Hahaaa! Vipo vya kuachana ila sio hicho kama ameshajua na akakwambia umvumilie atabadilika nenda naye taratibu pia nawewe usiwe mtu wa kukata tamaa mkumbushe mara kwa mara nadhani hata kama hatobadilika 100% ila kwa kiasi fulani inawezekana.Kuna kipindi nilimwambia kabisa mapenzi haya mie siyawezi akaniambia nimvumilie atabadilika taratibu na kuniomba msamaha .... nikimwambia tuachane yani neno ambalo hataki kulisikia kabisa
mwambie huyo,hii hali ni ya kawaida tena mimi ni mmoja wapo! bora hata huyo anakaa siku 3 wengine hata wiki mwezi kawaida,nimekuwa muhanga wa kulalamikiwa lkn wameshanizoea kama ni voda nina shida na dk 5 nikinunua 15 ntatumia tano kwa mtu 1 ambae nashida nae hizo nyengine zinafiamo! hichi kitu sijui kinasababishwa na nini! lkn ajue tu kuna watu wa dizain hiyo!Kumbuka hakuna binadamu aliyekamilika kama kwa vitu vingine yupo sawa na anavifanya ipaswavyo hebu tuliza moyo wako.
Kijana aje ajeh!? hahahNami nakuuliza swali, "Unawezaje kuishi na mwanaume ambaye hakupendi kwa dhati?" Jibu utakalolipata katika swali hili ndio jibu la swali ulilouliza.
Familia yake?? mmeoana, au unasemea baba na mana yake? Au nd ushajihakikishia na ww ni part ya familia yake,,, jiangalie dada usije kurud humu Jf unalialia tena kujipa uhakika hivo ni vbaya unless ni mume halal wa ndoaHapana ni mwanaume ambaye anapenda sana kuhudumia familia yake kwa kweli anajitaidi sana .... ila tatizo ni mawasiliano tu
Hiyo hali ni sasa tuu au tangu muanze safari yenu ya mapenzi? sababu its not normal kwa mwanamme itakua amekuchoka au alichotarajia kwako hajakikuta au kuna alie kuzidi,na usijilinganishe wewe na rafiki na ndugu wewe ni mwanamke wakeHappy Easter Jf
Naombeni kuuliza? Hivi unawezaje kuishi na mwanaume ambaye ana tatizo la poor communication? ???yani anaweza kukaa hata siku tatu asikujulie hali na hata ukipiga simu Mara nyingine hapokei ?? Nilimfatilia na kuhisi ana mwanamke lakini wapi ?? Hana mwanamke na Ilo tatizo sio kwangu tu hata kwa marafiki na ndugu wanalalamika pia , mie mpenzi wake swala hili linaniumiza haswa naombeni msaada jinsi ya kuishi na huyu kiumbe jamani
![]()
Umetumia neno zuri san"kilema chake"Kama unakiri ivo,basi mkubali kama alivoKwA kweli hata mie naona Ila sijui ndio kilema cheke hata ex wake naye alikuwa analalamika kama mie yani swala la simu kwake ni mtihani Ila ukiamua kumnunia basi anajilekebisha wiki moja halafu anaanza tena
Atakuwa hana salio au chani. Tatizo hilo ni la muda tu. Mkioana mtalala na kula pamoja shda itaisha.Mtu ambaye yuko moyoni huwezi pitisha siku bila kumjulia hali, Dada muwe mnajiongeza kiakili.
Akili za wanawake.Ulijuaje habari za Ex wake?????
Bado hajapata wakumgusa mtima wake, akimpata hatopitisha siku.
Hii ndo point sasa huo ndo ukwel hata ukimuondoka bado hakuna mtu kamili ambae utaenda mpataInawezekana kweli bado ajapata mtima wake Ila kwenye mambo mengine mengine yupo perfect tatizo ni Ilo mawasialiano ... sasa najiuliza nimvumilie ??? Nikianza safari nyingine huyo nitakayempata atakuwa na mapungufu yap??? Maana tuna miaka miwili karibia