Sehemu ya 1
Vishawishi tumeumbiwa binadamu ingawa vingine yatupasa kujitahidi kuepukana nanyo, maana binadamu tumepewa akili tukitofautisha na viumbe hai vingine.
Ilikuwa ni siku ya ijumaa, siku ambayo mara nyingi mimi na kaka yaani Mr Lufunga, tulikuwa tukichelewa kidogo kurudi nyumbani maana tulikuwa tunaianza wikendi baada ya miangaiko mbalimbali ndani ya wiki, sasa kutokana na hali ya kiuchumi kwa upande wangu sikuwa vizuri hiyo ijumaa, nikaona ni bora niwai kurudi nyumbani ili nikae nashem wangu tubadilishane mawazo ya maisha.
Nilipofika nyumbani kwa nje sikumuona na kibaya zaidi kaka na shemeji yangu aitwae Evodia walikuwa bado hawajapata mtoto, nilisogea mpaka sebreni nikihisi uenda nitamuona japo tuzungumze maisha lakini sikumuona.
Nikaamua kukaa mwenyewe Sebreni lakini nilikuwa mpweke sana wazo likanituma niende jikoni ili nimpe salamu na apike haraka tuje sebreni kuzungumza.
Ile nakaribia jikoni nikasikia maneno ambayo yalinishangaza sana, "ehh naomba hii dawa inisaidie mme wangu anipende, anisikilize mimi tu, asitumie hela zake na mwanamke yoyote nje akaniharibia familia yangu" na kibaya zaidi alikuwa amepewa sharti kuwa mtu yeyote asimuone na asimsikilize maana dawa haitafanya kazi, ilibidi nifungue mlango wa jiko haraka nikakuta shemeji yupo mtupu bila hata nguo ya ndani, akiwa amechuchumaa juu ya sefuria, dawa za ungaunga pembeni na mkojo wake ukiwa ndani ya sefuria kwaajili ya kuutumia kama mchuzi kwenye mboga ya mme wake yaani Lufunga.
"Shemeji kumbe unaamini mambo ya limbwata nimekusikiliza kila kitu"
"Hapana shem Leaster sio hivyo" aliongea huku akiwa anajiziba nyeti zake kibaya zaidi akawa ananisogelea ili anishawishi kufanya nae mapenzi kusudi nisitoboe siri na hata yeye apate kigezo cha kunifanya niogope kusemwa kwa kaka, "shem lake mbona unakuwa muoga" aliongea nikishangaa zipu yangu ikifunguliwa taratibu, wakati bado nashangaa huku nikiangalia umbile alilo barikiwa, shem aliinuka nakuanza kunipa denda palepale jikoni, akili alihama kabisa nikasahau kama yule ni mke wa kaka, ndipo nikaanza pia kutaka kumrizisha na kuonyesha ufundi wangu wote, sikuanzia juu bali nilianzia kwenye vidole vya miguuni nikipanda taratibu........
#usikose sehemu ya Pili.
Vishawishi tumeumbiwa binadamu ingawa vingine yatupasa kujitahidi kuepukana nanyo, maana binadamu tumepewa akili tukitofautisha na viumbe hai vingine.
Ilikuwa ni siku ya ijumaa, siku ambayo mara nyingi mimi na kaka yaani Mr Lufunga, tulikuwa tukichelewa kidogo kurudi nyumbani maana tulikuwa tunaianza wikendi baada ya miangaiko mbalimbali ndani ya wiki, sasa kutokana na hali ya kiuchumi kwa upande wangu sikuwa vizuri hiyo ijumaa, nikaona ni bora niwai kurudi nyumbani ili nikae nashem wangu tubadilishane mawazo ya maisha.
Nilipofika nyumbani kwa nje sikumuona na kibaya zaidi kaka na shemeji yangu aitwae Evodia walikuwa bado hawajapata mtoto, nilisogea mpaka sebreni nikihisi uenda nitamuona japo tuzungumze maisha lakini sikumuona.
Nikaamua kukaa mwenyewe Sebreni lakini nilikuwa mpweke sana wazo likanituma niende jikoni ili nimpe salamu na apike haraka tuje sebreni kuzungumza.
Ile nakaribia jikoni nikasikia maneno ambayo yalinishangaza sana, "ehh naomba hii dawa inisaidie mme wangu anipende, anisikilize mimi tu, asitumie hela zake na mwanamke yoyote nje akaniharibia familia yangu" na kibaya zaidi alikuwa amepewa sharti kuwa mtu yeyote asimuone na asimsikilize maana dawa haitafanya kazi, ilibidi nifungue mlango wa jiko haraka nikakuta shemeji yupo mtupu bila hata nguo ya ndani, akiwa amechuchumaa juu ya sefuria, dawa za ungaunga pembeni na mkojo wake ukiwa ndani ya sefuria kwaajili ya kuutumia kama mchuzi kwenye mboga ya mme wake yaani Lufunga.
"Shemeji kumbe unaamini mambo ya limbwata nimekusikiliza kila kitu"
"Hapana shem Leaster sio hivyo" aliongea huku akiwa anajiziba nyeti zake kibaya zaidi akawa ananisogelea ili anishawishi kufanya nae mapenzi kusudi nisitoboe siri na hata yeye apate kigezo cha kunifanya niogope kusemwa kwa kaka, "shem lake mbona unakuwa muoga" aliongea nikishangaa zipu yangu ikifunguliwa taratibu, wakati bado nashangaa huku nikiangalia umbile alilo barikiwa, shem aliinuka nakuanza kunipa denda palepale jikoni, akili alihama kabisa nikasahau kama yule ni mke wa kaka, ndipo nikaanza pia kutaka kumrizisha na kuonyesha ufundi wangu wote, sikuanzia juu bali nilianzia kwenye vidole vya miguuni nikipanda taratibu........
#usikose sehemu ya Pili.