Simulizi: Muhanga Wa Mapenzi

daaaamn', Yaani imekuwa so unexpected jinsi imeishia, whooops'..!!
Kwahiyo kumnyanyasa kote kule mkewe kumbe naye ana makubwa zaidi.??
thanks so much Shunie babie nimejifunza hakuna mkamilifu, kila mmoja ana siri zake kazichimbia moyoni..!!
 
daaaamn', Yaani imekuwa so unexpected jinsi imeishia, whooops'..!!
Kwahiyo kumnyanyasa kote kule mkewe kumbe naye ana makubwa zaidi.??
thanks so much Shunie babie nimejifunza hakuna mkamilifu, kila mmoja ana siri zake kazichimbia moyoni..!!
Umeona eenh kila mtu ana mazito yake jamani soma hiyo nyingine nimeweka link mamy
 
Asante sana shunie hadithi nzuri na inasikitisha. Mimi nimeiona Leo na nimeisoma leo. Sikuweza ku comment chochote
 
Wee ndio imeisha au umeikatisha shunii?? 😒😒 vipi kuhusu victor 😮😮 navokuuliza kama unakaa naye karibu
 
Wee ndio imeisha au umeikatisha shunii??
vipi kuhusu victor
navokuuliza kama unakaa naye karibu
Hahahha hivi hujaona neno mwisho hapo mpenzi imeisha kweli mtunzi ndio alivyoishia
 
dah papara za ndoa watoto wa kike zinatucost sana kuna muda tunakuwa desperate mno mpaka unajikuta unaangukia sipo yan alex ni shoga? Kwa kweli viatu vya sofia kwangu ni vikubwa havinitoshi
Ukifikisha miaka 30 huna dalili ya kuolewa unachanganyikiwa anayekuja yeyote unakubali
 
daaaamn', Yaani imekuwa so unexpected jinsi imeishia, whooops'..!!
Kwahiyo kumnyanyasa kote kule mkewe kumbe naye ana makubwa zaidi.??
thanks so much Shunie babie nimejifunza hakuna mkamilifu, kila mmoja ana siri zake kazichimbia moyoni..!!
Mkuu kama hiyo miguu hapo kwenye avatar ni yako hongera sana.
 
Ukifikisha miaka 30 huna dalili ya kuolewa unachanganyikiwa anayekuja yeyote unakubali
wengine hata sio kwa hio miaka bali ni kwa presha za watu zinawafanya wawe hivo, like kwa nn huolewi? Ukute mtaani watu wote wanaolewa unabakia peke yako kama akili zako za kushkiwa lazima kila ajaye utataka ndoa, swala l ndoa linpasw kua automatic kichwan kwa mwanaume, hizi zakufos sizo, na ukiharib ukaolewa na mtu asie sahihi bas umejivurugia moj kwa moja
 
Dada umeleta story fantastic ilonifunza mengi.
Yani sikuwahi kaa nikapoteza muda nikisoma story namna hii ila leo nimepoteza an hour and ahalf nikiisoma hii hadithi uloleta.
Thanks umenipunguza stress nilizopata leo.
Mungu akubariki.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…