ElPuto Jefe
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 5,286
- 19,463
Nyumba ya dhambi kweli, kila siku ni kufuru tuu!SEHEMU YA 58
“Ameolewa! Yeye ni Muislamu, hivyo alipoondoka, watu wakanyanyua jiko fasta. Au nimsubiri mpaka aachike,” nilimwambia.
“Sio vizuri hivyo,” aliniambia.
Tukawa tunapiga stori. Yaani kama kunakuwa na jambo linataka kutokea, utajua tu.
Tulianza kwa kukaa makochi tofauti, tuliongea weeee, nikahama na kuhamia kwenye kochi lake alilokalia la watu wanne. Yeye alikaa kule mwisho na mimi huku.
Tuliendelea na stori, tukajikuta tunasogeleana tu na mwisho wa siku kuwa karibu-karibu kabisa kiasi cha kusikia pumzi za mwenzako.
“Una sauti nzuri sana,” nilimwambia kwa kumnong’oneza.
“Ahsante!”
“Nataka niisikie sauti yako ikitoa sauti nyingine ya faragha! Naruhusiwa?” nilimuuliza, alikuwa mtu mzima, si mtoto hivyo alijua nilimaanisha sauti gani.
“Jamaniiiiiiii....” aliniambia, hata kabla hiyo jamani yake haijamalizika vizuri, akashtukia mkono wangu ukianza kazi maalumu ya kuanza kutoa nguo moja na nyingine, hakunikataa, alibaki akiniangalia, yaani kwa kifupi ni kwamba alikuwa tayari kwa kila kitu.
*
*
*
Je, nini kitaendelea?
Dah hadi lumwezo umesimama dedeSEHEMU YA 58
“Ameolewa! Yeye ni Muislamu, hivyo alipoondoka, watu wakanyanyua jiko fasta. Au nimsubiri mpaka aachike,” nilimwambia.
“Sio vizuri hivyo,” aliniambia.
Tukawa tunapiga stori. Yaani kama kunakuwa na jambo linataka kutokea, utajua tu.
Tulianza kwa kukaa makochi tofauti, tuliongea weeee, nikahama na kuhamia kwenye kochi lake alilokalia la watu wanne. Yeye alikaa kule mwisho na mimi huku.
Tuliendelea na stori, tukajikuta tunasogeleana tu na mwisho wa siku kuwa karibu-karibu kabisa kiasi cha kusikia pumzi za mwenzako.
“Una sauti nzuri sana,” nilimwambia kwa kumnong’oneza.
“Ahsante!”
“Nataka niisikie sauti yako ikitoa sauti nyingine ya faragha! Naruhusiwa?” nilimuuliza, alikuwa mtu mzima, si mtoto hivyo alijua nilimaanisha sauti gani.
“Jamaniiiiiiii....” aliniambia, hata kabla hiyo jamani yake haijamalizika vizuri, akashtukia mkono wangu ukianza kazi maalumu ya kuanza kutoa nguo moja na nyingine, hakunikataa, alibaki akiniangalia, yaani kwa kifupi ni kwamba alikuwa tayari kwa kila kitu.
*
*
*
Je, nini kitaendelea?
Duhh!!!!..khaaa jamaa kwa utombaji huu hata hizo hela ulizopata hutazifaidi,utakufa haraka
khaaa jamaa kwa utombaji huu hata hizo hela ulizopata hutazifaidi,utakufa haraka
aibu nmeona mmatakufa sasa bora atumie pesa kwanza
Anafidia walivyokuwa wanamkataa kipindi yupo masikini
Pata pesa tujue tabia yako