Simulizi: Mimi na Boss Wangu

Nzuri
 
Jack Daniel nimerud kusoma hapa tena yangu 2023 Ila nilicho notice hakuna mtu anayekuwa karibu yako kama huna kitu iwe muda pesa, ushauri, kuamini wewe ni sehemu salama la kukimbilia, n.k

Hii ya urafiki sijui mwanangu sana hamna kitu we are mutualism if not parasitism or symbolism
 
Hata ndugu wa exclude kabisa! Tena marafiki wana unafuu watakuvumilia bila manung’uniko!
Upo sahihi

Ingawa kwangu mpk sasa ndugu are the best ni kama marafiki aaani, hatuweki zile hisia za kindugu ety kwamba ndugu hakosei sjui nn kila kitu ni mipaka aseeh japo binadamu kubadilika ni any time
 
Nimecheka kama mazuri,Kuna jirani Yangu,nilipopitia kama HAya,yeye akaona fursa nimuuzie nyumba
 
Nipo
Vyema ila nachosema ni kuwa mpk nilipo ndg zangu are the best..... Na tuna mfuko wa familia, ambao ndiyo unaotumika kusolve ishu za nyumbani muhimu, na kwetu muhimu tuu.

kwa mengi hasa niliyopitia walisimama nami bila kuchoka marafiki siku moja napost status sjui kitu gani ndo mtu anauliza upo

Kingn sipendlei kukimbilia marafiki hasa nikiwa na shda na wa face bros en sis kwanza tuone!! Na ndivyo tulivyo jizoesha home kwetu aseeh....

We come from different home, different màlezi na makuzi so hivyo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…