kipo huku huku nje” alisema Higgno, akipitiliza mpaka kwenye kichanja (kimeza kilicho tengenezwa kwa miti na fito nyembamba za mianzi) akachukuwa kisu na kurudi nacho pale alipo kuwa amekaa mwanzo, muda wote Soraya alikuwa ana tazama kile alicho hitaji kukitazama kwa kijana huyu, na Higgno baada ya kukaa ndipo macho yake kwa bahati mbaya yaka tazama kifua cha Soraya, akajikuta mwenyewe anakwepesha macho kwa aibu na hofu ya kuonekana kuwa ni mchunguliaji, japo alishachelewa maana macho hayana adabu, tayari yalishapeleka taaarifa kwenye ubongo kuwa ameona maziwa mazuri ya Soraya, na ubongo ukapeleka taarifa kwa dudu, ambayo kama vile ilitaka kujitoa buktani ili kwenda kuyaona, maana ilizidi kujitutumua, “kata uile, mwenzako na kula ulichonipikia kitamu” alisema Soraya akimueleza Higgno.*******
Ukweli usio pingika mama Hilda yaani mke wa mzee Komba, hakuamini macho na masikio yake kwa kile kilichotokea, baada ya kuambiwa na yule Nurse kuwa mzee Frank alikubali kumsaidia, alianza kuamini baada ya kuona gari la shule likija pale dispensal na wanafunzi wanne, ambao walisaidia kumpakiza mume wake ndani ya gari, pamoja na yeye na yule Nurse, kisha wakaondoka kuelekea nyumbani kwa mzee Frank, moyoni mwake mama Hilda alijiwazia “huyu nae amejisikia nini kutukopesha vihela vyake?” ilionyesha wazi bado mama Hilda alikuwa na kila dalili ya chuki na mzee Frank, “watajuana na Komba mwenyewe akizinduka” aliwaza mama Hilda ambae hata mimi bado sijamuelewa kwanini alikuwa anawaza vile.
Muda mfupi sana waliutumia toka dispensal mpaka nyumbani kwa mzee Frank ambae alitoka nje mara moja baada tu ya gari kusimama akiwa amevaa suruali na shati chini akiwa na kanda mbili, “pole na hongera boss wangu, naona unatuwekea duka jingine” alisema Nurse ambae alionekana wazi kuwa hakuwa ameona ujenzi mpya, “ndugu yangu, weee nimeona niwasogezee huduma maana mlishazoea sasa ingeleta shida kidogo” alisema mzee Frank, ambae alisha sogea na kuwa karibu na nurse alieshuka toka kwenye gari, “ni kweli kabisa , yaani nilipozipata taarifa hizi asubuhi nikaanza kuwaza itakuwaje si unajua mambo yetu yale” alisema yule Nurse akimaanisha kuwa alihofia kukossa sehemu ya kukopa, muda wote mama Hilda aliekuwa ndani ya gari pamoja na derva na mume wake ambae ni mgonjwa alikuwa amekunja sura kwa chuki na hasira, “mungu anasaidia kesho naweza kwenda kufanya manunuzi ya vifaa vya duka, na kama mafundi wakikamilisha tu basi kesho kutwa na fungua chumba kimoja wakati kingine kina fanyiwa ukarabati, nikikamisha kingine nahamishia vitu halafu namalizia kilicho bakia” alisema Frank, wakati huo mke wake akiwa amesimama mlangoni anawatazama, Mzee Frank alitoa fedha shilingi Elfu tano na kumpatia nurse, “basi nisiwacheleweshe muwahi kumpeleka mgonjwa hospital….” alisema mzee komba ambae alitoa tena elfu tano nyingine na kusogea upande wa nyuma wa gari, “haaaa! ina maana mupo wenyewe tu” alishangaa mzee Frank baada ya kuona kule nyuma yupo mama Hilda na mzee Komba mwenyewe alielazwa juu ya godoro kwenye sakafu ya gari, maana licha ya kwamba wale vijana kusaidia kumpakiza mgonjwa kwenye gari walirudi shuleni, ila kwa mzee Frank yeye alitegemea wakina Ngonyani na wenzake wange kuwepo pamoja na mke wa Komba, “ndugu yangu wee, marafiki mkia wa fisi, yaani walivyo mkiambia kimbia hata mimi sijaelewa kwa kweli” alisema yule nurse huku anapanda kwenye gari, “shemeji hii hapa itasaidia kwenye mambo madogo madogo ya hospital” alisema mzee Frank, huku anamkabidhi mama Hilda elfu tano mkononi, “jamani baba Higgy tutaweza kulipa kweli” alisema mama Hilda akionyesha kuogopa endapo watashindwa kulipa tsh elfu kumi, ambayo ameitoa mzee Frank, “hapana shemeji sija wakopesha nimetoa kama jirani na mwanakijiji mwenzenu, tena wacha niwasindikize maana sio vyema kama utaenda peke yako” alisema mzee Frank na kumuaga mke wake kisha kupanda kwenye gari na gari likaondoka kuelekea upande wa mjini.
Labda ungedhani kuwa mama Hilda angebadili mtazamo wake kwa baba Higno, baada ya kuyafanya yale yote, kama ulidhani hivyo ulikuwa umekosea, maana mama Hilda japo alionyesha tabasamu usoni mwake lakini moyoni mwake alikuwa anawaza usiyo yategrmea, “basi hapo anataka aonekane tu! Hela zenyewe za uchawi!” ndivyo alivyo waza mama huyu, ambae hakuwaza kile alichofanya na babu mabudi akishiriki na mwanae Hilda, kilichosababisha mpaka mume wake kupoteza fahamu kwa muda mrefu.
Nusu saa ndio muda ambao walitumia kufika Hospital na mzee Frank ndie aliesaidiana na nurse kuhakikisha mzee Frank anapata huduma ikiwa na kupewa kitanda cha kulazwa, kisha wakamuacha mama Hilda ambae alikuwa ananuka pombe kama ilivyo kwa mgonjwa, ambae madoctor walikuwa wanaangaika kumtundikia drip za kuondoa kilevi ili waweze kumpatia matibabu.********
Naam saa tano na nusu, ndio mida ambayo Higgno na Soraya walipanda kitandani kama jana, ni baada ya kuwa wamesha maliza kula na kukaa sana pale nje wakiongea na kucheka kwa pamoja, huku maongezi yao yakiwa yameegemea upande wa matukio yale matatu ambayo Higgno alimsaidia Soraya, “yaani napenda unavyojuwa kupigana” alisema Soraya, wakiwa amelala pembeni ya Higgno upande wa ukutani akigeukia upande aliokuwa Higgno alielalachali, Higgno alicheka kidogo, “nitakufundisha” alisema Higgno, ambae daima huongea taratibu na kwa upole, “halafu nime kumbuka” alisema Soraya huku anainuka na kuitazama meza, kisha akapandisha mguu mmoja juu ya kiuno cha Higgno na kufanya kigauni chake kupanda juu zaidi, hivyo mapaja yao kugusana, mwanzo Higgno alijuwa soraya anavuka kwenda kwenye meza, lakini, akashangaa kumuona ananyoosha mkono na kuchukuwa mkoba wake juu ya meza na kukaa vizuri kabisa juu ya Higgno kama amekaa juu ya kibao cha mbuzi au boda boda, “kama nakuumiza sema” alisema Soraya, huku mapaja yao bado yamegusana yaani nyama kwa nyama na kufanya wabadilishane Joto, ambalo lilimfanya Soraya aanze kuhisi msisimko kama alioupata Higgno, ambae alienda mbali zaidi na kujikuta akizidi kusimamisha dudu ambayo ilifikia hatua ya kugusa kitumbua cha mschana huyu mzuri na mrembo, ambae alihisi kitu kigumu kimegusa kitumbua chake, akaacha kufanya alichokuwa anafanya kwenye mkoba wake na kupeleka mkono wake uvunguni kwake na kujipapasa, hapo akagunduwa kuwa alikuwa amekalia dudu ya kijana huyu mpole, hapo akainuwa uso wake kumtazama Higgno kwa macho yaliyojaa kijiaibu, akamuona na yeye anamtazama na macho yao yalipo kutana Soraya akashindwa kuhimili aibu na kujikuta akiweka mkoba pembeni na kujilaza kifuani kwa Higgno kuficha uso wake kifuani kwa Higgno huku chuchu zake zikijikandamiza kwa Higgno, hapo Higgno akakumbuka alichoambiwa na baba mdogo, akapeleka mikono yake kwenye mbavu changa za mschana huyu na kuanza kutembeza taratibu kushuka chini mpaka kiunoni na kupandisha tena na kumfanya Soraya ahisi mtekenyo uliompa raha ya ajabu, ambayo ilianzia kwenye koo mpaka kwenye kitumbua ikipitia mgongoni na kujikuta akikandamiza kiuno chake chini na kufanya kitumbua chake ambacho kilikuwa ndani ya chupi kuikandamiza dudu ambayo sasa ni kama alikuwa ameikalia kwa juu yake ikiwa imetutumka na kutazama upande wa kitovuni na yeye kuwa kama amekalia kipande cha muhogo uliolala, kwa maana ya kwamba dudu ile ilikatiza kati kati ya kitumbua cha Soraya na kumzidishia msisimko, “ona Higgno umeshatamani” alisema Soraya kwa sauti iliyojaa aibu akiwa bado amelala juu ya kifua cha Higgno, kama mpanda farasi mwenye mbwembwe…… ITAENDELEA....