HaMachiach
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 3,399
- 6,077
usinisahau
Daaah! Niliishia njiani aiseesteve njo bas tuwekee ata episode 4 leo
Mi ni mmoja wa wanaotakaNingependa kujua wanaotaka niwe nawatag nishushapo mzigo mpya.
☆Steve
itabidi tu ujitahidi uimalizieDaaah! Niliishia njiani aisee
Steve kumve ulipita tuu,Asante sana mkuu. Sitakusahau.
☆Steve
We ndio kimeisha hivobauu macho yangukisa kilivyoanza na kuishia imekuwa two in moja.....
Na mimi SteveNingependa kujua wanaotaka niwe nawatag nishushapo mzigo mpya.
☆Steve
Mkuu ulikuwa hutak iishe nini?Jamani hapa ndiyo mwisho wa simulizi?
AsanteNshakuweka kundini mkuu.
☆Steve
Imeisha kienyeji mno Mkuu maana nimefika mwisho Wa safari wakati gari iko full tankMkuu ulikuwa hutak iishe nini?
☆Steve
Embu niambie ulikuwa unataka iisheje? WAGENI waendelee kufanya nini?Imeisha kienyeji mno Mkuu maana nimefika mwisho Wa safari wakati gari iko full tank
Nashukru sana kwa kunipa moyo mkuu! Kwakuwa hii imeisha twende tukaendelee na nyngine iitwayo NJIA NYEMBAMBA.hakika umejaaliwa kipaji cha utunzi nakuombea dua uwe miongoni mwa watunzi bora afrika na dunia.
hadithi ni nzuri na ina mafunzo ya kutosha kuanzia sasa niweke kwenye list ya mashabiki wako