Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,605
Uyo Yuko Kama Mimi sipendi mambo ya kupiga Piga simu bila sababu na pia mi ni mvivu wa kuongea na simu angalau message
Dada unafanya kazi gani na yeye ana kazi ganiKuna kipindi nilimwambia kabisa mapenzi haya mie siyawezi akaniambia nimvumilie atabadilika taratibu na kuniomba msamaha .... nikimwambia tuachane yani neno ambalo hataki kulisikia kabisa
I know u can smell stinginess a thousand miles aways!huyu ni mchoyo sana
safi kabisaI know u can smell stinginess a thousand miles aways!
Sasa ulitaka akukubalie suala la kuachana? anakuona demu wa kuzugia ujue! bado hajakuweka moyoni sijui upo kwenye figo, anaona bure uendelee kuwepo wakati anatafuta kidani cha moyo wake wakati huo kwako anapunguzia nyege tu.Kuna kipindi nilimwambia kabisa mapenzi haya mie siyawezi akaniambia nimvumilie atabadilika taratibu na kuniomba msamaha .... nikimwambia tuachane yani neno ambalo hataki kulisikia kabisa
Kijana aje ajeh!? hahah
Hahah! hujantafuta kijana! chuganian aje asee!Mkuu, na wewe umefufuka?
Hahah! hujantafuta kijana! chuganian aje asee!
Huwezi amini ndg! nakuja PM huko!Huku baridi tu mkuu. Naona ndo umegoma kabisa kuja huku. Hutaki nikuozeshe warembo wa chuga nini?
Huwezi amini ndg! nakuja PM huko!
Hebu ni pm nashindwa kukupata!Haya njoo mkuu ila usinipeleke kwa pilato tafadhali.