Abdallahking
JF-Expert Member
- Mar 19, 2018
- 3,983
- 10,804
- Thread starter
- #81
SEHEMU YA 68
kama alikuwa amebeba mzigo mkubwa moyoni mwake, kwa kipindi kile akajiona kama ameutua mzigo ule.
Tabasamu pana likaanza kuonekana usoni mwake. Hakujua ni hali gani ambayo ilimpelekea kutabasamu, ila alijihisi kufanya hivyo moyoni kwa kuwa alikuwa akijisikia huru kupita kawaida.
Mchungaji White akaanza kumsogelea Bwana Jonathan ambaye bado alikuwa akiendelea kupiga kelele huku akiendelea kuleta vurumai kitendo ambacho kwa kiasi fulani kilitaka kuharibu ibada nzima. Alipomfikia Bwana Jonathan, akamuwekea mkono kichwani.
“Who are you? (Wewe ni nani?)” Mchungaji White alimuuliza.
“Jethro. I am Jethro. We are one thousand in here (.Jethro. Mimi ni Jethro. Tupo elfu moja hapa)” Sauti ambayo ilikuwa ni tofauti na sauti ya Bwana Jonathan ilisikika kinywani mwa mzee huyo.
“Ok! Do you know this place? (Unaifahamu sehemu hii?)” Mchungaji White aliuliza.
“The Church. This is the church (Kanisani. Hili ni kanisa){
“So you have to keep quite. In the name of Jesus Christ (Kwa hiyo unatakiwa kubaki kimya. Kwa jina la Yesu Kristo)” Mchungaji White alimwambia.
Hapo hapo mchungaji White akawaambia wale watu ambao walikuwa wamemshika Bwana Jonathan kumuachia. Kuanzia hapo hakukuwa na vurumai zozote zilizoendelea zaidi ya utulivu mkubwa uliowekwa na Bwana Jonathan. Mchungaji White akaendelea kuhubiri huku Bwana Jonathan akiendelea kubaki kimya huku akiwa amesimama kanisani pale.
Alipomaliza kuhubiri, maombezi yakafanya na kanisa zima na kisha kuanza kumfuata Bwana Jonathan ambaye alikuwa katikautulivu mkubwa. Alipomfikia, akaupeleka mkono wake kichwani kwa Bwana Jonathan.
“Let him free...in the name of Jesus Christ (Mwacheni huru....kwa jina la Yesu Kristo)” Mchungaji White aliamuru.
Bwana Jonathana akaanguka chini, akaanza kutupa miguu yake huku na kule, kelele zikaanza kusikika tena kutoka kinywani mwake huku zikilalamika kwamba kulikuwa na moto ambao ulikuwa ukiwaunguza mahali pale. Washirika wengine hawakubaki kimya, walikuwa wakizidi kuomba.
“Let Jesus finish His work (Mwacheni Yesu amalize kazi yake)” Mchungaji White aliliambia kanisa huku yeye akiifuata madhabau ambapo akamimina
kama alikuwa amebeba mzigo mkubwa moyoni mwake, kwa kipindi kile akajiona kama ameutua mzigo ule.
Tabasamu pana likaanza kuonekana usoni mwake. Hakujua ni hali gani ambayo ilimpelekea kutabasamu, ila alijihisi kufanya hivyo moyoni kwa kuwa alikuwa akijisikia huru kupita kawaida.
Mchungaji White akaanza kumsogelea Bwana Jonathan ambaye bado alikuwa akiendelea kupiga kelele huku akiendelea kuleta vurumai kitendo ambacho kwa kiasi fulani kilitaka kuharibu ibada nzima. Alipomfikia Bwana Jonathan, akamuwekea mkono kichwani.
“Who are you? (Wewe ni nani?)” Mchungaji White alimuuliza.
“Jethro. I am Jethro. We are one thousand in here (.Jethro. Mimi ni Jethro. Tupo elfu moja hapa)” Sauti ambayo ilikuwa ni tofauti na sauti ya Bwana Jonathan ilisikika kinywani mwa mzee huyo.
“Ok! Do you know this place? (Unaifahamu sehemu hii?)” Mchungaji White aliuliza.
“The Church. This is the church (Kanisani. Hili ni kanisa){
“So you have to keep quite. In the name of Jesus Christ (Kwa hiyo unatakiwa kubaki kimya. Kwa jina la Yesu Kristo)” Mchungaji White alimwambia.
Hapo hapo mchungaji White akawaambia wale watu ambao walikuwa wamemshika Bwana Jonathan kumuachia. Kuanzia hapo hakukuwa na vurumai zozote zilizoendelea zaidi ya utulivu mkubwa uliowekwa na Bwana Jonathan. Mchungaji White akaendelea kuhubiri huku Bwana Jonathan akiendelea kubaki kimya huku akiwa amesimama kanisani pale.
Alipomaliza kuhubiri, maombezi yakafanya na kanisa zima na kisha kuanza kumfuata Bwana Jonathan ambaye alikuwa katikautulivu mkubwa. Alipomfikia, akaupeleka mkono wake kichwani kwa Bwana Jonathan.
“Let him free...in the name of Jesus Christ (Mwacheni huru....kwa jina la Yesu Kristo)” Mchungaji White aliamuru.
Bwana Jonathana akaanguka chini, akaanza kutupa miguu yake huku na kule, kelele zikaanza kusikika tena kutoka kinywani mwake huku zikilalamika kwamba kulikuwa na moto ambao ulikuwa ukiwaunguza mahali pale. Washirika wengine hawakubaki kimya, walikuwa wakizidi kuomba.
“Let Jesus finish His work (Mwacheni Yesu amalize kazi yake)” Mchungaji White aliliambia kanisa huku yeye akiifuata madhabau ambapo akamimina