Simulizi fupi yenye mafunzo: Kahaba

Daudi1

JF-Expert Member
Dec 14, 2013
8,776
8,662
Simulizi: KAHABA (01)

Mtunzi: Kalmas Konzo

Simu: 0744 970447



“Hivi baba Careen, unajua mimi sikuelewi kabisa siku hizi?”.

“Kwa nini hunielewi?”. Nilimjibu mama Careen.

“Eti eeeeh! Unajifanya huelewi”. Mama Careen aliongea huku sasa akiwa amekishika kiuno chake kwa mikono yote na kunitolea macho pima.

“Hapana naelewa”. Nilijibu kwa kifupi.

“Unaelewa nini?”. Mama Careen alibandika swali jingine.

“Ninaelewa kwamba hunielewi siku hizi?”. Nilimjibu kwa nyodo.

“Haya bwana, wewe jifanye una misemo kama waswahili wa pwani”. Mama Careen alinichambua kama mchele.

“We mwanamke hebu acha kuniharibia siku. Yaani ndiyo kwanza kunakucha lakini ushaanza kuupepeta mdomo pe pe pe peeee! Mithili ya chiriku”. Nami nilimzodoa mama Careen kwa maneno ya dharau na kashifa.

“Sawa bwana mshindi wewe. Lakini mi nakwambia mbio za sakafuni huishia ukingoni”. Mama Careen aliniasa.

“Acha maneno yako bwana. Hayo ni maneno ya kuku tu wala hayamtishi mwewe”. Nilimjibu mke wangu kwa dharau huku sasa mikono nikiwa nimeiweka mfukoni na mguu mmoja nikiusugua chini.

Mama Careen hakujibu kitu bali alimnyanyua Careen ambaye alikuwa hajui ambacho kilikuwa kinaendelea kwa wakati ule kutokana na umri wake na kuelekea ndani chumbani.

Mimi nikampuuza mwanamke huyu ambaye niko naye katika ndoa mwaka wa kumi sasa. Nilimwona ni mwanamke wa kawaida ambaye hakuwa na jipya zaidi ya maneno mengi mithili ya chiriku kila uchao.

Nilitoka nje ya sebule na kuanza kufanya utaratibu wa kuelekea kazini. Mwanamke huyu kwa kweli alikuwa amenichafua kabisa asubuhi hii ya leo. Roho yangu ilikuwa nyeusi na sikuelewa nitaimalizaje siku.

Nilitamani nighailishe kuelekea kazini lakini nikaona huo utakuwa si uamuzi wa busara hata kidogo. Haikutakiwa mafarakano ya nyumbani yaharibu utaratibu mzima wa kazi. Nilijua namna nzuri ya kumdhibiti mwanamke huyu.

****************

Ilikuwa ni majira ya jioni wakati mimi nikitoka kazini kuelekea nyumbani kwangu. Nilikuwa sipendi kabisa kurejea nyumbani kutokana na maneno ya kero ya mke wangu. Ndiyo kwangu mimi yalikuwa ni maneno ya kero ingawa ilikuwa ni haki yake kuongea kutokana na kusikia tetesi za kwamba nilikuwa nikitoka nje ya ndoa.

“Unajua Juma mimi nina tatizo moja kubwa sana ambalo linanikera sana”. Nilimwambia Juma rafiki yangu ambaye tulikuwa tukifanya kazi katika ofisi moja.

“Tatizo gani bwana Mayanja?”. Juma aliniuliza huku akinitazama usoni na wakati huohuo tukitembea kuelekea majumbani kwetu.

“Unajua huyu shemeji yako amekuwa kero sana siku hizi”. Nilimweleza bwana Juma.

“Ki vipi bwana Mayanja?”. Aliniuliza bwana Juma.

“Yaani siku hizi amekuwa akiupepeta mdomo kama wale wanawake wa uswahilini. Yaani yeye muda wote ni manenomaneno tu”. Nilimwambia Juma huku uso wangu nikiwa nimeukunja.

“Ha ha ha ha ha haaaaaaaa!”. Juma aliangua kicheko kikubwa sana kitendo ambacho kilinishangaza sana.

“Yaani Juma, mimi nina matatizo makubwa nyumbani kwangu halafu wewe unanicheka. Ina maana unanidharau?”. Nilimwuliza Juma kwa ghadhabu sana.

“Siyo kwamba nakudharau rafiki yangu ila unanifurahisha sana Mayanja”. Juma aliongea.

“Sasa ni nini ambacho kinakufurahisha hapa?”. Nilimwuliza Juma huku nikiwa dhahiri nimeghadhibika.

“Mwanamke hawezi kukusumbua hata kidogo. Mwanamke hatakiwi kukuendesha hata siku moja bwana Mayanja”. Juma aliongea.

“Lakini yule ni mke wangu Juma”. Niliongea.

“Hata kama! Unatakiwa utende kiume!”. Juma aliongea huku akinipigapiga mgongoni.

“Sasa nifanyaje Juma?”. Nilimwuliza Juma.

“Sasa hilo ndilo swali bwana Mayanja”. Juma aliongea huku akiniangalia usoni.

“Ndiyo unijibu haraka sasa, maana mimi nimechoka kabisa”. Nilimwambia bwana Juma nikiwa nina munkari wa kutaka kujua suluhu ya tatizo hili ambalo lilikuwa likinikabili.

“Tulia bwana Mayanja, mambo yako yatakuwa safi kabisa”. Juma aliendelea kunipooza moyo wangu ambao kwa sasa ulikuwa ukichemka sana.

“Kwa hiyo tunafanyaje sasa rafiki yangu?”. Nilimwuliza bwana Juma.

“Mwanamke hatakiwi kukuendesha hata kidogo. Jambo la kufanya ni wewe kwenda kuondoa stress”. Juma aliongea.

“Sasa hizo stress nitaziondoa wapi na nitaziondoa vipi”. Nilimwuliza bwana Juma kwani maelezo yake sikuyaelewa hata kidogo na yalizidi kunichanganya.

“Wewe subiri wala usiwe na mchecheto. Mimi ndiye kamanda wako katika hili na nitakuelekeza kila kitu na mambo yako yatakuwa fresh kabisa.

Maongezi yetu yalitupeleka mpaka kituo cha daladala. Tulipanda ndani ya daladala ambayo ilitupeleka mpaka katika mtaa wa Mbazi ambako ndiko yalikuwa makazi ya bwana Juma.

Juma alinikaribisha katika nyumba anayoishi kisha yeye akaingia chumbani. Sikufahamu alienda kufanya nini kule chumbani lakini baada ya muda wa kama sekunde thelathini alirejea pale sebuleni. Alinikuta nikiwa nimejipumzisha katika sofa mojawapo pale sebuleni. Naye akaketi katika sofa mkabala na mimi.

“Bwana Mayanja, kama nilivyokueleza hapo awali, ni kwamba tatizo lako leo litakwisha kabisa na utairejelea furaha yako kama hapo zamani”. Juma aliongea huku akichukua rimoti na kuwasha Tv iliyokuwa pale sebuleni.

“Lakini bwana Juma wewe unaonekana una maneno mengi kama chiriku”. Nilimwambia Juma.

“Kwa nini wasema hivyo Mayanja?”. Juma aliniuliza huku akinitazama usoni.

“Una maneno mengi lakini vitendo hakuna. Sasa toka umeanza kuniambia kwamba tatizo langu leo litafika suluhu ni muda mrefu sasa lakini sioni vitendo”. Nilimwambia Juma.

“Tulia bwana Mayanja kwani mambo mazuri hayataki haraka. Muda bado haujafika. Kuwa na subira kidogo na baadaye utafurahi mwenyewe na roho yako”. Juma aliongea.

Huyu Juma mimi namfahamu vizuri kwani amekuwa ni rafiki yangu kwa muda mrefu sana. Tatizo la huyu jamaa ana maneno mengi utafikiri mwanasiasa lakini vitendo mara nyingi huwa ni sifuri kabisa.

Ni mwaka wa saba sasa Juma amekuwa rafiki yangu mkubwa. Tumekuwa tukishirikiana katika mambo mengi sana ya huzuni na yale ya furaha. Katika kipindi hicho chote cha urafiki wetu kuna jambo moja limekuwa likinishangaza juu ya Juma.

Mpaka sasa hivi Juma ni kijana ambaye anaishi maisha ya ubachela ingawa umri na uwezo wa kuoa anao. Kila ninapomuhoji juu ya hili basi amekuwa ni mtu wa kupiga danadana za hapa na pale.

************

Mambo ndiyo kwanza yanaanza. Ungana nami katika sehemu ya 02 ya kisa hiki.
 
Simulizi: KAHABA (02)

Mtunzi: Kalmas Konzo

Simu: 0744 970447

ILIPOISHIA

Mpaka sasa hivi Juma ni kijana ambaye anaishi maisha ya ubachela ingawa umri na uwezo wa kuoa anao. Kila ninapomuhoji juu ya hili basi amekuwa ni mtu wa kupiga danadana za hapa na pale.

SASA ENDELEA

Ilikuwa ni majira ya saa mbili usiku, mimi na Juma tulikuwa tumetinga katika mtaa wa Pinto. Mtaa huu ulikuwa ni mtaa maarufu sana jijini Kano. Ulikuwa ni moja ya mitaa ambayo imechangamka sana. Muda wote iwe mchana au usiku watu walikuwa wakishughulika utadhani hawalali.

Jambo ambalo liliufanya mtaa huu uwe maarufu sana ni biashara ya ufuska. Biashara hii ilikuwa maarufu sana hasa nyakati za usiku katika mtaa huu. Akina dada wengi walikuwa wakionekana wakiinadi miili yao kwa lengo la kuwavutia wanaume ambao wangekwenda kulala nao na kuwapatia pesa.

“Sasa bwana Mayanja hapa ndipo penye suluhu la matatizo yote yanayokukabilia katika ndoa yako”. Juma aliniambia huku akinyoosha kidole kunionyesha jengo la Grand Cassino.

“Mbona sikuelewi bwana Juma? Yaani kunizungusha kwote kule umeamua kuja kunileta huku ambako kumejaa laana na ushetani wa kila aina!”. Niliongea huku nikimshangaa bwana Juma.

“Ushetani? Ushetani uko wapi?”. Juma aliniuliza huku akinitazama usoni.

“Ina maana wewe huna macho? Angalia wanawake wale makahaba, yaani wako uchi kabisa”. Nilimwambia Juma huku nikimwonyesha wanawake ambao walikuwa wakijiuza nje ya Grand Cassino.

“Kweli wewe bwana Mayanja naona umeanza kuchanganyikiwa. Ile ndiyo tiba halisi ya matatizo ya ndoa yako ambayo unasema kila kukicha inakuchanganya kichwa chako”. Juma aliongea maneno ambayo yalinishangaza sana.

“Una maana gani Juma?”.

“Nina maana ya kwamba, inakupasa uende ukachague mrembo mmoja wa nguvu ambaye atakuondoa mawazo na huzuni ulizonazo na kukufanya uwe bwana Mayanja kamili”. Juma aliongea.

“Juma rafiki yangu sasa naona umeamua kunipotosha kabisa”.

“Sasa nakupotosha nini Mayanja?”.

“Hivi wewe huoni badala ya kupunguza matatizo ndiyo nitakuwa nayaongeza matatizo kwa kumsaliti mke wangu?”. Nilimwuliza Juma.

“Mimi siwezi kukupotosha hata kidogo rafiki yangu. Wanawake wa hapa hawana stress. Unamchukua unalala naye na kisha unamlipa ujira wake kidogo halafu mnaachana. Mimi miaka yote ndipo mahali ambapo huwa najivinjari na mwenyewe waniona sina presha kabisa katika mambo ya mapenzi”. Juma aliongea.

Kwa mbali nilianza kuona kama maneno ya Juma yalikuwa na ukweli ndani yake. Kwa nini nimbembeleze mwanamke ambaye habembelezeki? Mimi siyo mtumwa wake kabisa. Yaani namlisha, namvisha, akiugua namtibu na bado nimbembeleze? Aaaaaaah! Haiwezekani hata kidogo.

“Ok, sasa ndiyo nafanyaje?”. Niliamua kumwuliza Juma maana mimi nilikuwa mgeni kabisa katika mambo yale.

“Kwanza shika hizi kondomu. Pili unaenda pale na kumchagua mrembo unayemtaka baada ya hapo mnaenda gesti na kumalizana. Gesti haziko mbali. Utaniangalia mimi ninavyofanya”. Juma aliongea huku akinikabidhi mipira ya kiume.

Baada ya hapo tukaondoka kuelekea nje ya Grand Cassino ambako kulikuwa kumejaa wanawake wengi warembo makahaba.

“juma nenda na mimi. Cheki ninavyolipa”. Mwanamke mmoja alimwambia Juma huku akiyatikisa makalio yake.

Kumbe Juma alikuwa maarufu sana katika maeneo haya. Kila mwanamke kahaba alikuwa akimfahamu. Ama kweli waswahili walisema tembea uyaone.

Macho yangu yalitua kwa mwanamke mmoja mrembo ambaye alikuwa akija kwangu kwa mwendo wa maringo sana. Alikuwa na uzuri ambao ulikuwa ni ngumu sana kumithilika na uzuri wowote duniani. Moyo wangu uliingiwa na ganzi na mdomo wangu ulishikwa na kigugumizi. Nikatokea kumpenda ghafla kwa mahaba mazito.

“Twende zetu”. Mwanamke yule mrembo aliniambia huku akinishika mkono.

Nami mithili ya mwanakondoo aliyekuwa akielekea machinjoni nilimfuata yule mrembo. Nilikuwa nimeshikwa na wehu wa ghafla.

Tulipata gesti na kisha nikachukua chumba. Tukaingia ndani huku nikiongozwa na yule mwanamke ambaye alionekana ni mwenyeji sana maeneo yale.

“Vipi mbona unaonekana mwoga sana?”. Yule mrembo kahaba alinihoji kwa sauti moja tamu sana.

“Mh! Hapana. Niko safi kabisa”. Nilimjibu kwa sauti iliyokuwa imejaa kigugumizi.

“Ok, umebeba kondomu?”. Aliniuliza.

“Yes! Ninazo”. Nilimjibu huku nikizitoa zile kondomu na kuziweka juu ya meza ambayo ilikuwa mle ndani.

“Sawa. Fastafasta ni shilingi elfu tano, saa moja ni shilingi elfu kumi na tano na mpaka asubuhi ni shilingi elfu thelathini. Sijui wewe ungependelea huduma ipi kati ya hizo?”. Yule mrembo kahaba aliniuliza.

“Saa moja”. Nilimjibu yule mrembo.

Yule mrembo alianza kutoa sketi yake fupi na laini na kubaki na tight ambayo ilizionesha vyema hips zake. Akaitoa blauzi yake na kubaki na sidiria ambayo iliyabeba matiti makubwa kiasi yenye mvuto sana.

Baada ya zoezi hilo kuisha alikuja na kunikumbatia kisha akanipa busu moja mwanana katika sikio langu. Busu lilile lilinifanya nisisimkwe na mwili na kuirekebisha vyema akili yangu ambayo ilikuwa mbali sana. Mjomba naye alisisimka na kuanza kujitutumua ndani ya suruali yangu mithili ya chatu aliyemwona mwanambuzi.

Yule mrembo alinichukua na kunikalisha taratibu juu ya kitanda na kisha akanikalia katika mapaja yangu na kuanza kufungua vifungo vya shati langu huku macho yake ya huba yakinitazama.

Baada ya sekunde kadhaa akafanikiwa kunifungua shati langu na kulitupia mbali. Baadaye sasa akaja katika suruali yangu ambapo aliutoa mkanda wa suruali na kisha kuifungua zipu ya suruali taratibu na wakati huo wote mjomba aliendelea kututumka mle ndani ya mkwego utadhani amelishwa hamira.

************

Tukutane katika sehemu ya 03 kwani itakuwa na mengi sana ya kuyafahamu juu ya kisa hiki chenye kusisimua.
 
Simulizi: KAHABA (03)

Mtunzi: Kalmas Konzo

Simu: 0744 970447

ILIPOISHIA

Baada ya sekunde kadhaa akafanikiwa kunifungua shati langu na kulitupia mbali. Baadaye sasa akaja katika suruali yangu ambapo aliutoa mkanda wa suruali na kisha kuifungua zipu ya suruali taratibu na wakati huo wote mjomba aliendelea kututumka mle ndani ya mkwego utadhani amelishwa hamira.

SASA ENDELEA

“Woooooooow!”. Yule mrembo alipiga ukelele mara baada ya kunivua suruali na kumwona mjomba jinsi alivyo mkubwa mithili ya mchi wa kinu.

“I like it”. Aliongea yule mrembo huku sasa akianza kumsukasuka huku mimi nikiwa nazichezea nywele zake.

Yule mrembo alimsuguasugua mjomba kwa muda na kisha akamtumbukiza katika kinywa chake. Akaanza sasa kummung’unya mithili ya koni. Nilihisi raha ambayo nashindwa hata kuisimulia.

Mrembo akaendelea kummung’unya mjomba huku mjomba naye akizidi kututumka na kujaa vyema katika kinywa chake. Alinipa raha huyu mrembo mpaka nikahisi kutokwa na machozi.

Baadaye nami nikamchukua na kumlaza taratibu juu ya kitanda. Nikataka nami nimwonyeshe ufundi wangu na ajue kwamba nami ni mojawapo wa wataalamu wachache sana katika fani hii ya mahaba waliopo duniani.

Nikaanza kuyatomasatomasa matiti yake taratibu kitendo kilichomfanya afumbe macho na kuanza kutoa miguno ya taratibu ikiashiria kwamba alikuwa akijisikia raha isiyo kifani.

Nikaanza kuyamung’unya maziwa yale taratibu huku mkono wangu wa kulia ukiwa umefika kwa shangazi na sasa ulikuwa ukimchezea taratibu na kwa umakini wa hali ya juu.

Nilizidisha utundu wangu katika kumchezea na kwa wakati wote huu alikuwa akipiga kelele za mahaba mithili ya mtoto mdogo aliyenyang’anywa pipi.

Nikaanza sasa kumlamba mwili wake taratibu mithili ya chatu anavyomlamba mwanakondoo kabla ya kummeza. Kitendo kile kilimfanya asisimkwe sana.

Niliendelea kumlamba kuanzia shingoni, masikioni mdomoni, tumboni na kisha kitovuni mahali ambapo alionesha kwamba alipenda nipalambe zaidi kwani alipiga ukelele mkubwa pindi nilipofika hapo.

“Ooooooh! Aaaaaashhh! Please give me!”. Yule mrembo alilalama.

Nami nikaona isiwe shida. Nikachukua kondomu na kuivaa. Baada ya hapo nikamfuata pale juu kitandani. Hapo nikamwacha mjomba aende kumsalimia shangazi. Hakika nilimnyoosha sana yule mrembo kahaba mpaka mwenyewe akashangaa.

“Ahsante, bill yako imeisha”. Yule mwanamke alishukuru.

“Usijali tutaonana siku nyingine”. Nami nilimjibu huku nikiamka kutoka kitandani.

“Hivi waitwa nani vile?”. Nilimwuliza jina yule mrembo maana alikuwa amenipa mahaba yaliyonipagawisha sana.

“Jina langu halina haja kulifahamu. Mimi nakupa huduma ya ngono tu basi”. Yule mwanamke alijibu.

“Basi naomba namba yako ya simu”. Nilimwambia yule mrembo.

“Namba yangu ya simu waitakiani?”. Aliuliza.

“Wajua umenipa huduma bora sana hivyo nilikuwa nataka kila nikija niwe nakupigia simu ili kukupata kwa urahisi”. Nilimwambia.

Maneno yangu aliyaona yana mashiko ndani yake. Kwake ilikuwa ni muhimu sana kumtunza mteja asipotee.

“Namba yangu ni 0744 970447”. Aliongea yule mrembo.

“Ahsante sana nashukuru”. Nilishukuru mara baada ya kuisevu ile namba.

Niliachana na yule mrembo kahaba nikaanza safari ya kurudi nyumbani kwangu. Kwa upande wa wakati ilikuwa inakaribia kabisa saa nne ya usiku. Moyoni nilikuwa nina amani ya kutosha sana kwani yule mrembo kahaba alikuwa amenisuuza na kuniondoa stress zote.

Nilijua nikifika nyumbani tu ni lazima kutakuwa na kitimutimu kwani muda ulikuwa umekwenda sana. Nilimfahamu sana mke wangu mama Careen, Alikuwa ni mwanamke mwenye hasira za karibu sana na yuko radhi kufanya maamuzi yoyote yale. Ilikuwa yataka moyo sana kuishi na mwanamke huyu.

Niliwasili nyumbani kwangu kama majira ya saa tano kasoro robo hivi. Hali niliyokutana nayo pale ilinitisha kwa kweli. Mke wangu alikuwa amesimama mlangoni huku mkononi akiwa ameshika upawa wa kusongea ugali.

“Haya niambie mwanaume wewe. Usiku wote huu unatoka wapi?”. Mama Careen aliniuliza.

“Sasa ndiyo maswali gani hayo mke wangu?”. Nami nilimjibu kwa swali.

“Mimi ni mke wako hivyo ninapaswa kujua umetoka wapi saa hizi”.

“Hivi humu ndani nani ni mwanaume hasa? Mbona unataka kunipanda kichwani wewe mwanamke?”. Nilimjibu kwa fedhuli.

“Anhaaaa! Unaniletea dharau siyo?”. Mama Careen aliongea huku akionesha wazi alikuwa amekasirika.

Ghafla ule upawa wa ugali ulishuka juu ya shavu langu na kunifafanya nianguke chini huku makalio yakiwa juu. Nilihisi kama nyotanyota zikimwetamweta hivi.

Sikupewa hata nafasi ya kutafakari. Upawa ukaanza kushuka juu ya makalio yangu kwa mapigo ya maana. Nilipiga kelele za maumivu. Mama Careen alinikung’uta kweli siku ile.

Baada ya kuhakikisha nimekung’utika vya kutosha mama Careen aliingia ndani huku akiniacha nikiugulia maumivu makali sana yaliyosababishwa na mkung’uto mwanana kutoka kwa mama Careen.

***********

“Hivi kwa nini hujaolewa mpaka wakati huu wakati vigezo vyote vya kuwa mke wa mtu unavyo?”. Lilikuwa ni swali ambalo nilimwuliza mwanamke huyu mrembo kahaba ambaye siku kadhaa hapo nyuma tuliwahi kufanya mapenzi.

Leo hii tena nilikuwa nimekutana naye kwa mara nyingine. Tulikuwa tumepeana mahaba motomoto katika nyumba hii ya kulala wageni. Na kwa sasa tulikuwa tumemaliza kupeana mahaba motomoto na tulikuwa tukiongea.

“Hivi wewe unafikiri mimi nikiolewa hii biashara nitaifanyaje?”. Yule mrembo alinipachika swali badala ya kunijibu swali langu ambalo nilimkandika hapo awali.

“Sasa ni kwanini waifanya biashara hii ya kuuza mwili?”. Mtindo wa kuulizana maswali badala ya majibu uliendelea.

“Hivi nisipoifanya biashara hii wewe unafikiri nitakula wapi na msoto wa maisha wa hapa Kano?”.

“Sasa mimi nataka uache kuifanya hii biashara na nitakutimizia mahitaji yako ya kila siku”. Nilimwambia yule mrembo.

“Hebu achana na mimi bwana, si tumeshamalizana? Nimekupa ulichokuwa ukikihitaji sasa niache mimi niende. By the way umenipa mambo matamu. Nashukuru”. Aliongea Yule mrembo na kutoka nje ya chumba kile cha gesti.

Yaani mpaka muda huu nilikuwa simfahamu huyu mrembo kahaba alikuwa akiitwa nani. Kila nilipokuwa nikijaribu kumuhoji jina lake, alikataa katakata kunitajia.

Pia kwa mbali nilianza kuzihisi dalili za upendo wa dhati kwa huyu kahaba. Niliona kabisa
kwamba nilikuwa nimezimika na nimekufa juu yake. Nilikuwa natamani muda wote niwe naye.

Nikavaa nguo zangu na kisha nikaondoka kutoka katika chumba kile cha gesti. Kwa upande wa wakati ilikuwa ni majira ya saa mbili usiku. Niliona leo niwahi kurudi nyumbani kwani nikichelewa yaweza tokea vita kuu ya tatu ya dunia ambayo itakosa msuluhishi.

***********

Tukutane katika sehemu ya 04
 
Simulizi: KAHABA (04)

Mtunzi: Kalmas Konzo

Simu: 0744 970447



ILIPOISHIA

Nikavaa nguo zangu na kisha nikaondoka kutoka katika chumba kile cha gesti. Kwa upande wa wakati ilikuwa ni majira ya saa mbili usiku. Niliona leo niwahi kurudi nyumbani kwani nikichelewa yaweza tokea vita kuu ya tatu ya dunia ambayo itakosa msuluhishi.

SASA ENDELEA

“Hello! Niambie mdogo wangu”. Ilikuwa ni sauti ya mama Careen akiongea na simu mchana huu wa leo.

“Safi tu sista”. Upande wa pili wa simu ulijibu.

“Vipi, mbona kimya sana? Yaani uko kimya utadhani hauko katika jiji hili!?”. Mama Careen aliongea.

“Nipo dada yangu. Nitakuja siku moja kukutembelea”. Upande wa pili wa simu uliongea.

“Sawa tu bwana. Yaani tunaishi utafikiri si ndugu?”. Mama Careen alilalama katika simu.

“Kwa nini wasema hivyo dada?”. Uliuliza upande wa pili wa simu.

“Sasa ni mwaka wa ngapi hatuonani? Humjui shemeji yako wala mwanangu. Kila nikikuuliza, waniambia uko katika jiji hilihili la Kano. Hivi hii ni haki kweli mdogo wangu?”. Mama Careen aliongea.

“Punguza moto dada yangu. Natambua nimekosa. Safari hii wala sitakuangusha. Nitahakikisha kwamba ninakuja kukutembelea wewe pamoja na familia”. Upande wa pili wa simu uliongea.

“Lakini hayo si ndiyo maneno yako kila wakati? Mara oooh! Nakuja kesho halafu ooooh! Nimepata udhuru nitakuja wiki ijayo. Hebu jifunze adabu wewe mtoto. Yaani unavyonikera natamani mpaka kukutapika!”. Mama Careen aliendelea kuongoa huku sasa akionesha dhahiri kwamba alikuwa amepandwa na jazba.

“Dada yangu nisamehe. Amini safari hii sitakuangusha nitakuja kukutembelea”. Upande wa simu uliongea.

“Haya wewe ndiye mwamuzi. Ukipenda njoo na usipopenda usije. Mimi sitakuwa na neno nawe kuanzia sasa. Wewe si mtoto mdogo wa kushinda tunakumbushana mambo madogo kama haya wakati waelewa wazi ni jambo la msingi”. Mama Careen aliendelea kufoka.

“Vipi mama Careen, mbona wazozana na simu?”. Nilimwuliza mama Careen mara baada ya kuwa ameacha kuongea na simu. Na kwa wakati huo mimi nilikuwa nimetoka chumbani ambako nilikuwa nikijiswafi mwili wangu.

“Nilikuwa naongea na mdogo wangu”. Mama Careen alijibu kwa kifupi huku jazba ikiwa bado haijapungua.

“Anhaaaa! Yule ambaye ulishawahi niambia kwamba yupo hapahapa Kano?”. Nilimwuliza mama Careen huku nikimtazama usoni.

“Ndiye huyohuyo. Yaani mimi ananikera sana huyu mtu. Yaani mambo yake ni ya kitoto utafikiri ni mtoto mdogo”. Mama Careen aliongea.

“Mh! Yakupasa umsamehe kwani ndiye nduguyo wa pekee”. Nilijaribu kumtuliza.

“Ushaanza na wewe mambo yako. Yaani wewe ndiye unayefuga ugonjwa!”. Mama Careen alinigeuzia kibao.

“Mh! Basi mama yaishe. Mimi natoka kidogo. Nitarejea baadaye”. Niliaga ili kuepusha shari kwani namfahamu fika huyu mwanamke.

“Sasa ole wako uchelewe kurudi leo. Utanieleza kwa nini jogoo hatagi”. Ilinipata hiyo nikiwa navuka kizingiti cha mlango.

Yaani mwanamke alikuwa na shari huyu balaa! Hakuna siku ambayo tungekaa kwa amani na kufurahi kwa pamoja kama mume na mke.

Muda wote ilikuwa ni kuzozana na kutoleana maneno ya kashfa ambayo muda mwingine yaliambatana na vipigo vya hapa na pale. Vipigo vya aina zote vidogo na vikubwa ambavyo mara nyingi vilikuwa vikihatarisha uhai wa ndoa yetu.

Ama kweli mke nilikuwa naye. Na sikuwa na ujanja juu ya mke wangu kwani alikuwa ni mwanamke ambaye nilimchagua mwenyewe na kumwoa wala sikuchaguliwa na mtu yeyote.

Sikulazimishwa na mtu yeyote kumwoa mwanamke huyu bali ni kwa mapenzi yangu mwenyewe. Niliamua kuingia mkataba wa maisha kwa kula naye kiapo cha ndoa takataifu tena ya kanisani ambayo ilishuhudiwa na mashuhuda wengi sana.

Kwa wakati huo mawazo yangu yalikuwa juu ya kahaba wangu mrembo. Niliamua siku ya leo niipitishe nikiwa naye kwani sikuwa na shughuli nyingine ya kufanya. Niliamua niende nikampe mapenzi motomoto nami nipate burudani tamu ambayo huwa naikosa kutoka kwa mke wangu kutokana na kisirani chake.

“Hello! Mambo”. Niliongea katika simu mara baada ya kuingia katika sehemu nilipohifadhi namba za watu wangu mbalimbali na kulichagua jina la kahaba mrembo ambalo nilikuwa nimelisevu likisomeka PATRICK.

Niliamua kuisevu namba ya kahaba kwa jina la Patrick ili kuepusha maswali kutoka kwa mama Careen endapo angeamua kuipekua na kuifukunyua simu yangu.

Niliamua kuichukua tahadhari hiyo kwani nilimfahamu fika mama Careen kwamba alikuwa ni mwanamke ambaye alikuwa akipenda sana udambwidambwi.

“Poa vipi mzima wewe?”. Upande wa pili wa simu uliongea kwa sauti ya kumtoa nyoka pangoni.

“Mimi niko fresh kabisa”. Nilijibu.

“Eeeeeenheee! Lete maneno”. Upande wa pili wa simu uliongea.

“Maneno yatoke wapi zaidi ya kukumiss tu”. Nilijibu huku nikiendelea kutembea.

“Ha ha ha ha haaaaaaa! Yaani wewe unimiss mimi badala ya kummiss mkeo!”.

“Aaaah! Najua huwezi kuamini lakini ukweli wenyewe ndiyo huo”. Nilijibu.

“Haya unanimiss kwa lipi sasa?”. Alihoji Yule mrembo katika simu.

“Nakumiss kwa yale mambo matamu sana ambayo huwa unanipa. Mambo haya huwa siyapati kwingine kote zaidi ya kwako”. Niliongea.

“Acha kunichekesha bwana. Ina maana kwa mkeo huwa hupati?”.

“Amini hebu nielekeze nyumbani kwako nije sasa hivi maana ugwadu nilionao ni balaa!”. Nilimsisitiza Yule mrembo.

“Heeeeee! Uje kwa nani?”.

“Jamani si nakuja kwako? Kwani kuna ubaya gani? Mi wala siyo simba kusema huenda nikakung’ata ukafa!”. Nilimchombeza Yule mrembo kwa maneno matamu na laini.

“Ila una vituko wewe mwanaume sipata ona. Huwa unanipa raha sana kwa maneno yako. Haya basi njoo mtaa wa Jalawa ukifika hapo nipigie nami nitakuja kukuchukua”. Hatimaye yule mrembo alikubali kuniruhusu niende kwake.

*************

Usikosee sehemu ya tano
 
Simulizi: KAHABA (05)

Mtunzi: Kalmas Konzo

Simu: 0744 970447

ILIPOISHIA

“Ila una vituko wewe mwanaume sipata ona. Huwa unanipa raha sana kwa maneno yako. Haya basi njoo mtaa wa Jalawa ukifika hapo nipigie nami nitakuja kukuchukua”. Hatimaye yule mrembo alikubali kuniruhusu niende kwake.

SASA ENDELEA

“Nd’o hivyo kisura. Hebu kubaliana na ushauri na maoni yangu”. Nilimwambia yule mrembo pindi tulipokuwa chumbani kwake kabla hata hatujayaanza yale mambo yetu.

“Lakini we mwanaume ni wa ajabu sana. Yaani hivi umekomaa kabisa mimi niachane na shughuli hii ambayo ninaifanya”. Yule mrembo aliuliza.

“Ninakimaanisha kile ambacho ninakiongea”. Nilimwambia.

“Ok, lakini hivi unafahamu kwamba hii biashara ndiyo ambayo inaniweka katika jiji hili la Kano?”. Mrembo aliuliza.

“Ndiyo nafahamu fika na kwa uwazi kabisa”.

“Sasa kama wafahamu, je, ni kwa nini wataka mimi niiache hii shughuli? Hivi huoni maisha yangu yatakuwa magumu sana na jiji hili litanishinda?”. Mrembo aliongea huku akinitazama usoni kwa macho yake malegevu.

“Mimi nimejitolea kukusaidia kwa kila kitu katika maisha yako”. Niliongea kumtoa hofu yule mrembo malkia.

“Basi naomba nikuulize swali”. Mrembo aliongea.

“Uliza tu wala usijali”. Nilimruhusu.

“Hivi ni kwa nini umeamua kuyafanya haya yote ambayo umekusudia?”. Swali hilo lilitua katika ngoma za masikio yangu.

“Nimeamua kuyafanya haya yote kwa sababu ya upendo wa dhati ambao ninao juu yako”. Nilimjibu.

“Acha propaganda zako bwana. Wewe utampendaje kahaba?”.

“Upendo hauchagui. Popote pale mtu aweza kupenda bila kujalisha tabia, dini, sura, rangi au kabila la mtu”. Niliongea huku nikimtazama usoni.

“Mh! Hii kali sasa. Je, kwa nini usimpende hivyo mkeo?”. Yule mrembo aliniuliza swali moja la msingi sana na ambalo lilinichoma sana moyo.

“Mke wangu hatupatani hata kidogo. Yaani mpaka inafika kipindi huwa najilaumu ni kwa nini nilimwoa mwanamke yule. Mwanamke ana gubu, mwanamke ana inda, mwanamke amejaa kisirani toka unyayoni mpaka utosini”. Niliongea hayo kwa uchungu sana mpaka yule kahaba akanionea huruma.

“Mh! Usimseme hivyo mkeo”. Yule mrembo aliongea huku akinikuna kifuani.

“Ni kweli haya nikuambiayo. Laiti ungemshuhudia huyu mwanamke kwa vitimbi anavyonifanyia, ungenionea huruma”. Niliongea.

“Lakini ni kwa nini basi usikae chini na mkeo halafu mkazitazama tofauti zenu na kisha mkaijenga ndoa yenu?”. Kahaba huyu aliongea maneno ya hekima sana.

“Nimejaribu hilo si chini ya mara thelathini lakini mwanamke ametia boriti masikioni. Yaani yeye ndiye ambaye ameitawala ndoa. Mbabe yeye, mkali yeye, mwamuzi yeye. Yaaani mimi sina sauti kabisa katika ndoa yangu”.

“Mh! Pole sana”.

“Ahsante sana. Na hii hasa ndyo sababu kuu iliyonifanya mimi nichepuke na kutafuta faraja huku”. Niliendelea kuyatiririsha maneno yangu mithili ya kasuku.

“Mh! Aisseh!”. Yule mrembo alibaki aking’ung’uta tu.

“Na kwa siku hizi kadhaa ambazo nimekuwa nawe nimetokea kuvutiwa nawe kupita kiasi. Ninahitaji nikuweke ndani kabisa, utulie tutengeneze maisha”.

Yule mrembo hakujibu kitu zaidi ya kunikumbatia huku mkono mmoja akiwa amemshika mjomba. Chuchu zake zilianza kukisugua kifua changu taratibu na kuanza kunifanya nijiskie raha isiyo kifani.

Mkono wangu nami haukuzubaa. Ulienda moja kwa moja mpaka kwa shangazi na kugonga mlango ambao ulikuwa umefungwa.

Mrembo akaufungua tatatibu mkanda wa suruali yangu na kuanza kuyamung’unya machungwa pamoja na kuulamba muwa kwa wakati mmoja.

Kitendo kile kilinifanya nisisimkwena mwili vilivyo na kuyaamsha maruhani yangu ya mahaba ambayo kwa wakati huo yalikuwa yamelaka usingizi wa pono.

Mrembo yule aliendelea kuumung’unya ule muwa kwa ufundi na ustadi wa hali ya juu mpaka pale ambapo niliridhika na yeye pia aliridhika.

Yeye haikuwa shida kumchojoa nguo zake kwani kwa wakati ule alikuwa katika vazi la khanga moja nyepesi tu.

Hivyo nilimnyanyua na kisha nikambwaga kitandani taratibu na kisha nikamchanua miguu yake. Mikono yangu ikaanza kuyachezea matiti yake kwa ustadi wa hali ya juu. Niliipeleka midomo yangu na kisha nikaanza kuyamung’unya matiti yake ambayo yalikuwa yamesimama tisti.

“Ooooosh! Aaaaaaash!”. Ni mlio ambao alikuwa akiutoa mrembo huyu pindi mimi nilipokuwa nikishughulika na matiti yake.

Baadaye nikaamua kuhamisha mandhari ya kufanyia shooting. Nikaanza kuulamba mwili wake taratibu huku nikishuka tumboni mpaka katika kitovu chake.

Nikaweka kituo mahala hapo kwa muda huku nikiyasikiliza makelele ya kilio ambayo mrembo yule alikuwa akiyatoa.

Baada ya kukilamba kitovu chake kwa muda fulani, basi nikaanza taratibu kushuka kuelekea kwa shangazi ambako nilienda kuhakikisha kama maji yalikuwepo ya kutosha kabla sijaanza kuuchochea moto chunguni.

“Nipeeeeee! Baaaaaaaby! Nipe pleeeease!”. Alilalamika yule mrembo akiomba kupewa dozi yake tamu ya juisi ya parachichi.

Nilipohakikisha ya kwamba yule mrembo alikuwa amelainika vya kutosha basi nikamshika mjomba na kumpeleka moja kwa moja mpaka kwa shangazi na kumwamuru aanze kuchochea chungu cha maharage cha shangazi.

**************
 
Tutaendeleaa baadaye kidogo muda ya jionii ngoja tulipe kodi Kwanzaa usikose baadaye simulizi ina cha kujifunza hasa kwenye mahusiano yetuu
 
Sio mwanamke tu mkuu Troojan hata wanaume pia. Kiufupi kumletea mwenzio kero, ubabe, masimango matusi dharau nk unaiweka pabaya ndoa yako. Si mke wala si mme pekee kila mmoja ana wajibu wa kujenga ndoa...
 
Sio mwanamke tu mkuu Troojan hata wanaume pia. Kiufupi kumletea mwenzio kero, ubabe, masimango matusi dharau nk unaiweka pabaya ndoa yako. Si mke wala si mme pekee kila mmoja ana wajibu wa kujenga ndoa...
Ni kweli wote wasipokuwa vizuri hubomoa nyumban ila aliyepewa mamlaka ya kumiliki nyumba ni mwanamke ndo maana imeandikwa mwanamke hubomoa nyumba kwa mikono yake
 
Tuwe sote katika sehemu ya 06

Simulizi: KAHABA (06)

Mtunzi: Kalmas Konzo

Simu: 0744 970447

ILIPOISHIA

Nilipohakikisha ya kwamba yule mrembo alikuwa amelainika vya kutosha basi nikamshika mjomba na kumpeleka moja kwa moja mpaka kwa shangazi na kumwamuru aanze kuchochea chungu cha maharage cha shangazi.

SASA ENDELEA

Nilimkunja yule mrembo na akakunjika sawasawa. Nilimchezesha muziki wa aina zote ambao aliukubali. Niliendelea kuuchochoea moto kwa ustadi wa hali ya juu huku yule mrembo akiendelea kulia kwa raha isiyomithilika.

“Am coming baby! Aaaam comiiiing!”. Alipiga kelele yule mrembo pindi nikiendelea kuchochea kuni chunguni. Na kwa wakati huo nami nilianza kuziona dalili za kupiga mshindo.

“Ooooooosh! Aaaaaaash!”. Mrembo alipiga kelele huku akifika kileleni na mimi kwa muda huohuo nikapiga mshindo mkuu.

“Ooooooooooh!”. Mrembo yule alipiga ukelele mmoja mkali pindi majimaji ya moto yalipoingia kwa raha ya aina yake chunguni.

Mrembo yule alinikumbatia kwa nguvu na kumfanya mjomba azidi kujiingiza ndani zaidi huku akiendelea kutema sumu zake zenye utamu ambao yule mrembo aliufurahia.

“Oooooooh shiiiiiy!”. Yule mrembo alipiga kelele huku akinisukumia pembeni.

“Nini tena beib?”. Nilihoji huku nikiwa nimestaajabu kwa kitendo hiki cha huyu mrembo.

“Yaani kumbe haukuvaa kondomu?”. Yule mrembo aliuliza.

“Nilidhani hutojali baby”. Nilijibu.

“Ona sasa ujinga wako huo. Na ole wako uwe umenitia mimba!”. Yule mwanamke aliongea huku akionesha wazi kuwa ametaharuki.

“Lakini ukipata ujauzito wala haitokuwa tatizo”. Niliongea.

“Haitokuwa tatizo? Hivi wewe mwanaume ukoje? Mbona unashindwa kuwa mwelewa? Unafikiri mimi nikipata mimba maisha yangu yatakuwaje?”. Yule mrembo kahaba aliongea.

“Jamani mpenzi mbona nilikwishakuweka wazi kwamba uachane na hiyo shughuli unayoifanya na mimi nitakugharamia maisha yako”. Nilimwambia huku nikijaribu kumbusu huku yeye akinipiga kofi la huba shavuni.

“Wewe unataka kunisababishia matatizo wewe? Hivi unafikiri mke wako akija kugundua kwamba una mahusiano na mimi unadhani itakuwaje?”. Mwanamke yule alihoji.

“Mimi nilikwishakueleza kwamba usiwe na wasiwasi hata kidogo kwani mimi ndiyo mwanaume wa nyumba na ndiye mwenye maamuzi ya lipi nifanye au lipi nisifanye”. Niliongea.

Niliongea maneno hayo kwa lengo la kumwondoa hofu yule mrembo ingawa nilikuwa nikifahamu wazi kwamba endapo mama Careen angeyafahamu haya mahusiano mapya ambayo nilikuwa ninayaanzisha, basi nyumbani pangechimbika na kisha pangewaka moto.

“Sasa ni kitu gani ambacho kimekuvuta kwangu ingawa naamini mkeo naye atakuwa ni mzuri na mrembo hata yawezekana akanishinda hata mimi?”. Yule mrembo aliuliza.

“Kwako nimevutika na upole ukarimu pamoja na mapenzi matamu ambayo unanipa. Kwa kweli penzi ambalo wanipa sijawahi lipata popote pale”. Niliongea.

“Mh!”. Aliguna.

“Halafu pia u mwanamke mzuri na mrembo sana”. Niliendelea kumpamba kwa sifa lukuki.

“Lakini mpenzi wajua kuna kitu hujanitendea haki kabisa”. Niliongea huku nikimkumbatia vyema yule mrembo.

“Jambo gani hilo tena?”. Aliongea yule mrembo huku akiwa amenirembulia macho yake makubwa kiasi yenye mvuto wa kuyatazama na kidole chake cha shahada akiwa amekiweka katika midomo yangu.

“Yaani toka nimeanza kuwa nawe ni muda sasa umepita, lakini hujawahi nitajia jina lako hata siku moja licha ya kukuuliza mara kwa mara”. Niliongea huku nikimkandika busu moja matata.

“Sawa mpenzi wangu. Nadhani kwa kipindi chote hicho ulikuwa si wakati sahihi wa wewe kulifahamu jina langu. Kwanza nilifikiri wewe ni mpita njia tu kumbe ulikuwa wataka kuweka makazi kabisa”. Yule mrembo alijimwaga kwa fasihi tamu za kimahaba.

“Ok, sasa leo ninakuomba unitajie jina lako”. Nilimsisitiza yule mrembo.

“Sawa, jina langu mimi ni Jasmine”. Aliongea huku akiniangalia kwa huba.

“Wooooow! Jina zuri na tamu kama ulivyo wewe mwenyewe”. Niliongea kumpamba yule mrembo ingawa ulikuwa ndiyo ukweli halisi.

“Acha fiksi zako bwana!”. Jasmine aliongea huku akiwa na macho yaliyojaa soni.

“Sasa wewe pia mbona hujawahi nitajia jina lako?”. Jasmine aliuliza.

“Sikuwahi kukutajia kwa sababu hukuwahi niuliza”. Nilimjibu.

“Haya basi waitwa nani”.

“Mimi naitwa Gabriel Mayanja ingawa wengi hupenda kuniita Mayanja”. Nilimwambia Jasmine.

‘Ok, jina zuri lakini mimi napenda kukuita beib au mpenzi”. Jasmine aliongea kwa bashasha za kimapenzi.

“Vyovyote utakavyo mpenzi wewe niite tu”. Nilimweka huru Jasmine.

Siku ile nilishinda nyumbani kwa Jasmine. Tulishinda tukipeana mahaba motomoto ambayo kila mtu aliyafurahia. Yalikuwa ni mahaba ambayo yalizikonga nyoyo zetu na kuzikata kiu zetu za huba. Kila mtu kwa upande wake aliridhika na penzi kutoka kwa mwenzi wake.

“Leo hii ni lazima unipe majibu yanayoeleweka ya maswali yangu la sivyo kesho ni lazima utazikwa na tuanze kuomboleza matanga”. Ilikuwa ni sauti ya ukali ya mama Careen usiku huu pindi nilipotia mguu nyumbani kutoka kwa Jasmine.

Kwa wakati huo wote ambao nilikuwa nikihojiwa maswali hayo, nilikuwa nimelala juu ya sakafu huku nikiyaugulia maumivu makali sana. Maumivu haya yalitokana na kipigo kikali sana ambacho nilikuwa nikiendelea kukipata kutoka kwa mke wangu mama Careen.

Wakati naingia ndani ya nyumba nikiwa sina hili wala lile ghafla nilishtukia upawa wa mboga ukitua katika kichwa changu na kunifanya nipige kelele za maumivu makali ya kichwa niliyoyahisi.

Hilo mama Careen wala hakulijali, bali alinipiga tena mgongoni kwa shambulizi kali la kutumia ule upawa. Shambulizi lile lilinipeleka chini moja kwa moja huku nikiwa nimeanza kuchuruzikwa na damu puani.

Mama Careen aliendelea kunishushia mapigo mfululizo pale chini ambayo yalinijeruhi sana. Mwili wangu ulikuwa ukizizima kwa maumivu makali sana. Huyu mwanamke kwa kweli alikuwa akijua kutandika. Haikujalisha jinsi yake.Yaani akikutandika ni lazima utatia adabu tu.

“Mke wangu mimi sielewi kabisa ni nini ambacho unakizungumza”. Niliongea huku nikiendelea kusikilizia maumivu pale juu ya sakafu.

***********
 
Simulizi: KAHABA (07)

Mtunzi: Kalmas Konzo

Simu: 0744 970447

ILIPOISHIA

“Mke wangu mimi sielewi kabisa ni nini ambacho unakizungumza”. Niliongea huku nikiendelea kusikilizia maumivu pale juu ya sakafu.

SASA ENDELEA

“Ninarudia tena kwa mara nyingine, ninataka kujua vito na baadhi ya nguo zangu vimeenda wapi? Haiwezekani vitu vyangu vikatoweka kiajabuajabu!”. Mama Careen aliendelea kuongea huku akiendelea kunishushia kipigo kitakatifu.

“Mimi sielewi mama Careen. Mbona wewe umekazania kwamba mimi ndiye ambaye nimechukua vitu vyako?”, Niliongea kwa kujitetea katika sauti ya maumivu.

“Sasa humu ndani tunaishi wangapi”. Aliuliza mama Careen baada ya kuwa amenitandika upawa katika makalio yangu.

“Humu tunaishi wengi na wewe mwenyewe unajua kabisa”. Niliendelea kujitetea.

“Kwa hiyo una maana huyu mtoto mdogo Careen ndiye ambaye amechukua?”. Mama Careen alihoji kwa ghadhabu sana.

“Huwezi jua mke wangu”. Nilijibu hivyo kwa lengo la kumshawishi akubaliane nami.

Ukweli wa dhahma ile yote mimi ndiye ambaye nilikuwa naufahamu. Mimi ndiye ambaye nilikuwa nimechukua baadhi ya vifaa vya urembo vya mke wangu kama vile; bangili, herein, pete n.k na kwenda kumpa Jasmine kama zawadi.

Nakumbuka nilimpa Jasmine nikimdanganya kwamba nilikuwa nimemnunulia. Jasmine alifurahi sana na kuamini kwamba kweli mimi nilikuwa ninamaanisha penzi la dhati kwake. Aliahidi kulidumisha penzi letu hili changa na kunipenda milele.

“Nasema hivi baba Careen, mimi sihitaji maelezo yako ya kitoto na yasiyo na kichwa wala miguu. Ninachokihitaji ni vitu vyangu virejee hapa. Hii ni tabia mbaya kabisa”. Mama Careen aliendelea kufoka huku sasa akibubujikwa na machozi na kuondoka kutoka eneo lile ambalo alikuwa akinisulubu.

Nami kwa aibu na fedheha kubwa nikajizoazoa kutoka pale chini huku mwili wangu ukiwa umelemewa mzigo mzito sana wa maumivu yasiyomithilika. Nikaamua kwenda chumbani ili nikayapunguze mawazo yangu.

***********

Penzi langu na Jasmine lilizidi kukua kwa kasi mithili ya moto mkali ulao nyika. Jasmine sasa alikuwa ameiacha ile kazi yake ya ukahaba na nilikuwa ninajaribu kuiweka sawa mipango ya kumfungulia mradi ambao utayaendesha maisha yake.

Nilikuwa nimeamua kabisa kuimarisha koloni langu kwa Jasmine baada ya kuona mke wangu mama Careen ananiletea mambo ambayo siyaelewi kabisa.

“Baby nina jambo moja nyeti ambalo ninapenda nikushirikishe”. Jasmine aliongea siku moja tukiwa nyumbani kwake tukiyafurahia mapenzi yetu.

“Jambo gani tena mpenzi wangu?”. Nilimwuliza Jasmine.

“Ni jambo la kawaida tu”. Jasmine aliongea huku akiniachia busu mwanana.

“Umeanza kunitisha sasa mpenzi wangu”. Nilimwambia.

“Usihofu mpenzi, ni kawaida”. Jasmine aliongea.

“Ok, ni jambo gani hilo?”. Nilimwuliza.

“Katika siku za hivi karibuni nilikuwa najihisi tofauti katika mwili wangu. Nimekuwa nikijisikia uchovu wa mara kwa mara, kichefuchefu na miguu kuniuma”. Jasmine aliongea.

“Aaaaah! Hayo yatakuwa ni malaria”. Nilimjibu kwa kujiamini sana utadhani mimi ni daktari.

“Kwa nini wasema hivyo mpenzi?”. Jasmine aliuliza huku akinitazama usoni.

“Unajua malaria mimi naifahamu sana. Dalili zake ni kama hizohizo ambazo umezitaja. Itakubidi uende hospitali ukapime ili uanze dozi mapema?”. Nilongea huku nikimfariji Jasmine.

“Basi jana niliamua kwenda hospitali kwa lengo la kupima. Baada ya vipimo, niligundulika kwamba nina ujauzito wa mwezi mmoja”.

“Unasemaje weweeeee?”. Niliuliza kwa taharuki utadhani ya kwamba nilikuwa sijakisikia kile ambacho Jasmine alikuwa amekiongea.

“Nina ujauzito wa mwezi mmoja mpenzi”. Jasmine alirudia kuongea tena kwa mkazo.

“Hapana haiwezekani!”. Niliongea huku ubongo wangu ukiwa kama umeacha kufanya kwa sekunde kadhaa.

“Sasa haiwezekani nini?”. Jasmine alihoji kwa mshangao.

“Sasa wewe unafikiri tutafanyaje?”. Nami nilimjibu kwa kumkandika swali.

“Tutafanyaje kivipi?”. Naye alinijibu kwa kunirushia swali lilelile.

“Hivi wewe huoni kama hili ni tatizo kubwa?”. Nilimwambia.

“Sasa kuna tatizo gani hapo wakati wewe ulisema wanipenda na wataka kuanza maisha na mimi”. Jasmine aliongea.

“Sawa, lakini vipi mama Careen akiligundua hili? Huoni kwamba patachimbika?”. Nilijaribu kutoa tahadhari.

“Hilo utajua wewe maana tangu mwanzo mimi nilikwambia kuhusu hili. Je, wewe ulinijibuje? Si ulisema nikuachie wewe ya kwamba utajua namna ya kufanya!”. Jasmine aliongea huku sasa akionekana kukasirika kidogo usoni.

“Sawa la … la … lakini ….”. Kigugumizi cha ghafla kilinijia.

“Lakini nini?”. Jasminie aliuliza.

“Tena ulisema wewe ndiye mwanaume wa nyumba na unaamua nini ukifanye na nini usikifanye. Hebu acha kunichanganya bwana”. Moto wa Jasmine sasa ulizidi kupanda.

“Ok, mama wala usijali. Mimi nitajua namna ya kufanya. Nakupenda sana Jasmine”. Niliamua kumuweka sana ili kuisafisha hali ya hewa ambayo niliona inaanza kuchafuka taratibu.

“Hayo ndiyo maneno. Siyo unakuwa unaleta ngonjera zako hapa ambazo hazieleweki kama siyo mwanaume bwana!”. Jasmine aliongea huku akionesha wazi kwamba alikuwa na furaha kutokana na maneno yangu.

*********

Tukutane katika sehemu ta 08
 
Simulizi: KAHABA (08)

Mtunzi: Kalmas Konzo

Simu: 0744 970447

ILIPOISHIA

“Hayo ndiyo maneno. Siyo unakuwa unaleta ngonjera zako hapa ambazo hazieleweki kama siyo mwanaume bwana!”. Jasmine aliongea huku akionesha wazi kwamba alikuwa na furaha kutokana na maneno yangu.

SASA ENDELEA

Ujauzito wa Jasmine ukazidi kuyaimarisha mapenzi yetu. Mimi nikampenda sana Jasmine na yeye pia akanipenda sana. Tulithaminiana na kuheshimiana. Tuliweka ahadi na mipango mingi na kabambe katika kuliimarisha penzi letu.

Ujauzito wake ukazidi kukua kwa kasi. Miezi ikazidi kukatika. Kichwa changu kikawa na mawazo mengi sana ambayo yalikuwa yakizidi kuongezeka kila uchao.

Nilikuwa nikiwaza ni namna gani nitaweza kukabiliana na varangati la mama Careen pindi ambapo atakuja kuyagundua mahusiano yangu ya kimapenzi na Jasmine.

Hilo lilikuwa ni dogo kati ya yale ambayo nilikuwa nikiyawaza. Jambo kubwa ambalo ndilo liliniumiza kichwa hasa ni suala la ujauzito wa Jasmine. Suala la mimi kutembea na Jasmine niliona ningeweza kulizima endapo moto wa mama Careen ungewaka lakini suala la ujauzito mh!

Hili lilikuwa kubwa na nilishindwa kulibeba kabisa. Nilikuwa nikiliona kabisa jahazi likienda mrama na mimi kama nahodha nilikuwa sina uwezo wa kulinusuru jahazi hili katika gharika hili kubwa.

“Lakini haya yote ameyataka yeye mwenyewe mama Careen. Mwanamke ni mshari balaa. Hajui hata kuibembeleza na kuitunza ndoa. Kila siku ni ugomvi tu ambao hauna hata sababu ya msingi”. Niliwaza siku moja nikiwa chumbani wakati mama Careen akiwa nje uwanjani akicheza na Careen.

“Furaha ya ndoa yetu ilipotea miaka mingi nyuma. Siku za mwanzo za ndoa yetu ndipo nilipolifurahia penzi langu na mama Careen lakini baada ya hapo, ndoa yetu ilibadilika na kuwa chungu kabisa”. Niliendelea kuumizwa na mawazo kichwani mwangu.

“Na kila nikijaribu kumsogeza jirani mke wangu ili tuitengeneze ndoa yetu, yeye alikuwa mbali nami zaidi ya kuzidisha ushari wake. Hajali kabisa ustawi wa ndoa yake”. Nilizidi kutiririkwa na mawazo lukuki mengine yakiwa ni maswali ambayo yalikosa majibu.

Hatimaye taratibu machozi ya uchungu yakaanza kuniporomoka. Niliumia kwa sababu mimi na mke wangu tulikuwa tumeshindwa kuitengeneza ndoa yetu na hatimaye ilikuwa ikielekea katika misukosuko.

Baadaye usingizi ukanipitia na kunisahaulisha yale yote ambayo yalikuwa yakiniliza. Nilianza kuota ndoto nzuri na tamutamu juu yangu na Jasmine. Niliota tukiyafurahia maisha pamoja.

***********

Siku moja mama Careen akawa amepata mgeni. Mgeni huyu alikuwa ni mwanamke. Mwanamke huyu alikuwa ni mzuri na mrembo sana.

“Mh! Mdogo wangu wewe una mambo makubwa sana”. Mama Careen aliongea pindi walipokuwa wamekaa sebuleni.

“Kwa nini waongea hivyo dada?”. Mgeni aliuliza.

“Yaani tumepoteana miaka mingi sana hatuonani. Halafu jambo la kushangaza eti sote twaishi katika jiji hilihili la Kano”. Mama Careen aliongea.

“Nisamehe dada yangu. Ni maisha tu ndiyo yamesababisha yote haya”. Mgeni aliongea.

“Wala hata usiyasingizie maisha. Maisha ndiyo yakufanye ushindwe hata kunijulia hali nduguyo?”. Mama Careen aliendelea kuongea kwa kutoa lawama kwa mgeni ambaye alikuwa ni mdogo wake.

“Halafu naona mambo yako si mabaya. Yaani safari hii umeamua kabisa kutundikwa mpaka mimba. Mbona siyaamini macho yangu!”. Mama Careen aliongea kwa mshangao huku akilitazama tumbo la mdogo wake ambalo kwa sasa lilikuwa kubwa.

“Dada yangu. Mimi safari hii ninataka kuolewa. Nimepata mchumba ambaye ananijali na yuko tayari kabisa kunioa”. Mgeni aliongea.

“Ha ha ha ha haaaaaaaa! Yaani Jasmine wewe leo hii unataka kuolewa?. Mh! Haya bwana. Je, na biashara yako ya ukahaba unamwachia nani?”. Mama Careen aliuliza.

“Ile biashara nilikwishaiacha dada. Huyu mchumba wangu ndiye ambaye amenibadilisha na kunifanya niiache biashara hii kabisa. Nimeamua kubadilika kabisa na kuanza maisha mapya dada yangu”. Mgeni aliongea huku machozi yakimlengalenga.

“Yaani leo ndiyo unatambua kwamba biashara uliyokuwa ukiifanya ilikuwa ni mbaya. Je, wakati mimi nakukanya juu ya biashara ile mbona hata ulikuwa hunisikilizi?”. Mama Careen aliongea.

“Nisamehe dada yangu. Na ndiyo maana leo hii waniona niko hapa mbele yako nikiwa nimebadilika kabisa. Mimi si yule Jasmine wa zamani, kahaba. Mimi ni Jasmine mpya. Naomba unisamehe kwa yote ambayo nilikukosea dada yangu mpenzi”. Jasmine aliongea huku akiporomokwa na machozi.

“Haya nimekusamehe mdogo wangu”. Mama Careen aliongea huku akimkumbatia Jasmine.

Ghafla simu ya Jasmine iliita.

“Hallo! Baby”. Jasmine aliongea mara baada ya kubonya kitufe cha kupokelea simu.

“Uko wapi? Mbona nimefika hapa kwako sijakuona?”. Upande wa pili wa simu uliongea.

“Nisamehe mpenzi wangu. Leo nimeenda kumtembelea dada yangu yule ambaye nilikwambia”. Jasmine aliongea.

“Sasa mbona hukunitaarifu?”. Upande wa pili wa simu uliongea.

“Naomba unisamehe mume wangu. Mimi nilifikiri kwamba hutakuja nyumbani kwa wakati huu ndiyo maana sikukutaarifu. Nisamehe sana mpenzi wangu”. Jasmine aliongea.

“Ok, nimekusamehe”. Upande wa pili wa simu uliongea.

“Halafu mpenzi, nilipenda jioni ya leo twende pamoja huku kwa dada yangu ili nikutambulishe kwani dada ana hamu kubwa sana ya kukuona”.

“Ooooh! Hilo wala usijali. Nitajaribu kuziweka sawa ratiba zangu ili kusiwe na usumbufu wowote”. Upande wa pili wa simu uliongea.

“Ahsante sana mpenzi”. Jasmine alishukuru.

“Ok, usijali”. Upande wa pili wa simu uliongea.

Baada ya Jasmine kuongea na ile simu, basi maongezi yake na mama Careen yakaendelea. Wakaendelea kupeana michapo ya hapa na pale ambayo iliwaletea furaha tele katika nyoyo zao.

“Ndiyo hivyo dada. Hakika utampenda kwani ni mwanaume mzuri, mtanashati, anayejali na ambaye anajua nini maana ya pendo la dhati”. Jasmine aliongea.

“Mh! Haya bwana. Waswahili walisemamtu chake. Tutaona hiyo jioni kama hizo sifa unazompamba kweli anazo?”. Mama Careen aliongea huku akicheka.

************

Tukutane katika sehemu ya 09.
 
Simulizi: KAHABA (09)

Mtunzi: Kalmas Konzo

Simu: 0744 970447

ILIPOISHIA

“Mh! Haya bwana. Waswahili walisemamtu chake. Tutaona hiyo jioni kama hizo sifa unazompamba kweli anazo?”. Mama Careen aliongea.

SASA ENDELEA

“Hodi humu ndani!”. Nilipiga hodi mara baada ya kufika nyumbani na kubaini kwamba mlango ulikuwa umefungwa.

Kwa upande wa wakati ilikuwa ni majira ya mchana. Nilikuwa nimerudi nyumbani mapema ili nipate kujiandaa kwa ajili ya safari yangu na Jasmine kwenda kwa dada yake kwa ajili ya kunitambulisha.

Sikutaka kabisa kumwangusha mpenzi wangu Jasmine.

Mlango ulifunguliwa na mama Careen ambaye leo alinishangaza sana. Uso wake ulikuwa na furaha kubwa sana tofauti na siku zote katika maisha yetu ya ndoa. Hakika sijawahi kumshuhudia mke wangu akiwa katika hali hii ya furaha katika maisha yetu ya ndoa.

Furaha ile iliufanya uso wake uchanue na kuuruhusu uzuri wake uonekane dhahiri. Hakika mke wangu alikuwa ni mwanamke mzuri sana ila uzuri wake siku zote ulikuwa ukifunikwa na ukali wake.

Roho yangu sasa ilianza kuniuma. Nikaanza kujilaumu ni kwa nini nilikuwa nikimsaliti mwanamke huyu ambaye mwenyezi Mungu alikuwa amenipatia.

Ikafika kipindi mpaka nikataka nighairi safari yangu ya kwenda kwa Jasmine lakini nikaamua kukaza kwamba kwani nilimfahamu sana huyu mwanamke. Alikuwa ni mwanamke ambaye alikuwa hatabiriki.

“Leo tuna mgeni mume wangu”. Mama Careen aliongea kwa furaha.

“Mgeni?”. Niliuliza kwa staajabu.

“Ndiyo mume wangu”. Mama Careen alijibu.

“Mgeni gani?”. Name nikauliza.

“Mdogo wangu, yule ambaye nilikuwa nikikupa habari zake kila siku”. Mama Careen akaongea.

“Anhaaaaaa! Basi hamna tatizo”. Nilimjibu mama Careen mara baada ya kukumbuka kwamba amekuwa akinieleza mara kwa mara kwamba ana mdogo wake ambaye anaishi katika jiji hili la Kano.

Mama Careen akatangulia mbele kuelekea sebuleni akaniacha mimi pale mlangoni huku nikijiweka sawa mavazi yangu kwa lengo la kwenda kukutana na mgeni ambaye nilikuwa sijawahi kukutana naye hata siku moja.

Nilipoingia ndani moyo wangu ulitaka kupasuka kwa mshutuko mkubwa sana ambao uliupata. Macho yangu hayakuamini kile ambacho yalikuwa yakikishuhudia. Ubongo wangu ndiyo uligoma kabisa kukubaliana na picha nzima ambayo ilikuwa ikionekana pale sebuleni.

“He! Mayanja vipi? Umekujuaje huku?”. Jasmine aliuliza swali ambalo lilileta utata kwa mama Careen.

Mimi nikaiona hali ya hewa imeanza kuchafuka kabisa pale sebuleni. Nikakosa kabisa nmana ya kuweza kulinusuru lile balaa ambalo harufu yake ilianza kusikika.

“Vipi Jasmine, kwani mnafahamiana?”. Mama Careen aliuliza kwa mshangao.

“Huyu ndiye yule mchumba wangu ambaye nilikuwa nikikueleza hivi punde kwamba anataraji kunioa. Mayanja huyu ni dada yangu mpendwa anaitwa mama Careen”.

Masikini Jasmine alikuwa akiyaongea haya yote asijue ni siri gani ilikuwa nyuma ya pazia. Hakujua kabisa kwamba aliyekuwa akimkaribisha alikuwa ni mwenyeji wa nyumba ile na ndiye ambaye alipaswa kumkaribisha yeye.

Mama Careen hakukiamini kile ambacho alikuwa akikisikia. Alibaki amesimama akiwa ameduwaa huku macho akiwa ameyatoa mithili ya mjusi ambaye alikuwa amebanwa na mlango.

Ghafla mama Careen alianguka chini na kuzimia. Kitendo kile kilizua tafrani kubwa mle sebuleni na kufanya kila mtu ataharuki.

“Kwani ni nini kinaendelea Mayanja? Mbona sielewi?”. Jasmine alihoji wakati huo mimi nikiwa ninampepea mama Careen.

“Fanya utaratibu tumuwahishe hospitali Jasmine. Huyu ndiye mke wangu niliyekuwa nakueleza siku zote”. Nilimweleza Jasmine.

“Oooooooh! Mamaaaaaaa! Jamani Mayanja. Ni kwa nini umenitenda hivi. Mbona umenitia aibu ambayo nitashindwa kuibeba. Nitaiweka wapi sura yangu jamani?”. Jasmine naye alikaa chini na kuanza kulia.

Mimi nikaona hapa nikifanya uzembe nitampoteza mama Careen. Nikachomoka mbio kutoka mle sebuleni na kuelekea nje ambako nilitafuta taksi.

Tulimpakia mama Careen na kumuwahisha hospitali. Na kwa wakati wote huo Jasmine alikuwa amempakata Careen huku akilia kwa uchungu.

Tulipofika hospitali, tulimshusha mama Careen na manesi wakampokea na kumpeleka kwa lengo la kupatiwa huduma. Hali yake haikuwa nzuri hata kidogo.

Mimi na Jasimine tulikaa katika dawati la kupumzikia huku tukimwomba mwenyezi Mungu atende muujiza wa kuyanusuru maisha ya mama Careen.

Baada ya dakika kama ishirini hivi kupita, daktari alitoka na kutujia pale ambapo tulikuwa tumekaa.

“Ok, wewe ndiye mume wa mgonjwa?”. Daktari aliuliza hilo kwa kuzingatia maelekezo ambayo tulikuwa tumeyaandikisha kwa nesi awali pindi tukimfikisha mgonjwa pale hospitalini.

“Ndiyo dokta. Mgonjwa wangu anaendeleaje?”. Nilimwuliza daktari kwa bashasha ya kutaka kujua hali ya mama Careen.

Daktari hakunijibu bali alinivuta na kunisogeza mbali kidogo na Jasmine. Moyo wangu ulikuwa una hofu kubwa sana kwa wakati ule.

“Wewe ni mwanaume hivyo unapaswa kujikaza kiume kwa taarifa hii nitakayokupa”. Dakatari alianza kuongea huku akinigongagonga bega.

“Unataka kusema nini dokta?’ Nilimwuliza daktari huku nikiwa nimemtolea macho.

“Kwa bahati mbaya, mkeo tumempoteza. Amefariki dunia”. Maneno yale yaligota katika ubongo wangu na kuniletea kizunguzungu ambacho kinilinifanya nile mweleka na kuanguka chini.

Baada ya hapo nikazirai.

**********

Mazishi ya mama Careen yalifanyika nyumbani kijijini kwetu. Ulikuwa ni msiba mkubwa sana ambao ulinipa uchungu mkubwa. Msiba huu ulikuwa umekitikisa kijiji chetu kutokana na umaarufu wangu.

Jasmine kwa wakati wote huo alikuwa akilia asijue ni nini cha kufanya. Kifo cha dada yake kilikuwa kimemchanganya kabisa.

Baada ya mazishi ya mama Careen tulikaa matanga.

Msiba ulipokwisha, mimi na Jasmine tulirejea jijini Kano huku Careen tukiwa tumemwacha kijijini na bibi yake.

Maisha yetu jijini Kano hayakuwa ya furaha hata kidogo. Ile furaha ambayo mimi na Jasmine tulikuwa nayo ilikuwa sasa imeyeyuka.

Baada ya wiki mbili toka mimi na Jasmine tutoke kijijini, kuna tukio moja kubwa sana lilitokea. Tukio hili lilizidisha ule uchungu ambao mimi nilikuwa nao.

Jasmine alikutwa akiwa amekufa kwa kunywa sumu huku akiwa ameacha ujumbe wa kunituhumu mimi kuwa ndiye msababishaji wa madhila hayo yote.

Polisi walinikamata na kunifungulia mashtaka ya kusababisha vifo vya watu wawili ambao ni mama Careen na Jasmine. Kesi hii ilikuwa nzito na ililalia upande wangu.

Hatimaye nikapatikana na hatia na nikahukumiwa kifungo cha miaka ishirini gerezani.



FUNZO

Katika mahusiano ya ndoa yatupasa tuepuke tamaa. Turidhike na ndoa zetu. Siku zote tuishi katika kuzijenga ndoa zetu na si kuzibomoa. Tuepuke kufanya maamuzi ambayo baadaye huja kutugharimu

**********MWISHO***********
 
Back
Top Bottom