Simulizi: Baradhuli mwenye mikono ya chuma

Simulizi: Baradhuli mwenye mikono ya chuma

Nimegundua njia ya kufaidi hizi stori

Ni kuondoa kiherehere ch kuisoma kabla haijafika mwisho,

Ngoja nikatafute kwingineee
 
Nimeweka kambi rasmi hapa,sibanduki mpaka kieleweke
Ohoooo unaweka kambi, mkuu wa kikosi kasha sepa

Humu nishagundua ntavuna pressure, hafu vitu vyenyewe ni stori cha kushangaza roho inauma kam vilr ni kweli.

Naomba kama mh. Paul Makonda yumo humu JF aje ajifunze kwa wenzie hapa,
 
Nimependa sana hii Counter attack ya Mbowe. Yani Makonda na Sirro saivi wao ndo watuhumiwa. Wao ndo wanatafutwa na Mahakama. Saivi wao ndo wanajificha ili wasikutane na "samansi" ya Mahakama. Duuh kweli sometimes ukisikia nyuma geuka, wa kwanza anakua wa mwisho. Leo Makonda hajatokea mahakamani na polisi aliyempelekea "samansi" kasema hakumkuta. Hivi Makonda leo ni wa kujificha? Wa kukimbia Polisi? Hii inaitwa DOGO UKOME. Hongera Mahakama Kuu, ila chondechonde Jaji aliyesikiliza hii kesi asije kupangiwa kazi nyingine. Hongera kamanda wa anga Mbowe. Hizo ni salamu kwa dogo na baba yake. Watakuelewa tu.!



KUNA STORI HUMU INAITWA ""BALADHUI LENYE MKONO WA CHUMA""

Hapo makonda akaisome vizuri
Huu mchezo wa 'hide and seek' unafurahisha sana.

unakatazwa... ...??
 
Hafu mi ni kama sina akili, hata kama ninazo baaaaaaasi ndo nishakua tejaa







Naapa kutorudi, cha kushangaza sasa naranda randa humu humu

Nikitaka kutoka, nahisi na napenda niwe wa kwanza kuina hafu narudi,

Hili ni tatizo aseeee

[HASHTAG]#shunie[/HASHTAG]
 
Ohoooo unaweka kambi, mkuu wa kikosi kasha sepa

Humu nishagundua ntavuna pressure, hafu vitu vyenyewe ni stori cha kushangaza roho inauma kam vilr ni kweli.

Naomba kama mh. Paul Makonda yumo humu JF aje ajifunze kwa wenzie hapa,
hahahhh aje kujifunza nn ila steve mida yake inajulikana n sa 3 usiku
 
Hafu mi ni kama sina akili, hata kama ninazo baaaaaaasi ndo nishakua tejaa







Naapa kutorudi, cha kushangaza sasa naranda randa humu humu

Nikitaka kutoka, nahisi na napenda niwe wa kwanza kuina hafu narudi,

Hili ni tatizo aseeee

[HASHTAG]#shunie[/HASHTAG]
 
Ohoooo unaweka kambi, mkuu wa kikosi kasha sepa

Humu nishagundua ntavuna pressure, hafu vitu vyenyewe ni stori cha kushangaza roho inauma kam vilr ni kweli.

Naomba kama mh. Paul Makonda yumo humu JF aje ajifunze kwa wenzie hapa,
Mkuu wa kikosi atakuja saa tatu ila wengine lazima kuchungulia kila muda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom